#CORONAVIRUS-UGANDA: SHULE NA VYUO VIKUU KUFUNGULIWA OKTOBA 15
> Rais Yoweri Museveni ametangaza kuwa Shule na Taasisi za Elimu ya Juu zitafunguliwa tena kuanzia tarehe 15 Oktoba na mikakati imewekwa kuhakikisha wanafunzi wanakuwa salama
Soma - https://jamii.app/UGSchoolOpen
> Rais Yoweri Museveni ametangaza kuwa Shule na Taasisi za Elimu ya Juu zitafunguliwa tena kuanzia tarehe 15 Oktoba na mikakati imewekwa kuhakikisha wanafunzi wanakuwa salama
Soma - https://jamii.app/UGSchoolOpen
FAHAMU ILANI YA CUF INASEMAJE KUHUSU MSINGI WA KATIBA KATIKA UONGOZI
> Mchakato wa uandaaji wa #Katiba utafufuliwa katika kipindi cha miezi 3 baada ya Serikali kuapishwa kwa kuboresha Rasimu ya Katiba ya Tume ya Jaji Warioba
Fahamu zaidi - https://jamii.app/IlaniCUF
#Uchaguzi2020
> Mchakato wa uandaaji wa #Katiba utafufuliwa katika kipindi cha miezi 3 baada ya Serikali kuapishwa kwa kuboresha Rasimu ya Katiba ya Tume ya Jaji Warioba
Fahamu zaidi - https://jamii.app/IlaniCUF
#Uchaguzi2020
MALEZI: TABIA ZA WAZAZI ZINAZOWEZA KUSABABISHA WATOTO KUTOFANIKIWA
> Wazazi wasiowahamasisha watoto kujitegemea. Wazazi wanapaswa kufanya hivi kwani inasaidia Mtoto kujua mabaya na mazuri anapokutana na vishawishi
> Wazazi wanaokaripia watoto wao mara kwa mara. Kumkaripia, kumtukana, kumsema kwa kejeli humfanya Mtoto kuwa muoga wa kila kitu
> Tabia ya kutaka kujua kila kinachoendelea. Kuendesha kila kitu cha Mtoto kutampelekea kuwa na wasiwasi, hatoweza kufanya uamuzi bila Mzazi
Soma - https://jamii.app/TabiaWazaziWatoto
> Wazazi wasiowahamasisha watoto kujitegemea. Wazazi wanapaswa kufanya hivi kwani inasaidia Mtoto kujua mabaya na mazuri anapokutana na vishawishi
> Wazazi wanaokaripia watoto wao mara kwa mara. Kumkaripia, kumtukana, kumsema kwa kejeli humfanya Mtoto kuwa muoga wa kila kitu
> Tabia ya kutaka kujua kila kinachoendelea. Kuendesha kila kitu cha Mtoto kutampelekea kuwa na wasiwasi, hatoweza kufanya uamuzi bila Mzazi
Soma - https://jamii.app/TabiaWazaziWatoto
TUNDU LISSU: NITABADILI MFUMO WA UTAWALA KUPITIA MABADILIKO YA KATIBA
> Amesema "Uchaguzi huu tunahitaji kufanya Mabadiliko na moja ni manyanyaso ya wananchi kuuziwa Vitambulisho vya wajasiriamali. Kwanini muuziwe vitambulisho?"
Soma - https://jamii.app/LissuNyakanazi
#Uchaguzi2020
> Amesema "Uchaguzi huu tunahitaji kufanya Mabadiliko na moja ni manyanyaso ya wananchi kuuziwa Vitambulisho vya wajasiriamali. Kwanini muuziwe vitambulisho?"
Soma - https://jamii.app/LissuNyakanazi
#Uchaguzi2020
CHAMA CHA ADC KINAENDELEA NA KAMPENI MKOANI TANGA
> Mgombea Urais wa Chama hicho, Queen Cuthbert Sendiga leo anaendelea na kampeni zake Wilayani Kilindi ktk Kata za Songe, Madoti, Kwamwambe, Mafisa, Kisangasa na Kwadiboma
Soma - https://jamii.app/ADCTanga
#Uchaguzi2020 #TZ2020
> Mgombea Urais wa Chama hicho, Queen Cuthbert Sendiga leo anaendelea na kampeni zake Wilayani Kilindi ktk Kata za Songe, Madoti, Kwamwambe, Mafisa, Kisangasa na Kwadiboma
Soma - https://jamii.app/ADCTanga
#Uchaguzi2020 #TZ2020
KENYA: WALIMU WATAKIWA KUFIKA SHULENI SEPTEMBA 28
> Tume ya Elimu kutoka Taasisi ya Maendeleo ya Mitaala (KICD) imependekeza Shule kufunguliwa Oktoba
> Waziri wa Elimu amesema tarehe rasmi itatangazwa baada ya Kamati kufanya mazungumzo
Soma - https://jamii.app/WalimuShuleKE
> Tume ya Elimu kutoka Taasisi ya Maendeleo ya Mitaala (KICD) imependekeza Shule kufunguliwa Oktoba
> Waziri wa Elimu amesema tarehe rasmi itatangazwa baada ya Kamati kufanya mazungumzo
Soma - https://jamii.app/WalimuShuleKE
INDIA: WATU 10 WAFARIKI BAADA YA JENGO KUPOROMOKA
> Jengo hilo liliwekwa katika orodha ya majengo hatari na taarifa ya wakazi kuondolewa ilitolewa
> Watu 20 hadi 25 wanahofiwa kukwama chini na jitihada za uokoaji zinaendelea
Soma - https://jamii.app/BuildingCollapseIndia
> Jengo hilo liliwekwa katika orodha ya majengo hatari na taarifa ya wakazi kuondolewa ilitolewa
> Watu 20 hadi 25 wanahofiwa kukwama chini na jitihada za uokoaji zinaendelea
Soma - https://jamii.app/BuildingCollapseIndia
FAHAMU ILANI YA CHADEMA INASEMA NINI KUHUSU UHURU WA KUJIELEZA
> Itahakikisha Sheria zote zinazokandamiza uhuru wa habari zitafutwa na kila mwananchi atakuwa huru
> Itachunguza matukio ya vifo na utekaji wa waandishi wa habari
Zaidi, soma https://jamii.app/IlaniCDM
#Uchaguzi2020
> Itahakikisha Sheria zote zinazokandamiza uhuru wa habari zitafutwa na kila mwananchi atakuwa huru
> Itachunguza matukio ya vifo na utekaji wa waandishi wa habari
Zaidi, soma https://jamii.app/IlaniCDM
#Uchaguzi2020
ILANI YA ACT-WAZALENDO INASEMAJE KUHUSU UHURU WA KUJIELEZA?
> Ndani ya siku 100 za kwanza itafuta Sheria zote zinazobana, kuminya na kufifisha haki/uhuru wa kujieleza
> Itatengeneza majukwaa na mifumo itakayowawezesha Watu kutoa maoni
Soma - https://jamii.app/IlaniACT
#Uchaguzi2020
> Ndani ya siku 100 za kwanza itafuta Sheria zote zinazobana, kuminya na kufifisha haki/uhuru wa kujieleza
> Itatengeneza majukwaa na mifumo itakayowawezesha Watu kutoa maoni
Soma - https://jamii.app/IlaniACT
#Uchaguzi2020
RUVUMA: WATU 71 WANYWA TOGWA INAYODHANIWA KUWA NA SUMU, WANUSURIKA KIFO
> Ni ktk sherehe ya kidini ijulikanayo kama Sadaka. Baadhi wamesema walianza kuharisha na kutapika baada ya kuinywa
> Mkuu wa Wilaya amepiga marufuku togwa kwenye sherehe
Soma https://jamii.app/TogwaSumuRVM
> Ni ktk sherehe ya kidini ijulikanayo kama Sadaka. Baadhi wamesema walianza kuharisha na kutapika baada ya kuinywa
> Mkuu wa Wilaya amepiga marufuku togwa kwenye sherehe
Soma https://jamii.app/TogwaSumuRVM
SHERIA YA GHARAMA ZA UCHAGUZI
Kwa mujibu wa kifungu cha 23 kifungu kidogo cha 7; ni jukumu la Serikali kuhakikisha kuwa njia za usafirishaji zinakuwepo kwa wapiga kura wote ambao wanahitaji kufika kwenye vituo vyao vya kupigia kura
Soma => https://jamii.app/GharamaUchaguzi
#KemeaRushwa
Kwa mujibu wa kifungu cha 23 kifungu kidogo cha 7; ni jukumu la Serikali kuhakikisha kuwa njia za usafirishaji zinakuwepo kwa wapiga kura wote ambao wanahitaji kufika kwenye vituo vyao vya kupigia kura
Soma => https://jamii.app/GharamaUchaguzi
#KemeaRushwa
ACT-WAZALENDO YAMUUNGA MKONO MGOMBEA URAIS WA CHADEMA
- Akifanya Kampeni Jimbo la Donge leo, Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Taifa, Maalim Seif Sharif Hamad amemuidhinisha Tundu Lissu kuwa Mgombea wao wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Soma - https://jamii.app/MaalimLissuUrais
#Uchaguzi2020
- Akifanya Kampeni Jimbo la Donge leo, Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Taifa, Maalim Seif Sharif Hamad amemuidhinisha Tundu Lissu kuwa Mgombea wao wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Soma - https://jamii.app/MaalimLissuUrais
#Uchaguzi2020
MEMBE: MIMI NDIYE MGOMBEA URAIS KUPITIA ACT-WAZALENDO
> Bernard Membe amekanusha taarifa za kuwa wamejiunga na CHADEMA katika ngazi ya Urais
> Amesema yeye ndiye aliyekabidhiwa Ilani ya Chama ili kuinadi kote nchini kwenye Uchaguzi
Soma https://jamii.app/MembeACT-CDM
#Uchaguzi2020
> Bernard Membe amekanusha taarifa za kuwa wamejiunga na CHADEMA katika ngazi ya Urais
> Amesema yeye ndiye aliyekabidhiwa Ilani ya Chama ili kuinadi kote nchini kwenye Uchaguzi
Soma https://jamii.app/MembeACT-CDM
#Uchaguzi2020
MAREKANI YAITAKA KENYA KUIUNGA MKONO ISRAEL HADHARANI
> Nchi hiyo imesema hakutakuwa na Makubaliano ya Biashara Huria (FTA) Kenya isipofanya hivyo
> Vilevile, imeitaka Kenya kukemea vitendo vinavyoathiri biashara kati ya Marekani na Israel
Soma https://jamii.app/USKenyaFTA
> Nchi hiyo imesema hakutakuwa na Makubaliano ya Biashara Huria (FTA) Kenya isipofanya hivyo
> Vilevile, imeitaka Kenya kukemea vitendo vinavyoathiri biashara kati ya Marekani na Israel
Soma https://jamii.app/USKenyaFTA
ILANI YA CHAUMMA INASEMAJE KUHUSU KATIBA MPYA?
> Itahakikisha Rasimu ya #Katiba inarejeshwa kama ilivyopendekezwa na wananchi
> Itaweka misingi ya Mgawanyo wa Mamlaka ktk Mihimili ya Dola itakayoondoa utaratibu wa Mihimili kuingiliana
Soma - https://jamii.app/IlaniCHAUMMA
#TZ2020
> Itahakikisha Rasimu ya #Katiba inarejeshwa kama ilivyopendekezwa na wananchi
> Itaweka misingi ya Mgawanyo wa Mamlaka ktk Mihimili ya Dola itakayoondoa utaratibu wa Mihimili kuingiliana
Soma - https://jamii.app/IlaniCHAUMMA
#TZ2020
MGAYWA (SAU): KILA MTANZANIA ATAPEWA KIPANDE CHA ARDHI NA KIWANJA
> Mgombea huyo amesema, kodi ya kiwanja haitakuwepo kuanzia tarehe 28 atakapokuwa Rais
> Ameongeza, ardhi ni mali ya Wananchi isipokuwa iko chini ya udhamini wa Rais
Soma - https://jamii.app/SAUViwanjaBure
#Uchaguzi2020
> Mgombea huyo amesema, kodi ya kiwanja haitakuwepo kuanzia tarehe 28 atakapokuwa Rais
> Ameongeza, ardhi ni mali ya Wananchi isipokuwa iko chini ya udhamini wa Rais
Soma - https://jamii.app/SAUViwanjaBure
#Uchaguzi2020
SHINYANGA: BINTI WA DARASA LA 5 AOZESHWA KWA NG'OMBE 8 NA TSH. LAKI 6
> Watu 4 wanashikiliwa na Polisi kwa tuhuma ya kumuozesha Mwanafunzi kwa tamaa ya mali
> Mwanafunzi huyo amekabidhiwa ktk kituo cha kulelea watoto ili aendelee na masomo
Soma https://jamii.app/NdoaMwnf5
> Watu 4 wanashikiliwa na Polisi kwa tuhuma ya kumuozesha Mwanafunzi kwa tamaa ya mali
> Mwanafunzi huyo amekabidhiwa ktk kituo cha kulelea watoto ili aendelee na masomo
Soma https://jamii.app/NdoaMwnf5
ILANI YA NCCR-MAGEUZI INASEMAJE KUHUSU KATIBA MPYA?
> Itakamilisha mchakato wa kupata #KatibaMpya kupitia Bunge la Katiba kwa kujumuisha makundi yote
> Ukiukaji wa #Katiba utakuwa kosa la jinai na Rais atapunguziwa madaraka yake
Soma - https://jamii.app/IlaniNCCR
#Uchaguzi2020
> Itakamilisha mchakato wa kupata #KatibaMpya kupitia Bunge la Katiba kwa kujumuisha makundi yote
> Ukiukaji wa #Katiba utakuwa kosa la jinai na Rais atapunguziwa madaraka yake
Soma - https://jamii.app/IlaniNCCR
#Uchaguzi2020
DKT. MAGUFULI AAGIZA ELIMU YA VITAMBULISHO VYA WAJASIRIAMALI ITOLEWE
> Amesema Vitambulisho havilazimishwi kwa wafanyabiashara na vinatolewa ili wenye biashara ndogondogo waweze kufanya biashara mahali popote nchini bila kusumbuliwa
Angalia https://youtu.be/IQ1YPihUZc0
#Uchaguzi2020
> Amesema Vitambulisho havilazimishwi kwa wafanyabiashara na vinatolewa ili wenye biashara ndogondogo waweze kufanya biashara mahali popote nchini bila kusumbuliwa
Angalia https://youtu.be/IQ1YPihUZc0
#Uchaguzi2020
YouTube
Dkt. Magufuli: Vitambulisho vya Wafanyabiashara wadogo havilazimishwi
Dkt. Magufuli amesema kwamba Vitambulisho vya Wafanyabiashara wadogo havilazimishwi bali anayetaka ndiye ananunua kwa elfu ishirini tu. Na ametaka Wakuu wa Wilaya kuzingatia Maelekezo hayo.
KUKWAMA KWA SHERIA YA JINSIA: RAIS WA KENYA ASHAURIWA KUVUNJA BUNGE
> #Katiba ya #Kenya inataka Sheria hiyo kuwepo ili kudhibiti jinsia kutotawala ktk nyadhifa za uteuzi na kwa miaka 10 sasa Wabunge ambao wengi ni wanaume, wameshindwa kuipitisha
Soma - https://jamii.app/JinsiaBungeniKE
> #Katiba ya #Kenya inataka Sheria hiyo kuwepo ili kudhibiti jinsia kutotawala ktk nyadhifa za uteuzi na kwa miaka 10 sasa Wabunge ambao wengi ni wanaume, wameshindwa kuipitisha
Soma - https://jamii.app/JinsiaBungeniKE