RAIS TRUMP AFIKISHWA HOSPITALI KWA HELIKOPTA
> Ni baada ya kupata #COVID19. Rais huyo amepewa kingamwili ya majaribio na alikuwa na uchovu
> Imesisitizwa kuwa, amefikishwa Hospitali kama tahadhari na ataendelea kufanya kazi kutoka hapo
Soma - https://jamii.app/TrumpHospCorona
> Ni baada ya kupata #COVID19. Rais huyo amepewa kingamwili ya majaribio na alikuwa na uchovu
> Imesisitizwa kuwa, amefikishwa Hospitali kama tahadhari na ataendelea kufanya kazi kutoka hapo
Soma - https://jamii.app/TrumpHospCorona
KENYA: CHAMA TAWALA CHAPENDEKEZA NAIBU RAIS KUFUTWA UONGOZI
> Jubilee kimependekeza William Ruto kuondolewa ktk nafasi yake kama Naibu Kiongozi wa Chama
> Katibu Mkuu wa Jubilee, amedai Ruto ni mjeuri, ana dharau na hamuheshimu Rais Kenyatta
Soma https://jamii.app/JubileeRutoKE
> Jubilee kimependekeza William Ruto kuondolewa ktk nafasi yake kama Naibu Kiongozi wa Chama
> Katibu Mkuu wa Jubilee, amedai Ruto ni mjeuri, ana dharau na hamuheshimu Rais Kenyatta
Soma https://jamii.app/JubileeRutoKE
KAMATI YA MAADILI: TAFSIRI YA KWAMBA LISSU AMEADHIBIWA NA NEC SIO SAHIHI
> Katibu wa Kamati ya Maadili ya Kitaifa amesema Lissu ameadhibiwa na Kamati ambayo inajumuisha wawakilishi wa vyama vya siasa vinavyoshiriki Uchaguzi wa Rais
Soma - https://jamii.app/KamatiMaadiliLissu
#Uchaguzi2020
> Katibu wa Kamati ya Maadili ya Kitaifa amesema Lissu ameadhibiwa na Kamati ambayo inajumuisha wawakilishi wa vyama vya siasa vinavyoshiriki Uchaguzi wa Rais
Soma - https://jamii.app/KamatiMaadiliLissu
#Uchaguzi2020
POLEPOLE: WAPINZANI HAWAONGEZEKI HADI CCM WAWE NA MGOGORO NDANI YA CHAMA
> Katibu Mwenezi wa CCM, Humphrey Polepole amesema awamu hii CCM haikuwa na migogoro ya ndani hivyo imekuwa ngumu kwa Upinzani kuongezeka
Soma https://jamii.app/UpinzaniCCM
#Uchaguzi2020
> Katibu Mwenezi wa CCM, Humphrey Polepole amesema awamu hii CCM haikuwa na migogoro ya ndani hivyo imekuwa ngumu kwa Upinzani kuongezeka
Soma https://jamii.app/UpinzaniCCM
#Uchaguzi2020
DKT. MWINYI: MUUNGANO UNALETA UMOJA WA KITAIFA
> Mgombea Urais Zanzibar kupitia CCM, Dkt. Hussein Mwinyi amesema, Muungano unaleta amani, utulivu na unatoa fursa kwa Wazanzibari kufanya biashara na kumiliki ardhi Tanzania Bara
Soma https://jamii.app/DktMwinyiMuungano
#Uchaguzi2020
> Mgombea Urais Zanzibar kupitia CCM, Dkt. Hussein Mwinyi amesema, Muungano unaleta amani, utulivu na unatoa fursa kwa Wazanzibari kufanya biashara na kumiliki ardhi Tanzania Bara
Soma https://jamii.app/DktMwinyiMuungano
#Uchaguzi2020
DKT. MAGUFULI: MIPAKA YA TANZANIA SIO YA KURITHI KWA WAKOLONI
> Amesema nchi nyingi za Afrika zina mipaka iliyowekwa na kipindi cha Ukoloni lakini Muungano wa #Tanganyika na #Zanzibar unaifanya #Tanzania kuwa nchi isiyo na mipaka ya kurithi
Soma https://jamii.app/TzMipakaUkoloni
#TZ2020
> Amesema nchi nyingi za Afrika zina mipaka iliyowekwa na kipindi cha Ukoloni lakini Muungano wa #Tanganyika na #Zanzibar unaifanya #Tanzania kuwa nchi isiyo na mipaka ya kurithi
Soma https://jamii.app/TzMipakaUkoloni
#TZ2020
DKT. MAGUFULI: NIKICHAGULIWA, NITAPATA SHIDA KUMPATA WAZIRI WA ULINZI
> Amesema Waziri wa Ulinzi ana uwezo hata wa kupindua nchi kutokana na vifaa vyote kuwa chini yake
> Amesema ni vigumu kumpata mtu mwadilifu kama alivyokuwa Dkt. Mwinyi
Soma https://jamii.app/WaziriUlinziRais
#TZ2020
> Amesema Waziri wa Ulinzi ana uwezo hata wa kupindua nchi kutokana na vifaa vyote kuwa chini yake
> Amesema ni vigumu kumpata mtu mwadilifu kama alivyokuwa Dkt. Mwinyi
Soma https://jamii.app/WaziriUlinziRais
#TZ2020
ZITTO KABWE: LENGO LETU NI KUMSHINDA MAGUFULI
> Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo akiwa kwenye Kampeni Tandahimba amewaambia wananchi wamchague Mgombea wanayeona ana Nguvu za Kumshinda Dkt. Magufuli (CCM) na wala wasizigawe kura zao
Angalia https://youtu.be/nJYE7F1RC_8
#Uchaguzi2020
> Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo akiwa kwenye Kampeni Tandahimba amewaambia wananchi wamchague Mgombea wanayeona ana Nguvu za Kumshinda Dkt. Magufuli (CCM) na wala wasizigawe kura zao
Angalia https://youtu.be/nJYE7F1RC_8
#Uchaguzi2020
YouTube
Zitto Kabwe: Lengo letu ni kumshinda Magufuli, tukienda vibaya tutazigawa kura atapita katikati
Lengo letu ni kumshinda Magufuli, tukienda vibaya tutazigawa kura atapita katikati. Maelekezo yetu, chagueni mgombea mnaemuona ana nguvu za kumshinda Magufuli
QUEEN SENDIGA: TUTAHAKIKISHA KILA MVUVI ANAKUWA MVUVI BORA
> Mgombea Urais kupitia ADC amesema watahakikisha Mvuvi wa Kitanzania anakuwa Mvuvi bora kwa kupatiwa elimu ya Uvuvi, vitendea kazi bora na kuondolewa tozo zisizoendana na uwezo wake
Soma https://jamii.app/SendigaBagamoyo
#TZ2020
> Mgombea Urais kupitia ADC amesema watahakikisha Mvuvi wa Kitanzania anakuwa Mvuvi bora kwa kupatiwa elimu ya Uvuvi, vitendea kazi bora na kuondolewa tozo zisizoendana na uwezo wake
Soma https://jamii.app/SendigaBagamoyo
#TZ2020
CHINA YATOA CHANJO YA MAJARIBIO YA #COVID19
> Maelfu wametumia chanjo licha ya kwamba hatua ya 3 ya majaribio kuthibitisha ubora wake ilikuwa haijakamilika
> Maafisa wa Afya wanasema hatua hiyo imeidhinishwa na Shirika la Afya Duniani (WHO)
Soma https://jamii.app/CoronaVaccineCH
> Maelfu wametumia chanjo licha ya kwamba hatua ya 3 ya majaribio kuthibitisha ubora wake ilikuwa haijakamilika
> Maafisa wa Afya wanasema hatua hiyo imeidhinishwa na Shirika la Afya Duniani (WHO)
Soma https://jamii.app/CoronaVaccineCH
MICHEZO: YANGA SC YASITISHA MKATABA WAKE NA KOCHA ZLATKO KRMPOTIC
> Hatua hii imefikiwa kwa maafikiano baina ya pande zote mbili
> Mwalimu Zlatko Krmpotic alitangazwa rasmi kujiunga na Yanga SC mnamo 28 Agosti 2020
Soma > https://jamii.app/YangaVsZlatko
> Hatua hii imefikiwa kwa maafikiano baina ya pande zote mbili
> Mwalimu Zlatko Krmpotic alitangazwa rasmi kujiunga na Yanga SC mnamo 28 Agosti 2020
Soma > https://jamii.app/YangaVsZlatko
PROF. LIPUMBA: SERIKALI YA CUF ITAHAKIKISHA 50% YA SHULE ZA UMMA ZINATUMIA TEHAMA IFIKAPO 2025
> Akiwa Shinyanga, Mgombea huyo amesema hatua hiyo itawezesha wanafunzi kusoma Shule zitakapofungwa kwa dharura kama ilivyokuwa wakati wa #COVID19
Soma https://jamii.app/CUF-Elimu
#TZ2020
> Akiwa Shinyanga, Mgombea huyo amesema hatua hiyo itawezesha wanafunzi kusoma Shule zitakapofungwa kwa dharura kama ilivyokuwa wakati wa #COVID19
Soma https://jamii.app/CUF-Elimu
#TZ2020
DC ARUSHA: SITARAJII WANANCHI KUINGIA KATIKA MAANDAMANO YA UVUNJIFU WA AMANI
> Kenani Kihongosi ameonya wanaopanga kufanya maandamano kuacha mara moja ili kuepuka kupata matatizo
> Pia amesema, Serikali haitavumilia wenye mipango ovu
Soma https://jamii.app/AmaniArushaDC
#Uchaguzi2020
> Kenani Kihongosi ameonya wanaopanga kufanya maandamano kuacha mara moja ili kuepuka kupata matatizo
> Pia amesema, Serikali haitavumilia wenye mipango ovu
Soma https://jamii.app/AmaniArushaDC
#Uchaguzi2020
JAJI MUTUNGI: TUSIMAMIE HAKI ILI KUSIWE NA TAFRANI
> Msajili wa Vyama vya Siasa amevitaka Vyama vya Siasa na Wadau kuheshimu Sheria za Uchaguzi ili kuepuka migogoro
> Amewaomba kuimarisha Demokrasia kwa kufanya siasa kistaarabu
Soma https://jamii.app/JajiMutungi
#Uchaguzi2020
> Msajili wa Vyama vya Siasa amevitaka Vyama vya Siasa na Wadau kuheshimu Sheria za Uchaguzi ili kuepuka migogoro
> Amewaomba kuimarisha Demokrasia kwa kufanya siasa kistaarabu
Soma https://jamii.app/JajiMutungi
#Uchaguzi2020
ACT-WAZALENDO YAZINDUA ILANI YA UCHAGUZI YA ZANZIBAR
> Katiba ya Zanzibar imesaidia kutoa mwongozo wa Ilani hiyo yenye Sura 19
> Baadhi ya masuala yaliyomo katika Ilani ni Mamlaka ya Zanzibar, Muungano, Uongozi, Ulinzi na Usalama
Soma - https://jamii.app/IlaniACT-ZNZ
#Uchaguzi2020
> Katiba ya Zanzibar imesaidia kutoa mwongozo wa Ilani hiyo yenye Sura 19
> Baadhi ya masuala yaliyomo katika Ilani ni Mamlaka ya Zanzibar, Muungano, Uongozi, Ulinzi na Usalama
Soma - https://jamii.app/IlaniACT-ZNZ
#Uchaguzi2020
SIMANJIRO, MANYARA: BWENI LA SHULE YA SEKONDARI OLJORO LATEKETEA KWA MOTO
> Chanzo cha moto huo ulioteketeza bweni la wasichana na kusababisha uharibifu wa miundombinu pamoja na vifaa vya wanafunzi bado hakijafahamika
Soma - https://jamii.app/MotoShuleOljoro
> Chanzo cha moto huo ulioteketeza bweni la wasichana na kusababisha uharibifu wa miundombinu pamoja na vifaa vya wanafunzi bado hakijafahamika
Soma - https://jamii.app/MotoShuleOljoro
CHADEMA: LISSU HATOENDELEA NA MIKUTANO YA KAMPENI
> Mbowe amesema Lissu hatokosa cha kufanya ktk siku 7 kwasababu ni Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho
> CHADEMA itampangia programu mahususi na atafanya majukumu ya kijamii na kisiasa
Soma - https://jamii.app/TamkoCHADEMA
#Uchaguzi2020
> Mbowe amesema Lissu hatokosa cha kufanya ktk siku 7 kwasababu ni Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho
> CHADEMA itampangia programu mahususi na atafanya majukumu ya kijamii na kisiasa
Soma - https://jamii.app/TamkoCHADEMA
#Uchaguzi2020
MUOSHA HUOSHWA: BAADA YA KUIPIGA MAN. CITY 5-2, LEICESTER YAPIGWA 3-0 NA WEST HAM
- Leicester City ikiwa nyumbani (King Power Stadium) imekutana na kipigo cha 3-0 kutoka kwa West Ham katika mchezo wa mzunguko wa nne wa Ligi Kuu Soka England
- Katika mchezo mwingine, klabu ya Southampton imepata ushindi wa goli 2-0 dhidi ya West Brom
#Michezo #JFSports
- Leicester City ikiwa nyumbani (King Power Stadium) imekutana na kipigo cha 3-0 kutoka kwa West Ham katika mchezo wa mzunguko wa nne wa Ligi Kuu Soka England
- Katika mchezo mwingine, klabu ya Southampton imepata ushindi wa goli 2-0 dhidi ya West Brom
#Michezo #JFSports
MBOWE: CHADEMA INAMUUNGA MKONO MAALIM SEIF KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR
> Mwenyekiti wa Chama hicho amesema Mgombea wao, Said Issa Mohamed ameridhia kumuachia Maalim Seif awe Mgombea ambaye CHADEMA watamuunga mkono ktk Uchaguzi Mkuu wa Okt. 28
Soma - https://jamii.app/TamkoCHADEMA
#TZ2020
> Mwenyekiti wa Chama hicho amesema Mgombea wao, Said Issa Mohamed ameridhia kumuachia Maalim Seif awe Mgombea ambaye CHADEMA watamuunga mkono ktk Uchaguzi Mkuu wa Okt. 28
Soma - https://jamii.app/TamkoCHADEMA
#TZ2020
FAHAMU MAWAKALA WA UCHAGUZI KWA MUJIBU WA SHERIA
> Wakala wa Chama cha Siasa ktk Uchaguzi huteuliwa na Chama baada ya kupata ridhaa ya Mgombea
> Ili kuwa Wakala wa Uchaguzi, mtu anatakiwa awe na akili timamu, na umri wa miaka 18 na kuendelea
Soma https://jamii.app/MawakalaUchaguzi
#TZ2020
> Wakala wa Chama cha Siasa ktk Uchaguzi huteuliwa na Chama baada ya kupata ridhaa ya Mgombea
> Ili kuwa Wakala wa Uchaguzi, mtu anatakiwa awe na akili timamu, na umri wa miaka 18 na kuendelea
Soma https://jamii.app/MawakalaUchaguzi
#TZ2020