CUF: KUNA MAISHA BAADA YA UCHAGUZI
> Mwenyekiti CUF Wilayani Chakechake Pemba amesema, hawako tayari kufanya fujo wala ghasia kwa kuwaandamanisha vijana
> Ameongeza, hiyo ndio tofauti kubwa kati yao (CUF) na vyama vingine
Soma https://jamii.app/UchaguziAmani
> Mwenyekiti CUF Wilayani Chakechake Pemba amesema, hawako tayari kufanya fujo wala ghasia kwa kuwaandamanisha vijana
> Ameongeza, hiyo ndio tofauti kubwa kati yao (CUF) na vyama vingine
Soma https://jamii.app/UchaguziAmani
SEPTEMBA 21: MAADHIMISHO YA SIKU YA AMANI DUNIANI
> Ni siku ya kuimarisha amani ktk nchi, kati ya mataifa na kwa wananchi
> Kaulimbiu ni "Kujenga Amani Pamoja" na Watu wametakiwa kusherehekea kwa kuwa wakarimu na kusambaza matumaini
Soma https://jamii.app/PeaceDay2020
#WorldPeaceDay
> Ni siku ya kuimarisha amani ktk nchi, kati ya mataifa na kwa wananchi
> Kaulimbiu ni "Kujenga Amani Pamoja" na Watu wametakiwa kusherehekea kwa kuwa wakarimu na kusambaza matumaini
Soma https://jamii.app/PeaceDay2020
#WorldPeaceDay
SIMIYU: CHEYO (UDP) ATOA WITO KWA WANANCHI KUMCHAGUA DKT. MAGUFULI (CCM)
> Amesema, Chama hicho kinamuunga mkono Mgombea Urais wa CCM kutokana na jitihada zake kwenye kuwasikiliza wananchi wakiwemo wanasiasa kutoka Vyama vya Upinzani
Soma - https://jamii.app/CheyoKuraMagufuli
#Uchaguzi2020
> Amesema, Chama hicho kinamuunga mkono Mgombea Urais wa CCM kutokana na jitihada zake kwenye kuwasikiliza wananchi wakiwemo wanasiasa kutoka Vyama vya Upinzani
Soma - https://jamii.app/CheyoKuraMagufuli
#Uchaguzi2020
KESI YA JAMIIFORUMS: HUKUMU KUTOLEWA OKTOBA 30
> Kesi namba 458 ya mwaka 2016 imeendelea leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar
> Hakimu Huruma Shaidi amepanga kutoa hukumu ya shauri hili tarehe 30 Oktoba 2020
Soma https://jamii.app/JFKesiHukumu
> Kesi namba 458 ya mwaka 2016 imeendelea leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar
> Hakimu Huruma Shaidi amepanga kutoa hukumu ya shauri hili tarehe 30 Oktoba 2020
Soma https://jamii.app/JFKesiHukumu
DKT. MAGUFULI: KUNA CHAMA KINA SERA YA KUTENGENEZA MAJIMBO, HUO NDIO MWANZO WA MFARAKANO
> Mgombea Urais wa CCM amesema, wananchi wasikubali kuingizwa kwenye uongozi wa majaribio kwasababu wanaosema hivyo wana lengo la kuvuruga nchi
Soma - https://jamii.app/MagufuliMajimbo
#Uchaguzi2020
> Mgombea Urais wa CCM amesema, wananchi wasikubali kuingizwa kwenye uongozi wa majaribio kwasababu wanaosema hivyo wana lengo la kuvuruga nchi
Soma - https://jamii.app/MagufuliMajimbo
#Uchaguzi2020
#CORONAVIRUS-UGANDA: SHULE NA VYUO VIKUU KUFUNGULIWA OKTOBA 15
> Rais Yoweri Museveni ametangaza kuwa Shule na Taasisi za Elimu ya Juu zitafunguliwa tena kuanzia tarehe 15 Oktoba na mikakati imewekwa kuhakikisha wanafunzi wanakuwa salama
Soma - https://jamii.app/UGSchoolOpen
> Rais Yoweri Museveni ametangaza kuwa Shule na Taasisi za Elimu ya Juu zitafunguliwa tena kuanzia tarehe 15 Oktoba na mikakati imewekwa kuhakikisha wanafunzi wanakuwa salama
Soma - https://jamii.app/UGSchoolOpen
FAHAMU ILANI YA CUF INASEMAJE KUHUSU MSINGI WA KATIBA KATIKA UONGOZI
> Mchakato wa uandaaji wa #Katiba utafufuliwa katika kipindi cha miezi 3 baada ya Serikali kuapishwa kwa kuboresha Rasimu ya Katiba ya Tume ya Jaji Warioba
Fahamu zaidi - https://jamii.app/IlaniCUF
#Uchaguzi2020
> Mchakato wa uandaaji wa #Katiba utafufuliwa katika kipindi cha miezi 3 baada ya Serikali kuapishwa kwa kuboresha Rasimu ya Katiba ya Tume ya Jaji Warioba
Fahamu zaidi - https://jamii.app/IlaniCUF
#Uchaguzi2020
MALEZI: TABIA ZA WAZAZI ZINAZOWEZA KUSABABISHA WATOTO KUTOFANIKIWA
> Wazazi wasiowahamasisha watoto kujitegemea. Wazazi wanapaswa kufanya hivi kwani inasaidia Mtoto kujua mabaya na mazuri anapokutana na vishawishi
> Wazazi wanaokaripia watoto wao mara kwa mara. Kumkaripia, kumtukana, kumsema kwa kejeli humfanya Mtoto kuwa muoga wa kila kitu
> Tabia ya kutaka kujua kila kinachoendelea. Kuendesha kila kitu cha Mtoto kutampelekea kuwa na wasiwasi, hatoweza kufanya uamuzi bila Mzazi
Soma - https://jamii.app/TabiaWazaziWatoto
> Wazazi wasiowahamasisha watoto kujitegemea. Wazazi wanapaswa kufanya hivi kwani inasaidia Mtoto kujua mabaya na mazuri anapokutana na vishawishi
> Wazazi wanaokaripia watoto wao mara kwa mara. Kumkaripia, kumtukana, kumsema kwa kejeli humfanya Mtoto kuwa muoga wa kila kitu
> Tabia ya kutaka kujua kila kinachoendelea. Kuendesha kila kitu cha Mtoto kutampelekea kuwa na wasiwasi, hatoweza kufanya uamuzi bila Mzazi
Soma - https://jamii.app/TabiaWazaziWatoto
TUNDU LISSU: NITABADILI MFUMO WA UTAWALA KUPITIA MABADILIKO YA KATIBA
> Amesema "Uchaguzi huu tunahitaji kufanya Mabadiliko na moja ni manyanyaso ya wananchi kuuziwa Vitambulisho vya wajasiriamali. Kwanini muuziwe vitambulisho?"
Soma - https://jamii.app/LissuNyakanazi
#Uchaguzi2020
> Amesema "Uchaguzi huu tunahitaji kufanya Mabadiliko na moja ni manyanyaso ya wananchi kuuziwa Vitambulisho vya wajasiriamali. Kwanini muuziwe vitambulisho?"
Soma - https://jamii.app/LissuNyakanazi
#Uchaguzi2020
CHAMA CHA ADC KINAENDELEA NA KAMPENI MKOANI TANGA
> Mgombea Urais wa Chama hicho, Queen Cuthbert Sendiga leo anaendelea na kampeni zake Wilayani Kilindi ktk Kata za Songe, Madoti, Kwamwambe, Mafisa, Kisangasa na Kwadiboma
Soma - https://jamii.app/ADCTanga
#Uchaguzi2020 #TZ2020
> Mgombea Urais wa Chama hicho, Queen Cuthbert Sendiga leo anaendelea na kampeni zake Wilayani Kilindi ktk Kata za Songe, Madoti, Kwamwambe, Mafisa, Kisangasa na Kwadiboma
Soma - https://jamii.app/ADCTanga
#Uchaguzi2020 #TZ2020
KENYA: WALIMU WATAKIWA KUFIKA SHULENI SEPTEMBA 28
> Tume ya Elimu kutoka Taasisi ya Maendeleo ya Mitaala (KICD) imependekeza Shule kufunguliwa Oktoba
> Waziri wa Elimu amesema tarehe rasmi itatangazwa baada ya Kamati kufanya mazungumzo
Soma - https://jamii.app/WalimuShuleKE
> Tume ya Elimu kutoka Taasisi ya Maendeleo ya Mitaala (KICD) imependekeza Shule kufunguliwa Oktoba
> Waziri wa Elimu amesema tarehe rasmi itatangazwa baada ya Kamati kufanya mazungumzo
Soma - https://jamii.app/WalimuShuleKE
INDIA: WATU 10 WAFARIKI BAADA YA JENGO KUPOROMOKA
> Jengo hilo liliwekwa katika orodha ya majengo hatari na taarifa ya wakazi kuondolewa ilitolewa
> Watu 20 hadi 25 wanahofiwa kukwama chini na jitihada za uokoaji zinaendelea
Soma - https://jamii.app/BuildingCollapseIndia
> Jengo hilo liliwekwa katika orodha ya majengo hatari na taarifa ya wakazi kuondolewa ilitolewa
> Watu 20 hadi 25 wanahofiwa kukwama chini na jitihada za uokoaji zinaendelea
Soma - https://jamii.app/BuildingCollapseIndia
FAHAMU ILANI YA CHADEMA INASEMA NINI KUHUSU UHURU WA KUJIELEZA
> Itahakikisha Sheria zote zinazokandamiza uhuru wa habari zitafutwa na kila mwananchi atakuwa huru
> Itachunguza matukio ya vifo na utekaji wa waandishi wa habari
Zaidi, soma https://jamii.app/IlaniCDM
#Uchaguzi2020
> Itahakikisha Sheria zote zinazokandamiza uhuru wa habari zitafutwa na kila mwananchi atakuwa huru
> Itachunguza matukio ya vifo na utekaji wa waandishi wa habari
Zaidi, soma https://jamii.app/IlaniCDM
#Uchaguzi2020
ILANI YA ACT-WAZALENDO INASEMAJE KUHUSU UHURU WA KUJIELEZA?
> Ndani ya siku 100 za kwanza itafuta Sheria zote zinazobana, kuminya na kufifisha haki/uhuru wa kujieleza
> Itatengeneza majukwaa na mifumo itakayowawezesha Watu kutoa maoni
Soma - https://jamii.app/IlaniACT
#Uchaguzi2020
> Ndani ya siku 100 za kwanza itafuta Sheria zote zinazobana, kuminya na kufifisha haki/uhuru wa kujieleza
> Itatengeneza majukwaa na mifumo itakayowawezesha Watu kutoa maoni
Soma - https://jamii.app/IlaniACT
#Uchaguzi2020
RUVUMA: WATU 71 WANYWA TOGWA INAYODHANIWA KUWA NA SUMU, WANUSURIKA KIFO
> Ni ktk sherehe ya kidini ijulikanayo kama Sadaka. Baadhi wamesema walianza kuharisha na kutapika baada ya kuinywa
> Mkuu wa Wilaya amepiga marufuku togwa kwenye sherehe
Soma https://jamii.app/TogwaSumuRVM
> Ni ktk sherehe ya kidini ijulikanayo kama Sadaka. Baadhi wamesema walianza kuharisha na kutapika baada ya kuinywa
> Mkuu wa Wilaya amepiga marufuku togwa kwenye sherehe
Soma https://jamii.app/TogwaSumuRVM
SHERIA YA GHARAMA ZA UCHAGUZI
Kwa mujibu wa kifungu cha 23 kifungu kidogo cha 7; ni jukumu la Serikali kuhakikisha kuwa njia za usafirishaji zinakuwepo kwa wapiga kura wote ambao wanahitaji kufika kwenye vituo vyao vya kupigia kura
Soma => https://jamii.app/GharamaUchaguzi
#KemeaRushwa
Kwa mujibu wa kifungu cha 23 kifungu kidogo cha 7; ni jukumu la Serikali kuhakikisha kuwa njia za usafirishaji zinakuwepo kwa wapiga kura wote ambao wanahitaji kufika kwenye vituo vyao vya kupigia kura
Soma => https://jamii.app/GharamaUchaguzi
#KemeaRushwa
ACT-WAZALENDO YAMUUNGA MKONO MGOMBEA URAIS WA CHADEMA
- Akifanya Kampeni Jimbo la Donge leo, Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Taifa, Maalim Seif Sharif Hamad amemuidhinisha Tundu Lissu kuwa Mgombea wao wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Soma - https://jamii.app/MaalimLissuUrais
#Uchaguzi2020
- Akifanya Kampeni Jimbo la Donge leo, Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Taifa, Maalim Seif Sharif Hamad amemuidhinisha Tundu Lissu kuwa Mgombea wao wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Soma - https://jamii.app/MaalimLissuUrais
#Uchaguzi2020
MEMBE: MIMI NDIYE MGOMBEA URAIS KUPITIA ACT-WAZALENDO
> Bernard Membe amekanusha taarifa za kuwa wamejiunga na CHADEMA katika ngazi ya Urais
> Amesema yeye ndiye aliyekabidhiwa Ilani ya Chama ili kuinadi kote nchini kwenye Uchaguzi
Soma https://jamii.app/MembeACT-CDM
#Uchaguzi2020
> Bernard Membe amekanusha taarifa za kuwa wamejiunga na CHADEMA katika ngazi ya Urais
> Amesema yeye ndiye aliyekabidhiwa Ilani ya Chama ili kuinadi kote nchini kwenye Uchaguzi
Soma https://jamii.app/MembeACT-CDM
#Uchaguzi2020
MAREKANI YAITAKA KENYA KUIUNGA MKONO ISRAEL HADHARANI
> Nchi hiyo imesema hakutakuwa na Makubaliano ya Biashara Huria (FTA) Kenya isipofanya hivyo
> Vilevile, imeitaka Kenya kukemea vitendo vinavyoathiri biashara kati ya Marekani na Israel
Soma https://jamii.app/USKenyaFTA
> Nchi hiyo imesema hakutakuwa na Makubaliano ya Biashara Huria (FTA) Kenya isipofanya hivyo
> Vilevile, imeitaka Kenya kukemea vitendo vinavyoathiri biashara kati ya Marekani na Israel
Soma https://jamii.app/USKenyaFTA
ILANI YA CHAUMMA INASEMAJE KUHUSU KATIBA MPYA?
> Itahakikisha Rasimu ya #Katiba inarejeshwa kama ilivyopendekezwa na wananchi
> Itaweka misingi ya Mgawanyo wa Mamlaka ktk Mihimili ya Dola itakayoondoa utaratibu wa Mihimili kuingiliana
Soma - https://jamii.app/IlaniCHAUMMA
#TZ2020
> Itahakikisha Rasimu ya #Katiba inarejeshwa kama ilivyopendekezwa na wananchi
> Itaweka misingi ya Mgawanyo wa Mamlaka ktk Mihimili ya Dola itakayoondoa utaratibu wa Mihimili kuingiliana
Soma - https://jamii.app/IlaniCHAUMMA
#TZ2020