Yanayojiri katika Mjadala kuhusu Saratani kwa Watoto unaoendelea kupitia Clubhouse ya JamiiForums
Fuatilia > https://www.clubhouse.com/event/xlyWAOzz
#Saratani #Cancer
Fuatilia > https://www.clubhouse.com/event/xlyWAOzz
#Saratani #Cancer
SARATANI NI NINI?
Miili yetu ina chembechembe hai nyingi ambazo huzaliana, hukua, na kufa kwa mpangalio maalum
Chembechembe za Saratani zinazaliana haraka zaidi bila mpangilio na kukua haraka
Zisipotibiwa mapema zinaweza kusambaa na kuota sehemu nyingine mwilini
Soma - https://jamii.app/SarataniOR
#JFAfya #Cancer #Saratani
Miili yetu ina chembechembe hai nyingi ambazo huzaliana, hukua, na kufa kwa mpangalio maalum
Chembechembe za Saratani zinazaliana haraka zaidi bila mpangilio na kukua haraka
Zisipotibiwa mapema zinaweza kusambaa na kuota sehemu nyingine mwilini
Soma - https://jamii.app/SarataniOR
#JFAfya #Cancer #Saratani
NINI HUSABABISHA SARATANI?
Hakuna sababu moja, Saratani tofauti zina vyanzo vyake. Miongoni mwa Visababishi visivyozuilika ni Umri
Umri unapokuwa mkubwa, uwezekano wa kutokea dosari katika mabadiliko ya DNA yanayosababisha Kansa huongezeka
Baadhi ya Visababishi vinavyozuilika ni pamoja na uvutaji wa sigara, ulaji mbovu, kutumia pombe kupita kiasi na kutofanya mazoezi
Soma - https://jamii.app/SarataniOR
#JFAfya #Cancer #Saratani
Hakuna sababu moja, Saratani tofauti zina vyanzo vyake. Miongoni mwa Visababishi visivyozuilika ni Umri
Umri unapokuwa mkubwa, uwezekano wa kutokea dosari katika mabadiliko ya DNA yanayosababisha Kansa huongezeka
Baadhi ya Visababishi vinavyozuilika ni pamoja na uvutaji wa sigara, ulaji mbovu, kutumia pombe kupita kiasi na kutofanya mazoezi
Soma - https://jamii.app/SarataniOR
#JFAfya #Cancer #Saratani
SARATANI: Takwimu za Shirika la Kimataifa la Utafiti wa Saratani (IARC) na Shirika la Afya (WHO) Mwaka 2020 zinaeleza ongezeko la Visa vipya vya Saratani linakadiriwa kufikia Milioni 19.3, huku Vifo vikiwa Milioni 10
Ulimwenguni kote, inakadiriwa Visa vipya Milioni 28.4 vya Saratani vinaweza kutokea hadi kufikia Mwaka 2040, huku ongezeko kubwa likiwa katika Ukanda wa Nchi zinazoendelea
#JamiiForums #Cancer #JFData
Ulimwenguni kote, inakadiriwa Visa vipya Milioni 28.4 vya Saratani vinaweza kutokea hadi kufikia Mwaka 2040, huku ongezeko kubwa likiwa katika Ukanda wa Nchi zinazoendelea
#JamiiForums #Cancer #JFData
SIKU YA KIMATAIFA YA UFAHAMU WA VIRUSI VYA PAPILLOMA - HPV
'Human Papilloma Virus' au #HPV ni kirusi ambacho husambaa kwa njia ya kujamiiana. Asilimia kubwa ya Watu wenye maambukizi ya HPV hupata vipele au #GenitalWarts, maumivu au Damu wakati wa Tendo, kuwashwa n.k
HPV huweza kusababisha aina mbalimbali za Saratani kwenye Mwili wa Binadamu ikiwemo Saratani ya Shingo ya Kizazi, Saratani Njia ya Haja kubwa n.k. Takriban Saratani zote za Shingo ya Kizazi hutokana na HPV za aina mbili, HPV16 na HPV18.
Soma - https://jamii.app/HPVDay2022
#Afya #Cancer
'Human Papilloma Virus' au #HPV ni kirusi ambacho husambaa kwa njia ya kujamiiana. Asilimia kubwa ya Watu wenye maambukizi ya HPV hupata vipele au #GenitalWarts, maumivu au Damu wakati wa Tendo, kuwashwa n.k
HPV huweza kusababisha aina mbalimbali za Saratani kwenye Mwili wa Binadamu ikiwemo Saratani ya Shingo ya Kizazi, Saratani Njia ya Haja kubwa n.k. Takriban Saratani zote za Shingo ya Kizazi hutokana na HPV za aina mbili, HPV16 na HPV18.
Soma - https://jamii.app/HPVDay2022
#Afya #Cancer
Saratani inapogunduliwa mapema, uwezekano wa Matibabu kufanya kazi ni mkubwa zaidi
Ni muhimu kwa Watoto wanaomaliza Matibabu kuendelea kusimamiwa kwa karibu ili kugundua ikiwa Ugonjwa utarudi
-
#JamiiForums #JFAfya #ChildhoodCancer #Cancer #PublicHealth
Ni muhimu kwa Watoto wanaomaliza Matibabu kuendelea kusimamiwa kwa karibu ili kugundua ikiwa Ugonjwa utarudi
-
#JamiiForums #JFAfya #ChildhoodCancer #Cancer #PublicHealth
👍5
KENYA: Katibu Mtendaji wa Umoja wa Kitaifa wa Walimu (KNUT) katika Tawi la Nandi, Boniface Tenai ametoa wito kwa Serikali kutenga Rasilimali za kutosha kukabiliana na Ugonjwa wa Saratani ambao umeshambulia idadi kubwa ya Watu nchini humo
Umoja huo umesema Ugonjwa wa Saratani umekuwa mzigo kwa Wananchi kutokana na gharama kubwa za Matibabu na kwamba familia nyingi zimekuwa Maskini baada ya kutumia mali zao zote kuhudumia Wagonjwa wao
Kila mwaka nchi hiyo inakadiriwa kuwa na visa vipya 39,000 vya Saratani na zaidi ya vifo 27,000 vitokanavyo na Ugonjwa huo, huku
Saratani zinazoongoza zikiwa ni za Matiti, Shingo ya Kizazi, Tezi Dume na Koo
Soma https://jamii.app/SarataniKenya
#JamiiForums #Cancer #CancerAwareness #CancerInKenya #Afya #PublicHealth
Umoja huo umesema Ugonjwa wa Saratani umekuwa mzigo kwa Wananchi kutokana na gharama kubwa za Matibabu na kwamba familia nyingi zimekuwa Maskini baada ya kutumia mali zao zote kuhudumia Wagonjwa wao
Kila mwaka nchi hiyo inakadiriwa kuwa na visa vipya 39,000 vya Saratani na zaidi ya vifo 27,000 vitokanavyo na Ugonjwa huo, huku
Saratani zinazoongoza zikiwa ni za Matiti, Shingo ya Kizazi, Tezi Dume na Koo
Soma https://jamii.app/SarataniKenya
#JamiiForums #Cancer #CancerAwareness #CancerInKenya #Afya #PublicHealth
👍4❤3