SHERIA YA GHARAMA ZA UCHAGUZI NAMBA 6(2010)
> Kifungu cha 24 kifungu kidogo cha 4 kinaeleza kuwa; Iwapo Msajili wa Vyama vya Siasa ataridhika kuwa mgombea ambaye yeye mwenyewe, wakala wake au chama chake cha siasa kimefanya vitendo vilivyokatazwa na Sheria ambapo kwa hilo mgombea huyo au chama chake kimepoteza sifa ya kushiriki kwenye mchakato wa uteuzi, msajili atafanya yafuatayo:
> (a) Kama ni mgombea, Msajili atakitaarifu chama chake kuteua mgombea mwingine kama mbadala wa huyo aliyekosa sifa
> (c) Kama ni chama, Msajili atakitaarifu chama hicho kuwa kimezuiliwa kumdhamini mgombea ndani ya Kata, Jimbo au nafasi ya Urais
Soma > https://jamii.app/UchaguziGharama
#KemeaRushwa #Uchaguzi2020
> Kifungu cha 24 kifungu kidogo cha 4 kinaeleza kuwa; Iwapo Msajili wa Vyama vya Siasa ataridhika kuwa mgombea ambaye yeye mwenyewe, wakala wake au chama chake cha siasa kimefanya vitendo vilivyokatazwa na Sheria ambapo kwa hilo mgombea huyo au chama chake kimepoteza sifa ya kushiriki kwenye mchakato wa uteuzi, msajili atafanya yafuatayo:
> (a) Kama ni mgombea, Msajili atakitaarifu chama chake kuteua mgombea mwingine kama mbadala wa huyo aliyekosa sifa
> (c) Kama ni chama, Msajili atakitaarifu chama hicho kuwa kimezuiliwa kumdhamini mgombea ndani ya Kata, Jimbo au nafasi ya Urais
Soma > https://jamii.app/UchaguziGharama
#KemeaRushwa #Uchaguzi2020
NJOMBE: DKT. MAGUFULI NA WAGOMBEA WA CCM WAPIGA MAGOTI KUOMBA KURA
> Walifanya hivyo baada ya Mwenyekiti wa CCM Wilaya kusema kuwa kwa tamaduni za Njombe ni kawaida watu kuomba vitu wakiwa wamepiga magoti
Fuatilia > https://youtu.be/ZUfImtTVRww
#Uchaguzi2020 #TZ2020 #JamiiForums #JFLeo
> Walifanya hivyo baada ya Mwenyekiti wa CCM Wilaya kusema kuwa kwa tamaduni za Njombe ni kawaida watu kuomba vitu wakiwa wamepiga magoti
Fuatilia > https://youtu.be/ZUfImtTVRww
#Uchaguzi2020 #TZ2020 #JamiiForums #JFLeo
YouTube
Njombe: Dkt. Magufuli (CCM) apiga kura kuomba kura kuwa Rais wa Tanzania
SIASA SIO UADUI, LEMA NA GAMBO WAPIGA PICHA YA PAMOJA
> Wagombea Ubunge Jimbo la Arusha Mjini, Mrisho Gambo (CCM) na Godbless Lema (CHADEMA) wamepiga picha ya pamoja
> Tukio hili linadhihirisha Siasa sio sababu ya kuchukiana au kutoana uhai
Soma https://jamii.app/SiasaSioUadui
#JFSiasa
> Wagombea Ubunge Jimbo la Arusha Mjini, Mrisho Gambo (CCM) na Godbless Lema (CHADEMA) wamepiga picha ya pamoja
> Tukio hili linadhihirisha Siasa sio sababu ya kuchukiana au kutoana uhai
Soma https://jamii.app/SiasaSioUadui
#JFSiasa
KATIBU MKUU WA UN: HATUTAKIWI KUYASAHAU MAISHA YA MTU ALIYETUTOKA
> Antonio Guterres: Dunia haitakiwi kuyasahau maisha ya hata mtu mmoja aliyefariki kutokana na #COVID19
> Hadi sasa vifo vinavyotokana na #CoronaVirus vimezidi watu milioni 1
Soma > https://jamii.app/GuterresCovid19
> Antonio Guterres: Dunia haitakiwi kuyasahau maisha ya hata mtu mmoja aliyefariki kutokana na #COVID19
> Hadi sasa vifo vinavyotokana na #CoronaVirus vimezidi watu milioni 1
Soma > https://jamii.app/GuterresCovid19
LIJUE GEREZA AMBALO WAFUNGWA WANAJITAFUTIA CHAKULA
> Gereza la Sanganer lililopo India hutoa sehemu ya kulala tu kwa wafungwa, nao hulazimika kufanya kazi ili kupata mahitaji ya kila siku
> Wanaharakati wanataka magereza kama hayo yaongezeke
Soma https://jamii.app/GerezaSanganer
#JFLeo
> Gereza la Sanganer lililopo India hutoa sehemu ya kulala tu kwa wafungwa, nao hulazimika kufanya kazi ili kupata mahitaji ya kila siku
> Wanaharakati wanataka magereza kama hayo yaongezeke
Soma https://jamii.app/GerezaSanganer
#JFLeo
PROF. LIPUMBA: MAZINGIRA YA KUFANYIA BIASHARA NI MAGUMU SANA TANZANIA
> Amesema ni kwa mujibu wa Ripoti ya Benki ya Dunia ya Mazingira ya Kufanya Biashara ya mwaka 2020 ambapo Tanzania ni ya 141 kati ya nchi 190
Soma > https://jamii.app/LipumbaBiasharaTz
#Uchaguzi2020 #TZ2020 #JamiiForums
> Amesema ni kwa mujibu wa Ripoti ya Benki ya Dunia ya Mazingira ya Kufanya Biashara ya mwaka 2020 ambapo Tanzania ni ya 141 kati ya nchi 190
Soma > https://jamii.app/LipumbaBiasharaTz
#Uchaguzi2020 #TZ2020 #JamiiForums
NEC: WENYE MAHITAJI MAALUM WAMEANDALIWA MAZINGIRA RAFIKI KUSHIRIKI UCHAGUZI
> Watu hao ni Wajawazito, Wanaonyonyesha, Wazee na Walemavu
> Aidha, Wasioona (Wasiotumia Nukta Nundu) na wasiojua kusoma wanaruhusiwa kuwa na wanayemuamini
Soma https://jamii.app/WalemavuUchaguzi
#TZ2020
> Watu hao ni Wajawazito, Wanaonyonyesha, Wazee na Walemavu
> Aidha, Wasioona (Wasiotumia Nukta Nundu) na wasiojua kusoma wanaruhusiwa kuwa na wanayemuamini
Soma https://jamii.app/WalemavuUchaguzi
#TZ2020
SEPTEMBA 30, SIKU YA KIMATAIFA YA KUFASIRI
> UN inatambua umuhimu wa kufasiri ktk kuleta mataifa pamoja
> Tamko la Haki za Binadamu Duniani linashikilia rekodi ya kuwa nyaraka iliyofasiriwa zaidi
Soma https://jamii.app/InternationalTranslationDay
#JFLeo
> UN inatambua umuhimu wa kufasiri ktk kuleta mataifa pamoja
> Tamko la Haki za Binadamu Duniani linashikilia rekodi ya kuwa nyaraka iliyofasiriwa zaidi
Soma https://jamii.app/InternationalTranslationDay
#JFLeo
MBEYA: DKT. MAGUFULI AMUOMBA KURA 'SUGU'
> Mgombea huyo amesema, "naomba kura kwa watu wote, hata Sugu ninamuomba kura"
> Ameongeza kuwa, Dhamira yake ni kuibadilisha Mbeya kabla muda wake haujaisha ili liwe Jiji la mfano kitaifa na kimataifa
Soma https://jamii.app/MagufuliSugu
#JFLeo
> Mgombea huyo amesema, "naomba kura kwa watu wote, hata Sugu ninamuomba kura"
> Ameongeza kuwa, Dhamira yake ni kuibadilisha Mbeya kabla muda wake haujaisha ili liwe Jiji la mfano kitaifa na kimataifa
Soma https://jamii.app/MagufuliSugu
#JFLeo
LISSU: HATUNA MASLAHI NA URAIS ZANZIBAR, NDIO MAANA TUNAMUUNGA MKONO MAALIM SEIF
> Tundu Lissu amesema hawatatangaza Muungano bali wataungana mkono ktk maeneo ambayo hawana maslahi
> Amesema hiyo haikatazwi kisheria kwa kuwa sio Muungano
Soma https://jamii.app/PoliticalCoalition
#JFLeo
> Tundu Lissu amesema hawatatangaza Muungano bali wataungana mkono ktk maeneo ambayo hawana maslahi
> Amesema hiyo haikatazwi kisheria kwa kuwa sio Muungano
Soma https://jamii.app/PoliticalCoalition
#JFLeo
DKT. MAGUFULI: HAMKUWA NA MBUNGE WA KUWASEMEA BALI MLIPATA MSANII
> Mgombea Urais wa JMT kupitia CCM amewaambia wananchi wa Mbeya kwamba hawakuwa na Mbunge wa kuwasemea bali walikuwa na Msanii (Sugu) ambaye sio mkali kama Diamond na Alikiba
Soma https://jamii.app/MagufuliSugu
#JFLeo
> Mgombea Urais wa JMT kupitia CCM amewaambia wananchi wa Mbeya kwamba hawakuwa na Mbunge wa kuwasemea bali walikuwa na Msanii (Sugu) ambaye sio mkali kama Diamond na Alikiba
Soma https://jamii.app/MagufuliSugu
#JFLeo
MAHAKAMA YA AFRIKA MASHARIKI YASEMA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR UPO KIHALALI
> Wanaharakati walifungua kesi kuhoji uhalali wa Muungano
> Kanuni ilitaka malalamiko yawasilishwe siku 60 tangu tukio lilipotokea lakini imeshapita miaka 56
Soma https://jamii.app/MuunganoTanzania
#JFLeo
> Wanaharakati walifungua kesi kuhoji uhalali wa Muungano
> Kanuni ilitaka malalamiko yawasilishwe siku 60 tangu tukio lilipotokea lakini imeshapita miaka 56
Soma https://jamii.app/MuunganoTanzania
#JFLeo
LISSU: KILA MTU ANA HAKI YA KULINDWA FARAGHA YAKE
> Amesema, #Katiba ya Tanzania inatamka wazi kuwa kila mtu ana haki ya kulindwa faragha yake
> Amesema, Maisha ya chumbani na mkeo au yeyote yule ni marufuku kwa Serikali kuchungulia
Soma https://jamii.app/PoliticalCoalition
#Uchaguzi2020
> Amesema, #Katiba ya Tanzania inatamka wazi kuwa kila mtu ana haki ya kulindwa faragha yake
> Amesema, Maisha ya chumbani na mkeo au yeyote yule ni marufuku kwa Serikali kuchungulia
Soma https://jamii.app/PoliticalCoalition
#Uchaguzi2020
SHIRIKA LA NDEGE LA QATAR AIRWAYS LAINGIA MAKUBALIANO NA AIR TANZANIA
> Abiria wataweza kusafiri kwa urahisi kati ya Afrika na Doha kwa kuunganisha na Asia, Pasifiki, Amerika, Ulaya na Mashariki ya Kati
Soma > https://jamii.app/AirTzVsQatarAir
#AirTanzania #QatarAirways #JFLeo
> Abiria wataweza kusafiri kwa urahisi kati ya Afrika na Doha kwa kuunganisha na Asia, Pasifiki, Amerika, Ulaya na Mashariki ya Kati
Soma > https://jamii.app/AirTzVsQatarAir
#AirTanzania #QatarAirways #JFLeo
KESI YA MTUHUMIWA WA MAUAJI YA KIMBARI RWANDA KUSIKILIZWA TANZANIA
> Mahakama ya Rufaa nchini Ufaransa imekubali Felicein Kabuga kushtakiwa Tanzania
> Kabuga alikamatwa baada ya kujificha kwa miaka 26. Anatuhumiwa kufadhili mauaji ya 1994
Soma https://jamii.app/KabugaKushtakiwa
#JFLeo
> Mahakama ya Rufaa nchini Ufaransa imekubali Felicein Kabuga kushtakiwa Tanzania
> Kabuga alikamatwa baada ya kujificha kwa miaka 26. Anatuhumiwa kufadhili mauaji ya 1994
Soma https://jamii.app/KabugaKushtakiwa
#JFLeo
PROF. LUHANGA ATEULIWA KUWA MWENYEKITI WA BARAZA LA CHUO KIKUU MZUMBE
> Rais Magufuli amemteua Prof. Matthew Luhanga kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu Mzumbe kwa Kipindi cha Pili
> Uteuzi huo unaanza Septemba 30, 2020
Soma https://jamii.app/LuhangaMwenyekiti
#JFLeo
> Rais Magufuli amemteua Prof. Matthew Luhanga kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu Mzumbe kwa Kipindi cha Pili
> Uteuzi huo unaanza Septemba 30, 2020
Soma https://jamii.app/LuhangaMwenyekiti
#JFLeo
LISSU: DUNIA HAIHITAJI TANZANIA ILA TANZANIA INAIHITAJI DUNIA
> Amesema bidhaa kama Dhahabu, Korosho na Chai zinaweza kupatikana ktk nchi nyingine hivyo, Serikali yake (CHADEMA) itahakikisha inashirikiana vyema na Mataifa mengine
Soma https://jamii.app/PoliticalCoalition
#TZ2020
> Amesema bidhaa kama Dhahabu, Korosho na Chai zinaweza kupatikana ktk nchi nyingine hivyo, Serikali yake (CHADEMA) itahakikisha inashirikiana vyema na Mataifa mengine
Soma https://jamii.app/PoliticalCoalition
#TZ2020
SIKU YA WAZEE DUNIANI: DUNIA NA JAMII TUWAJIBIKE KUWATUNZA WAZEE
> Oktoba 1 kila mwaka, ni Maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani inayotumiwa kutambua Ustawi wa Wazee
> Tanzania imefanikiwa kupunguza mauaji na kuboresha Huduma na Vituo vya Wazee
Soma https://jamii.app/SikuYaWazee
> Oktoba 1 kila mwaka, ni Maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani inayotumiwa kutambua Ustawi wa Wazee
> Tanzania imefanikiwa kupunguza mauaji na kuboresha Huduma na Vituo vya Wazee
Soma https://jamii.app/SikuYaWazee
MTU WA KWANZA KUTIBIWA UKIMWI, AFARIKI KWA SARATANI
> Raia wa Marekani, Timothy Ray Brown (54), alipata UKIMWI 1995, alipandikizwa Uboho (Bone Marrow) wa mtu aliyekuwa na kinga ya VVU
> Njia iliyotumika kumtibu ni ghali sana lakini ilileta tumaini Duniani
Soma https://jamii.app/UKIMWISaratani
> Raia wa Marekani, Timothy Ray Brown (54), alipata UKIMWI 1995, alipandikizwa Uboho (Bone Marrow) wa mtu aliyekuwa na kinga ya VVU
> Njia iliyotumika kumtibu ni ghali sana lakini ilileta tumaini Duniani
Soma https://jamii.app/UKIMWISaratani
ZANZIBAR: MAALIM SEIF AAHIDI MUUNGANO WA SERIKALI 3
> Akiwa Pemba, amewataka wananchi kumpa kura na kumuwezesha kuleta mabadiliko
> Pia, amesema akipewa ridhaa, atazungumza na Serikali ya Muungano kuhusu muundo wa Jeshi la Polisi
Soma - https://jamii.app/MaalimKampeniZNZ
#Uchaguzi2020
> Akiwa Pemba, amewataka wananchi kumpa kura na kumuwezesha kuleta mabadiliko
> Pia, amesema akipewa ridhaa, atazungumza na Serikali ya Muungano kuhusu muundo wa Jeshi la Polisi
Soma - https://jamii.app/MaalimKampeniZNZ
#Uchaguzi2020