QUEEN SENDIGA: MABORESHO KATIKA SEKTA YA KILIMO NI MUHIMU
> Mgombea Urais wa JMT kupitia ADC, akiwa Wilaya ya Liwale amesisitiza maboresho ktk Sekta ya Kilimo ni ya muhimu na ndio tiba pekee ya kuwapelekea wananchi maendeleo ya kweli
Soma - https://jamii.app/ADCLiwale
#uchaguzi2020
> Mgombea Urais wa JMT kupitia ADC, akiwa Wilaya ya Liwale amesisitiza maboresho ktk Sekta ya Kilimo ni ya muhimu na ndio tiba pekee ya kuwapelekea wananchi maendeleo ya kweli
Soma - https://jamii.app/ADCLiwale
#uchaguzi2020
UPDATE: ZITTO NA WENZAKE WANAENDELEA VIZURI
> Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo amesema anaendelea vizuri kufuatia ajali aliyopata jana mkoani Kigoma
> Amesema yeye na wenzake ni wazima na kuwashukuru Wahudumu na Madaktari
Soma - https://jamii.app/ZittoAjaliKgm
> Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo amesema anaendelea vizuri kufuatia ajali aliyopata jana mkoani Kigoma
> Amesema yeye na wenzake ni wazima na kuwashukuru Wahudumu na Madaktari
Soma - https://jamii.app/ZittoAjaliKgm
TLS KUMSAIDIA FATMA KARUME KUKATA RUFAA YA ADHABU ALIYOPEWA
> Baraza la Uongozi wa TLS limegundua Mwanasheria Mkuu aliwasilisha upya malalamiko yake kwa Kamati ya Mawakili kinyume na amri na maelekezo ya Jaji Kiongozi
> Muundo wa Kamati ya Mawakili una uwezekano mkubwa wa kuwepo kwa upendeleo au muonekano wa upendeleo
Soma - https://jamii.app/TKSRufaniFatma
> Baraza la Uongozi wa TLS limegundua Mwanasheria Mkuu aliwasilisha upya malalamiko yake kwa Kamati ya Mawakili kinyume na amri na maelekezo ya Jaji Kiongozi
> Muundo wa Kamati ya Mawakili una uwezekano mkubwa wa kuwepo kwa upendeleo au muonekano wa upendeleo
Soma - https://jamii.app/TKSRufaniFatma
TLP, UDP ZAJITOA KUMUUNGA MKONO MGOMBEA URAIS WA CCM
> Ni baada ya Ofisi ya Msajili kuvitaarifu kuwa havikufuata Kanuni na Sheria za Uchaguzi
> UDP wameendelea na kazi za kampeni, wakiwa na Mgombea wao. TLP ambao waliweka mabango wameyatoa
Soma https://jamii.app/TLP-UDPMagufuli
#TZ2020
> Ni baada ya Ofisi ya Msajili kuvitaarifu kuwa havikufuata Kanuni na Sheria za Uchaguzi
> UDP wameendelea na kazi za kampeni, wakiwa na Mgombea wao. TLP ambao waliweka mabango wameyatoa
Soma https://jamii.app/TLP-UDPMagufuli
#TZ2020
MICHEZO: Bodi ya Ligi Kuu imesema Mechi ya Yanga na Simba iliyokuwa ichezwe Oktoba 18, 2020 imesogezwa mbele hadi Novemba 7
> Sababu ni uwezekano wa kuwepo kwa vikwazo vya usafiri kwa wachezaji wa Kimataifa kutokana na kalenda za FIFA
Soma - https://jamii.app/HairishoSimbaYanga
> Sababu ni uwezekano wa kuwepo kwa vikwazo vya usafiri kwa wachezaji wa Kimataifa kutokana na kalenda za FIFA
Soma - https://jamii.app/HairishoSimbaYanga
DKT. MWINYI: ZANZIBAR KUNA UBAGUZI WA KIDINI, KIJINSIA NA KIKANDA
> Mgombea Urais Zanzibar kupitia CCM ameahidi kupambana na vitendo hivyo na kusema, mtu anayetafuta uongozi wa nchi hawajibiki kwa wanaompigia kura tu, bali hata kwa Mungu
Soma - https://jamii.app/UbaguziZbar
#TZ2020
> Mgombea Urais Zanzibar kupitia CCM ameahidi kupambana na vitendo hivyo na kusema, mtu anayetafuta uongozi wa nchi hawajibiki kwa wanaompigia kura tu, bali hata kwa Mungu
Soma - https://jamii.app/UbaguziZbar
#TZ2020
MAASKOFU WAHIMIZA NEC KUSIMAMIA UCHAGUZI KWA HAKI
> Chama cha Maaskofu na Wachungaji (TPA) kimesema Watanzania wanatarajia kuona Tume ya Uchaguzi inasimamia haki na kufuata Sheria za Uchaguzi kuepuka malalamiko yanayoanza kujitokeza
Soma - https://jamii.app/TPA-NECUchaguzi
#Uchaguzi2020
> Chama cha Maaskofu na Wachungaji (TPA) kimesema Watanzania wanatarajia kuona Tume ya Uchaguzi inasimamia haki na kufuata Sheria za Uchaguzi kuepuka malalamiko yanayoanza kujitokeza
Soma - https://jamii.app/TPA-NECUchaguzi
#Uchaguzi2020
ECOWAS YAIONDOLEA VIKWAZO MALI BAADA YA KUUNDA SERIKALI YA MPITO
> Imefikia uamuzi huo kwa kuzingatia hatua ambazo Mali imepiga kurudi katika Mfumo wa Kikatiba
> Mali iliwekewa vikwazo kufuatia mapinduzi yaliyomtoa Ibrahim Keita madarakani
Soma - https://jamii.app/VikwazoMali
> Imefikia uamuzi huo kwa kuzingatia hatua ambazo Mali imepiga kurudi katika Mfumo wa Kikatiba
> Mali iliwekewa vikwazo kufuatia mapinduzi yaliyomtoa Ibrahim Keita madarakani
Soma - https://jamii.app/VikwazoMali
RAIS WA MALAWI, DKT. LAZARUS CHAKWERA AWASILI NCHINI
> Rais Chakwera amepokelewa na Rais wa Tanzania, Dkt. John Magufuli. Pia, akiwa JNIA amekagua gwaride la heshima aliloandaliwa
>Marais hao wawili wanatarajia kufanya mazungumzo baadaye
Soma - https://jamii.app/RaisChakweraTZ
> Rais Chakwera amepokelewa na Rais wa Tanzania, Dkt. John Magufuli. Pia, akiwa JNIA amekagua gwaride la heshima aliloandaliwa
>Marais hao wawili wanatarajia kufanya mazungumzo baadaye
Soma - https://jamii.app/RaisChakweraTZ
SINGAPORE: SERIKALI KUWALIPA WANANCHI ILI WAZAE KIPINDI HIKI CHA #COVID19
> Wananchi wengi waliokusudia kupata watoto wanadaiwa kusitisha hilo kutokana na kukosa fedha/ajira
> #Singapore ni nchi yenye kiwango kidogo cha watu kuzaliana
Soma - https://jamii.app/BirthPaySingap
> Wananchi wengi waliokusudia kupata watoto wanadaiwa kusitisha hilo kutokana na kukosa fedha/ajira
> #Singapore ni nchi yenye kiwango kidogo cha watu kuzaliana
Soma - https://jamii.app/BirthPaySingap
TABORA: WAHAMIAJI HARAMU 32 WAKUTWA NA KADI ZA KUPIGIA KURA
> Raia hao wa Burundi wamekamatwa Mkoani Tabora wakitokea Kigoma kuelekea Dar na Mbeya
> 25 walikamatwa Wilayani Urambo ndani ya Treni na 7 walikamatwa Kituo Kikuu cha Mabasi Tabora
Soma https://jamii.app/WahamiajiKadiKura
> Raia hao wa Burundi wamekamatwa Mkoani Tabora wakitokea Kigoma kuelekea Dar na Mbeya
> 25 walikamatwa Wilayani Urambo ndani ya Treni na 7 walikamatwa Kituo Kikuu cha Mabasi Tabora
Soma https://jamii.app/WahamiajiKadiKura
ARUSHA: WATU WATANO MBARONI KWA MAKOSA YA KIMTANDAO
> Walikamatwa ktk ofisi za aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema
> Wanadaiwa kuingilia mifumo ya mawasiliano ya kibenki na kuendesha mafunzo ya kutenda uhalifu wa kijinai
Soma https://jamii.app/Kada5CDMUhalifu
> Walikamatwa ktk ofisi za aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema
> Wanadaiwa kuingilia mifumo ya mawasiliano ya kibenki na kuendesha mafunzo ya kutenda uhalifu wa kijinai
Soma https://jamii.app/Kada5CDMUhalifu
RAIS CHAKWERA AMFAGILIA RAIS MAGUFULI, ATAMANI KUSHIKILIA KOTI LAKE
> Rais Chakwera amesema, "Nilimwambia Rais Magufuli kama inawezekana ningependa kushikilia koti lake tu ili anapokimbia aweze kunivuta nami niende haraka kwa kasi yake"
> Naye Rais Magufuli amesema Tanzania na Malawi wamekuwa marafiki tangu ukoloni na watawafundisha mbinu za kukusanya kodi kama Tanzania ilivyofanikiwa
Soma - https://jamii.app/JPMChakweraIkulu
> Rais Chakwera amesema, "Nilimwambia Rais Magufuli kama inawezekana ningependa kushikilia koti lake tu ili anapokimbia aweze kunivuta nami niende haraka kwa kasi yake"
> Naye Rais Magufuli amesema Tanzania na Malawi wamekuwa marafiki tangu ukoloni na watawafundisha mbinu za kukusanya kodi kama Tanzania ilivyofanikiwa
Soma - https://jamii.app/JPMChakweraIkulu
TUNDU LISSU ATEMBELEA SOKO LA KARIAKOO HUKU AKITUMIA USAFIRI WA UMMA
> Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, leo ameamua kutembelea viunga vya Soko la Kariakoo jijini Dar es Salaam huku akitumia usafiri wa Mwendokasi kutokea Kinondoni Morocco
Angalia https://youtu.be/89_XiJwLC5Q
#JFSiasa
> Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, leo ameamua kutembelea viunga vya Soko la Kariakoo jijini Dar es Salaam huku akitumia usafiri wa Mwendokasi kutokea Kinondoni Morocco
Angalia https://youtu.be/89_XiJwLC5Q
#JFSiasa
YouTube
Tundu Lissu atembelea Soko la Kariakoo Dar Es Salaam kwa kutumia Usafiri wa Umma
KENYA: WATUHUMIWA WAWILI WA SHAMBULIO LA WESTGATE WAKUTWA NA HATIA
> Mohammed Ahmed Abdi na Hussein Hassan Mustafa wamekutwa na hatia ya kupanga njama ya ugaidi na kusaidia kundi la magaidi
> Pia, Mahakama imemuachia huru Liban Abdullah Omar
Soma https://jamii.app/Hatia2Westgate
> Mohammed Ahmed Abdi na Hussein Hassan Mustafa wamekutwa na hatia ya kupanga njama ya ugaidi na kusaidia kundi la magaidi
> Pia, Mahakama imemuachia huru Liban Abdullah Omar
Soma https://jamii.app/Hatia2Westgate
JE, WAJUA UZAZI WA MFULULIZO UNAWEZA KUSABABISHA MAMA AJIFUNGUE MTOTO NJITI?
> Mama kuzaa mfululizo ni kichocheo cha Mama kujifungua #MtotoNjiti
> Mama anayejifungua mfululizo mlango wake wa kizazi huwa katika hatari ya kufunguka wakati wowote
Soma > https://jamii.app/UzaziMtotoNjiti
> Mama kuzaa mfululizo ni kichocheo cha Mama kujifungua #MtotoNjiti
> Mama anayejifungua mfululizo mlango wake wa kizazi huwa katika hatari ya kufunguka wakati wowote
Soma > https://jamii.app/UzaziMtotoNjiti
UFAHAMU MFUMO WA UCHAGUZI WA TANZANIA
> Tanzania inatumia mfumo wa Uchaguzi ambao Mgombea anayepata kura nyingi halali kuliko Mgombea mwingine yeyote ndiye hutangazwa kuwa mshindi (First – Past – the Post)
> > Mfumo mwingine unaotumika ni ule wa uwiano wa kura (Proportional Representation) ambao hutumika kupata Wabunge, Madiwani na Wabunge wa Viti Maalum
Zaidi, soma > https://jamii.app/MfumoUchaguziTz
#Uchaguzi2020
> Tanzania inatumia mfumo wa Uchaguzi ambao Mgombea anayepata kura nyingi halali kuliko Mgombea mwingine yeyote ndiye hutangazwa kuwa mshindi (First – Past – the Post)
> > Mfumo mwingine unaotumika ni ule wa uwiano wa kura (Proportional Representation) ambao hutumika kupata Wabunge, Madiwani na Wabunge wa Viti Maalum
Zaidi, soma > https://jamii.app/MfumoUchaguziTz
#Uchaguzi2020
UFAHAMU MZUNGUKO WA UCHAGUZI UNAOTUMIKA TANZANIA
> Ibara za 42 (2) na 65 ya Katiba ya JMT na kifungu cha 12 (1) cha Sheria ya Uchaguzi ya Serikali za Mitaa zinaelekeza Uchaguzi Mkuu ufanyike kila baada ya miaka mitano (5)
Mzunguko wa Uchaguzi wa #Tanzania umegawanyika katika awamu tatu (3) kama ifuatavyo;
> 1: Kabla ya Uchaguzi: Kutenga bajeti, Elimu kwa Wapiga Kura, mafunzo kwa watendaji na uandikishaji wa Wapiga Kura
> 2: Wakati wa Uchaguzi: Uteuzi wa Wagombea, Kampeni za Uchaguzi, Upigaji Kura na kutangaza matokeo hufanyika kwa usimamizi wa Tume ya Uchaguzi (NEC)
> 3: Baada ya Uchaguzi: Hufanyika, tathmini ya Uchaguzi, mabadiliko ya sheria na uboreshaji wa daftari la wapiga kura
Soma > https://jamii.app/MfumoUchaguziTz
#Uchaguzi2020
> Ibara za 42 (2) na 65 ya Katiba ya JMT na kifungu cha 12 (1) cha Sheria ya Uchaguzi ya Serikali za Mitaa zinaelekeza Uchaguzi Mkuu ufanyike kila baada ya miaka mitano (5)
Mzunguko wa Uchaguzi wa #Tanzania umegawanyika katika awamu tatu (3) kama ifuatavyo;
> 1: Kabla ya Uchaguzi: Kutenga bajeti, Elimu kwa Wapiga Kura, mafunzo kwa watendaji na uandikishaji wa Wapiga Kura
> 2: Wakati wa Uchaguzi: Uteuzi wa Wagombea, Kampeni za Uchaguzi, Upigaji Kura na kutangaza matokeo hufanyika kwa usimamizi wa Tume ya Uchaguzi (NEC)
> 3: Baada ya Uchaguzi: Hufanyika, tathmini ya Uchaguzi, mabadiliko ya sheria na uboreshaji wa daftari la wapiga kura
Soma > https://jamii.app/MfumoUchaguziTz
#Uchaguzi2020
AFRIKA KUSINI: WAFANYAKAZI WAANDAMANA KUPINGA UPOTEVU WA AJIRA NA UFISADI
> Chama kikubwa zaidi cha Wafanyakazi (COSATU) kimewataka wanachama wake zaidi ya Milioni 1 kutofanya kazi kufuatia madai mbalimbali ikiwemo kutoongezewa mishahara
Soma - https://jamii.app/SAWorkersProtest
> Chama kikubwa zaidi cha Wafanyakazi (COSATU) kimewataka wanachama wake zaidi ya Milioni 1 kutofanya kazi kufuatia madai mbalimbali ikiwemo kutoongezewa mishahara
Soma - https://jamii.app/SAWorkersProtest
WANAOISHI NA WAVUTA SIGARA HATARINI KUPATA MATATIZO
> Dkt. Fransis Furia(MUHAS) amesema, watoto wanaokaa na watu wanaotumia bidhaa za Tumbaku wako hatarini kupata Saratani
> Kwa mjamzito, husababisha mtoto kuzaliwa njiti au mimba kuharibika
Soma https://jamii.app/SigaraWatoto
> Dkt. Fransis Furia(MUHAS) amesema, watoto wanaokaa na watu wanaotumia bidhaa za Tumbaku wako hatarini kupata Saratani
> Kwa mjamzito, husababisha mtoto kuzaliwa njiti au mimba kuharibika
Soma https://jamii.app/SigaraWatoto