TUNDU LISSU: UTAWALA WA MAJIMBO NI KUACHA MAMLAKA KWA WANANCHI
> Amesema mpango huo unalenga kuacha mamlaka ya kuendesha mambo yote ktk Jimbo yafanywe na viongozi waliochaguliwa kama ilivyo kwa nchi zote zinazotaka wananchi wawe na mamlaka
Soma - https://jamii.app/LissuKaragwe
> Amesema mpango huo unalenga kuacha mamlaka ya kuendesha mambo yote ktk Jimbo yafanywe na viongozi waliochaguliwa kama ilivyo kwa nchi zote zinazotaka wananchi wawe na mamlaka
Soma - https://jamii.app/LissuKaragwe
ZANZIBAR: WANASIASA WALAANI TUKIO LA WANANCHI KUVAMIWA KISIWANI PEMBA
> Vyama 6 vimemuomba IGP kwenda na watu wake Pemba kutokana na baadhi ya wananchi kuvamiwa alfajiri ya leo wakati wanataka kuingia Msikitini na kukatwa na mapanga
Soma - https://jamii.app/VuruguPemba
> Vyama 6 vimemuomba IGP kwenda na watu wake Pemba kutokana na baadhi ya wananchi kuvamiwa alfajiri ya leo wakati wanataka kuingia Msikitini na kukatwa na mapanga
Soma - https://jamii.app/VuruguPemba
#CORONAVIRUS: UINGEREZA YATANGAZA MASHARTI ZAIDI KUDHIBITI MAAMBUKIZI
> Kuanzia Jumatatu ijayo, watu 15 wataruhusiwa kwenye sherehe na 30 kwenye misiba
> Serikali haitaruhusu mashabiki wa michezo viwanjani kuanzia Oktoba 01
Soma - https://jamii.app/MashartiCoronaUK
> Kuanzia Jumatatu ijayo, watu 15 wataruhusiwa kwenye sherehe na 30 kwenye misiba
> Serikali haitaruhusu mashabiki wa michezo viwanjani kuanzia Oktoba 01
Soma - https://jamii.app/MashartiCoronaUK
SHERIA YA GHARAMA ZA UCHAGUZI NAMBA 6 (2010)
> Je, wajua vitendo vilivyokatazwa na Sheria ambavyo vinapelekea mgombea au chama kupoteza sifa ya kushiriki kwenye mchakato wa uteuzi au uchaguzi?
Kuvifahamu, ingia > https://jamii.app/UchaguziGharama
#KemeaRushwa #Uchaguzi2020
> Je, wajua vitendo vilivyokatazwa na Sheria ambavyo vinapelekea mgombea au chama kupoteza sifa ya kushiriki kwenye mchakato wa uteuzi au uchaguzi?
Kuvifahamu, ingia > https://jamii.app/UchaguziGharama
#KemeaRushwa #Uchaguzi2020
ZITTO: OKTOBA 3 TUTATANGAZA NI NANI ATASIMAMA KUWA MGOMBEA WA URAIS
> Kiongozi wa ACT-Wazalendo amesema, ktk mkutano wa hadhara utakaohusisha CHADEMA, ACT na Vyama vingine vya Upinzani watatangaza ni nani atasimama kama Mgombea Urais
Soma - https://jamii.app/MgombeaUpinzani
#Uchaguzi2020
> Kiongozi wa ACT-Wazalendo amesema, ktk mkutano wa hadhara utakaohusisha CHADEMA, ACT na Vyama vingine vya Upinzani watatangaza ni nani atasimama kama Mgombea Urais
Soma - https://jamii.app/MgombeaUpinzani
#Uchaguzi2020
NIGER: SERIKALI YAAHIRISHA KUFUNGUA SHULE KUTOKANA NA MAFURIKO
> Idadi kubwa ya wahanga wamepatiwa hifadhi mashuleni. Mamlaka zinasema muda zaidi unahitajika kuwahamisha
> Mafuriko hayo yamesababisha vifo 70 na kupelekea mamia kukosa makazi
Soma https://jamii.app/ShuleNiger
> Idadi kubwa ya wahanga wamepatiwa hifadhi mashuleni. Mamlaka zinasema muda zaidi unahitajika kuwahamisha
> Mafuriko hayo yamesababisha vifo 70 na kupelekea mamia kukosa makazi
Soma https://jamii.app/ShuleNiger
MGOMBEA URAIS WA ADC AAHIDI KUBORESHA SEKTA ZA MADINI NA AFYA
> Kwenye madini, Queen Sendiga ameahidi kuondoa tozo zisizomsaidia mchimbaji mdogo
> Amesema, ataboresha Mfumo wa Afya kwa kuhakikisha Mtanzania anatibiwa magonjwa yote kwa bima
Soma - https://jamii.app/ADCKampeniHandeni
> Kwenye madini, Queen Sendiga ameahidi kuondoa tozo zisizomsaidia mchimbaji mdogo
> Amesema, ataboresha Mfumo wa Afya kwa kuhakikisha Mtanzania anatibiwa magonjwa yote kwa bima
Soma - https://jamii.app/ADCKampeniHandeni
AFRIKA KUSINI: RAIS RAMAPHOSA AITAKA DUNIA KUISAIDIA AFRIKA
> Ametoa wito kwa mataifa kuliunga mkono Bara hilo ili lijenge upya uchumi ulioathiriwa na #COVID19
> Amesema, Afrika inahitaji msaada kwa ajili ya kusaidia uchumi (Stimulus package)
Soma https://jamii.app/AfrikaMsaadaUchumi
> Ametoa wito kwa mataifa kuliunga mkono Bara hilo ili lijenge upya uchumi ulioathiriwa na #COVID19
> Amesema, Afrika inahitaji msaada kwa ajili ya kusaidia uchumi (Stimulus package)
Soma https://jamii.app/AfrikaMsaadaUchumi
NYAHOZA: UONGO UNAWEZA KUSABABISHA MADHARA KWA CHAMA KINACHOONGELEWA VIBAYA
> Msajili atatakiwa kuonya na kutoa adhabu kwa Chama/Mgombea ikiwa Sheria itakiukwa, na faini ni kati ya Tsh. Mil. 10 na Mil. 50 au kukisimamisha Chama kufanya siasa
Soma https://jamii.app/MsajiliSheriaKampeni
> Msajili atatakiwa kuonya na kutoa adhabu kwa Chama/Mgombea ikiwa Sheria itakiukwa, na faini ni kati ya Tsh. Mil. 10 na Mil. 50 au kukisimamisha Chama kufanya siasa
Soma https://jamii.app/MsajiliSheriaKampeni
MSAJILI: MUUNGANO YA VYAMA UNAPASWA KUWASILISHWA KWA MSAJILI MIEZI 3 KABLA UCHAGUZI
> Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imesisitiza kuwa vyama vinapaswa kuheshimu Sheria vinapoingia ktk ushirikiano ama miungano kabla ya Uchaguzi Mkuu
Soma https://jamii.app/MuunganoVyama
#Uchaguzi2020
> Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imesisitiza kuwa vyama vinapaswa kuheshimu Sheria vinapoingia ktk ushirikiano ama miungano kabla ya Uchaguzi Mkuu
Soma https://jamii.app/MuunganoVyama
#Uchaguzi2020
MAALIM SEIF: CCM BARA WAMESHAPANGA MIKAKATI YA KUMPA USHINDI MAGUFULI
> Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia ACT-Wazalendo amesema anataka kukutana na Tundu Lissu (CHADEMA) ili ampe mikakati ya ushindi na mbinu za kupangua mikakati ya CCM
Soma https://jamii.app/MaalimUshindiLissu
#Uchaguzi2020
> Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia ACT-Wazalendo amesema anataka kukutana na Tundu Lissu (CHADEMA) ili ampe mikakati ya ushindi na mbinu za kupangua mikakati ya CCM
Soma https://jamii.app/MaalimUshindiLissu
#Uchaguzi2020
KENYA: FAMILIA ZARUHUSIWA KUZIKA WALIOFARIKI KWA #CORONAVIRUS
> Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Mercy Mwangangi amesema familia zinakuwa na nafasi kubwa ktk kuzika wapendwa wao
> Maafisa watasimamia mazishi kuhakikisha taratibu zinazingatiwa
Soma https://jamii.app/MazishiCoronaKE
> Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Mercy Mwangangi amesema familia zinakuwa na nafasi kubwa ktk kuzika wapendwa wao
> Maafisa watasimamia mazishi kuhakikisha taratibu zinazingatiwa
Soma https://jamii.app/MazishiCoronaKE
ILANI YA CCM ISEMAVYO KUHUSU SERIKALI YA MUUNGANO
> CCM itaendelea kudumisha Muungano wa Serikali 2 kwa ajili ya vizazi vya sasa na vijavyo
> Kutoa elimu ya Muungano kwa Watanzania ili kuulinda, kuutetea, kuuenzi na kuuimarisha
Soma - https://jamii.app/IlaniCCM
#Uchaguzi2020
> CCM itaendelea kudumisha Muungano wa Serikali 2 kwa ajili ya vizazi vya sasa na vijavyo
> Kutoa elimu ya Muungano kwa Watanzania ili kuulinda, kuutetea, kuuenzi na kuuimarisha
Soma - https://jamii.app/IlaniCCM
#Uchaguzi2020
KILIMANJARO: RC MGHWIRA AKEMEA VURUGU, ATAKA WAGOMBEA KULINDWA
> Amekemea wapambe wa baadhi ya wagombea kutekwa na kuteswa katika Majimbo ya Hai, Vunjo, Rombo na Moshi Vijijini
> Watuhumiwa zaidi ya 4 wamekamatwa wakihusishwa na matukio hayo
Soma https://jamii.app/RCMghwiraVurugu
> Amekemea wapambe wa baadhi ya wagombea kutekwa na kuteswa katika Majimbo ya Hai, Vunjo, Rombo na Moshi Vijijini
> Watuhumiwa zaidi ya 4 wamekamatwa wakihusishwa na matukio hayo
Soma https://jamii.app/RCMghwiraVurugu
ILANI YA ACT-WAZALENDO NA SERIKALI YA MUUNGANO
> Itatekeleza mapendekezo ya Tume ya pamoja ya fedha ikiwemo kuanzishwa kwa Akaunti ya Pamoja
> Itaipatia Zanzibar mgao wake wa 11.02% kama ilivyowekeza ktk uanzishwaji wa BoT
Soma - https://jamii.app/IlaniACT
#TZ2020
> Itatekeleza mapendekezo ya Tume ya pamoja ya fedha ikiwemo kuanzishwa kwa Akaunti ya Pamoja
> Itaipatia Zanzibar mgao wake wa 11.02% kama ilivyowekeza ktk uanzishwaji wa BoT
Soma - https://jamii.app/IlaniACT
#TZ2020
VIONGOZI AFRIKA WAPONGEZWA KWA MAPAMBANO DHIDI YA #COVID19
> Ni kutokana na kuunga mkono jitihada za pamoja kukabiliana na janga hilo
> Takwimu zilizotolewa na Shirika la Afya Duniani (WHO) zimeonesha maambukizi mapya yamepungua kwa 12%
Soma - https://jamii.app/CoronaAfrika
> Ni kutokana na kuunga mkono jitihada za pamoja kukabiliana na janga hilo
> Takwimu zilizotolewa na Shirika la Afya Duniani (WHO) zimeonesha maambukizi mapya yamepungua kwa 12%
Soma - https://jamii.app/CoronaAfrika
FATMA KARUME AONDOLEWA KWENYE ORODHA YA MAWAKILI
> Kamati ya Maadili ya Mawakili imemkuta na hatia ya kukiuka maadili kwa kiwango cha juu na kuamuru jina lake liondolewe (Permanent Removal) ktk orodha ya Mawakili Tanganyika
Soma - https://jamii.app/BanUwakiliFatma
> Kamati ya Maadili ya Mawakili imemkuta na hatia ya kukiuka maadili kwa kiwango cha juu na kuamuru jina lake liondolewe (Permanent Removal) ktk orodha ya Mawakili Tanganyika
Soma - https://jamii.app/BanUwakiliFatma
FAHAMU UTARATIBU WA KISHERIA KATIKA KUFANYA KIPIMO CHA DNA
> Hakimu, Wakili, Afisa Ustawi wa Jamii, Afisa Polisi mwenye cheo zaidi ya Inspekta, Daktari na Mkuu wa Wilaya ndio wenye mamlaka (Requesting Authority) ya kutuma maombi ya kupima DNA
> Kifungu cha 26(1) kinasema maombi yatakuwa ktk maandishi. Yataeleza mwombaji na cheo chake, wanaopimwa na sahihi zao, DNA ipimwe ktk nini na sababu za kupima DNA
Fahamu zaidi - https://jamii.app/SheriaDNA
> Hakimu, Wakili, Afisa Ustawi wa Jamii, Afisa Polisi mwenye cheo zaidi ya Inspekta, Daktari na Mkuu wa Wilaya ndio wenye mamlaka (Requesting Authority) ya kutuma maombi ya kupima DNA
> Kifungu cha 26(1) kinasema maombi yatakuwa ktk maandishi. Yataeleza mwombaji na cheo chake, wanaopimwa na sahihi zao, DNA ipimwe ktk nini na sababu za kupima DNA
Fahamu zaidi - https://jamii.app/SheriaDNA
WALIOOMBA NAFASI ZA UDAKTARI WATAKIWA KURIPOTI KAZINI KUANZIA LEO
> Serikali imesema mchakato wa kuchambua maombi ya nafasi zilizotangazwa Agosti umekamilika
> Imewataka waliokidhi vigezo na kupangiwa vituo kuripoti hadi kufikia Septemba 30
Soma https://jamii.app/SerikaliMadaktariKazini
> Serikali imesema mchakato wa kuchambua maombi ya nafasi zilizotangazwa Agosti umekamilika
> Imewataka waliokidhi vigezo na kupangiwa vituo kuripoti hadi kufikia Septemba 30
Soma https://jamii.app/SerikaliMadaktariKazini
ILANI YA CHADEMA ISEMAVYO KUHUSU SERIKALI YA MUUNGANO
> Itabadili Muundo wa Muungano kutoka Serikali 2 kwenda Serikali 3; kutakuwa na Serikali ya Shirikisho la Jamhuri ya Muungano, Serikali ya Tanganyika na Serikali kamili ya Zanzibar
Soma https://jamii.app/IlaniCDM
#Uchaguzi2020
> Itabadili Muundo wa Muungano kutoka Serikali 2 kwenda Serikali 3; kutakuwa na Serikali ya Shirikisho la Jamhuri ya Muungano, Serikali ya Tanganyika na Serikali kamili ya Zanzibar
Soma https://jamii.app/IlaniCDM
#Uchaguzi2020