SERIKALI: TUNAENDELEA KUTAFUTA MASOKO YA TUMBAKU
- Imesema inaendelea kutafuta masoko ili kuwawezesha Wakulima kuzalisha kwa wingi na kuinua kipato
- Imebainisha kuwa imeshafanya mazungumzo na nchi mbalimbali zikiwemo Vietnam na Misri
Zaidi, soma https://jamii.app/SokoTumbakuLatafutwa
- Imesema inaendelea kutafuta masoko ili kuwawezesha Wakulima kuzalisha kwa wingi na kuinua kipato
- Imebainisha kuwa imeshafanya mazungumzo na nchi mbalimbali zikiwemo Vietnam na Misri
Zaidi, soma https://jamii.app/SokoTumbakuLatafutwa
KENYA: POLISI AJIUA AKIDAIWA ALIKUWA NA UGOMVI NA MKEWE
- Polisi wa Kituo cha Kizurini huko Kaloleni, Kaunti ya Kilifi, Kelvin Kipkemoi amejiua jana kwa kujipiga risasi
- Amejiua majira ya saa 11 alfajiri baada ya kutoka lindoni
Zaidi, soma https://jamii.app/PolisiAjiuaKilifi
- Polisi wa Kituo cha Kizurini huko Kaloleni, Kaunti ya Kilifi, Kelvin Kipkemoi amejiua jana kwa kujipiga risasi
- Amejiua majira ya saa 11 alfajiri baada ya kutoka lindoni
Zaidi, soma https://jamii.app/PolisiAjiuaKilifi
MAREKANI YAZINDUA KAMPENI YA UKAGUZI WA WAHAMIAJI HOLELA
> Idara ya forodha na uhamiaji ya Marekani imezindua ukaguzi wa kushtukiza unaowalenga wahamiaji 2,000 wasio na vibali nchini humo
> Operesheni hiyo itakayofanyika katika miji mikubwa ikiwemo Los Angeles, New York, Chicago na Houston
Soma - https://jamii.app/USMigrantsInspection
> Idara ya forodha na uhamiaji ya Marekani imezindua ukaguzi wa kushtukiza unaowalenga wahamiaji 2,000 wasio na vibali nchini humo
> Operesheni hiyo itakayofanyika katika miji mikubwa ikiwemo Los Angeles, New York, Chicago na Houston
Soma - https://jamii.app/USMigrantsInspection
KAGERA: POLISI YAENDELEA KUMNG’ANG’ANIA HALIMA MDEE
- Amenyimwa dhamana huku Mbunge wa Viti Maalumu, Conchesta Rwamulaza akisema haijaeleweka anashikiliwa kwa sababu gani
- Aidha, CHADEMA imedai Polisi wamedai wanasubiri maelekezo ya RPC
Zaidi, soma https://jamii.app/MdeeAkamatwaBukoba
- Amenyimwa dhamana huku Mbunge wa Viti Maalumu, Conchesta Rwamulaza akisema haijaeleweka anashikiliwa kwa sababu gani
- Aidha, CHADEMA imedai Polisi wamedai wanasubiri maelekezo ya RPC
Zaidi, soma https://jamii.app/MdeeAkamatwaBukoba
AFGHANISTAN: KITUO CHA REDIO CHAFUNGWA KIKIDAI KUTISHWA NA TALIBAN
- Kituo cha redio cha Samaa kimedai kutishwa na Kamanda wa Taliban akipinga uwepo wa Watangazaji wa Kike
- Kimedai kusitisha matangazo kufuatia vitisho vya maandishi na maneno
Zaidi, soma https://jamii.app/AfghanRadioShutsDownTalibanThreats
- Kituo cha redio cha Samaa kimedai kutishwa na Kamanda wa Taliban akipinga uwepo wa Watangazaji wa Kike
- Kimedai kusitisha matangazo kufuatia vitisho vya maandishi na maneno
Zaidi, soma https://jamii.app/AfghanRadioShutsDownTalibanThreats
RUKWA: TANI 2 ZA SAMAKI WENYE SUMU ZATEKETEZWA
-
> Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi na Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania wameteketeza samaki hao waliohifadhiwa kwa kutumia sumu ya kuoshea mifugo aina ya DIP ili wasiharibike
> Sumu hiyo hutumika kuulia kupe kwenye mifugo
Soma - https://jamii.app/SamakiDawaKupe
-
> Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi na Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania wameteketeza samaki hao waliohifadhiwa kwa kutumia sumu ya kuoshea mifugo aina ya DIP ili wasiharibike
> Sumu hiyo hutumika kuulia kupe kwenye mifugo
Soma - https://jamii.app/SamakiDawaKupe
KAGERA: HALIMA MDEE AACHIWA KWA DHAMANA
- Jeshi la Polisi limemuachia Mbunge huyo wa Kawe aliyeshikiliwa tangu jana baada ya kudhaminiwa na Watu wawili
- Ametakiwa kuripoti Kituoni hapo baada ya mwezi mmoja au muda wowote atakapohitajika
Zaidi, soma https://jamii.app/MdeeAkamatwaBukoba
- Jeshi la Polisi limemuachia Mbunge huyo wa Kawe aliyeshikiliwa tangu jana baada ya kudhaminiwa na Watu wawili
- Ametakiwa kuripoti Kituoni hapo baada ya mwezi mmoja au muda wowote atakapohitajika
Zaidi, soma https://jamii.app/MdeeAkamatwaBukoba
BURUNDI: WANANCHI WAFUNGUA KESI DHIDI YA SERIKALI
> Raia 19 wamefungua kesi katika Mahakama ya Afrika Mashariki dhidi ya Serikali yao kupinga vitendo vya unyanyasaji wa haki za binadamu unaoendelea Nchini humo
> Ni baada ya Serikali yao kutaifisha Ardhi na Nyumba zao zimetaifishwa walipopinga Rais Pierre Nkurunzinza kujiongezea muda wa madaraka mwaka jana
Soma - https://jamii.app/RaiakesiVsSerikali
> Raia 19 wamefungua kesi katika Mahakama ya Afrika Mashariki dhidi ya Serikali yao kupinga vitendo vya unyanyasaji wa haki za binadamu unaoendelea Nchini humo
> Ni baada ya Serikali yao kutaifisha Ardhi na Nyumba zao zimetaifishwa walipopinga Rais Pierre Nkurunzinza kujiongezea muda wa madaraka mwaka jana
Soma - https://jamii.app/RaiakesiVsSerikali
MBEYA: MBARONI KWA KUKUTWA NA LAINI 141 ZA SIMU
- Ally Mwakila (32), amekutwa na laini za Halotel 13, laini za Tigo 29, laini moja ya TTCL, laini 78 za VodaCom na laini 20 za Airtel
- Pia, alikutwa na simu ya Itel (3), Oking (1) na Hotwave (1)
Zaidi, soma https://jamii.app/MbaroniLaini141Simu
- Ally Mwakila (32), amekutwa na laini za Halotel 13, laini za Tigo 29, laini moja ya TTCL, laini 78 za VodaCom na laini 20 za Airtel
- Pia, alikutwa na simu ya Itel (3), Oking (1) na Hotwave (1)
Zaidi, soma https://jamii.app/MbaroniLaini141Simu
UNASHAURIWA KUZINGATIA HAYA KATIKA KUFANYA SHUGHULI ZA KILIMO
> Mtoa mada ndani ya JamiiForums anasema ni vizuri sana kujua vipimo halisi vya shamba lako katika vipimo vya mita na si miguu kama wengi walivyozoea kufanya
> Jali kilimo kama ajira au kazi zingine. Usifanye kilimk baada ya kushindwa kazi zingine hapa duniani au kwa ajili ya kujiburudisha tu
> Epuka kufanya kilimo cha simu. Hata kama unaishi mbali ni vizuri kwenda shambani kwako mara kwa mara hasa kwenye hatua muhimu za upandaji na sio kusubiri siku ya kuvuna
> Epuka kilimo cha kutegemea mvua tu. Mazao mengi au karibu yote, yana uhitaji maalumu wa kiwango cha maji hivyo tumia umwagiliaji pia
Tembelea - https://jamii.app/ZingatioKilimo
#JFKilimo
JACOB ZUMA: TUHUMA ZA RUSHWA DHIDI YANGU NI NJAMA ZA KUNIMALIZA KISIASA
- Amesema madai ya ufisadi ni njama ambayo imekuwepo kwa muda mrefu ili kumuharibia jina
- Amedai mpango huo umetekelezwa na wasimamizi wa chama chake cha ANC
Zaidi, soma https://jamii.app/ZumaAkanaUfisadi
- Amesema madai ya ufisadi ni njama ambayo imekuwepo kwa muda mrefu ili kumuharibia jina
- Amedai mpango huo umetekelezwa na wasimamizi wa chama chake cha ANC
Zaidi, soma https://jamii.app/ZumaAkanaUfisadi
TETESI ZA SOKA: Inadaiwa kuwa Manchester United imekubaliwa kumnunua Mchezaji wa Leicester City, Harry Maguire kwa ada ya Paundi Milioni 80 (Tsh. 230,542,519,200)
Iwapo Maguire ambaye pia anawaniwa kwa karibu na Manchester City atajiunga rasmi na Man. Utd kwa ada ya kiasi hicho basi akuwa ndiye beki ghali zaidi dunia katika historia ya soka
Iwapo Maguire ambaye pia anawaniwa kwa karibu na Manchester City atajiunga rasmi na Man. Utd kwa ada ya kiasi hicho basi akuwa ndiye beki ghali zaidi dunia katika historia ya soka
WALIOUA WATANZANIA 9 MPAKANI MWA MSUMBIJI WAKAMATWA
> Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Simon Sirro amesema, watu 5 wanaoshukiwa kuhusika katika tukio la mauaji ya Watanzania 9 wamekamatwa na mmoja kati yao amefariki
> IGP Sirro amesema mpango wa utekelezaji wa tukio hilo ulifanyika Tanzania, huku utekelezaji wake ukifanyika Msumbiji
Soma - https://jamii.app/WahusikaMauajiWatz9
> Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Simon Sirro amesema, watu 5 wanaoshukiwa kuhusika katika tukio la mauaji ya Watanzania 9 wamekamatwa na mmoja kati yao amefariki
> IGP Sirro amesema mpango wa utekelezaji wa tukio hilo ulifanyika Tanzania, huku utekelezaji wake ukifanyika Msumbiji
Soma - https://jamii.app/WahusikaMauajiWatz9
Vacancy: Content Production Manager (1) needed at JamiiForums
Deadline for Applications: 27.07.2019
Responsibilities, Qualifications and Mode of Application >> jamii.app/JFVacancyCPM
Deadline for Applications: 27.07.2019
Responsibilities, Qualifications and Mode of Application >> jamii.app/JFVacancyCPM
Vacancy: Content Monitoring and Evaluation Manager (1) needed at JamiiForums
Deadline for Applications: 27.07.2019
Responsibilities, Qualifications and Mode of Application >> jamii.app/JFVacancyCMEM
Deadline for Applications: 27.07.2019
Responsibilities, Qualifications and Mode of Application >> jamii.app/JFVacancyCMEM
Vacancy: Content Manager/Moderator (6) needed at JamiiForums
Deadline for Applications: 27.07.2019
Responsibilities, Qualifications and Mode of Application >> jamii.app/JFVacancyCMMOD
Deadline for Applications: 27.07.2019
Responsibilities, Qualifications and Mode of Application >> jamii.app/JFVacancyCMMOD
Vacancies: Social Media Engagers (4) needed at JamiiForums
Deadline for Applications: 27.07.2019
Responsibilities, Qualifications and Mode of Application >> jamii.app/JFVacancySME
Deadline for Applications: 27.07.2019
Responsibilities, Qualifications and Mode of Application >> jamii.app/JFVacancySME
Vacancy: Administrative Assistant (1) needed at JamiiForums
Deadline for Applications: 27.07.2019
Responsibilities, Qualifications and Mode of Application >> jamii.app/JFVacancyAA
Deadline for Applications: 27.07.2019
Responsibilities, Qualifications and Mode of Application >> jamii.app/JFVacancyAA
Vacancies: Interns (4) needed at JamiiForums
Deadline for Applications: 27.07.2019
Responsibilities, Qualifications and Mode of Application >> jamii.app/JFVacancyIntern
Deadline for Applications: 27.07.2019
Responsibilities, Qualifications and Mode of Application >> jamii.app/JFVacancyIntern
Vacancies: Transcribers (2) needed at JamiiForums
Deadline for Applications: 27.07.2019
Responsibilities, Qualifications and Mode of Application >> jamii.app/JFVacancyTrscrb
Deadline for Applications: 27.07.2019
Responsibilities, Qualifications and Mode of Application >> jamii.app/JFVacancyTrscrb