MBEYA: DKT. MAGUFULI AMUOMBA KURA 'SUGU'
> Mgombea huyo amesema, "naomba kura kwa watu wote, hata Sugu ninamuomba kura"
> Ameongeza kuwa, Dhamira yake ni kuibadilisha Mbeya kabla muda wake haujaisha ili liwe Jiji la mfano kitaifa na kimataifa
Soma https://jamii.app/MagufuliSugu
#JFLeo
> Mgombea huyo amesema, "naomba kura kwa watu wote, hata Sugu ninamuomba kura"
> Ameongeza kuwa, Dhamira yake ni kuibadilisha Mbeya kabla muda wake haujaisha ili liwe Jiji la mfano kitaifa na kimataifa
Soma https://jamii.app/MagufuliSugu
#JFLeo
LISSU: HATUNA MASLAHI NA URAIS ZANZIBAR, NDIO MAANA TUNAMUUNGA MKONO MAALIM SEIF
> Tundu Lissu amesema hawatatangaza Muungano bali wataungana mkono ktk maeneo ambayo hawana maslahi
> Amesema hiyo haikatazwi kisheria kwa kuwa sio Muungano
Soma https://jamii.app/PoliticalCoalition
#JFLeo
> Tundu Lissu amesema hawatatangaza Muungano bali wataungana mkono ktk maeneo ambayo hawana maslahi
> Amesema hiyo haikatazwi kisheria kwa kuwa sio Muungano
Soma https://jamii.app/PoliticalCoalition
#JFLeo
DKT. MAGUFULI: HAMKUWA NA MBUNGE WA KUWASEMEA BALI MLIPATA MSANII
> Mgombea Urais wa JMT kupitia CCM amewaambia wananchi wa Mbeya kwamba hawakuwa na Mbunge wa kuwasemea bali walikuwa na Msanii (Sugu) ambaye sio mkali kama Diamond na Alikiba
Soma https://jamii.app/MagufuliSugu
#JFLeo
> Mgombea Urais wa JMT kupitia CCM amewaambia wananchi wa Mbeya kwamba hawakuwa na Mbunge wa kuwasemea bali walikuwa na Msanii (Sugu) ambaye sio mkali kama Diamond na Alikiba
Soma https://jamii.app/MagufuliSugu
#JFLeo
MAHAKAMA YA AFRIKA MASHARIKI YASEMA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR UPO KIHALALI
> Wanaharakati walifungua kesi kuhoji uhalali wa Muungano
> Kanuni ilitaka malalamiko yawasilishwe siku 60 tangu tukio lilipotokea lakini imeshapita miaka 56
Soma https://jamii.app/MuunganoTanzania
#JFLeo
> Wanaharakati walifungua kesi kuhoji uhalali wa Muungano
> Kanuni ilitaka malalamiko yawasilishwe siku 60 tangu tukio lilipotokea lakini imeshapita miaka 56
Soma https://jamii.app/MuunganoTanzania
#JFLeo
LISSU: KILA MTU ANA HAKI YA KULINDWA FARAGHA YAKE
> Amesema, #Katiba ya Tanzania inatamka wazi kuwa kila mtu ana haki ya kulindwa faragha yake
> Amesema, Maisha ya chumbani na mkeo au yeyote yule ni marufuku kwa Serikali kuchungulia
Soma https://jamii.app/PoliticalCoalition
#Uchaguzi2020
> Amesema, #Katiba ya Tanzania inatamka wazi kuwa kila mtu ana haki ya kulindwa faragha yake
> Amesema, Maisha ya chumbani na mkeo au yeyote yule ni marufuku kwa Serikali kuchungulia
Soma https://jamii.app/PoliticalCoalition
#Uchaguzi2020
SHIRIKA LA NDEGE LA QATAR AIRWAYS LAINGIA MAKUBALIANO NA AIR TANZANIA
> Abiria wataweza kusafiri kwa urahisi kati ya Afrika na Doha kwa kuunganisha na Asia, Pasifiki, Amerika, Ulaya na Mashariki ya Kati
Soma > https://jamii.app/AirTzVsQatarAir
#AirTanzania #QatarAirways #JFLeo
> Abiria wataweza kusafiri kwa urahisi kati ya Afrika na Doha kwa kuunganisha na Asia, Pasifiki, Amerika, Ulaya na Mashariki ya Kati
Soma > https://jamii.app/AirTzVsQatarAir
#AirTanzania #QatarAirways #JFLeo
KESI YA MTUHUMIWA WA MAUAJI YA KIMBARI RWANDA KUSIKILIZWA TANZANIA
> Mahakama ya Rufaa nchini Ufaransa imekubali Felicein Kabuga kushtakiwa Tanzania
> Kabuga alikamatwa baada ya kujificha kwa miaka 26. Anatuhumiwa kufadhili mauaji ya 1994
Soma https://jamii.app/KabugaKushtakiwa
#JFLeo
> Mahakama ya Rufaa nchini Ufaransa imekubali Felicein Kabuga kushtakiwa Tanzania
> Kabuga alikamatwa baada ya kujificha kwa miaka 26. Anatuhumiwa kufadhili mauaji ya 1994
Soma https://jamii.app/KabugaKushtakiwa
#JFLeo
PROF. LUHANGA ATEULIWA KUWA MWENYEKITI WA BARAZA LA CHUO KIKUU MZUMBE
> Rais Magufuli amemteua Prof. Matthew Luhanga kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu Mzumbe kwa Kipindi cha Pili
> Uteuzi huo unaanza Septemba 30, 2020
Soma https://jamii.app/LuhangaMwenyekiti
#JFLeo
> Rais Magufuli amemteua Prof. Matthew Luhanga kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu Mzumbe kwa Kipindi cha Pili
> Uteuzi huo unaanza Septemba 30, 2020
Soma https://jamii.app/LuhangaMwenyekiti
#JFLeo
LISSU: DUNIA HAIHITAJI TANZANIA ILA TANZANIA INAIHITAJI DUNIA
> Amesema bidhaa kama Dhahabu, Korosho na Chai zinaweza kupatikana ktk nchi nyingine hivyo, Serikali yake (CHADEMA) itahakikisha inashirikiana vyema na Mataifa mengine
Soma https://jamii.app/PoliticalCoalition
#TZ2020
> Amesema bidhaa kama Dhahabu, Korosho na Chai zinaweza kupatikana ktk nchi nyingine hivyo, Serikali yake (CHADEMA) itahakikisha inashirikiana vyema na Mataifa mengine
Soma https://jamii.app/PoliticalCoalition
#TZ2020
SIKU YA WAZEE DUNIANI: DUNIA NA JAMII TUWAJIBIKE KUWATUNZA WAZEE
> Oktoba 1 kila mwaka, ni Maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani inayotumiwa kutambua Ustawi wa Wazee
> Tanzania imefanikiwa kupunguza mauaji na kuboresha Huduma na Vituo vya Wazee
Soma https://jamii.app/SikuYaWazee
> Oktoba 1 kila mwaka, ni Maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani inayotumiwa kutambua Ustawi wa Wazee
> Tanzania imefanikiwa kupunguza mauaji na kuboresha Huduma na Vituo vya Wazee
Soma https://jamii.app/SikuYaWazee
MTU WA KWANZA KUTIBIWA UKIMWI, AFARIKI KWA SARATANI
> Raia wa Marekani, Timothy Ray Brown (54), alipata UKIMWI 1995, alipandikizwa Uboho (Bone Marrow) wa mtu aliyekuwa na kinga ya VVU
> Njia iliyotumika kumtibu ni ghali sana lakini ilileta tumaini Duniani
Soma https://jamii.app/UKIMWISaratani
> Raia wa Marekani, Timothy Ray Brown (54), alipata UKIMWI 1995, alipandikizwa Uboho (Bone Marrow) wa mtu aliyekuwa na kinga ya VVU
> Njia iliyotumika kumtibu ni ghali sana lakini ilileta tumaini Duniani
Soma https://jamii.app/UKIMWISaratani
ZANZIBAR: MAALIM SEIF AAHIDI MUUNGANO WA SERIKALI 3
> Akiwa Pemba, amewataka wananchi kumpa kura na kumuwezesha kuleta mabadiliko
> Pia, amesema akipewa ridhaa, atazungumza na Serikali ya Muungano kuhusu muundo wa Jeshi la Polisi
Soma - https://jamii.app/MaalimKampeniZNZ
#Uchaguzi2020
> Akiwa Pemba, amewataka wananchi kumpa kura na kumuwezesha kuleta mabadiliko
> Pia, amesema akipewa ridhaa, atazungumza na Serikali ya Muungano kuhusu muundo wa Jeshi la Polisi
Soma - https://jamii.app/MaalimKampeniZNZ
#Uchaguzi2020
DKT. MAGUFULI: SERIKALI IKO PAMOJA NA WAZEE
> Ktk kuadhimisha Siku ya Wazee(Oktoba 1) amesema, Serikali imehakikisha Wazee wanatibiwa bure kwenye hospitali za Serikali
> Changamoto chache zilizobaki watazishughulikia miaka 5 inayokuja
Soma https://jamii.app/MagufuliMbalizi
#Uchaguzi2020
> Ktk kuadhimisha Siku ya Wazee(Oktoba 1) amesema, Serikali imehakikisha Wazee wanatibiwa bure kwenye hospitali za Serikali
> Changamoto chache zilizobaki watazishughulikia miaka 5 inayokuja
Soma https://jamii.app/MagufuliMbalizi
#Uchaguzi2020
DAR: SERIKALI YAZINDUA CHUO CHA MAFUNZO YA ELIMU YA MICHEZO NA UKOCHA
> Chuo hicho cha Maendeleo ya Michezo kinatoa Stashahada ya Utawala na Uongozi ktk #Michezo na Stashahada ya Ukocha nchini kwa kuzingatia Mitaala iliyopitishwa Kimataifa
Soma https://jamii.app/ChuoMichezo
> Chuo hicho cha Maendeleo ya Michezo kinatoa Stashahada ya Utawala na Uongozi ktk #Michezo na Stashahada ya Ukocha nchini kwa kuzingatia Mitaala iliyopitishwa Kimataifa
Soma https://jamii.app/ChuoMichezo
UCHAGUZI MAREKANI: MIKE POMPEO AKATALIWA KUONANA NA PAPA FRANCIS
> Wanadiplomasia wa juu wa Vatican wamesema uamuzi huo umefikiwa kwasababu Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki aliweka wazi kuwa Wanasiasa hawatapokelewa kipindi cha Uchaguzi
Soma - https://jamii.app/PompeoVatican
> Wanadiplomasia wa juu wa Vatican wamesema uamuzi huo umefikiwa kwasababu Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki aliweka wazi kuwa Wanasiasa hawatapokelewa kipindi cha Uchaguzi
Soma - https://jamii.app/PompeoVatican
VYAMA VINAVYOTAKA KUUNGANA OKTOBA 03 VYATAKIWA KUACHA MPANGO HUO
> Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa amevitaka kutofanya hivyo kwasababu ni ukiukwaji wa Sheria
> Amesema, Ofisi yake imeshaviandikia barua vyama hivyo
Soma - https://jamii.app/MsajiliVyamaOkt3
#Uchaguzi2020
> Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa amevitaka kutofanya hivyo kwasababu ni ukiukwaji wa Sheria
> Amesema, Ofisi yake imeshaviandikia barua vyama hivyo
Soma - https://jamii.app/MsajiliVyamaOkt3
#Uchaguzi2020
DKT. MAGUFULI AAHIDI TSH. MILIONI 5 YA KUJENGEA MADARASA YA SHULE YA MSINGI ULANGA
> Ameahidi hela hiyo baada ya mwanafunzi aliyekuwa kwenye mkutano kutaja madarasa kuwa changamoto
> Amesema hakutoa palepale kuepuka rushwa ya Uchaguzi
Soma https://jamii.app/MagufuliTshMil5
#Uchaguzi2020
> Ameahidi hela hiyo baada ya mwanafunzi aliyekuwa kwenye mkutano kutaja madarasa kuwa changamoto
> Amesema hakutoa palepale kuepuka rushwa ya Uchaguzi
Soma https://jamii.app/MagufuliTshMil5
#Uchaguzi2020
π1
MAGANJA: TANZANIA INGEONGOZWA VIZURI TANGU UHURU BASI INGEKUWA UJERUMANI YA AFRIKA
> Mgombea Urais wa JMT kupitia NCCR, Yeremia Maganja amesema chanzo cha haya ni utekelezaji wa Azimio la Arusha ambao haukuzingatia mazingira ya watu wake
Soma - https://jamii.app/MgombeaNCCR
#Uchaguzi2020
> Mgombea Urais wa JMT kupitia NCCR, Yeremia Maganja amesema chanzo cha haya ni utekelezaji wa Azimio la Arusha ambao haukuzingatia mazingira ya watu wake
Soma - https://jamii.app/MgombeaNCCR
#Uchaguzi2020
GUINEA: VIKOSI VYA USALAMA VYALAUMIWA KUUA WATU 50 KATIKA MAANDAMANO
> Ripoti zinataja watu 50 kuuawa, 200 kujeruhiwa na 70 kuzuiliwa kinyume cha Sheria mwaka 2019
> Ni katika maandamano ya kupinga Rais Alpha CondΓ© kuongeza Muhula wa Tatu
Soma https://jamii.app/Maandamano50Guinea
> Ripoti zinataja watu 50 kuuawa, 200 kujeruhiwa na 70 kuzuiliwa kinyume cha Sheria mwaka 2019
> Ni katika maandamano ya kupinga Rais Alpha CondΓ© kuongeza Muhula wa Tatu
Soma https://jamii.app/Maandamano50Guinea
RAIS MAGUFULI AFUTA TOZO YA TSH. 50,000 KWA WAJAWAZITO WANAOCHELEWA KLINIKI
> Amesema kumekuwa na malalamiko dhidi ya kampeni ya Mama Kamandoo ya kuwatoza wajawazito wanaochelewa kujiandikisha kliniki Tsh. 50,000
> Amewataka Viongozi wa Serikali na Wizara ya Afya kusimamia utekelezaji wa agizo hilo kuhusu tozo
Angalia https://youtu.be/4OQ-dYNWxOI
#Uchaguzi2020
> Amesema kumekuwa na malalamiko dhidi ya kampeni ya Mama Kamandoo ya kuwatoza wajawazito wanaochelewa kujiandikisha kliniki Tsh. 50,000
> Amewataka Viongozi wa Serikali na Wizara ya Afya kusimamia utekelezaji wa agizo hilo kuhusu tozo
Angalia https://youtu.be/4OQ-dYNWxOI
#Uchaguzi2020
YouTube
Rais Magufuli: Marufuku kampeni ya βMama Komandooβ kuendelea
Asema wanawake wasisumbuliwe, waachwe wabebe mimba na kuzaa bila bughudha