SINGIDA: MWALIMU WA MADRASA AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MAISHA JELA
> Daudi Idd Karata(26) amepewa hukumu hiyo na Mahakama ya Hakimu Mkazi Singida kwa hatia ya kumnajisi Mtoto wa kike(8)
> Ajitetea kuwa yeye ni Mwalimu wa Dini na hawezi kutenda kosa hilo
Soma > https://jamii.app/JelaUnajisiMtoto
> Daudi Idd Karata(26) amepewa hukumu hiyo na Mahakama ya Hakimu Mkazi Singida kwa hatia ya kumnajisi Mtoto wa kike(8)
> Ajitetea kuwa yeye ni Mwalimu wa Dini na hawezi kutenda kosa hilo
Soma > https://jamii.app/JelaUnajisiMtoto
MAFURIKO BUKOBA: Mvua zinazoendelea kunyesha, zimesababisha kukatika kwa mawasiliano ya barabara baada ya daraja la Kanoni kufunikwa na maji
- Daraja la Kanoni ndilo linalounganisha barabara Kuu ya kwenda mikoani, lipo Hamugembe
Soma https://jamii.app/MafurikoBukoba
- Daraja la Kanoni ndilo linalounganisha barabara Kuu ya kwenda mikoani, lipo Hamugembe
Soma https://jamii.app/MafurikoBukoba
KENYA: KIJANA MBARONI KWA KUMPIGA MPENZI WA MAMA YAKE
- Mwenyekiti wa Polisi Jamii amesema, mtuhumiwa alimfuata mwanaume huyo na kumtaka amueleze kwanini yupo kwenye mahusiano na mamake huku akijua ameolewa
- Majeruhi amepelekwa hospitali
Soma > https://jamii.app/AmpigaMpenziMama
- Mwenyekiti wa Polisi Jamii amesema, mtuhumiwa alimfuata mwanaume huyo na kumtaka amueleze kwanini yupo kwenye mahusiano na mamake huku akijua ameolewa
- Majeruhi amepelekwa hospitali
Soma > https://jamii.app/AmpigaMpenziMama
AFRIKA KUSINI YAAHIDI KUAJIRI WALIMU WA KISWAHILI KUTOKA TANZANIA
> Katika Mazungumzo na Rais Magufuli, Rais Ramaphosa amesema nchi yake itachukua walimu wa Kiswahili kutoka Tanzania ili wafundishe somo hilo katika shule za msingi na sekondari
Soma https://jamii.app/SwahiliTeachersSATZ
> Katika Mazungumzo na Rais Magufuli, Rais Ramaphosa amesema nchi yake itachukua walimu wa Kiswahili kutoka Tanzania ili wafundishe somo hilo katika shule za msingi na sekondari
Soma https://jamii.app/SwahiliTeachersSATZ
BRAZIL: WAFUNGWA 15 WAFARIKI KWENYE VURUGU ZILIZOTOKEA GEREZANI
- Wamefariki jana Mei 26 katika gereza moja lililopo kwenye jimbo la Amazonas baada ya vurugu baina yao(Wafungwa) kuzuka
- Walifariki ama kwa kukosa hewa au kuchomwa na vitu vya ncha kali ikiwemo miswaki
Zaidi, soma https://jamii.app/RiotBrazilPrison15Dead
- Wamefariki jana Mei 26 katika gereza moja lililopo kwenye jimbo la Amazonas baada ya vurugu baina yao(Wafungwa) kuzuka
- Walifariki ama kwa kukosa hewa au kuchomwa na vitu vya ncha kali ikiwemo miswaki
Zaidi, soma https://jamii.app/RiotBrazilPrison15Dead
IRAQ: WANACHAMA 3 WA DOLA YA KIISLAMU WAHUKUMIWA KUNYONGWA
- Mahakama moja nchini humo jana iliwahukumu kifo wanachama hao ambao ni raia wa Ufaransa
- Watuhumiwa hao ni miongoni mwa Wafaransa 13 waliokamatwa katika mapambano huko Syria
Zaidi, soma https://jamii.app/Wafaransa3KunyongwaIraq
- Mahakama moja nchini humo jana iliwahukumu kifo wanachama hao ambao ni raia wa Ufaransa
- Watuhumiwa hao ni miongoni mwa Wafaransa 13 waliokamatwa katika mapambano huko Syria
Zaidi, soma https://jamii.app/Wafaransa3KunyongwaIraq
UCHUMI: SEKTA ZINAZOONGOZA KWA KUTAKATISHA FEDHA ZATAJWA
> Ripoti ya Utakatishaji Fedha na Ugaidi ya mwaka 2016 iliyotolewa hivi karibuni imezitaja sekta zinazoongoza ni biashara ya magari, maduka ya kubadilishia fedha, biashara ya nyumba na madini
Zaidi, soma > https://jamii.app/SektaUtakatishajiFedha
> Ripoti ya Utakatishaji Fedha na Ugaidi ya mwaka 2016 iliyotolewa hivi karibuni imezitaja sekta zinazoongoza ni biashara ya magari, maduka ya kubadilishia fedha, biashara ya nyumba na madini
Zaidi, soma > https://jamii.app/SektaUtakatishajiFedha
TANGA: ANAYEDAIWA KUWA MGONJWA WA AKILI AUAWA BAADA YA KUUA WATU 2
- Mgonjwa huyo anayedaiwa kutoroka kwa mganga wa kienyeji amewaua Wanakijiji wa Kilometa 7, Wilayani Muheza
- Aliwaua kwa kuwapiga kwa fimbo huku yeye akiuawa na Wananchi
Zaidi, soma https://jamii.app/MgonjwaAkiliAua2-TA
- Mgonjwa huyo anayedaiwa kutoroka kwa mganga wa kienyeji amewaua Wanakijiji wa Kilometa 7, Wilayani Muheza
- Aliwaua kwa kuwapiga kwa fimbo huku yeye akiuawa na Wananchi
Zaidi, soma https://jamii.app/MgonjwaAkiliAua2-TA
RAIS MAGUFULI AONDOKA AFRIKA KUSINI, AELEKEA NAMIBIA
- Ameelekea Windhoek, Namibia baada ya kushuhudia kuapishwa kwa Rais Cyril Ramaphosa na kuzungumza naye
- Atafanya ziara rasmi nchini Namibia kutokana na mwaliko wa Rais Hage Geingob
Zaidi, soma https://jamii.app/MagufuliAendaNamibia
- Ameelekea Windhoek, Namibia baada ya kushuhudia kuapishwa kwa Rais Cyril Ramaphosa na kuzungumza naye
- Atafanya ziara rasmi nchini Namibia kutokana na mwaliko wa Rais Hage Geingob
Zaidi, soma https://jamii.app/MagufuliAendaNamibia
MWANZA: ASKARI MAGEREZA MABARONI KWA UTAPELI
- Kibemba Warioba(27) mwenye namba B.9205 WDR, amekamatwa akiwa na simu 5 za mitandao tofauti
- Mtuhumiwa akitumia mitandao ya simu alianzisha SACCOS bandia iliyojulikana kama 'Info Tell CCM'
Zaidi, soma https://jamii.app/AskariTapeliMbaroni-MWZ
- Kibemba Warioba(27) mwenye namba B.9205 WDR, amekamatwa akiwa na simu 5 za mitandao tofauti
- Mtuhumiwa akitumia mitandao ya simu alianzisha SACCOS bandia iliyojulikana kama 'Info Tell CCM'
Zaidi, soma https://jamii.app/AskariTapeliMbaroni-MWZ
RAIS MAGUFULI AWASILI NCHINI NAMIBIA
- Amepokelewa na Mwenyeji wake, Rais Hage Geingob katika Ikulu ya nchi hiyo, Jijini Windhoek leo Mei 27
- Rais Magufuli atakuwa nchini Namibia kwa ziara rasmi ya kikazi ya siku mbili
Zaidi, soma https://jamii.app/MagufuliAendaNamibia
- Amepokelewa na Mwenyeji wake, Rais Hage Geingob katika Ikulu ya nchi hiyo, Jijini Windhoek leo Mei 27
- Rais Magufuli atakuwa nchini Namibia kwa ziara rasmi ya kikazi ya siku mbili
Zaidi, soma https://jamii.app/MagufuliAendaNamibia
SERENGETI: BINTI AUAWA NA TEMBO WALIOKUWA WAKIFUKUZWA SHAMBANI
> Tukio hili limetokea usiku katika kijiji cha Bukore kata ya Kyambahi, ambapo binti wa miaka 26, Motondi Shakanyi ameuawa kwa kushambuliwa na Tembo waliofukuzwa shambani
Zaidi, soma => https://jamii.app/BintiAuawaTembo
> Tukio hili limetokea usiku katika kijiji cha Bukore kata ya Kyambahi, ambapo binti wa miaka 26, Motondi Shakanyi ameuawa kwa kushambuliwa na Tembo waliofukuzwa shambani
Zaidi, soma => https://jamii.app/BintiAuawaTembo
WATANZANIA WAONGOZA KWA MATUMIZI YA BANGI KWA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI
> Utafiti huu ni kwa mujibu wa taasisi ya New Frontier Data ya Uingereza ambapo licha ya Tanzania kuongoza kwa Afrika Mashariki pia imeshika nafasi ya 5 kwa nchi za Afrika
Soma > https://jamii.app/TzMarijuana
> Utafiti huu ni kwa mujibu wa taasisi ya New Frontier Data ya Uingereza ambapo licha ya Tanzania kuongoza kwa Afrika Mashariki pia imeshika nafasi ya 5 kwa nchi za Afrika
Soma > https://jamii.app/TzMarijuana
SINGIDA: TAKUKURU INAMSHIKILIA LAZARO NYALANDU
- Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa imemkamata Mwanachama huyo wa CHADEMA, aliyekuwa Mbunge wa Singida Kaskazini kwa mahojiano
- Amekamatwa akiwa kwenye kikao cha chama katika Kata ya Itaja, mkoani Singida
Zaidi, soma https://jamii.app/NyalanduAkamatwaTAKUKURU
- Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa imemkamata Mwanachama huyo wa CHADEMA, aliyekuwa Mbunge wa Singida Kaskazini kwa mahojiano
- Amekamatwa akiwa kwenye kikao cha chama katika Kata ya Itaja, mkoani Singida
Zaidi, soma https://jamii.app/NyalanduAkamatwaTAKUKURU
KILIMO: JIFUNZE AINA KUU 5 ZA ZAO LA KAROTI
> Kuna aina kuu 5 za Karoti ambazo ni Nantes, Chantenay Red Core, Oxheart, Cape Market, Flacoro
> Zao hili hustawi vizuri kwenye sehemu zenye joto la wastani (nyuzi joto 15 hadi 27 za Sentigredi)
Zaidi, soma => https://jamii.app/AinaKaroti
#JFKilimo
> Kuna aina kuu 5 za Karoti ambazo ni Nantes, Chantenay Red Core, Oxheart, Cape Market, Flacoro
> Zao hili hustawi vizuri kwenye sehemu zenye joto la wastani (nyuzi joto 15 hadi 27 za Sentigredi)
Zaidi, soma => https://jamii.app/AinaKaroti
#JFKilimo
DAR: WAFANYABIASHARA 116 WA MTAA WA TANDIKA WAFUNGA MADUKA KISA KODI KUBWA
- Wamedai Mkurugenzi anataka kodi kubwa isiyo rafiki na isiyokuwepo kisheria
- Anataka kodi kuanzia Tsh. 600,000 kwa miezi 3 wakati sasa kodi ya juu ni Tsh. 150,000
Zaidi, soma https://jamii.app/MadukaYafungwaTandika
- Wamedai Mkurugenzi anataka kodi kubwa isiyo rafiki na isiyokuwepo kisheria
- Anataka kodi kuanzia Tsh. 600,000 kwa miezi 3 wakati sasa kodi ya juu ni Tsh. 150,000
Zaidi, soma https://jamii.app/MadukaYafungwaTandika
KANSELA WA AUSTRIA AONDOLEWA MADARAKANI
- Wabunge wamepiga kura ya kutokuwa na imani na Serikali ya Kansela ambaye ni Mkuu wa Baraza la Mawaziri, Sebastian Kurz
- Hatua hiyo inakuja baada ya kuibuka kashfa ya rushwa iliyosababisha Naibu Kansela kujiuzulu
Zaidi, soma https://jamii.app/KanselaAustriaAondolewaMadarakani
- Wabunge wamepiga kura ya kutokuwa na imani na Serikali ya Kansela ambaye ni Mkuu wa Baraza la Mawaziri, Sebastian Kurz
- Hatua hiyo inakuja baada ya kuibuka kashfa ya rushwa iliyosababisha Naibu Kansela kujiuzulu
Zaidi, soma https://jamii.app/KanselaAustriaAondolewaMadarakani