VIONGOZI AFRIKA WAPONGEZWA KWA MAPAMBANO DHIDI YA #COVID19
> Ni kutokana na kuunga mkono jitihada za pamoja kukabiliana na janga hilo
> Takwimu zilizotolewa na Shirika la Afya Duniani (WHO) zimeonesha maambukizi mapya yamepungua kwa 12%
Soma - https://jamii.app/CoronaAfrika
> Ni kutokana na kuunga mkono jitihada za pamoja kukabiliana na janga hilo
> Takwimu zilizotolewa na Shirika la Afya Duniani (WHO) zimeonesha maambukizi mapya yamepungua kwa 12%
Soma - https://jamii.app/CoronaAfrika
FATMA KARUME AONDOLEWA KWENYE ORODHA YA MAWAKILI
> Kamati ya Maadili ya Mawakili imemkuta na hatia ya kukiuka maadili kwa kiwango cha juu na kuamuru jina lake liondolewe (Permanent Removal) ktk orodha ya Mawakili Tanganyika
Soma - https://jamii.app/BanUwakiliFatma
> Kamati ya Maadili ya Mawakili imemkuta na hatia ya kukiuka maadili kwa kiwango cha juu na kuamuru jina lake liondolewe (Permanent Removal) ktk orodha ya Mawakili Tanganyika
Soma - https://jamii.app/BanUwakiliFatma
FAHAMU UTARATIBU WA KISHERIA KATIKA KUFANYA KIPIMO CHA DNA
> Hakimu, Wakili, Afisa Ustawi wa Jamii, Afisa Polisi mwenye cheo zaidi ya Inspekta, Daktari na Mkuu wa Wilaya ndio wenye mamlaka (Requesting Authority) ya kutuma maombi ya kupima DNA
> Kifungu cha 26(1) kinasema maombi yatakuwa ktk maandishi. Yataeleza mwombaji na cheo chake, wanaopimwa na sahihi zao, DNA ipimwe ktk nini na sababu za kupima DNA
Fahamu zaidi - https://jamii.app/SheriaDNA
> Hakimu, Wakili, Afisa Ustawi wa Jamii, Afisa Polisi mwenye cheo zaidi ya Inspekta, Daktari na Mkuu wa Wilaya ndio wenye mamlaka (Requesting Authority) ya kutuma maombi ya kupima DNA
> Kifungu cha 26(1) kinasema maombi yatakuwa ktk maandishi. Yataeleza mwombaji na cheo chake, wanaopimwa na sahihi zao, DNA ipimwe ktk nini na sababu za kupima DNA
Fahamu zaidi - https://jamii.app/SheriaDNA
WALIOOMBA NAFASI ZA UDAKTARI WATAKIWA KURIPOTI KAZINI KUANZIA LEO
> Serikali imesema mchakato wa kuchambua maombi ya nafasi zilizotangazwa Agosti umekamilika
> Imewataka waliokidhi vigezo na kupangiwa vituo kuripoti hadi kufikia Septemba 30
Soma https://jamii.app/SerikaliMadaktariKazini
> Serikali imesema mchakato wa kuchambua maombi ya nafasi zilizotangazwa Agosti umekamilika
> Imewataka waliokidhi vigezo na kupangiwa vituo kuripoti hadi kufikia Septemba 30
Soma https://jamii.app/SerikaliMadaktariKazini
ILANI YA CHADEMA ISEMAVYO KUHUSU SERIKALI YA MUUNGANO
> Itabadili Muundo wa Muungano kutoka Serikali 2 kwenda Serikali 3; kutakuwa na Serikali ya Shirikisho la Jamhuri ya Muungano, Serikali ya Tanganyika na Serikali kamili ya Zanzibar
Soma https://jamii.app/IlaniCDM
#Uchaguzi2020
> Itabadili Muundo wa Muungano kutoka Serikali 2 kwenda Serikali 3; kutakuwa na Serikali ya Shirikisho la Jamhuri ya Muungano, Serikali ya Tanganyika na Serikali kamili ya Zanzibar
Soma https://jamii.app/IlaniCDM
#Uchaguzi2020
BELARUS: RAIS LUKASHENKO AAPISHWA BILA HAFLA KUTANGAZWA
> Uchaguzi Mkuu ulifanyika Agosti na Kiongozi huyo aliyedumu kwa miaka 26 amedai ameshinda kwa kishindo
> Upinzani unamshutumu kuiba kura, umeandaa maandamano kushinikiza ajiuzulu
Soma - https://jamii.app/RaisKiapoBelarus
> Uchaguzi Mkuu ulifanyika Agosti na Kiongozi huyo aliyedumu kwa miaka 26 amedai ameshinda kwa kishindo
> Upinzani unamshutumu kuiba kura, umeandaa maandamano kushinikiza ajiuzulu
Soma - https://jamii.app/RaisKiapoBelarus
HOJA/MALEZI: NI KWELI MZAZI HUMPENDA MTOTO MMOJA ZAIDI KULIKO MWINGINE?
> Mdau wa JamiiForums.com anasema mara nyingi inatokea kwenye familia Mzazi/Mlezi anaonekana akizidisha upendo kwa maneno ama kwa vitendo kwa Mtoto mmoja au baadhi
> Baadhi ya wadau wanasema hakuna Mzazi anayempenda Mtoto 1 kuliko mwingine ila Mzazi humpenda kila Mtoto kutokana na tabia zake
Je, una mtazamo gani kuhusu hili?
Mjadala zaidi - https://jamii.app/FavouriteChild
#JamiiForums #Malezi #Familia
> Mdau wa JamiiForums.com anasema mara nyingi inatokea kwenye familia Mzazi/Mlezi anaonekana akizidisha upendo kwa maneno ama kwa vitendo kwa Mtoto mmoja au baadhi
> Baadhi ya wadau wanasema hakuna Mzazi anayempenda Mtoto 1 kuliko mwingine ila Mzazi humpenda kila Mtoto kutokana na tabia zake
Je, una mtazamo gani kuhusu hili?
Mjadala zaidi - https://jamii.app/FavouriteChild
#JamiiForums #Malezi #Familia
TLS: KAMATI YA MAADILI HAIJAHUSIKA KUMUONDOA FATMA KARUME KWENYE ORODHA YA MAWAKILI
> Baraza la Uongozi wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) Tanzania Bara limesema uamuzi huo umetolewa na Kamati ya Mawakili kwa mujibu wa Sheria ya Mawakili
Soma https://jamii.app/TLSFatmaKarume
> Baraza la Uongozi wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) Tanzania Bara limesema uamuzi huo umetolewa na Kamati ya Mawakili kwa mujibu wa Sheria ya Mawakili
Soma https://jamii.app/TLSFatmaKarume
SHERIA YA GHARAMA ZA UCHAGUZI NAMBA 6 (2010)
> Mgombea hatokuwa na hatia na vitendo vilivyokatazwa kwenye Sheria hii viliyofanywa na chama chake cha siasa bila matakwa yake au kuridhia kwake yeye mgombea iwe moja kwa moja au la
Zaidi, soma > https://jamii.app/UchaguziGharama
#KemeaRushwa #Uchaguzi2020
> Mgombea hatokuwa na hatia na vitendo vilivyokatazwa kwenye Sheria hii viliyofanywa na chama chake cha siasa bila matakwa yake au kuridhia kwake yeye mgombea iwe moja kwa moja au la
Zaidi, soma > https://jamii.app/UchaguziGharama
#KemeaRushwa #Uchaguzi2020
PROF. JANABI: UKUAJI UCHUMI UTAONGEZA MAGONJWA YA MOYO
> Mkurugenzi wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete amesema watu wanakuwa hatarini kupata magonjwa hayo kwasababu wanakuwa na fedha za kununua vyakula vingi, na wanatumia usafiri binafsi
Soma - https://jamii.app/UchumiMagonjwaMoyo
> Mkurugenzi wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete amesema watu wanakuwa hatarini kupata magonjwa hayo kwasababu wanakuwa na fedha za kununua vyakula vingi, na wanatumia usafiri binafsi
Soma - https://jamii.app/UchumiMagonjwaMoyo
PROF. KABUDI: SERIKALI HAIKUWA NA LENGO LA KUVIZUIA VYOMBO VYA HABARI VYA KIMATAIFA
> Amesema, lengo ni kutambua vyombo hivyo vinashirikiana na vyombo gani nchini
> Amesema, vyombo vyote vya kimataifa vimetekeleza agizo hilo na kupata leseni
Soma - https://jamii.app/SerikaliLeseni
> Amesema, lengo ni kutambua vyombo hivyo vinashirikiana na vyombo gani nchini
> Amesema, vyombo vyote vya kimataifa vimetekeleza agizo hilo na kupata leseni
Soma - https://jamii.app/SerikaliLeseni
TMA YATOA TAHADHARI YA UPEPO MKALI LINDI NA MTWARA
> Inatarajiwa leo kutakuwa na upepo unaofikia Kilometa 40 kwa saa na mawimbi makubwa yanayofika Mita 2
> TMA imesema vipindi vya hali mbaya ya hewa sio vya muda mrefu, vinaweza kukoma kesho
Soma https://jamii.app/TMAUpepoUtabiri
> Inatarajiwa leo kutakuwa na upepo unaofikia Kilometa 40 kwa saa na mawimbi makubwa yanayofika Mita 2
> TMA imesema vipindi vya hali mbaya ya hewa sio vya muda mrefu, vinaweza kukoma kesho
Soma https://jamii.app/TMAUpepoUtabiri
IGP SIRRO: VIJANA MSIKUBALI KUTUMIKA BILA SABABU
> Amesema, zaidi ya watu 40 wanashikiliwa na Polisi Pemba kwa tuhuma za kuwashambulia wafuasi wa CCM kwa mapanga
> Amewataka vijana wasikubali watu wachache kuwaingiza kwenye fujo
Angalia - https://youtu.be/tomQpgGIIt0
#Uchaguzi2020
> Amesema, zaidi ya watu 40 wanashikiliwa na Polisi Pemba kwa tuhuma za kuwashambulia wafuasi wa CCM kwa mapanga
> Amewataka vijana wasikubali watu wachache kuwaingiza kwenye fujo
Angalia - https://youtu.be/tomQpgGIIt0
#Uchaguzi2020
YouTube
Watu 40 wanashikiliwa na Polisi Pemba kwa tuhuma za kuwashambulia wafuasi wa CCM kwa Mapanga
Zanzibar: IGP Simon Sirro amesema zaidi ya watu 40 wanashikiliwa na Polisi Pemba kwa tuhuma za kuwashambulia wafuasi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa kuwakat...
WANAOWATOZA FEDHA WAJAWAZITO NA WAZEE KWENYE VITUO VYA AFYA KUSHUGHULIKIWA
> Kassim Majaliwa amewataka Watendaji wa Zahanati na Hospitali kuacha kuwatoza fedha wajawazito, watoto chini ya miaka 5 na wazee na wanaofanya hivyo wachukuliwe hatua
Soma https://jamii.app/HudumaBureAfya
> Kassim Majaliwa amewataka Watendaji wa Zahanati na Hospitali kuacha kuwatoza fedha wajawazito, watoto chini ya miaka 5 na wazee na wanaofanya hivyo wachukuliwe hatua
Soma https://jamii.app/HudumaBureAfya
#KENYA KUJA NA KANUNI ZA KUWADHIBITI WANASIASA WANAODAIWA KUFANYA UCHOCHEZI
> Wizara ya Usalama wa Ndani iko mbioni kutengeneza kanuni itakayodhibiti ghasia wakati wa Uchaguzi
> Wanaoeneza chuki wadaiwa kuwa kiini cha migawanyiko ya kisiasa
Soma https://jamii.app/KanuniUchocheziKE
> Wizara ya Usalama wa Ndani iko mbioni kutengeneza kanuni itakayodhibiti ghasia wakati wa Uchaguzi
> Wanaoeneza chuki wadaiwa kuwa kiini cha migawanyiko ya kisiasa
Soma https://jamii.app/KanuniUchocheziKE
DKT. ABBAS: HAKUNA SIRI KATIKA FEDHA ZA MIRADI, ZINAPITISHWA NA BUNGE
> Ameeleza kuwa, fedha zote za miradi zipo kwenye bajeti na zinapitishwa Bungeni kila mwaka
> Amesema fedha za miradi yote inayotekelezwa zimetengwa kwa mujibu wa Sheria
Soma - https://jamii.app/FedhaMiradiSerikali
> Ameeleza kuwa, fedha zote za miradi zipo kwenye bajeti na zinapitishwa Bungeni kila mwaka
> Amesema fedha za miradi yote inayotekelezwa zimetengwa kwa mujibu wa Sheria
Soma - https://jamii.app/FedhaMiradiSerikali
BOTSWANA KUANZA KUTUMIA LUGHA YA KISWAHILI SHULENI
> Waziri wa Elimu ya Msingi, Fidelis Molao amesema Serikali ya #Botswana inakusudia kuanzisha matumizi ya lugha ya Kiswahili katika Shule za Msingi ndani ya siku zijazo
Soma - https://jamii.app/UseSwahiliBotswn
#JFLeo #Swahili
> Waziri wa Elimu ya Msingi, Fidelis Molao amesema Serikali ya #Botswana inakusudia kuanzisha matumizi ya lugha ya Kiswahili katika Shule za Msingi ndani ya siku zijazo
Soma - https://jamii.app/UseSwahiliBotswn
#JFLeo #Swahili
CUF: ADUI WA CUF NI ADUI WA CHADEMA NA ADUI WA CHADEMA NI ADUI WA CUF
> Meneja Kampeni wa CUF akiwa Kagera amesema, wapinzani wanapaswa kujitafakari kwani yawezekana kuna eneo wanapishana lakini lengo lao ni 1, kuiondoa CCM Madarakani
Soma https://jamii.app/CDMCUFKagera
#Uchaguzi2020
> Meneja Kampeni wa CUF akiwa Kagera amesema, wapinzani wanapaswa kujitafakari kwani yawezekana kuna eneo wanapishana lakini lengo lao ni 1, kuiondoa CCM Madarakani
Soma https://jamii.app/CDMCUFKagera
#Uchaguzi2020
LOWASSA: SINA SHAKA NA MAGUFULI KUSHINDA
> Amesema, βSina mashaka juu ya Rais Magufuli kushinda, mashaka yangu ni atashinda kwa kura ngapi? Huko wameanza kujipambanua sana, maneno mengi, fujo kwenye TV, tumemwambia usitishike hata kidogo"
Soma - https://jamii.app/LowassaUshindiCCM
#TZ2020
> Amesema, βSina mashaka juu ya Rais Magufuli kushinda, mashaka yangu ni atashinda kwa kura ngapi? Huko wameanza kujipambanua sana, maneno mengi, fujo kwenye TV, tumemwambia usitishike hata kidogo"
Soma - https://jamii.app/LowassaUshindiCCM
#TZ2020
UMOJA WA ULAYA WASEMA LUKASHENKO SIO RAIS HALALI WA BELARUS
> Umoja huo umesema, uapisho wake umekosa uhalali wa kidemokrasia na unapingana na idadi kubwa ya wananchi ambao wamekuwa wakiandamana tangu kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu mwezi Agosti
Soma - https://jamii.app/EUBelarus
> Umoja huo umesema, uapisho wake umekosa uhalali wa kidemokrasia na unapingana na idadi kubwa ya wananchi ambao wamekuwa wakiandamana tangu kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu mwezi Agosti
Soma - https://jamii.app/EUBelarus