Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DODOMA: Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Palamagamba Kabudi akizungumzia historia ya Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere amesema aliona mbali juu ya uwezo wa Wanawake katika masuala ya Utawala na aliamini ipo siku Tanzania itakuwa na Rais Mwanamke
Amesema hayo katika uzinduzi wa Kitabu cha “Mwalimu Julius Kambarage Nyerere: Photographic Journey” Ikulu Chamwino, leo Aprili 26, 2025
Soma https://jamii.app/NyerereKitabuUzinduzi
#JamiiForums #Democracy #Siasa
Amesema hayo katika uzinduzi wa Kitabu cha “Mwalimu Julius Kambarage Nyerere: Photographic Journey” Ikulu Chamwino, leo Aprili 26, 2025
Soma https://jamii.app/NyerereKitabuUzinduzi
#JamiiForums #Democracy #Siasa
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
PEMBA: Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Taifa, Othman Masoud Othman amesema ipo haja ya kufanyika kwa mabadiliko makubwa ya mfumo wa Muungano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ili Nchi zote mbili za washirika zipate haki sawa
Amesema hayo leo Aprili 26, 2025 katika Ukumbi wa Samael Chakechake katika Kongamano Maalumu la Maadhimisho ya Miaka 61 ya Muungano
Othman ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar ameongeza kuwa "Tulianza kulalamikia mambo 11 ya Muungano hapo awali lakini sasa tunalalamikia mambo 41 bila wenzetu kujali lolote huku mambo yote hayo yakinufaisha upande wa pili wa Tanzania Bara."
Soma https://jamii.app/ACTKuhusuMuungano
#JFMatukio #JamiiForums
Amesema hayo leo Aprili 26, 2025 katika Ukumbi wa Samael Chakechake katika Kongamano Maalumu la Maadhimisho ya Miaka 61 ya Muungano
Othman ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar ameongeza kuwa "Tulianza kulalamikia mambo 11 ya Muungano hapo awali lakini sasa tunalalamikia mambo 41 bila wenzetu kujali lolote huku mambo yote hayo yakinufaisha upande wa pili wa Tanzania Bara."
Soma https://jamii.app/ACTKuhusuMuungano
#JFMatukio #JamiiForums
Safari yako ya Maisha ni ya kipekee, wengine hawapaswi kuielewa au kuikubali
Cha muhimu ni kuendelea mbele kwa kuzingatia malengo yako
#JamiiForums #JamiiAfrica #Maisha
Cha muhimu ni kuendelea mbele kwa kuzingatia malengo yako
#JamiiForums #JamiiAfrica #Maisha
👎1
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Mchungaji wa Kanisa la KKKT Kijitonyama, Rev. Eliona Kimaro, anasema "Hapatakuwa na Amani kama hakuna Haki, ukiona Amani ipo mahali ujue ni kazi kubwa ya Haki iliyotangulia, Haki inatengeneza Amani."
Soma https://jamii.app/KimaroShidaYaHaki
#JamiiAfrica #JamiiForums #Demokrasia #Democracy #UchaguziMkuu2025 #Kuelekea2025 #JFKumbukizi
Soma https://jamii.app/KimaroShidaYaHaki
#JamiiAfrica #JamiiForums #Demokrasia #Democracy #UchaguziMkuu2025 #Kuelekea2025 #JFKumbukizi
👍3👏1
Eti Mdau, Mtu akikukumbuka na Tsh. 100,000 ya ghafla ghafla Siku yako itakuwa safi eeh?
Mjadala https://jamii.app/WeekendVibes
#JamiiAfrica #LifeStyle #Maisha #JamiiForums
Mjadala https://jamii.app/WeekendVibes
#JamiiAfrica #LifeStyle #Maisha #JamiiForums
SONGWE: Mdau wa JamiiForums.com anasema Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi imefanikiwa kujenga Stendi mpya ya Mabasi eneo la Forest Mlowo, lakini imeanza kutumika huku Miundombinu mingi ikiwa hairidhishi
Anahoji, kulikuwa na ulazima gani wa kuharakisha Magari kuanza kupita kabla ya maboresho kukamilika? Akisisitiza Miundombinu Bora ni muhimu kwa Watumiaji wa Stendi hiyo
https://jamii.app/StendiMlowoMbovu
#JamiiForums #JamiiAfrica #ServiceDelivery #JFMdau2025 #HudumaZaKijamii
Anahoji, kulikuwa na ulazima gani wa kuharakisha Magari kuanza kupita kabla ya maboresho kukamilika? Akisisitiza Miundombinu Bora ni muhimu kwa Watumiaji wa Stendi hiyo
https://jamii.app/StendiMlowoMbovu
#JamiiForums #JamiiAfrica #ServiceDelivery #JFMdau2025 #HudumaZaKijamii
❤1
DURBAN: Kama ilivyofanya Mwaka 1993, Simba imefanikiwa kuandika historia ya kufika Fainali ya Michuano inayoandaliwa na Shirikisho la Soka Afrika (#CAF), ni baada ya kuingia Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika (Confederation Cup) kwa kuitoa Stellenbosch FC ya Afrika Kusini
Hiyo ni baada ya Nusu Fainali ya Pili kumalizika kwa 0-0 kwenye Uwanja wa Moses Mabhida, hivyo #Simba kusonga mbele kwa faida ya Goli 1-0 ililopata katika mchezo wa kwanza
Simba itacheza fainali na mshindi wa mchezo kati ya CS Constantine (Algeria) dhidi ya RS Berkane (Morocco), ambapo Fainali ya kwanza itachezwa Mei 17, 2025 na marudio ni Mei 25, 2025
Michuano hiyo ilianzishwa Mwaka 2004 baada ya CAF kuunganisha Mashindano ya African Cup Winners' Cup yaliyoanzishwa Mwaka 1975 pamoja na CAF Cup yaliyoanzishwa Mwaka 1992
Soma https://jamii.app/SimbaFainal
#JFSports #CAFCC #JamiiForums
Hiyo ni baada ya Nusu Fainali ya Pili kumalizika kwa 0-0 kwenye Uwanja wa Moses Mabhida, hivyo #Simba kusonga mbele kwa faida ya Goli 1-0 ililopata katika mchezo wa kwanza
Simba itacheza fainali na mshindi wa mchezo kati ya CS Constantine (Algeria) dhidi ya RS Berkane (Morocco), ambapo Fainali ya kwanza itachezwa Mei 17, 2025 na marudio ni Mei 25, 2025
Michuano hiyo ilianzishwa Mwaka 2004 baada ya CAF kuunganisha Mashindano ya African Cup Winners' Cup yaliyoanzishwa Mwaka 1975 pamoja na CAF Cup yaliyoanzishwa Mwaka 1992
Soma https://jamii.app/SimbaFainal
#JFSports #CAFCC #JamiiForums
👍2
Mdau waJamiiForums.com anasema kama Ada ya Mtoto wako ya Mwaka mzima ni kubwa kuliko kipato chako cha mwezi, basi hapo Unajifilisi na kiwango chako cha Maisha kitakuwa duni sana
Anasema ukifuata kanuni hii basi utajikuta Kipato chako cha Miezi 10 iliyobaki kinagharamia mahitaji mengine muhimu na utaishi bila madeni wala Msongo wa Mawazo
Umezielewa hesabu za Mdau au unaona haziwezekani?
Mjadala zaidi https://jamii.app/KipatoAdaKodi
#JamiiForums #Maisha #JFChitChats #JFStories #LifeLessons #JamiiAfrica
Anasema ukifuata kanuni hii basi utajikuta Kipato chako cha Miezi 10 iliyobaki kinagharamia mahitaji mengine muhimu na utaishi bila madeni wala Msongo wa Mawazo
Umezielewa hesabu za Mdau au unaona haziwezekani?
Mjadala zaidi https://jamii.app/KipatoAdaKodi
#JamiiForums #Maisha #JFChitChats #JFStories #LifeLessons #JamiiAfrica
Picha zikionesha matukio tofauti ya Washiriki mbalimbali wa mbio (Fun Run) za Kilometa Tano zilizofanyika leo Aprili 27, 2025 ikiwa ni Siku ya kwanza ya Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari ambayo yanafanyika kwa siku tatu Jijini Arusha
Mbio hizo zilizoshirikisha Wadau mbalimbali wanaoshiriki maadhimisho hayo zilianzia Uwanja wa Gymkhana/Mgambo na kuhitimishwa katika eneo hilo hilo
Soma https://jamii.app/WPFD2025Day1
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia
Mbio hizo zilizoshirikisha Wadau mbalimbali wanaoshiriki maadhimisho hayo zilianzia Uwanja wa Gymkhana/Mgambo na kuhitimishwa katika eneo hilo hilo
Soma https://jamii.app/WPFD2025Day1
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia
👍1