DKT. MAGUFULI: NIKICHAGULIWA, NITAPATA SHIDA KUMPATA WAZIRI WA ULINZI
> Amesema Waziri wa Ulinzi ana uwezo hata wa kupindua nchi kutokana na vifaa vyote kuwa chini yake
> Amesema ni vigumu kumpata mtu mwadilifu kama alivyokuwa Dkt. Mwinyi
Soma https://jamii.app/WaziriUlinziRais
#TZ2020
> Amesema Waziri wa Ulinzi ana uwezo hata wa kupindua nchi kutokana na vifaa vyote kuwa chini yake
> Amesema ni vigumu kumpata mtu mwadilifu kama alivyokuwa Dkt. Mwinyi
Soma https://jamii.app/WaziriUlinziRais
#TZ2020
ZITTO KABWE: LENGO LETU NI KUMSHINDA MAGUFULI
> Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo akiwa kwenye Kampeni Tandahimba amewaambia wananchi wamchague Mgombea wanayeona ana Nguvu za Kumshinda Dkt. Magufuli (CCM) na wala wasizigawe kura zao
Angalia https://youtu.be/nJYE7F1RC_8
#Uchaguzi2020
> Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo akiwa kwenye Kampeni Tandahimba amewaambia wananchi wamchague Mgombea wanayeona ana Nguvu za Kumshinda Dkt. Magufuli (CCM) na wala wasizigawe kura zao
Angalia https://youtu.be/nJYE7F1RC_8
#Uchaguzi2020
YouTube
Zitto Kabwe: Lengo letu ni kumshinda Magufuli, tukienda vibaya tutazigawa kura atapita katikati
Lengo letu ni kumshinda Magufuli, tukienda vibaya tutazigawa kura atapita katikati. Maelekezo yetu, chagueni mgombea mnaemuona ana nguvu za kumshinda Magufuli
QUEEN SENDIGA: TUTAHAKIKISHA KILA MVUVI ANAKUWA MVUVI BORA
> Mgombea Urais kupitia ADC amesema watahakikisha Mvuvi wa Kitanzania anakuwa Mvuvi bora kwa kupatiwa elimu ya Uvuvi, vitendea kazi bora na kuondolewa tozo zisizoendana na uwezo wake
Soma https://jamii.app/SendigaBagamoyo
#TZ2020
> Mgombea Urais kupitia ADC amesema watahakikisha Mvuvi wa Kitanzania anakuwa Mvuvi bora kwa kupatiwa elimu ya Uvuvi, vitendea kazi bora na kuondolewa tozo zisizoendana na uwezo wake
Soma https://jamii.app/SendigaBagamoyo
#TZ2020
CHINA YATOA CHANJO YA MAJARIBIO YA #COVID19
> Maelfu wametumia chanjo licha ya kwamba hatua ya 3 ya majaribio kuthibitisha ubora wake ilikuwa haijakamilika
> Maafisa wa Afya wanasema hatua hiyo imeidhinishwa na Shirika la Afya Duniani (WHO)
Soma https://jamii.app/CoronaVaccineCH
> Maelfu wametumia chanjo licha ya kwamba hatua ya 3 ya majaribio kuthibitisha ubora wake ilikuwa haijakamilika
> Maafisa wa Afya wanasema hatua hiyo imeidhinishwa na Shirika la Afya Duniani (WHO)
Soma https://jamii.app/CoronaVaccineCH
MICHEZO: YANGA SC YASITISHA MKATABA WAKE NA KOCHA ZLATKO KRMPOTIC
> Hatua hii imefikiwa kwa maafikiano baina ya pande zote mbili
> Mwalimu Zlatko Krmpotic alitangazwa rasmi kujiunga na Yanga SC mnamo 28 Agosti 2020
Soma > https://jamii.app/YangaVsZlatko
> Hatua hii imefikiwa kwa maafikiano baina ya pande zote mbili
> Mwalimu Zlatko Krmpotic alitangazwa rasmi kujiunga na Yanga SC mnamo 28 Agosti 2020
Soma > https://jamii.app/YangaVsZlatko
PROF. LIPUMBA: SERIKALI YA CUF ITAHAKIKISHA 50% YA SHULE ZA UMMA ZINATUMIA TEHAMA IFIKAPO 2025
> Akiwa Shinyanga, Mgombea huyo amesema hatua hiyo itawezesha wanafunzi kusoma Shule zitakapofungwa kwa dharura kama ilivyokuwa wakati wa #COVID19
Soma https://jamii.app/CUF-Elimu
#TZ2020
> Akiwa Shinyanga, Mgombea huyo amesema hatua hiyo itawezesha wanafunzi kusoma Shule zitakapofungwa kwa dharura kama ilivyokuwa wakati wa #COVID19
Soma https://jamii.app/CUF-Elimu
#TZ2020
DC ARUSHA: SITARAJII WANANCHI KUINGIA KATIKA MAANDAMANO YA UVUNJIFU WA AMANI
> Kenani Kihongosi ameonya wanaopanga kufanya maandamano kuacha mara moja ili kuepuka kupata matatizo
> Pia amesema, Serikali haitavumilia wenye mipango ovu
Soma https://jamii.app/AmaniArushaDC
#Uchaguzi2020
> Kenani Kihongosi ameonya wanaopanga kufanya maandamano kuacha mara moja ili kuepuka kupata matatizo
> Pia amesema, Serikali haitavumilia wenye mipango ovu
Soma https://jamii.app/AmaniArushaDC
#Uchaguzi2020
JAJI MUTUNGI: TUSIMAMIE HAKI ILI KUSIWE NA TAFRANI
> Msajili wa Vyama vya Siasa amevitaka Vyama vya Siasa na Wadau kuheshimu Sheria za Uchaguzi ili kuepuka migogoro
> Amewaomba kuimarisha Demokrasia kwa kufanya siasa kistaarabu
Soma https://jamii.app/JajiMutungi
#Uchaguzi2020
> Msajili wa Vyama vya Siasa amevitaka Vyama vya Siasa na Wadau kuheshimu Sheria za Uchaguzi ili kuepuka migogoro
> Amewaomba kuimarisha Demokrasia kwa kufanya siasa kistaarabu
Soma https://jamii.app/JajiMutungi
#Uchaguzi2020
ACT-WAZALENDO YAZINDUA ILANI YA UCHAGUZI YA ZANZIBAR
> Katiba ya Zanzibar imesaidia kutoa mwongozo wa Ilani hiyo yenye Sura 19
> Baadhi ya masuala yaliyomo katika Ilani ni Mamlaka ya Zanzibar, Muungano, Uongozi, Ulinzi na Usalama
Soma - https://jamii.app/IlaniACT-ZNZ
#Uchaguzi2020
> Katiba ya Zanzibar imesaidia kutoa mwongozo wa Ilani hiyo yenye Sura 19
> Baadhi ya masuala yaliyomo katika Ilani ni Mamlaka ya Zanzibar, Muungano, Uongozi, Ulinzi na Usalama
Soma - https://jamii.app/IlaniACT-ZNZ
#Uchaguzi2020
SIMANJIRO, MANYARA: BWENI LA SHULE YA SEKONDARI OLJORO LATEKETEA KWA MOTO
> Chanzo cha moto huo ulioteketeza bweni la wasichana na kusababisha uharibifu wa miundombinu pamoja na vifaa vya wanafunzi bado hakijafahamika
Soma - https://jamii.app/MotoShuleOljoro
> Chanzo cha moto huo ulioteketeza bweni la wasichana na kusababisha uharibifu wa miundombinu pamoja na vifaa vya wanafunzi bado hakijafahamika
Soma - https://jamii.app/MotoShuleOljoro
CHADEMA: LISSU HATOENDELEA NA MIKUTANO YA KAMPENI
> Mbowe amesema Lissu hatokosa cha kufanya ktk siku 7 kwasababu ni Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho
> CHADEMA itampangia programu mahususi na atafanya majukumu ya kijamii na kisiasa
Soma - https://jamii.app/TamkoCHADEMA
#Uchaguzi2020
> Mbowe amesema Lissu hatokosa cha kufanya ktk siku 7 kwasababu ni Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho
> CHADEMA itampangia programu mahususi na atafanya majukumu ya kijamii na kisiasa
Soma - https://jamii.app/TamkoCHADEMA
#Uchaguzi2020
MUOSHA HUOSHWA: BAADA YA KUIPIGA MAN. CITY 5-2, LEICESTER YAPIGWA 3-0 NA WEST HAM
- Leicester City ikiwa nyumbani (King Power Stadium) imekutana na kipigo cha 3-0 kutoka kwa West Ham katika mchezo wa mzunguko wa nne wa Ligi Kuu Soka England
- Katika mchezo mwingine, klabu ya Southampton imepata ushindi wa goli 2-0 dhidi ya West Brom
#Michezo #JFSports
- Leicester City ikiwa nyumbani (King Power Stadium) imekutana na kipigo cha 3-0 kutoka kwa West Ham katika mchezo wa mzunguko wa nne wa Ligi Kuu Soka England
- Katika mchezo mwingine, klabu ya Southampton imepata ushindi wa goli 2-0 dhidi ya West Brom
#Michezo #JFSports
MBOWE: CHADEMA INAMUUNGA MKONO MAALIM SEIF KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR
> Mwenyekiti wa Chama hicho amesema Mgombea wao, Said Issa Mohamed ameridhia kumuachia Maalim Seif awe Mgombea ambaye CHADEMA watamuunga mkono ktk Uchaguzi Mkuu wa Okt. 28
Soma - https://jamii.app/TamkoCHADEMA
#TZ2020
> Mwenyekiti wa Chama hicho amesema Mgombea wao, Said Issa Mohamed ameridhia kumuachia Maalim Seif awe Mgombea ambaye CHADEMA watamuunga mkono ktk Uchaguzi Mkuu wa Okt. 28
Soma - https://jamii.app/TamkoCHADEMA
#TZ2020
FAHAMU MAWAKALA WA UCHAGUZI KWA MUJIBU WA SHERIA
> Wakala wa Chama cha Siasa ktk Uchaguzi huteuliwa na Chama baada ya kupata ridhaa ya Mgombea
> Ili kuwa Wakala wa Uchaguzi, mtu anatakiwa awe na akili timamu, na umri wa miaka 18 na kuendelea
Soma https://jamii.app/MawakalaUchaguzi
#TZ2020
> Wakala wa Chama cha Siasa ktk Uchaguzi huteuliwa na Chama baada ya kupata ridhaa ya Mgombea
> Ili kuwa Wakala wa Uchaguzi, mtu anatakiwa awe na akili timamu, na umri wa miaka 18 na kuendelea
Soma https://jamii.app/MawakalaUchaguzi
#TZ2020
DHAHAMA: MAN. UTD YAKUNG’UTWA GOLI 6-1 OLD TRAFFORD
- Manchester United imejikuta katika wakati mgumu baada ya kufungwa goli 6-1 na Tottenham Hotspurs katika mchezo wa Ligi Kuu Soka England, mzunguko wa 4
- Man. Utd imefungwa magoli manne katika kipindi cha kwanza kwenye mchezo wa Premier League kwa mara ya kwanza. Huu ni mchezo wao wa 1,079 katika michuano hii
#JamiiForums #JFSports #JFMichezo #Michezo #Sports
- Manchester United imejikuta katika wakati mgumu baada ya kufungwa goli 6-1 na Tottenham Hotspurs katika mchezo wa Ligi Kuu Soka England, mzunguko wa 4
- Man. Utd imefungwa magoli manne katika kipindi cha kwanza kwenye mchezo wa Premier League kwa mara ya kwanza. Huu ni mchezo wao wa 1,079 katika michuano hii
#JamiiForums #JFSports #JFMichezo #Michezo #Sports
LIVERPOOL YAKUMBANA NA KIPIGO CHA ‘MBWA KOKO’ KUTOKA KWA ASTON VILLA
- Bingwa Mtetezi wa Ligi Kuu Soka England, Liverpool imekumbana na kipigo kizito cha goli 7-2 kutoka kwa Aston Villa katika mchezo wa Ligi hiyo
- Liverpool ni Bingwa Mtetezi wa kwanza wa Ligi Kuu Soka England kufungwa goli 7 katika mchezo mmoja wa Ligi hiyo tangu Arsenal ifungwe hivyo na Sunderland mnamo Septemba 1953
#JamiiForums #JFSports #JFMichezo #Sports #Michezo
- Bingwa Mtetezi wa Ligi Kuu Soka England, Liverpool imekumbana na kipigo kizito cha goli 7-2 kutoka kwa Aston Villa katika mchezo wa Ligi hiyo
- Liverpool ni Bingwa Mtetezi wa kwanza wa Ligi Kuu Soka England kufungwa goli 7 katika mchezo mmoja wa Ligi hiyo tangu Arsenal ifungwe hivyo na Sunderland mnamo Septemba 1953
#JamiiForums #JFSports #JFMichezo #Sports #Michezo
ATHARI ZA #COVID19: BENKI YA DUNIA YAHIMIZA NCHI MASIKINI KUSAMEHEWA MADENI
> Rais wa Benki hiyo amesema #COVID19 inaweza kusababisha changamoto ya kulipa madeni
> Wawekezaji watakiwa kuwa tayari kutoa misaada inayoweza kujumuisha madeni kufutwa
Soma https://jamii.app/CoronaDebtsWB
> Rais wa Benki hiyo amesema #COVID19 inaweza kusababisha changamoto ya kulipa madeni
> Wawekezaji watakiwa kuwa tayari kutoa misaada inayoweza kujumuisha madeni kufutwa
Soma https://jamii.app/CoronaDebtsWB
INDIA: MAOFISA 5 WA POLISI WAFUKUZWA KWA KUHARIBU USHAHIDI
> Wanatuhumiwa kuharibu ushahidi wa tukio la binti (19) kubakwa na kuuliwa na wanaume 4
> Waliuchoma mwili wa marehemu bila ridhaa ya familia na kuzuia Wanahabari kuongea na familia
Soma https://jamii.app/GangRapeIndia
> Wanatuhumiwa kuharibu ushahidi wa tukio la binti (19) kubakwa na kuuliwa na wanaume 4
> Waliuchoma mwili wa marehemu bila ridhaa ya familia na kuzuia Wanahabari kuongea na familia
Soma https://jamii.app/GangRapeIndia
MALEZI YA WATOTO NJITI: UTUNZAJI WA KANGARUU
> Utunzaji huu ulipewa jina la Kangaruu kwa kurejelea jinsi Mnyama Kangaruu wanavyowatunza ndama wake
> Njia hii ni bora ktk kuwatunza Watoto waliozaliwa chini ya wiki 37 za ujauzito na uzani wa chini
Soma > https://jamii.app/MaleziKangaruu
#WatotoNjiti
> Utunzaji huu ulipewa jina la Kangaruu kwa kurejelea jinsi Mnyama Kangaruu wanavyowatunza ndama wake
> Njia hii ni bora ktk kuwatunza Watoto waliozaliwa chini ya wiki 37 za ujauzito na uzani wa chini
Soma > https://jamii.app/MaleziKangaruu
#WatotoNjiti
SIKU YA MWALIMU: #COVID19 YATAJWA KUWAATHIRI WALIMU KISAIKOLOJIA
> Leo ni maadhimisho ya #WorldTeachersDay. Iliasisiwa na Shirika la UNESCO kwa kushirikiana na UNICEF na ILO
> Changamoto kubwa bado ni idadi kubwa ya wanafunzi kuliko Walimu
Soma https://jamii.app/TeachersDay
> Leo ni maadhimisho ya #WorldTeachersDay. Iliasisiwa na Shirika la UNESCO kwa kushirikiana na UNICEF na ILO
> Changamoto kubwa bado ni idadi kubwa ya wanafunzi kuliko Walimu
Soma https://jamii.app/TeachersDay