Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
RUVUMA: Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (#CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema Chama chao hakina mpango wa kuahirisha Uchaguzi kama ambavyo “Wale wa Tonetone” wanavyopita na kutangaza kutoshiriki katika Uchaguzi Mkuu wa 2025
Amesema hayo alipokuwa katika Ofisi za CCM Mkoa, leo Juni 9, 2025 ikiwa ni Siku ya kwanza ya ziara yake Mkoani humo
Soma https://jamii.app/WasiraUchaguzi
#Siasa #JamiiForums #Kuelekea2025 #UchaguziMkuu2025 #Democracy
Amesema hayo alipokuwa katika Ofisi za CCM Mkoa, leo Juni 9, 2025 ikiwa ni Siku ya kwanza ya ziara yake Mkoani humo
Soma https://jamii.app/WasiraUchaguzi
#Siasa #JamiiForums #Kuelekea2025 #UchaguziMkuu2025 #Democracy
Wizara ya Mambo ya Nje ya Rwanda imelalamikia uamuzi wa kutokabidhiwa uenyekiti wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika ya Kati (ECCAS), ambapo katika tamko lake imesema haina sababu ya kuendelea kuwa Mwanachama wa Jumuiya ambayo haitii misingi, uamuzi ambao bado haujawa wazi utachukuliwa lini
Aidha, Ofisi ya Rais wa DRC, Félix Tshisekedi, ikiongelea Uamuzi wa Rwanda kutokabidhiwa uongozi wa Jumuiya hiyo imesema Wanachama wa ECCAS wametambua “uchokozi wa Rwanda dhidi ya Congo” na kuitaka Rwanda kuondoa Wanajeshi wake kutoka ardhi ya Congo mara moja
Mvutano kati ya Rwanda na DRC umechochewa na tuhuma za uhusiano wa karibu wa Rwanda na Waasi wa M23 wanaopigana Mashariki mwa Congo, uhusiano ambao mara kadhaa Rwanda imeukana
Zaidi https://jamii.app/RwandaKujitoa
#JamiiForums #JamiiAfrica #Diplomacy
Aidha, Ofisi ya Rais wa DRC, Félix Tshisekedi, ikiongelea Uamuzi wa Rwanda kutokabidhiwa uongozi wa Jumuiya hiyo imesema Wanachama wa ECCAS wametambua “uchokozi wa Rwanda dhidi ya Congo” na kuitaka Rwanda kuondoa Wanajeshi wake kutoka ardhi ya Congo mara moja
Mvutano kati ya Rwanda na DRC umechochewa na tuhuma za uhusiano wa karibu wa Rwanda na Waasi wa M23 wanaopigana Mashariki mwa Congo, uhusiano ambao mara kadhaa Rwanda imeukana
Zaidi https://jamii.app/RwandaKujitoa
#JamiiForums #JamiiAfrica #Diplomacy
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Afisa Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania, Almas Kasongo amesema kikao chao na #Yanga kilichofanyika leo Juni 9, 2025 kilikuwa cha kupokea matakwa ya Klabu hiyo lakini sio cha kubadili maamuzi ya Mchezo wa Timu hiyo dhidi ya #Simba wa Juni 15, 2025
Sehemu ya matakwa ya Yanga yaliyotajwa ni kuwataka Watendaji kadhaa wa Bodi ikiwemo Mwenyekiti, Afisa Mtendaji kuachia ngazi na kuona Bodi hiyo inakuwa Chombo huru
Baada ya kikao hicho, Yanga imetoa tamko kuwa haitashiriki Mchezo huo Namba 184 mpaka pale matakwa yao waliyoyawasilisha kwa Maandishi yatakapotimizwa, hivyo wanaitakia kila la heri Bodi ya Ligi na Shirikisho la Soka Tanzania katika kushughulikia Matakwa hayo
Soma https://jamii.app/KariakooDerbyUpdates
#JFSports #JamiiForums #JFLigiKuu25
Sehemu ya matakwa ya Yanga yaliyotajwa ni kuwataka Watendaji kadhaa wa Bodi ikiwemo Mwenyekiti, Afisa Mtendaji kuachia ngazi na kuona Bodi hiyo inakuwa Chombo huru
Baada ya kikao hicho, Yanga imetoa tamko kuwa haitashiriki Mchezo huo Namba 184 mpaka pale matakwa yao waliyoyawasilisha kwa Maandishi yatakapotimizwa, hivyo wanaitakia kila la heri Bodi ya Ligi na Shirikisho la Soka Tanzania katika kushughulikia Matakwa hayo
Soma https://jamii.app/KariakooDerbyUpdates
#JFSports #JamiiForums #JFLigiKuu25
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Akihojiwa na Mwanahabari #SalamaJabir katika eneo la Kanisa lake Kawe, Mtume Bonicafe Mwamposa, amesema Mungu alimleta Rais Samia kwa makusudi, kwasababu angekuwa Mtu mwingine amechukua hiyo nafasi angeweka pembeni Miradi yote iliyoachwa na Hayati Magufuli
Zaidi https://jamii.app/MwamposaRais
#JamiiAfrica #JamiiForums #Accountability #Governance
Zaidi https://jamii.app/MwamposaRais
#JamiiAfrica #JamiiForums #Accountability #Governance
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP), Camillus Wambura amesema Rais Samia amefanya mambo mengi makubwa ambayo yalitakiwa kuwa yamefanyika ndani ya Miaka 50
Amesema hayo wakati wa sherehe ya Kufunga Kozi ya Maafisa na Wakaguzi Wasaidizi wa Jeshi la Polisi Chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es Salaam, leo Juni 9, 2025.
Soma https://jamii.app/IGPWamburaJune9
#JFMatukio #Governance #JamiiForums #JamiiAfrica
Amesema hayo wakati wa sherehe ya Kufunga Kozi ya Maafisa na Wakaguzi Wasaidizi wa Jeshi la Polisi Chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es Salaam, leo Juni 9, 2025.
Soma https://jamii.app/IGPWamburaJune9
#JFMatukio #Governance #JamiiForums #JamiiAfrica
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Akihojiwa na Mwanahabari #SalamaJabir katika eneo la Kanisa lake Kawe, Mtume Bonicafe Mwamposa amesema Rais Samia aliwahi kumtuma Mkuu wa Mkoa wa Dar, Albert Chalamila kupeleka sadaka yake ya Ujenzi wa Kanisa hilo, akisema kutambua kuwa kuna Watu wa Mungu ni jambo la Baraka, wanajua wana Rais na wanamuombea
Zaidi https://jamii.app/MwamposaRais
#JamiiAfrica #JamiiForums #Accountability #Governance
Zaidi https://jamii.app/MwamposaRais
#JamiiAfrica #JamiiForums #Accountability #Governance
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP), Camillus Wambura amesema “Mheshimiwa Rais tunakuahidi, Nchi hii ni salama, Nchi hii ina Amani. Jeshi hili la Polisi haliko tayari kumvumilia yeyote atakayeleta uvunjifu wa Amani kwasababu yoyote ile”
IGP Wambura amesema hayo leo Juni 9, wakati wa sherehe ya kufunga kozi ya Maafisa na wakaguzi wa Jeshi la Polisi
Soma https://jamii.app/WamburaAmani
#JamiiForums #Governance #Accountability #Kuelekea2025
IGP Wambura amesema hayo leo Juni 9, wakati wa sherehe ya kufunga kozi ya Maafisa na wakaguzi wa Jeshi la Polisi
Soma https://jamii.app/WamburaAmani
#JamiiForums #Governance #Accountability #Kuelekea2025
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Rais Samia Suluhu Hassan ameelekeza Jeshi la Polisi kupinga vitendo vya #Rushwa kwa maelezo kuwa hayo yalikuwa maradhi makubwa kwa jeshi hilo na kwamba anapotumiwa video zikionesha matukio ya Rushwa za Barabarani naye anamtumia Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP), Camillus Wambura
Rais Samia ameeleza hayo katika sherehe ya Kufunga Kozi ya Maafisa na Wakaguzi wa Jeshi la Polisi Chuo cha Taaluma ya Polisi, leo Juni 9, 2025.
Soma https://jamii.app/RaisAkemeaRushwa
#JFMatukio #Governance #JamiiForums #JamiiAfrica #Accountability
Rais Samia ameeleza hayo katika sherehe ya Kufunga Kozi ya Maafisa na Wakaguzi wa Jeshi la Polisi Chuo cha Taaluma ya Polisi, leo Juni 9, 2025.
Soma https://jamii.app/RaisAkemeaRushwa
#JFMatukio #Governance #JamiiForums #JamiiAfrica #Accountability
Kila mtu ana hadithi yake, sauti yake na mchango wake wa kipekee kwa dunia. Kuwa tofauti ni zawadi ni ishara ya ubunifu, uthubutu na utambulisho wa kweli.
Usiogope kuwa tofauti, ogopa zaidi kupotea kwenye kundi la watu wanaoishi kwa kujificha, bila kuishi maisha yao ya kweli. Kuwa wewe Dunia inakuhitaji jinsi ulivyo halisi na wa kipekee
#JamiiForums #JamiiAfrica #Maisha #GoodMorning #AmkaNaJF
Usiogope kuwa tofauti, ogopa zaidi kupotea kwenye kundi la watu wanaoishi kwa kujificha, bila kuishi maisha yao ya kweli. Kuwa wewe Dunia inakuhitaji jinsi ulivyo halisi na wa kipekee
#JamiiForums #JamiiAfrica #Maisha #GoodMorning #AmkaNaJF
DAR: Baada ya Mdau wa JamiiForums.com kudai Wakazi wa Mtaa wa Makamba, Mbezi Msakuzi hawana Huduma ya Maji kwa madai kuwa Mhandisi amesitisha uchimbaji mtaro "kwa sababu binafsi", Mamlaka inayohusika imetoa ufafanuzi
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar (DAWASA), Everlasting Lyaro amesema walifanya vikao Machi 2025 na Ofisi ya Serikali za Mtaa wa Msakuzi Kusini na kuwaeleza hakuna fedha taslimu inayotakiwa kutolewa na Mwananchi kwa DAWASA, hivyo maunganisho mapya (Water connections fee) yatalipiwa baada ya kukamisha hatua za upimaji (Survey)
Amesema “Mtumishi wa DAWASA haruhusiwi kupita na kuchangisha fedha kwa Wananchi ili atoe huduma kwa upendeleo, Mamlaka imeweka utaratibu wa kutambulisha Watumishi wanaotekeleza miradi na wanaohudumia Wananchi.”
Soma https://jamii.app/MbeziMsakuziMaji
#Accountability #ServiceDelivery #JamiiForums
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar (DAWASA), Everlasting Lyaro amesema walifanya vikao Machi 2025 na Ofisi ya Serikali za Mtaa wa Msakuzi Kusini na kuwaeleza hakuna fedha taslimu inayotakiwa kutolewa na Mwananchi kwa DAWASA, hivyo maunganisho mapya (Water connections fee) yatalipiwa baada ya kukamisha hatua za upimaji (Survey)
Amesema “Mtumishi wa DAWASA haruhusiwi kupita na kuchangisha fedha kwa Wananchi ili atoe huduma kwa upendeleo, Mamlaka imeweka utaratibu wa kutambulisha Watumishi wanaotekeleza miradi na wanaohudumia Wananchi.”
Soma https://jamii.app/MbeziMsakuziMaji
#Accountability #ServiceDelivery #JamiiForums
Kupitia Jukwaa la Habari na Hoja Mchanganyiko ndani ya JamiiForums.com, Mwanachama anasema baadhi ya Wafanyakazi wenzake ambao ni 'wakongwe' hapo Ofisini wamemchukia na hata hawamsalimii baada ya kugundua analipwa Mshahara mkubwa zaidi yao wakati yeye ni Mfanyakazi mpya
Je, nawe umeshawahi kupitia changamoto hii, ulifanyaje?
Tembelea mjadala huu zaidi https://jamii.app/MshaharaKuchukiwaKazini
#JamiiForums #Maisha #JFChitChats #JFStories #LifeLessons
Je, nawe umeshawahi kupitia changamoto hii, ulifanyaje?
Tembelea mjadala huu zaidi https://jamii.app/MshaharaKuchukiwaKazini
#JamiiForums #Maisha #JFChitChats #JFStories #LifeLessons
#HAKIZABINADAMU: Huduma ya Taifa ya Polisi Kenya (NPS) imethibitisha Maafisa Watano kuondolewa kazini kwa muda, ili kuruhusu uchunguzi huru, wa kina na wa haraka unaoendeshwa na Mamlaka Huru ya Kusimamia Utendaji wa Polisi (IPOA), kuhusu Mazingira ya kifo cha Albert Ojwang
Ojwang alifariki Juni 8, 2025, Siku moja baada ya kukamatwa Nyumbani kwake Kakot, Homa Bay, akiwa chini ya uchunguzi kuhusu chapisho alilodaiwa kumdhalilisha Naibu Mkuu wa Polisi kwenye Mtandao wa Kijamii wa X, na kusafirishwa hadi Nairobi alipofia
Taarifa ya awali ya Polisi ilidai kuwa Ojwang alifariki kwa majeraha baada ya kujigonga ukutani akiwa rumande, lakini ripoti za awali na malalamiko ya Wanaharakati wa Haki za Binadamu zilionesha Mwili wake ulikuwa na majeraha ya wazi ya kupigwa, ikiwemo Kichwani, Usoni na Mikononi
Kufuatia malalamiko hayo, Polisi walitoa taarifa ya Pili ikieleza kuna ‘masuala tata’ kuhusu kifo cha Ojwang yanayohitaji uchunguzi zaidi
Soma https://jamii.app/IGPKenya
#JamiiForums
Ojwang alifariki Juni 8, 2025, Siku moja baada ya kukamatwa Nyumbani kwake Kakot, Homa Bay, akiwa chini ya uchunguzi kuhusu chapisho alilodaiwa kumdhalilisha Naibu Mkuu wa Polisi kwenye Mtandao wa Kijamii wa X, na kusafirishwa hadi Nairobi alipofia
Taarifa ya awali ya Polisi ilidai kuwa Ojwang alifariki kwa majeraha baada ya kujigonga ukutani akiwa rumande, lakini ripoti za awali na malalamiko ya Wanaharakati wa Haki za Binadamu zilionesha Mwili wake ulikuwa na majeraha ya wazi ya kupigwa, ikiwemo Kichwani, Usoni na Mikononi
Kufuatia malalamiko hayo, Polisi walitoa taarifa ya Pili ikieleza kuna ‘masuala tata’ kuhusu kifo cha Ojwang yanayohitaji uchunguzi zaidi
Soma https://jamii.app/IGPKenya
#JamiiForums
RUVUMA: Baadhi ya majengo ya Shule ya Sekondari ya Jenista Mhagama iliyopo Halmashauri ya Songea yameungua kwa Moto ikiwemo Mabweni ya Wanafunzi wa kike na Stoo ambapo awali Mdau wa JamiiForums.com alidai moto huo umetokana na hujuma
Mkuu wa Wilaya, Wilman Ndile, alipoulizwa kuhusu tukio hilo amesema “Moto umesababisha hasara kubwa, umeharibu majengo, Chakula cha Wanafunzi cha thamani ya Tsh. Milioni 1, vingine vilivyoungua ni Magodoro na Vifaa ya Umeme
DC amesema Mwanafunzi alichoma Moto Dhule mara tatu tofauti, Mei 31, Juni 1 na Juni 3, 2025, kwa sasa anashikiliwa anatarajiwa kupelekwa Mahakamani, tumezungumza na Wazazi wake nao pia wamekiri kuwa Mtoto wao ni mkorofi.
Soma https://jamii.app/ShuleYaMhagama
#JamiiForums #JFMatukio #JamiiAfrica
Mkuu wa Wilaya, Wilman Ndile, alipoulizwa kuhusu tukio hilo amesema “Moto umesababisha hasara kubwa, umeharibu majengo, Chakula cha Wanafunzi cha thamani ya Tsh. Milioni 1, vingine vilivyoungua ni Magodoro na Vifaa ya Umeme
DC amesema Mwanafunzi alichoma Moto Dhule mara tatu tofauti, Mei 31, Juni 1 na Juni 3, 2025, kwa sasa anashikiliwa anatarajiwa kupelekwa Mahakamani, tumezungumza na Wazazi wake nao pia wamekiri kuwa Mtoto wao ni mkorofi.
Soma https://jamii.app/ShuleYaMhagama
#JamiiForums #JFMatukio #JamiiAfrica
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
TABORA: Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia ukurasa wake wa X (Twitter) leo Juni 6, 2025 kimeandika kuwa Watu waliokuwa na mapanga na visu wamevamia mkutano wao maeneo ya Igunga na kufanya vurugu, ikielezwa walianza kwa kurushia mawe msafara wa Makamu Mwenyekiti wa #CHADEMA, John Heche
Taarifa hiyo imeongeza “Jeshi la Polisi halikuwepo eneo la mkutano licha ya kuwa na taarifa ya kuwepo kwa mkutano, Polisi walifika baada ya tukio hilo kutokea. Watu hao wamedhibitiwa na Wananchi.”
Jitihada za kupata taarifa rasmi ya Jeshi la Polisi kutoka Mkoani Tabora zinaendelea
Soma https://jamii.app/MkutanoCHADEMAIgunga
#JamiiForums #Siasa #Kuelekea2025 #UchaguziMkuu2025
Taarifa hiyo imeongeza “Jeshi la Polisi halikuwepo eneo la mkutano licha ya kuwa na taarifa ya kuwepo kwa mkutano, Polisi walifika baada ya tukio hilo kutokea. Watu hao wamedhibitiwa na Wananchi.”
Jitihada za kupata taarifa rasmi ya Jeshi la Polisi kutoka Mkoani Tabora zinaendelea
Soma https://jamii.app/MkutanoCHADEMAIgunga
#JamiiForums #Siasa #Kuelekea2025 #UchaguziMkuu2025