#UGANDA: RAIA WAANDAMANA KUPINGA GHARAMA ZA MAISHA
Maandamano ya kupinga ongezeko kubwa la bei ya vyakula, mafuta na bidhaa nyingine yamesababisha ghasia. Polisi wamefyatua mabomu ya machozi na kukamata waandamanaji 8
Mara kadhaa, Rais Yoweri Museveni amepuuza wito wa kupunguza Kodi, na badala yake amewataka Raia kuwa na matumizi makini zaidi
Soma - https://jamii.app/ProtestsUG
Maandamano ya kupinga ongezeko kubwa la bei ya vyakula, mafuta na bidhaa nyingine yamesababisha ghasia. Polisi wamefyatua mabomu ya machozi na kukamata waandamanaji 8
Mara kadhaa, Rais Yoweri Museveni amepuuza wito wa kupunguza Kodi, na badala yake amewataka Raia kuwa na matumizi makini zaidi
Soma - https://jamii.app/ProtestsUG
👍13
MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA AFRIKA
Julai 11 ilipitishwa na Umoja wa Afrika (AU) kuwa Siku ya Mapambano dhidi ya Rushwa Barani Afrika. Kwa mwaka 2022, Maadhimisho yana Kaulimbiu "Mikakati na Mifumo ya Wazi ya Usimamizi ya Fedha za UVIKO-19"
Tangu kuanza kwa janga la #COVID19 kumekuwa na taarifa nyingi za Rushwa, wizi na matumizi mabaya ya fedha
Vitendo hivyo vimehusishwa na kukosekana kwa Uwazi na #Uwajibikaji
Soma - https://jamii.app/RushwaBaraniAfrika
#AfricaAgainstCorruption #KemeaRushwa
Julai 11 ilipitishwa na Umoja wa Afrika (AU) kuwa Siku ya Mapambano dhidi ya Rushwa Barani Afrika. Kwa mwaka 2022, Maadhimisho yana Kaulimbiu "Mikakati na Mifumo ya Wazi ya Usimamizi ya Fedha za UVIKO-19"
Tangu kuanza kwa janga la #COVID19 kumekuwa na taarifa nyingi za Rushwa, wizi na matumizi mabaya ya fedha
Vitendo hivyo vimehusishwa na kukosekana kwa Uwazi na #Uwajibikaji
Soma - https://jamii.app/RushwaBaraniAfrika
#AfricaAgainstCorruption #KemeaRushwa
👍8
RUSHWA AFRIKA: Kumekuwepo upotoshaji mkubwa wa Taarifa na ukosefu wa Uwazi katika jinsi Nchi Wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) zimetumia Rasilimali Fedha za COVID-19
Fedha zilizotengwa kukabiliana na athari za #CoronaVirus katika Mataifa mbalimbali Barani Afrika zinawanufaisha Raia?
Soma - https://jamii.app/RushwaBaraniAfrika
#AfricaAgainstCorruption #KemeaRushwa
Fedha zilizotengwa kukabiliana na athari za #CoronaVirus katika Mataifa mbalimbali Barani Afrika zinawanufaisha Raia?
Soma - https://jamii.app/RushwaBaraniAfrika
#AfricaAgainstCorruption #KemeaRushwa
👍3
RAIS SAMIA: Nilikuwa nazungumza na Waziri Mkuu juzi ametoka ziara Mikoa ya Kusini, ameniambia ameona maradhi mapya yameingia. Watu wanatokwa damu puani na kudondoka
Hatujui ni kitu gani ila Wanasayansi wamehamia huko kwa uchunguzi zaidi kwa kuwa ni Watu wengi wanaougua kwa mfululuzo
Yote ni kwa sababu tunaharibu makazi ya viumbe kule walikowekwa na Mungu, tunawasogeza kwetu wanatuletea maradhi
Soma https://jamii.app/UgonjwaMpya
#PublicHealth #JFAfya
Hatujui ni kitu gani ila Wanasayansi wamehamia huko kwa uchunguzi zaidi kwa kuwa ni Watu wengi wanaougua kwa mfululuzo
Yote ni kwa sababu tunaharibu makazi ya viumbe kule walikowekwa na Mungu, tunawasogeza kwetu wanatuletea maradhi
Soma https://jamii.app/UgonjwaMpya
#PublicHealth #JFAfya
👍4🤔2😁1
PACHA WALIOTENGANISHWA, MMOJA AFARIKI DUNIA
Pacha Neema amefariki wakati akiendelea na matibabu baada ya hali yake kubadilika ghafla
> Pacha mwenzie, Rehema bado yupo Muhimbili katika Chumba cha Wagonjwa Mahututi (ICU)
Soma https://jamii.app/PachaMmojaAfariki
#JFAfya #PublicHealth
Pacha Neema amefariki wakati akiendelea na matibabu baada ya hali yake kubadilika ghafla
> Pacha mwenzie, Rehema bado yupo Muhimbili katika Chumba cha Wagonjwa Mahututi (ICU)
Soma https://jamii.app/PachaMmojaAfariki
#JFAfya #PublicHealth
😢16👍1
MAXENCE MELO: Asasi za Kiraia nchini jukumu letu ni kushirikiana katika kupambana na rushwa kwa vitendo
Mfano, JamiiForums kuna uwanja unaokuruhusu kutoa taarifa kwa faragha na zile zinazohusu rushwa tunahakikisha zinafanyiwa kazi
Soma - https://jamii.app/KemeaRushwa
#KemeaRushwa
Mfano, JamiiForums kuna uwanja unaokuruhusu kutoa taarifa kwa faragha na zile zinazohusu rushwa tunahakikisha zinafanyiwa kazi
Soma - https://jamii.app/KemeaRushwa
#KemeaRushwa
👍13
#KEMEARUSHWA: Rushwa inaendelea kuwa kikwazo kikubwa kwa Mataifa ya Afrika kutimiza Ajenda 2063 na Malengo ya Maendeleo Endelevu
Jitihada kubwa zinahitajika kupambana na Rushwa katika utoaji wa Huduma za Msingi ambazo huathiri zaidi Wananchi walio katika mazingira magumu, na hutegemea zaidi Huduma za Umma
Soma - https://jamii.app/RushwaBaraniAfrika
#AfricaAgainstCorruption
Jitihada kubwa zinahitajika kupambana na Rushwa katika utoaji wa Huduma za Msingi ambazo huathiri zaidi Wananchi walio katika mazingira magumu, na hutegemea zaidi Huduma za Umma
Soma - https://jamii.app/RushwaBaraniAfrika
#AfricaAgainstCorruption
👍7
KASSIM MAJALIWA: Rushwa ni adui wa Haki na Maendeleo, pia hudumaza maadili katika Taifa
> Taasisi zetu za kupambana na Rushwa (Bara na Zanzibar) zimejitahidi kuboresha utendaji. Hatua zinachukuliwa haraka tofauti na awali
Soma https://jamii.app/KemeaRushwa
#KemeaRushwa
> Taasisi zetu za kupambana na Rushwa (Bara na Zanzibar) zimejitahidi kuboresha utendaji. Hatua zinachukuliwa haraka tofauti na awali
Soma https://jamii.app/KemeaRushwa
#KemeaRushwa
👍4😁1
RAIS HUSSEIN MWINYI: Tunaanza Ziara rasmi ndani ya mwezi huu katika maeneo yote ambayo fedha za #UVIKO19 zimefika
Ningependa niwaambie wanaohusika wote wahakikishe wana maelezo mazuri. Na kazi hizo ziwe zina ubora unaoendana na fedha zilizotolewa
#KemeaRushwa #AfricaAgainstCorruption
Ningependa niwaambie wanaohusika wote wahakikishe wana maelezo mazuri. Na kazi hizo ziwe zina ubora unaoendana na fedha zilizotolewa
#KemeaRushwa #AfricaAgainstCorruption
👍4
Akizungumza wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Mapambano dhidi ya Rushwa Afrika, Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi amesema ipo haja ya kuongeza kasi na umahiri katika kupambana na Rushwa na Uhujumu Uchumi
Amesisitiza, jitihada za Taasisi za Kupambana na Rushwa pekee (TAKUKURU na ZAECA) haziwezi kuleta ushindi katika mapambano hayo, na Wadau wote wanapaswa kuhusika
#KemeaRushwa #AfricaAgainstCorruption
Amesisitiza, jitihada za Taasisi za Kupambana na Rushwa pekee (TAKUKURU na ZAECA) haziwezi kuleta ushindi katika mapambano hayo, na Wadau wote wanapaswa kuhusika
#KemeaRushwa #AfricaAgainstCorruption
🔥1
DAR: MSTAAFU WA JESHI ATUHUMIWA KUUA KWA RISASI
Jonas Ziganyige (71) anatuhumiwa kusababisha kifo cha Patient Romwadi kwa kumpiga na risasi kutokana na mgogoro wa mipaka
> Baada ya tukio Mtuhumiwa alikimbia, amekamatwa akiwa Kibaha-Pwani
Soma https://jamii.app/TuhumaZaMauaji
#JFMatukio
Jonas Ziganyige (71) anatuhumiwa kusababisha kifo cha Patient Romwadi kwa kumpiga na risasi kutokana na mgogoro wa mipaka
> Baada ya tukio Mtuhumiwa alikimbia, amekamatwa akiwa Kibaha-Pwani
Soma https://jamii.app/TuhumaZaMauaji
#JFMatukio
👍4👏1
KIMARA, DAR: Polisi inamshikilia Selemani Haruna 'Kwata' (24) kwa mauaji ya Editha Charles (22) aliyekuwa akifanya Kazi za Ndani
> Mtuhumiwa alifika ktk nyumba anayofanya kazi Editha na kumshambulia na kitu chenye ncha kali, kisha kuiba Tsh. 1,800,000
Soma https://jamii.app/DarMauaji
#JFMatukio
> Mtuhumiwa alifika ktk nyumba anayofanya kazi Editha na kumshambulia na kitu chenye ncha kali, kisha kuiba Tsh. 1,800,000
Soma https://jamii.app/DarMauaji
#JFMatukio
😢14👍5👎1🔥1🤯1
ACP AHMED MAKARANI: Siku za karibuni kumekuwa na changamoto ya Waendesha Mashtaka kufanya kazi ya kupeleleza Washtakiwa wa Rushwa na Uhujumu Uchumi
> Asema hiyo ni kazi ya Wapelelezi yaani Polisi na Watu wa #DawaZaKulevya na si ya TAKUKURU
Soma https://jamii.app/KemeaRushwa
#KemeaRushwa
> Asema hiyo ni kazi ya Wapelelezi yaani Polisi na Watu wa #DawaZaKulevya na si ya TAKUKURU
Soma https://jamii.app/KemeaRushwa
#KemeaRushwa
🤔6👍4
KAGERA: AJALI YAUA NANE, WATANO NI FAMILIA MOJA
Ni baada ya Lori kugongana na Toyota Succeed katika ya Barabara Lusahunga - Nyakahura, Wilayani Biharamulo leo Julai 12, 2022
> Ndugu wa Familia moja waliofariki ni Mama na Watoto wake wanne
Soma https://jamii.app/AjaliYauaNane
#JFMatukio
Ni baada ya Lori kugongana na Toyota Succeed katika ya Barabara Lusahunga - Nyakahura, Wilayani Biharamulo leo Julai 12, 2022
> Ndugu wa Familia moja waliofariki ni Mama na Watoto wake wanne
Soma https://jamii.app/AjaliYauaNane
#JFMatukio
😢18👍2🤔2👎1
#SRILANKA: KAKA WA RAIS AZUIWA KUTOKA NJE YA NCHI
Basil Rajapaksa ambaye Mwezi Aprili ajiuzulu Uwaziri wa Fedha amezuiwa na Maafisa wa Uhamiaji kuondoka nje ya Sri Lanka
Familia ya Rajapaksa imeshikilia Siasa za Taifa hilo kwa muda mrefu, na wananchi wengi wanailaumu kwa matatizo yanayoikumba Nchi hiyo kwa sasa
Soma - https://jamii.app/BasilZuioSL
#Accountability
Basil Rajapaksa ambaye Mwezi Aprili ajiuzulu Uwaziri wa Fedha amezuiwa na Maafisa wa Uhamiaji kuondoka nje ya Sri Lanka
Familia ya Rajapaksa imeshikilia Siasa za Taifa hilo kwa muda mrefu, na wananchi wengi wanailaumu kwa matatizo yanayoikumba Nchi hiyo kwa sasa
Soma - https://jamii.app/BasilZuioSL
#Accountability
👍5
SERIKALI: WATOTO 3,333 WAREJESHWA SHULE
Watoto hao walishindwa kuendelea na masomo kwa sababu mbalimbali ikiwemo Ujauzito
> 900 kati yao wamerejea Mfumo wa Elimu wa Kawaida huku wengine wakijiunga na Mfumo wa Elimu Mbadala wanaosoma kwa miaka miwili
Soma https://jamii.app/WarejeaShuleni
#HakiMtoto #JFElimu
Watoto hao walishindwa kuendelea na masomo kwa sababu mbalimbali ikiwemo Ujauzito
> 900 kati yao wamerejea Mfumo wa Elimu wa Kawaida huku wengine wakijiunga na Mfumo wa Elimu Mbadala wanaosoma kwa miaka miwili
Soma https://jamii.app/WarejeaShuleni
#HakiMtoto #JFElimu
👍19👎5
SRI LANKA: RAIS GOTABAYA RAJAPAKSA AKIMBIA NCHI
Ikiwa ni saa chache kabla ya kutakiwa kujiuzulu rasmi, Rais Rajapaksa ameondoka kwa ndege ya kijeshi ikidaiwa ameshawasili Mji Mkuu wa Maldives, Male
Inaelezwa, Rais Rajapaksa alitaka kutoka #SriLanka kabla ya kujiuzulu ili asikamatwe
Soma - https://jamii.app/RaisAtokaSL
#Democracy
Ikiwa ni saa chache kabla ya kutakiwa kujiuzulu rasmi, Rais Rajapaksa ameondoka kwa ndege ya kijeshi ikidaiwa ameshawasili Mji Mkuu wa Maldives, Male
Inaelezwa, Rais Rajapaksa alitaka kutoka #SriLanka kabla ya kujiuzulu ili asikamatwe
Soma - https://jamii.app/RaisAtokaSL
#Democracy
👍13
SIMIYU: Watu wanne wamepoteza maisha baada ya magari waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso eneo la Nyaumata-Bariadi Julai 12, 2022
> Kamanda wa Polisi-Simiyu amesema chanzo cha ajali ni mwendo kasi na Madereva wanashikiliwa na Polisi
Soma https://jamii.app/AjaliBariadi
#JFMatukio
> Kamanda wa Polisi-Simiyu amesema chanzo cha ajali ni mwendo kasi na Madereva wanashikiliwa na Polisi
Soma https://jamii.app/AjaliBariadi
#JFMatukio
😢9👍3👎1
KAIMOSI, KENYA: ATUHUMIWA KUMUUA BINAMU KATIKA UGOMVI WA KUCHAJI SIMU
Inadaiwa alimuua kwa kumchoma mshale kifuani wakati kila mmoja alipokuwa akitaka kuwa wa kwanza kuanza kuchaji simu
Mtuhumiwa alikimbia baada ya tukio na anatafutwa na Polisi
Soma > https://jamii.app/AmuuaBinamuKE
#JFMatukio
Inadaiwa alimuua kwa kumchoma mshale kifuani wakati kila mmoja alipokuwa akitaka kuwa wa kwanza kuanza kuchaji simu
Mtuhumiwa alikimbia baada ya tukio na anatafutwa na Polisi
Soma > https://jamii.app/AmuuaBinamuKE
#JFMatukio
😢14👍11👎1
Fuatilia Mkutano na Waandishi wa Habari kuhusu Uzinduzi wa Awamu ya Pili ya Shindano la Stories Of Change Mwaka 2022 litakaloanza Julai 15
Bonyeza > https://fb.watch/eecsLXntHU/
#StoriesOfChange #SOC2022
Bonyeza > https://fb.watch/eecsLXntHU/
#StoriesOfChange #SOC2022
Facebook
Log in or sign up to view
See posts, photos and more on Facebook.
👍5
AWAMU YA PILI YA SHINDANO LA "STORIES OF CHANGE" YAZINDULIWA
Shindano linakusudia kuongeza maudhui bora Mtandaoni na kuhamasisha ushiriki wa raia
Andiko linatakiwa kuchochea mabadiliko kwenye nyanja mbalimbali zikiwemo za Elimu, Uchumi, Kilimo, Utawala, Afya, Sayansi na Teknolojia
Kwa taarifa zaidi - https://jamii.app/Shindano2
#StoriesOfChange #SOC2022
Shindano linakusudia kuongeza maudhui bora Mtandaoni na kuhamasisha ushiriki wa raia
Andiko linatakiwa kuchochea mabadiliko kwenye nyanja mbalimbali zikiwemo za Elimu, Uchumi, Kilimo, Utawala, Afya, Sayansi na Teknolojia
Kwa taarifa zaidi - https://jamii.app/Shindano2
#StoriesOfChange #SOC2022
👍11