LIGI KUU ENGLAND: TOTTENHAM YASHINDA. LIVERPOOL NA CHELSEA KUVAANA BAADAYE
- Tottenham imefanikiwa kuibuka na ushindi wa goli 5-2 dhidi ya Southampton huku Heung-Min Son akiibuka nyota wa mchezo baada ya kufunga magoli manne
- Mchezo unaoendelea sasa ni kati ya Newcastle na Brighton. Majira ya saa 12:30 jioni (Saa za Afrika Mashariki), Chelsea itakutana na Liverpool
#JFSports #Michezo
- Tottenham imefanikiwa kuibuka na ushindi wa goli 5-2 dhidi ya Southampton huku Heung-Min Son akiibuka nyota wa mchezo baada ya kufunga magoli manne
- Mchezo unaoendelea sasa ni kati ya Newcastle na Brighton. Majira ya saa 12:30 jioni (Saa za Afrika Mashariki), Chelsea itakutana na Liverpool
#JFSports #Michezo
CUF YAAHIDI KUWAJALI WALEMAVU
> Mgombea Mwenza (CUF), Hamida Huweishi amesema, CUF ikishinda Uchaguzi nafasi ya Urais, itatenga Fungu Maalum la kuwawezesha watu wenye ulemavu wapate elimu pamoja na kutoa mafunzo stahiki ili waweze kuwaajiri
Soma https://jamii.app/CUFVsWalemavu
> Mgombea Mwenza (CUF), Hamida Huweishi amesema, CUF ikishinda Uchaguzi nafasi ya Urais, itatenga Fungu Maalum la kuwawezesha watu wenye ulemavu wapate elimu pamoja na kutoa mafunzo stahiki ili waweze kuwaajiri
Soma https://jamii.app/CUFVsWalemavu
IVORY COAST: RAIS WA ZAMANI ATAKA WANANCHI KUPINGA RAIS WA SASA KUWANIA MUHULA WA 3
> Konan Bedie ni miongoni mwa wanaompinga Rais Alassane Ouatarra (78)
> Tume ya Uchaguzi imewaondoa wagombea 40 akiwemo Rais wa zamani, Laurent Gbagbo
Soma https://jamii.app/ElectionsIvoryCoast
> Konan Bedie ni miongoni mwa wanaompinga Rais Alassane Ouatarra (78)
> Tume ya Uchaguzi imewaondoa wagombea 40 akiwemo Rais wa zamani, Laurent Gbagbo
Soma https://jamii.app/ElectionsIvoryCoast
CUF: KUNA MAISHA BAADA YA UCHAGUZI
> Mwenyekiti CUF Wilayani Chakechake Pemba amesema, hawako tayari kufanya fujo wala ghasia kwa kuwaandamanisha vijana
> Ameongeza, hiyo ndio tofauti kubwa kati yao (CUF) na vyama vingine
Soma https://jamii.app/UchaguziAmani
> Mwenyekiti CUF Wilayani Chakechake Pemba amesema, hawako tayari kufanya fujo wala ghasia kwa kuwaandamanisha vijana
> Ameongeza, hiyo ndio tofauti kubwa kati yao (CUF) na vyama vingine
Soma https://jamii.app/UchaguziAmani
SEPTEMBA 21: MAADHIMISHO YA SIKU YA AMANI DUNIANI
> Ni siku ya kuimarisha amani ktk nchi, kati ya mataifa na kwa wananchi
> Kaulimbiu ni "Kujenga Amani Pamoja" na Watu wametakiwa kusherehekea kwa kuwa wakarimu na kusambaza matumaini
Soma https://jamii.app/PeaceDay2020
#WorldPeaceDay
> Ni siku ya kuimarisha amani ktk nchi, kati ya mataifa na kwa wananchi
> Kaulimbiu ni "Kujenga Amani Pamoja" na Watu wametakiwa kusherehekea kwa kuwa wakarimu na kusambaza matumaini
Soma https://jamii.app/PeaceDay2020
#WorldPeaceDay
SIMIYU: CHEYO (UDP) ATOA WITO KWA WANANCHI KUMCHAGUA DKT. MAGUFULI (CCM)
> Amesema, Chama hicho kinamuunga mkono Mgombea Urais wa CCM kutokana na jitihada zake kwenye kuwasikiliza wananchi wakiwemo wanasiasa kutoka Vyama vya Upinzani
Soma - https://jamii.app/CheyoKuraMagufuli
#Uchaguzi2020
> Amesema, Chama hicho kinamuunga mkono Mgombea Urais wa CCM kutokana na jitihada zake kwenye kuwasikiliza wananchi wakiwemo wanasiasa kutoka Vyama vya Upinzani
Soma - https://jamii.app/CheyoKuraMagufuli
#Uchaguzi2020
KESI YA JAMIIFORUMS: HUKUMU KUTOLEWA OKTOBA 30
> Kesi namba 458 ya mwaka 2016 imeendelea leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar
> Hakimu Huruma Shaidi amepanga kutoa hukumu ya shauri hili tarehe 30 Oktoba 2020
Soma https://jamii.app/JFKesiHukumu
> Kesi namba 458 ya mwaka 2016 imeendelea leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar
> Hakimu Huruma Shaidi amepanga kutoa hukumu ya shauri hili tarehe 30 Oktoba 2020
Soma https://jamii.app/JFKesiHukumu
DKT. MAGUFULI: KUNA CHAMA KINA SERA YA KUTENGENEZA MAJIMBO, HUO NDIO MWANZO WA MFARAKANO
> Mgombea Urais wa CCM amesema, wananchi wasikubali kuingizwa kwenye uongozi wa majaribio kwasababu wanaosema hivyo wana lengo la kuvuruga nchi
Soma - https://jamii.app/MagufuliMajimbo
#Uchaguzi2020
> Mgombea Urais wa CCM amesema, wananchi wasikubali kuingizwa kwenye uongozi wa majaribio kwasababu wanaosema hivyo wana lengo la kuvuruga nchi
Soma - https://jamii.app/MagufuliMajimbo
#Uchaguzi2020
#CORONAVIRUS-UGANDA: SHULE NA VYUO VIKUU KUFUNGULIWA OKTOBA 15
> Rais Yoweri Museveni ametangaza kuwa Shule na Taasisi za Elimu ya Juu zitafunguliwa tena kuanzia tarehe 15 Oktoba na mikakati imewekwa kuhakikisha wanafunzi wanakuwa salama
Soma - https://jamii.app/UGSchoolOpen
> Rais Yoweri Museveni ametangaza kuwa Shule na Taasisi za Elimu ya Juu zitafunguliwa tena kuanzia tarehe 15 Oktoba na mikakati imewekwa kuhakikisha wanafunzi wanakuwa salama
Soma - https://jamii.app/UGSchoolOpen
FAHAMU ILANI YA CUF INASEMAJE KUHUSU MSINGI WA KATIBA KATIKA UONGOZI
> Mchakato wa uandaaji wa #Katiba utafufuliwa katika kipindi cha miezi 3 baada ya Serikali kuapishwa kwa kuboresha Rasimu ya Katiba ya Tume ya Jaji Warioba
Fahamu zaidi - https://jamii.app/IlaniCUF
#Uchaguzi2020
> Mchakato wa uandaaji wa #Katiba utafufuliwa katika kipindi cha miezi 3 baada ya Serikali kuapishwa kwa kuboresha Rasimu ya Katiba ya Tume ya Jaji Warioba
Fahamu zaidi - https://jamii.app/IlaniCUF
#Uchaguzi2020
MALEZI: TABIA ZA WAZAZI ZINAZOWEZA KUSABABISHA WATOTO KUTOFANIKIWA
> Wazazi wasiowahamasisha watoto kujitegemea. Wazazi wanapaswa kufanya hivi kwani inasaidia Mtoto kujua mabaya na mazuri anapokutana na vishawishi
> Wazazi wanaokaripia watoto wao mara kwa mara. Kumkaripia, kumtukana, kumsema kwa kejeli humfanya Mtoto kuwa muoga wa kila kitu
> Tabia ya kutaka kujua kila kinachoendelea. Kuendesha kila kitu cha Mtoto kutampelekea kuwa na wasiwasi, hatoweza kufanya uamuzi bila Mzazi
Soma - https://jamii.app/TabiaWazaziWatoto
> Wazazi wasiowahamasisha watoto kujitegemea. Wazazi wanapaswa kufanya hivi kwani inasaidia Mtoto kujua mabaya na mazuri anapokutana na vishawishi
> Wazazi wanaokaripia watoto wao mara kwa mara. Kumkaripia, kumtukana, kumsema kwa kejeli humfanya Mtoto kuwa muoga wa kila kitu
> Tabia ya kutaka kujua kila kinachoendelea. Kuendesha kila kitu cha Mtoto kutampelekea kuwa na wasiwasi, hatoweza kufanya uamuzi bila Mzazi
Soma - https://jamii.app/TabiaWazaziWatoto
TUNDU LISSU: NITABADILI MFUMO WA UTAWALA KUPITIA MABADILIKO YA KATIBA
> Amesema "Uchaguzi huu tunahitaji kufanya Mabadiliko na moja ni manyanyaso ya wananchi kuuziwa Vitambulisho vya wajasiriamali. Kwanini muuziwe vitambulisho?"
Soma - https://jamii.app/LissuNyakanazi
#Uchaguzi2020
> Amesema "Uchaguzi huu tunahitaji kufanya Mabadiliko na moja ni manyanyaso ya wananchi kuuziwa Vitambulisho vya wajasiriamali. Kwanini muuziwe vitambulisho?"
Soma - https://jamii.app/LissuNyakanazi
#Uchaguzi2020
CHAMA CHA ADC KINAENDELEA NA KAMPENI MKOANI TANGA
> Mgombea Urais wa Chama hicho, Queen Cuthbert Sendiga leo anaendelea na kampeni zake Wilayani Kilindi ktk Kata za Songe, Madoti, Kwamwambe, Mafisa, Kisangasa na Kwadiboma
Soma - https://jamii.app/ADCTanga
#Uchaguzi2020 #TZ2020
> Mgombea Urais wa Chama hicho, Queen Cuthbert Sendiga leo anaendelea na kampeni zake Wilayani Kilindi ktk Kata za Songe, Madoti, Kwamwambe, Mafisa, Kisangasa na Kwadiboma
Soma - https://jamii.app/ADCTanga
#Uchaguzi2020 #TZ2020
KENYA: WALIMU WATAKIWA KUFIKA SHULENI SEPTEMBA 28
> Tume ya Elimu kutoka Taasisi ya Maendeleo ya Mitaala (KICD) imependekeza Shule kufunguliwa Oktoba
> Waziri wa Elimu amesema tarehe rasmi itatangazwa baada ya Kamati kufanya mazungumzo
Soma - https://jamii.app/WalimuShuleKE
> Tume ya Elimu kutoka Taasisi ya Maendeleo ya Mitaala (KICD) imependekeza Shule kufunguliwa Oktoba
> Waziri wa Elimu amesema tarehe rasmi itatangazwa baada ya Kamati kufanya mazungumzo
Soma - https://jamii.app/WalimuShuleKE
INDIA: WATU 10 WAFARIKI BAADA YA JENGO KUPOROMOKA
> Jengo hilo liliwekwa katika orodha ya majengo hatari na taarifa ya wakazi kuondolewa ilitolewa
> Watu 20 hadi 25 wanahofiwa kukwama chini na jitihada za uokoaji zinaendelea
Soma - https://jamii.app/BuildingCollapseIndia
> Jengo hilo liliwekwa katika orodha ya majengo hatari na taarifa ya wakazi kuondolewa ilitolewa
> Watu 20 hadi 25 wanahofiwa kukwama chini na jitihada za uokoaji zinaendelea
Soma - https://jamii.app/BuildingCollapseIndia
FAHAMU ILANI YA CHADEMA INASEMA NINI KUHUSU UHURU WA KUJIELEZA
> Itahakikisha Sheria zote zinazokandamiza uhuru wa habari zitafutwa na kila mwananchi atakuwa huru
> Itachunguza matukio ya vifo na utekaji wa waandishi wa habari
Zaidi, soma https://jamii.app/IlaniCDM
#Uchaguzi2020
> Itahakikisha Sheria zote zinazokandamiza uhuru wa habari zitafutwa na kila mwananchi atakuwa huru
> Itachunguza matukio ya vifo na utekaji wa waandishi wa habari
Zaidi, soma https://jamii.app/IlaniCDM
#Uchaguzi2020
ILANI YA ACT-WAZALENDO INASEMAJE KUHUSU UHURU WA KUJIELEZA?
> Ndani ya siku 100 za kwanza itafuta Sheria zote zinazobana, kuminya na kufifisha haki/uhuru wa kujieleza
> Itatengeneza majukwaa na mifumo itakayowawezesha Watu kutoa maoni
Soma - https://jamii.app/IlaniACT
#Uchaguzi2020
> Ndani ya siku 100 za kwanza itafuta Sheria zote zinazobana, kuminya na kufifisha haki/uhuru wa kujieleza
> Itatengeneza majukwaa na mifumo itakayowawezesha Watu kutoa maoni
Soma - https://jamii.app/IlaniACT
#Uchaguzi2020
RUVUMA: WATU 71 WANYWA TOGWA INAYODHANIWA KUWA NA SUMU, WANUSURIKA KIFO
> Ni ktk sherehe ya kidini ijulikanayo kama Sadaka. Baadhi wamesema walianza kuharisha na kutapika baada ya kuinywa
> Mkuu wa Wilaya amepiga marufuku togwa kwenye sherehe
Soma https://jamii.app/TogwaSumuRVM
> Ni ktk sherehe ya kidini ijulikanayo kama Sadaka. Baadhi wamesema walianza kuharisha na kutapika baada ya kuinywa
> Mkuu wa Wilaya amepiga marufuku togwa kwenye sherehe
Soma https://jamii.app/TogwaSumuRVM
SHERIA YA GHARAMA ZA UCHAGUZI
Kwa mujibu wa kifungu cha 23 kifungu kidogo cha 7; ni jukumu la Serikali kuhakikisha kuwa njia za usafirishaji zinakuwepo kwa wapiga kura wote ambao wanahitaji kufika kwenye vituo vyao vya kupigia kura
Soma => https://jamii.app/GharamaUchaguzi
#KemeaRushwa
Kwa mujibu wa kifungu cha 23 kifungu kidogo cha 7; ni jukumu la Serikali kuhakikisha kuwa njia za usafirishaji zinakuwepo kwa wapiga kura wote ambao wanahitaji kufika kwenye vituo vyao vya kupigia kura
Soma => https://jamii.app/GharamaUchaguzi
#KemeaRushwa
ACT-WAZALENDO YAMUUNGA MKONO MGOMBEA URAIS WA CHADEMA
- Akifanya Kampeni Jimbo la Donge leo, Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Taifa, Maalim Seif Sharif Hamad amemuidhinisha Tundu Lissu kuwa Mgombea wao wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Soma - https://jamii.app/MaalimLissuUrais
#Uchaguzi2020
- Akifanya Kampeni Jimbo la Donge leo, Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Taifa, Maalim Seif Sharif Hamad amemuidhinisha Tundu Lissu kuwa Mgombea wao wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Soma - https://jamii.app/MaalimLissuUrais
#Uchaguzi2020