Unapochagua eneo moja na kuwekeza Muda, Nguvu na Akili zako zote, unajitengenezea nafasi kubwa ya kuwa Mbobezi wa kile unachokifanya (mastery)
Hii inakuwezesha kufanya kwa ubora zaidi, kukua kwa kasi na hatimaye kufikia mafanikio makubwa, ambayo usingeweza kuyafikia kwasababu kugusagusa kila kitu kwa uchache.
JamiiAfrica inakutakia Mapumziko mema ya mwisho wa Wiki
#JamiiForums #JamiiAfrica #Maisha #Weekend #GoodMorning #AmkaNaJF #Lifelessons
Hii inakuwezesha kufanya kwa ubora zaidi, kukua kwa kasi na hatimaye kufikia mafanikio makubwa, ambayo usingeweza kuyafikia kwasababu kugusagusa kila kitu kwa uchache.
JamiiAfrica inakutakia Mapumziko mema ya mwisho wa Wiki
#JamiiForums #JamiiAfrica #Maisha #Weekend #GoodMorning #AmkaNaJF #Lifelessons
Katika Maisha, mara nyingi wale wanaofanya mabaya huendelea kwa Amani kana kwamba hawaguswi, ilhali wale wanaojitahidi kuwa Waaminifu na Waadilifu hupitia maumivu na changamoto nyingi kama misumari inayogongwa kila mara. Ukweli huu unauma, lakini mara nyingi ndivyo ilivyo
#JamiiForums #JamiiAfrica #Maisha #Weekend #GoodMorning #AmkaNaJF #Lifelessons
#JamiiForums #JamiiAfrica #Maisha #Weekend #GoodMorning #AmkaNaJF #Lifelessons
Mafanikio au Matokeo bora hayategemei muda mrefu wa kufanya jambo, bali Umakini, Nidhamu na Ubora wa Mawazo au hatua unazochukua.
JamiiAfrica inakutakia Mapumziko mema ya mwisho wa Wiki
#JamiiForums #JamiiAfrica #GoodMorning #AmkaNaJF #Weekend
JamiiAfrica inakutakia Mapumziko mema ya mwisho wa Wiki
#JamiiForums #JamiiAfrica #GoodMorning #AmkaNaJF #Weekend
Kwenye maisha, kuna wakati utajisikia kuchoka iwe ni kutokana na kazi, ndoto zako au changamoto unazopitia. Kuchoka hakumaanishi kwamba umefeli au unapaswa kuacha
Badala ya kurudi nyuma au kuachana na safari yako, jipe muda wa kupumzika, kutulia, kujikusanya tena na kuendelea mbele ukiwa na nguvu mpya
#JamiiForums #JamiiAfrica #GoodMorning #AmkaNaJF #Weekend
Badala ya kurudi nyuma au kuachana na safari yako, jipe muda wa kupumzika, kutulia, kujikusanya tena na kuendelea mbele ukiwa na nguvu mpya
#JamiiForums #JamiiAfrica #GoodMorning #AmkaNaJF #Weekend