BILIONEA AGAWA MALI ZOTE ILI AISHI MAISHA YA KAWAIDA
> Charles Feeney alianzisha Atlantic Philanthropies Foundation na ametoa Dola bilioni 8 sawa na Tsh. trilioni 18.56
> Hivi sasa anaishi kwenye nyumba ya vyumba viwili na Mkewe huko San Francisco
Soma https://jamii.app/BilioneaHelaHai
#JFLeo
> Charles Feeney alianzisha Atlantic Philanthropies Foundation na ametoa Dola bilioni 8 sawa na Tsh. trilioni 18.56
> Hivi sasa anaishi kwenye nyumba ya vyumba viwili na Mkewe huko San Francisco
Soma https://jamii.app/BilioneaHelaHai
#JFLeo
LISSU: NITABADILI KATIBA ILI WABUNGE WAWE NA MAAMUZI JUU YA FEDHA ZA SERIKALI
> Tundu Lissu amesema kwa Katiba ya sasa mamlaka juu ya maamuzi ya fedha yapo kwa Rais
> Amesema hali hiyo inawafanya Wabunge wawe omba omba kwa Rais
Soma https://jamii.app/LissuKatibaMpya
#Uchaguzi2020
> Tundu Lissu amesema kwa Katiba ya sasa mamlaka juu ya maamuzi ya fedha yapo kwa Rais
> Amesema hali hiyo inawafanya Wabunge wawe omba omba kwa Rais
Soma https://jamii.app/LissuKatibaMpya
#Uchaguzi2020
WAZIRI WA ARDHI ZANZIBAR ATOA WITO KWA WANAWAKE KUWALINDA WATOTO DHIDI YA #COVID19
> Salama Aboud Talib ni miongoni mwa watu waliopata virusi hivyo na kulazwa
> Amesema ni muhimu kuchukua tahadhari ili kuhakikisha gonjwa hilo halitorejea tena
Soma https://jamii.app/ZnzCOVID19Women
#JFLeo
> Salama Aboud Talib ni miongoni mwa watu waliopata virusi hivyo na kulazwa
> Amesema ni muhimu kuchukua tahadhari ili kuhakikisha gonjwa hilo halitorejea tena
Soma https://jamii.app/ZnzCOVID19Women
#JFLeo
MDAU: SERIKALI FUNGENI SHULE ZA MSINGI ZA BWENI. NI UZEMBE WA MALEZI
> Anasema hakuna sababu ya kumpeleka Mtoto wa Shule ya Msingi shule bweni
> Umri wa miaka 6 hadi 13 ni umri wa kujifunza na kupata tabia pamoja na ulinzi maalumu kutoka kwa Wazazi. Vyote hivi hatavipata shuleni
Soma > https://jamii.app/WatotoShuleBweni
> Anasema hakuna sababu ya kumpeleka Mtoto wa Shule ya Msingi shule bweni
> Umri wa miaka 6 hadi 13 ni umri wa kujifunza na kupata tabia pamoja na ulinzi maalumu kutoka kwa Wazazi. Vyote hivi hatavipata shuleni
Soma > https://jamii.app/WatotoShuleBweni
DAR: BINTI WA MIAKA 25 AKAMATWA NA GRAMU 448.12 ZA HEROINE
> Maria Edson Mtambo amekamatwa akiwa maeneo ya Tegeta Kwa Ndevu
> Alizificha ndani ya vifurushi viwili vya vitabu akijiandaa kuvisafirisha kwenda India kwa mpenzi wake
Soma > https://jamii.app/BintiHeroinDar
#JFLeo #Heroine
> Maria Edson Mtambo amekamatwa akiwa maeneo ya Tegeta Kwa Ndevu
> Alizificha ndani ya vifurushi viwili vya vitabu akijiandaa kuvisafirisha kwenda India kwa mpenzi wake
Soma > https://jamii.app/BintiHeroinDar
#JFLeo #Heroine
UTEUZI: RAIS MAGUFULI AMEMTEUA DKT. MJINGO KUWA MKURUGENZI MKUU TAWIRI
> Kabla ya Uteuzi huu, alikuwa Mkuu wa Kitengo cha Tiba za Wanyamapori na Huduma za Maabara wa TAWIRI
> Anachukua nafasi ya Dkt. Mduma ambaye amestaafu
Soma > https://jamii.app/UteuziTAWIRI
#JamiiForums #JFLeo
> Kabla ya Uteuzi huu, alikuwa Mkuu wa Kitengo cha Tiba za Wanyamapori na Huduma za Maabara wa TAWIRI
> Anachukua nafasi ya Dkt. Mduma ambaye amestaafu
Soma > https://jamii.app/UteuziTAWIRI
#JamiiForums #JFLeo
RUKWA: WAPIGA KURA WADAIWA KUUZA KADI ZAO
> Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Sumbawanga Mjini amesema baadhi ya wananchi wanauza kadi za kupigia kura kisirisiri
> Amewatahadharisha kuhusu kitendo hicho ambacho ni Kinyume cha Sheria
Soma https://jamii.app/RukwaVitambulisho
#TZ2020
> Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Sumbawanga Mjini amesema baadhi ya wananchi wanauza kadi za kupigia kura kisirisiri
> Amewatahadharisha kuhusu kitendo hicho ambacho ni Kinyume cha Sheria
Soma https://jamii.app/RukwaVitambulisho
#TZ2020
UN: AFRIKA INAPOTEZA TSH. TRILIONI 206.521 KWA MWAKA KWA UHUJUMU UCHUMI
> Fedha zinazopotea ni zaidi ya fedha za misaada zinazopokelewa Afrika
> Nusu ya fedha hizo ni mapato ya bidhaa zinazouzwa nje kama Dhahabu, Almasi na Madini ya Platinum
Soma https://jamii.app/AfrikaFedhaUhujumu
#JFLeo
> Fedha zinazopotea ni zaidi ya fedha za misaada zinazopokelewa Afrika
> Nusu ya fedha hizo ni mapato ya bidhaa zinazouzwa nje kama Dhahabu, Almasi na Madini ya Platinum
Soma https://jamii.app/AfrikaFedhaUhujumu
#JFLeo
TANZIA: SAID MABERA WA MSONDO NGOMA AFARIKI DUNIA, ATAZIKWA LEO SAA 10 ALASIRI
> Gwiji huyo wa kupiga Gitaa la Solo amefariki dunia usiku wa kuamkia leo baada ya kuugua kwa muda wa zaidi ya miezi 2
> Alijiunga na Msondo Ngoma mwaka 1973
Soma https://jamii.app/RIPMabela
#RIPMabera
> Gwiji huyo wa kupiga Gitaa la Solo amefariki dunia usiku wa kuamkia leo baada ya kuugua kwa muda wa zaidi ya miezi 2
> Alijiunga na Msondo Ngoma mwaka 1973
Soma https://jamii.app/RIPMabela
#RIPMabera
NJOMBE: MAKADA 3 WA CHADEMA WASHIKILIWA KWA TUHUMA ZA MAUAJI
> Makada hao ni Tadei Mwanyika, George Sanga, Optatus Mkwera wakishirikiana na Goodluck Mfuse (Dalali wa Magari) ambao wanatuhumiwa kumuua Emmanuel Mlelwa (UVCCM) Iringa
Soma https://jamii.app/CHADEMAMauajiUVCCM
#JFLeo
> Makada hao ni Tadei Mwanyika, George Sanga, Optatus Mkwera wakishirikiana na Goodluck Mfuse (Dalali wa Magari) ambao wanatuhumiwa kumuua Emmanuel Mlelwa (UVCCM) Iringa
Soma https://jamii.app/CHADEMAMauajiUVCCM
#JFLeo
MDAU: UKIAMUA KUJIAJIRI NI LAZIMA UWE NA NIDHAMU YA KAZI ZAIDI YA ULIVYOKUWA UMEAJIRIWA
> Anasema, kuna watu wanadhani kuajiriwa ni utumwa na kutokana na uzembe wanaona ni bora wawe na biashara ili waweze kuamka saa 5 asubuhi
> Kama bosi utatakiwa kuwa mfano wa kutunza muda, mazingira na kuonesha vile ambavyo unahitaji wafanyakazi wako wawe. Hii inahitajika nidhamu zaidi kuliko ile ya mtu aliyeajiriwa
Soma https://jamii.app/NidhamuKujiajiri
#JFBiashara
> Anasema, kuna watu wanadhani kuajiriwa ni utumwa na kutokana na uzembe wanaona ni bora wawe na biashara ili waweze kuamka saa 5 asubuhi
> Kama bosi utatakiwa kuwa mfano wa kutunza muda, mazingira na kuonesha vile ambavyo unahitaji wafanyakazi wako wawe. Hii inahitajika nidhamu zaidi kuliko ile ya mtu aliyeajiriwa
Soma https://jamii.app/NidhamuKujiajiri
#JFBiashara
FAHAMU CHANGAMOTO ZINAZOMKABILI MTOTO NJITI
> Mtoto Njiti anaweza kuwa na changamoto ya kupumua hivyo punde tu baada ya kuzaliwa, anatakiwa kupatiwa huduma ya upumuaji
> Hawezi kuhimili baridi hivyo lazima ahifadhiwe kwenye chumba chenye joto la kutosha
> Wana hatari kubwa ya kupata maambukizi kwasababu kinga yao ya mwili haijakomaa
Soma - https://jamii.app/WatotoNjiti
#JFAfya
> Mtoto Njiti anaweza kuwa na changamoto ya kupumua hivyo punde tu baada ya kuzaliwa, anatakiwa kupatiwa huduma ya upumuaji
> Hawezi kuhimili baridi hivyo lazima ahifadhiwe kwenye chumba chenye joto la kutosha
> Wana hatari kubwa ya kupata maambukizi kwasababu kinga yao ya mwili haijakomaa
Soma - https://jamii.app/WatotoNjiti
#JFAfya
DKT. MAGUFULI AAHIDI KUJENGA UWANJA WA NDEGE NJOMBE
> Mgombea huyo wa Urais amesema, watu wa Njombe ni wakulima wazuri hivyo watatumia ndege hizo kusafirisha ulanzi
> Pia, amesema atakamilisha ujenzi wa Hospitali ya Rufaa Njombe
Soma https://jamii.app/MagufuliMakambako
#Uchaguzi2020
> Mgombea huyo wa Urais amesema, watu wa Njombe ni wakulima wazuri hivyo watatumia ndege hizo kusafirisha ulanzi
> Pia, amesema atakamilisha ujenzi wa Hospitali ya Rufaa Njombe
Soma https://jamii.app/MagufuliMakambako
#Uchaguzi2020
#ZIMBABWE: UPINZANI WADAIWA KUSHIRIKIANA NA NCHI ZA MAGHARIBI KUMPINDUA RAIS MNANGAGWA
> Waziri wa Usalama wa Kitaifa amedai wapinzani nchini humo wanashirikiana na nchi za Magharibi kuingiza silaha kimagendo ili kumuondoa Madarakani Rais wao
Soma https://jamii.app/UasiZimbabwe
#JFLeo
> Waziri wa Usalama wa Kitaifa amedai wapinzani nchini humo wanashirikiana na nchi za Magharibi kuingiza silaha kimagendo ili kumuondoa Madarakani Rais wao
Soma https://jamii.app/UasiZimbabwe
#JFLeo
SIKU YA KIMATAIFA YA UELIMISHAJI KUHUSU UPOTEVU WA CHAKULA
> FAO inakadiria hasara ya Tsh. Trilioni 9.28 kila mwaka kwa nchi za Afrika kutokana na upotevu wa chakula
> Upotevu huo hutokana na namna duni ya kuhifadhi chakula kisichokaa muda mrefu
Soma https://jamii.app/ChakulaUN
#JFLeo
> FAO inakadiria hasara ya Tsh. Trilioni 9.28 kila mwaka kwa nchi za Afrika kutokana na upotevu wa chakula
> Upotevu huo hutokana na namna duni ya kuhifadhi chakula kisichokaa muda mrefu
Soma https://jamii.app/ChakulaUN
#JFLeo
UMUHIMU WA KUPIGA KURA KWENYE NCHI YA KIDEMOKRASIA
> Uzuri wa Demokrasia ni pale wale wanaoonekana wachache kupata nafasi ya kufanya maamuzi yao kwa kura
> Demokrasia iliyo hai inaonekana pale Wananchi wanaposhuhudia Serikali waliyoipigia kura inavyoendesha nchi
Soma > https://jamii.app/UmuhimuKupigaKura
#Uchaguzi2020
> Uzuri wa Demokrasia ni pale wale wanaoonekana wachache kupata nafasi ya kufanya maamuzi yao kwa kura
> Demokrasia iliyo hai inaonekana pale Wananchi wanaposhuhudia Serikali waliyoipigia kura inavyoendesha nchi
Soma > https://jamii.app/UmuhimuKupigaKura
#Uchaguzi2020
SHERIA YA GHARAMA ZA UCHAGUZI NAMBA 6(2010)
> Kifungu cha 24 kifungu kidogo cha 4 kinaeleza kuwa; Iwapo Msajili wa Vyama vya Siasa ataridhika kuwa mgombea ambaye yeye mwenyewe, wakala wake au chama chake cha siasa kimefanya vitendo vilivyokatazwa na Sheria ambapo kwa hilo mgombea huyo au chama chake kimepoteza sifa ya kushiriki kwenye mchakato wa uteuzi, msajili atafanya yafuatayo:
> (a) Kama ni mgombea, Msajili atakitaarifu chama chake kuteua mgombea mwingine kama mbadala wa huyo aliyekosa sifa
> (c) Kama ni chama, Msajili atakitaarifu chama hicho kuwa kimezuiliwa kumdhamini mgombea ndani ya Kata, Jimbo au nafasi ya Urais
Soma > https://jamii.app/UchaguziGharama
#KemeaRushwa #Uchaguzi2020
> Kifungu cha 24 kifungu kidogo cha 4 kinaeleza kuwa; Iwapo Msajili wa Vyama vya Siasa ataridhika kuwa mgombea ambaye yeye mwenyewe, wakala wake au chama chake cha siasa kimefanya vitendo vilivyokatazwa na Sheria ambapo kwa hilo mgombea huyo au chama chake kimepoteza sifa ya kushiriki kwenye mchakato wa uteuzi, msajili atafanya yafuatayo:
> (a) Kama ni mgombea, Msajili atakitaarifu chama chake kuteua mgombea mwingine kama mbadala wa huyo aliyekosa sifa
> (c) Kama ni chama, Msajili atakitaarifu chama hicho kuwa kimezuiliwa kumdhamini mgombea ndani ya Kata, Jimbo au nafasi ya Urais
Soma > https://jamii.app/UchaguziGharama
#KemeaRushwa #Uchaguzi2020
NJOMBE: DKT. MAGUFULI NA WAGOMBEA WA CCM WAPIGA MAGOTI KUOMBA KURA
> Walifanya hivyo baada ya Mwenyekiti wa CCM Wilaya kusema kuwa kwa tamaduni za Njombe ni kawaida watu kuomba vitu wakiwa wamepiga magoti
Fuatilia > https://youtu.be/ZUfImtTVRww
#Uchaguzi2020 #TZ2020 #JamiiForums #JFLeo
> Walifanya hivyo baada ya Mwenyekiti wa CCM Wilaya kusema kuwa kwa tamaduni za Njombe ni kawaida watu kuomba vitu wakiwa wamepiga magoti
Fuatilia > https://youtu.be/ZUfImtTVRww
#Uchaguzi2020 #TZ2020 #JamiiForums #JFLeo
YouTube
Njombe: Dkt. Magufuli (CCM) apiga kura kuomba kura kuwa Rais wa Tanzania
SIASA SIO UADUI, LEMA NA GAMBO WAPIGA PICHA YA PAMOJA
> Wagombea Ubunge Jimbo la Arusha Mjini, Mrisho Gambo (CCM) na Godbless Lema (CHADEMA) wamepiga picha ya pamoja
> Tukio hili linadhihirisha Siasa sio sababu ya kuchukiana au kutoana uhai
Soma https://jamii.app/SiasaSioUadui
#JFSiasa
> Wagombea Ubunge Jimbo la Arusha Mjini, Mrisho Gambo (CCM) na Godbless Lema (CHADEMA) wamepiga picha ya pamoja
> Tukio hili linadhihirisha Siasa sio sababu ya kuchukiana au kutoana uhai
Soma https://jamii.app/SiasaSioUadui
#JFSiasa
KATIBU MKUU WA UN: HATUTAKIWI KUYASAHAU MAISHA YA MTU ALIYETUTOKA
> Antonio Guterres: Dunia haitakiwi kuyasahau maisha ya hata mtu mmoja aliyefariki kutokana na #COVID19
> Hadi sasa vifo vinavyotokana na #CoronaVirus vimezidi watu milioni 1
Soma > https://jamii.app/GuterresCovid19
> Antonio Guterres: Dunia haitakiwi kuyasahau maisha ya hata mtu mmoja aliyefariki kutokana na #COVID19
> Hadi sasa vifo vinavyotokana na #CoronaVirus vimezidi watu milioni 1
Soma > https://jamii.app/GuterresCovid19