ZANZIBAR: MBWANA YAHYA MWINYI ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS KUPITIA CCM
- Kada huyo anakuwa mwanachama wa 3 kujitokeza na kuchukua fomu ya kugombea Urais
- Wanachama wengine ambao wamechukua fomu ni Mbwana Bakari Juma na Ali Abeid Karume
Soma - https://jamii.app/FomuUraisZnz
- Kada huyo anakuwa mwanachama wa 3 kujitokeza na kuchukua fomu ya kugombea Urais
- Wanachama wengine ambao wamechukua fomu ni Mbwana Bakari Juma na Ali Abeid Karume
Soma - https://jamii.app/FomuUraisZnz
#CORONAVIRUS: JE, NI SAHIHI KUVAA BARAKOA WAKATI WA KUFANYA MAZOEZI?
> Haitakiwi kuvaa barakoa kwa sababu zinapunguza uwezo wa kupumua vizuri
> Jilinde na #COVID19 kwa kuhakikisha kuna umbali wa angalau mita 1 kati yako na wengine
Soma https://jamii.app/BarakoaMazoezini
#IshiNaCOVID19
> Haitakiwi kuvaa barakoa kwa sababu zinapunguza uwezo wa kupumua vizuri
> Jilinde na #COVID19 kwa kuhakikisha kuna umbali wa angalau mita 1 kati yako na wengine
Soma https://jamii.app/BarakoaMazoezini
#IshiNaCOVID19
- Waziri wa Elimu, Prof. Joyce Ndalichako amesema Wanafunzi hakutakuwa na likizo hadi Desemba
- Pia amesema Shule zitalazimika kuongeza saa mbili za masomo
- Taratibu zote hizo hazitawahusisha wanafunzi wa awali (Chekechea) hadi darasa la 2
Angalia - https://youtu.be/Li6DzCX5yEo
- Pia amesema Shule zitalazimika kuongeza saa mbili za masomo
- Taratibu zote hizo hazitawahusisha wanafunzi wa awali (Chekechea) hadi darasa la 2
Angalia - https://youtu.be/Li6DzCX5yEo
YouTube
Waziri Ndalichako: Muda wa masomo kwa Wanafunzi wakirejea shule Juni 29, 2020 utaongezwa
Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako ametangaza utaratibu wa wanafuzi kurudi shuleni Juni 29, 2020 ambapo saa mbili zitaongezwa kati...
RAIS TRUMP ASAINI AMRI KUHUSU UBAGUZI WA POLISI KWA RAIA
> Amri hiyo imezingatia kuhakiki sifa za Maofisa wa Polisi, kuongeza upashanaji wa habari ili kufuatilia Maofisa wanaoshukiwa kwa matumizi ya nguvu na kuzindua mipango ya kukabiliana na watu wenye shida ya afya ya akili, waliotumia dawa za kulevya na waliopoteza makazi
Soma - https://jamii.app/TrumpPoliceViolenc
> Amri hiyo imezingatia kuhakiki sifa za Maofisa wa Polisi, kuongeza upashanaji wa habari ili kufuatilia Maofisa wanaoshukiwa kwa matumizi ya nguvu na kuzindua mipango ya kukabiliana na watu wenye shida ya afya ya akili, waliotumia dawa za kulevya na waliopoteza makazi
Soma - https://jamii.app/TrumpPoliceViolenc
ZANZIBAR: HUSSEIN MWINYI ACHUKUA FOMU KUGOMBEA URAIS
> Waziri wa Ulinzi wa JMT, Dkt. Hussein Mwinyi amechukua fomu ya kugombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM)
> Anakuwa mtu wa 5 kuchukua fomu kwa lengo la kuomba ridhaa ya CCM kuwa mgombea
Soma https://jamii.app/MwinyiFomuZNZ
#Uchaguzi2020
> Waziri wa Ulinzi wa JMT, Dkt. Hussein Mwinyi amechukua fomu ya kugombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM)
> Anakuwa mtu wa 5 kuchukua fomu kwa lengo la kuomba ridhaa ya CCM kuwa mgombea
Soma https://jamii.app/MwinyiFomuZNZ
#Uchaguzi2020
ZANZIBAR: OMAR SHEHA MUSSA (CCM) ACHUKUA FOMU YA URAIS
- Omar Sheha Mussa amechukua fomu ya kuwania nafasi ya Urais Zanzibar kwa tiketi ya CCM
- Wengine waliochukua fomu ni Mbwana Bakari Juma, Ali Abeid Karume, Mbwana Yahya Mwinyi na Dkt. Hussein Mwinyi
Soma - https://jamii.app/OmarShehaFomuUrais
- Omar Sheha Mussa amechukua fomu ya kuwania nafasi ya Urais Zanzibar kwa tiketi ya CCM
- Wengine waliochukua fomu ni Mbwana Bakari Juma, Ali Abeid Karume, Mbwana Yahya Mwinyi na Dkt. Hussein Mwinyi
Soma - https://jamii.app/OmarShehaFomuUrais
MICHUANO YA KLABU BINGWA ULAYA YATARAJIWA KUMALIZIWA NDANI YA SIKU 12
> Shirikisho la Soka Ulaya (UEFA), linatarajiwa kumaliza mashindano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya mwezi Agosti mpango utakaoamuliwa leo kwenye kikao cha Kamati Tendaji
> Hatua za robo fainali, nusu fainali na fainali zitachezwa jijini Lisbon kuanzia Agosti 12-23
Soma - https://jamii.app/UEFALeague
> Shirikisho la Soka Ulaya (UEFA), linatarajiwa kumaliza mashindano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya mwezi Agosti mpango utakaoamuliwa leo kwenye kikao cha Kamati Tendaji
> Hatua za robo fainali, nusu fainali na fainali zitachezwa jijini Lisbon kuanzia Agosti 12-23
Soma - https://jamii.app/UEFALeague
UGANDA: KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU KUFANYIKA KIDIJITALI
- Kutokana na #COVID19, Tume ya Uchaguzi imewataka wagombea kuendesha kampeni kwa kutumia vyombo vya habari
- Uchaguzi Mkuu unatarajiwa kufanyika kati ya Januari 10 na Februari 8, 2021
Soma - https://jamii.app/KampeniUchaguziUG
- Kutokana na #COVID19, Tume ya Uchaguzi imewataka wagombea kuendesha kampeni kwa kutumia vyombo vya habari
- Uchaguzi Mkuu unatarajiwa kufanyika kati ya Januari 10 na Februari 8, 2021
Soma - https://jamii.app/KampeniUchaguziUG
CHADEMA: WANACHAMA 11 WAJITOKEZA KUWANIA NAFASI YA URAIS
> Baadhi ya Wagombea hao ni pamoja na Isaya Mwita, Tundu Lissu, Mch. Peter Msigwa, Wakili Nikodemus Gaspar, Naro Opio
> Wengine ni Lazaro Nyalandu, Dkt. Majinge Maryrose, Manyama Leornard na Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe
Soma https://jamii.app/UraisTZCDM
> Baadhi ya Wagombea hao ni pamoja na Isaya Mwita, Tundu Lissu, Mch. Peter Msigwa, Wakili Nikodemus Gaspar, Naro Opio
> Wengine ni Lazaro Nyalandu, Dkt. Majinge Maryrose, Manyama Leornard na Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe
Soma https://jamii.app/UraisTZCDM
CHINA: WALIOPEWA CHANJO YA #CORONA WATHIBITIKA KUPATA KINGAMWILI
> Matokeo yameonesha kuwa baada ya kupewa chanjo hiyo, hakuna mtu aliyekuwa na dalili mbaya na wote wamepata kingamwili dhidi ya virusi vya #COVID19
> Majaribio hayo yalifanyika kwa siku 66 chini ya uongozi wa Kituo cha Kinga na Udhibiti wa Magonjwa cha Henan
Soma - https://jamii.app/VaccineCorona
#JFCOVID19_Updates
> Matokeo yameonesha kuwa baada ya kupewa chanjo hiyo, hakuna mtu aliyekuwa na dalili mbaya na wote wamepata kingamwili dhidi ya virusi vya #COVID19
> Majaribio hayo yalifanyika kwa siku 66 chini ya uongozi wa Kituo cha Kinga na Udhibiti wa Magonjwa cha Henan
Soma - https://jamii.app/VaccineCorona
#JFCOVID19_Updates
KENYA: VISA VYA #CORONAVIRUS VYAFIKIA 4,044
- Visa vipya 184 vimethibitishwa baada ya sampuli 2,518 kupimwa. Idadi hiyo ni kubwa zaidi kurekodiwa kwa siku 1
- Wagonjwa waliopona hadi sasa ni 1,353 na vifo vilivyorekodiwa ni 107
Soma - https://jamii.app/Corona4044KE
#JFCOVID19_Updates
- Visa vipya 184 vimethibitishwa baada ya sampuli 2,518 kupimwa. Idadi hiyo ni kubwa zaidi kurekodiwa kwa siku 1
- Wagonjwa waliopona hadi sasa ni 1,353 na vifo vilivyorekodiwa ni 107
Soma - https://jamii.app/Corona4044KE
#JFCOVID19_Updates
HONDURAS: RAIS JUAN HERNΓNDEZ, MKEWE WAAMBUKIZWA #CORONAVIRUS
- Rais Juan Orlando HernΓ‘ndez, Mkewe Ana GarcΓa CarΓas na wafanyakazi 2 wamepata #COVID19
- Nchi ya Honduras iliyopo Amerika Kusini imerekodi visa 9,656 na vifo 330
Soma - https://jamii.app/CoronaRaisHonduras
#JFCOVID19_Updates
- Rais Juan Orlando HernΓ‘ndez, Mkewe Ana GarcΓa CarΓas na wafanyakazi 2 wamepata #COVID19
- Nchi ya Honduras iliyopo Amerika Kusini imerekodi visa 9,656 na vifo 330
Soma - https://jamii.app/CoronaRaisHonduras
#JFCOVID19_Updates
#CORONAVIRUS: MWONGOZO KWA WAFANYABIASHARA NA WATOA HUDUMA KATIKA SEKTA YA UTALII
- 1. Uvaaji wa Barakoa uzingatiwe
- 2. Wahudumu, wafanyabiashara waepuke ukaribu usio lazima
- 3. Wasafirishaji wazingatie Social Distancing
- 4. Sheria kali za unawaji wa mikono ziwekwe kwenye maeneo yote yanayohusu sekta ya utalii
- 5. Waongozaji wa watalii wanapaswa kuwa na namba za mamlaka zinazohusika na suala zima la COVID19 endapo dharura itatokea ya mtalii kuonesha dalili
- 6. Waongozaji wa watalii wawasihi watalii kutojihusisha kingono na wazawa na wawaonye pia wazawa ambao hutumia ngono kama fursa ya kupata manufaa kifedha
- 7. Mamlaka ziwashauri watalii kutotumia usafiri wa umma ili kuepusha kueneza maambukizi
Soma > https://jamii.app/UtaliiVsCOVID19
#IshiNaCOVID19
- 1. Uvaaji wa Barakoa uzingatiwe
- 2. Wahudumu, wafanyabiashara waepuke ukaribu usio lazima
- 3. Wasafirishaji wazingatie Social Distancing
- 4. Sheria kali za unawaji wa mikono ziwekwe kwenye maeneo yote yanayohusu sekta ya utalii
- 5. Waongozaji wa watalii wanapaswa kuwa na namba za mamlaka zinazohusika na suala zima la COVID19 endapo dharura itatokea ya mtalii kuonesha dalili
- 6. Waongozaji wa watalii wawasihi watalii kutojihusisha kingono na wazawa na wawaonye pia wazawa ambao hutumia ngono kama fursa ya kupata manufaa kifedha
- 7. Mamlaka ziwashauri watalii kutotumia usafiri wa umma ili kuepusha kueneza maambukizi
Soma > https://jamii.app/UtaliiVsCOVID19
#IshiNaCOVID19
RC SHIGELLA APIGA MARUFUKU WATANZANIA KUPIMWA #CORONA KENYA
> Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Martin Shigella amepiga marufuku madereva wa Tanzania kupimwa #COVID19 Kenya baada ya kuwa wamepimwa hapa nchini
> Asema kurudiwa kupimwa kunaweza kuwasababishia matatizo ya ubongo kwa kuchokonolewa kila baada ya siku 14
Soma - https://jamii.app/UpimajiCoronaKE
> Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Martin Shigella amepiga marufuku madereva wa Tanzania kupimwa #COVID19 Kenya baada ya kuwa wamepimwa hapa nchini
> Asema kurudiwa kupimwa kunaweza kuwasababishia matatizo ya ubongo kwa kuchokonolewa kila baada ya siku 14
Soma - https://jamii.app/UpimajiCoronaKE
BUNDA: BABA AWABAKA MABINTI ZAKE NA KUMPA MMOJA UJAUZITO
> Mama wa watoto hao, Gaudensia Michael amesema siku ya kwanza aliyomfuma mume wake kitandani na mwanaye, aliamua kusamehe kwa kuamini asingerudia
> Amewabaka watoto 2 kwa nyakati tofauti huku mmoja wa miaka 13 akipata ujauzito
Soma - https://jamii.app/BabaUbakajiWatoto
> Mama wa watoto hao, Gaudensia Michael amesema siku ya kwanza aliyomfuma mume wake kitandani na mwanaye, aliamua kusamehe kwa kuamini asingerudia
> Amewabaka watoto 2 kwa nyakati tofauti huku mmoja wa miaka 13 akipata ujauzito
Soma - https://jamii.app/BabaUbakajiWatoto
WANAFUNZI ZAIDI YA 70,000 WACHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA 5
> Wanafunzi 73,101 wamechaguliwa kujiunga na kidato cha 5 mwaka 2020 na kutakiwa kuripoti Julai 18 ili kuanza masomo Julai 20
> Wanafunzi 1,572 wamechaguliwa kujiunga na shule za vipaji maalumu na 9,264 wamechaguliwa kujiunga na vyuo ktk ngazi ya Stashahada
Soma - https://jamii.app/NafasiKidato5
> Wanafunzi 73,101 wamechaguliwa kujiunga na kidato cha 5 mwaka 2020 na kutakiwa kuripoti Julai 18 ili kuanza masomo Julai 20
> Wanafunzi 1,572 wamechaguliwa kujiunga na shule za vipaji maalumu na 9,264 wamechaguliwa kujiunga na vyuo ktk ngazi ya Stashahada
Soma - https://jamii.app/NafasiKidato5
BURUNDI: RAIS MTEULE KUAPISHWA KESHO. MAKAMU WA RAIS WA TANZANIA KUHUDHURIA
> Evariste Ndayishimiye anatarajiwa kuapishwa kesho, tarehe 18 Juni 2020, badala ya Agosti kama ilivyopangwa hapo awali
> Makamu wa Rais nchini, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuongoza ujumbe wa Tanzania kuhudhuria sherehe hizo
Soma - https://jamii.app/NdayishimiyeKuapishwa
> Evariste Ndayishimiye anatarajiwa kuapishwa kesho, tarehe 18 Juni 2020, badala ya Agosti kama ilivyopangwa hapo awali
> Makamu wa Rais nchini, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuongoza ujumbe wa Tanzania kuhudhuria sherehe hizo
Soma - https://jamii.app/NdayishimiyeKuapishwa
#CORONAVIRUS UPDATE: RAIS WA HONDURAS ALAZWA HOSPITALI
- Rais Juan Orlando HernΓ‘ndez ambaye pia anaumwa #COVID19 amelazwa akitibiwa Homa ya Mapafu (Pneumonia)
- Rais huyo yupo Hospitali ya Jeshi na anapatiwa dawa kwa kutumia dripu
Soma https://jamii.app/CoronaRaisHonduras
#JFCOVID19_Updates
- Rais Juan Orlando HernΓ‘ndez ambaye pia anaumwa #COVID19 amelazwa akitibiwa Homa ya Mapafu (Pneumonia)
- Rais huyo yupo Hospitali ya Jeshi na anapatiwa dawa kwa kutumia dripu
Soma https://jamii.app/CoronaRaisHonduras
#JFCOVID19_Updates
CHINA KUSAMEHE MADENI KWA BAADHI YA NCHI ZA AFRIKA
- Rais wa China Xi Jinping ameahidi kufuta madeni yasiyo na riba kwa baadhi ya mataifa
- Pia, amesema atashirikiana na wakopeshaji wa kimataifa kusaidia nchi zilizoathirika zaidi na #Corona
Soma https://jamii.app/ChinaMadeniAfrika
- Rais wa China Xi Jinping ameahidi kufuta madeni yasiyo na riba kwa baadhi ya mataifa
- Pia, amesema atashirikiana na wakopeshaji wa kimataifa kusaidia nchi zilizoathirika zaidi na #Corona
Soma https://jamii.app/ChinaMadeniAfrika
ZANZIBAR: SHAMSI VUAI NAHODHA ACHUKUA FOMU YA URAIS
- Waziri Kiongozi Mstaafu wa Zanzibar, Shamsi Vuai Nahodha amechukua fomu ya kuwania Urais Zanzibar kupitia CCM
- Nahodha alikuwa Waziri Kiongozi kuanzia mwaka 2000 β 2010
Soma - https://jamii.app/ShamsiUraisZnz
#Uchaguzi2020
- Waziri Kiongozi Mstaafu wa Zanzibar, Shamsi Vuai Nahodha amechukua fomu ya kuwania Urais Zanzibar kupitia CCM
- Nahodha alikuwa Waziri Kiongozi kuanzia mwaka 2000 β 2010
Soma - https://jamii.app/ShamsiUraisZnz
#Uchaguzi2020