MDAU: WANAFUNZI KUBEBA MZIGO MKUBWA WA MADAFTARI SIO 'FASHION'
Anasema kwa muda mrefu sana Watoto wamekuwa wakibeba mzigo mkubwa wa Madaftari wakati wa kwenda Shuleni na kuonekana aliye na begi kubwa na zito ndiye anasoma kwa bidii
Kwa dhana hii tunasababisha Watoto wapate madhara mengi ya kiafya kwasababu ya kubeba mzigo mzito mgongoni. Anashauri kuweka ratiba rafiki kwa Wanafunzi iliyo na masomo machache au ya kujitosheleza
Mjadala - https://jamii.app/ZigoDaftari
#StoriesOfChange #JFElimu
Anasema kwa muda mrefu sana Watoto wamekuwa wakibeba mzigo mkubwa wa Madaftari wakati wa kwenda Shuleni na kuonekana aliye na begi kubwa na zito ndiye anasoma kwa bidii
Kwa dhana hii tunasababisha Watoto wapate madhara mengi ya kiafya kwasababu ya kubeba mzigo mzito mgongoni. Anashauri kuweka ratiba rafiki kwa Wanafunzi iliyo na masomo machache au ya kujitosheleza
Mjadala - https://jamii.app/ZigoDaftari
#StoriesOfChange #JFElimu
PROF. MKENDA: ELIMU HAIHITAJI MATAMKO BILA KUSIKILIZA WATAALAMU
Waziri wa Elimu, Prof. Adolf Mkenda asema atatumia Wataalamu wa Elimu ili kutoa maamuzi yenye tija ktk Wizara hiyo
Amesema matamko bila maoni ya Wataalamu huwachanganya Wananchi
Soma https://jamii.app/ElimuMatamko
#JFElimu
Waziri wa Elimu, Prof. Adolf Mkenda asema atatumia Wataalamu wa Elimu ili kutoa maamuzi yenye tija ktk Wizara hiyo
Amesema matamko bila maoni ya Wataalamu huwachanganya Wananchi
Soma https://jamii.app/ElimuMatamko
#JFElimu
RIPOTI HRW: MUSTAKABALI WA MADIKTETA UNAZIDI KUFIFIA
Ripoti inasema Watu wengi wamejitokeza kudai Demokrasia ktk Nchi mbalimbali hata ktk hatari ya kukamatwa/kupigwa risasi
Madikteta sasa wanatumia njama ya kuchezea matokeo ya Uchaguzi
Soma - https://jamii.app/HRWDictators
#Democracy
Ripoti inasema Watu wengi wamejitokeza kudai Demokrasia ktk Nchi mbalimbali hata ktk hatari ya kukamatwa/kupigwa risasi
Madikteta sasa wanatumia njama ya kuchezea matokeo ya Uchaguzi
Soma - https://jamii.app/HRWDictators
#Democracy
SIMBA SC BINGWA KOMBE LA MAPINDUZI
- Klabu ya Simba imefanikiwa kunyakua Ubingwa wa Kombe la Mapinduzi 2022 kwa kuifunga Azam FC goli 1-0
- Simba inachukua Ubingwa huo kwa mara ya 4 huku Azam ikibaki kuwa Klabu iliyochukua Ubingwa huo mara nyingi zaidi (mara 5)
#JFSports
- Klabu ya Simba imefanikiwa kunyakua Ubingwa wa Kombe la Mapinduzi 2022 kwa kuifunga Azam FC goli 1-0
- Simba inachukua Ubingwa huo kwa mara ya 4 huku Azam ikibaki kuwa Klabu iliyochukua Ubingwa huo mara nyingi zaidi (mara 5)
#JFSports
NIGERIA YAREJESHA HUDUMA YA TWITTER BAADA YA MIEZI SITA
Marufuku ya kutumia mtandao wa #Twitter iliwekwa tangu Juni 4, 2021
Twitter ilipigwa marufuku kutokana na madai kwamba ilikuwa ikitumika kwa shughuli ambazo zingehujumu Taifa
Soma - https://jamii.app/TwitterBackNGR
#DigitalRights
Marufuku ya kutumia mtandao wa #Twitter iliwekwa tangu Juni 4, 2021
Twitter ilipigwa marufuku kutokana na madai kwamba ilikuwa ikitumika kwa shughuli ambazo zingehujumu Taifa
Soma - https://jamii.app/TwitterBackNGR
#DigitalRights
DR CONGO: MFALME WA KISIWA CHA IJWI AWARUDISHA WANYARWANDA WALIOKIMBIA CHANJO
Mfalme Roger Ntambuka wa Kisiwa hicho kilichopo Kivu Kaskazini ashawishi Wanyarwanda zaidi ya 100 waliokimbia Chanjo kurudi kwao
Watu hao wamerejea kwao Januari 13, 2022
Soma https://jamii.app/WanyarwandaDRC
#UVIKO3
Mfalme Roger Ntambuka wa Kisiwa hicho kilichopo Kivu Kaskazini ashawishi Wanyarwanda zaidi ya 100 waliokimbia Chanjo kurudi kwao
Watu hao wamerejea kwao Januari 13, 2022
Soma https://jamii.app/WanyarwandaDRC
#UVIKO3
#COVID19: Shirika la Watoto la Umoja wa Mataifa (UNICEF) limesema Nchi tajiri zinagawia Nchi masikini chanjo zinazokaribia kuisha muda wake wa matumizi
Mataifa masikini yatajwa kuwa na changamoto ya ukosefu wa vifaa vya uhifadhi wa chanjo
Soma - https://jamii.app/ChanjoUNICEF
#UVIKO3
Mataifa masikini yatajwa kuwa na changamoto ya ukosefu wa vifaa vya uhifadhi wa chanjo
Soma - https://jamii.app/ChanjoUNICEF
#UVIKO3
ARUSHA: Mahakama ya Hakimu Mkazi imemkuta na kesi ya kujibu aliyekuwa DC wa Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanaokabiliwa na kesi ya Uhujumu Uchumi
Washtakiwa wataanza kujitetea Januari 17 wakiwa na mashahidi wasiozidi 10 na vielelezo kadhaa
Soma - https://jamii.app/SabayaKesiUhujumu
#Accountability
Washtakiwa wataanza kujitetea Januari 17 wakiwa na mashahidi wasiozidi 10 na vielelezo kadhaa
Soma - https://jamii.app/SabayaKesiUhujumu
#Accountability
IKULU, CHAMWINO: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amepokea Hati za Mabalozi wa Nchi 4
Mabalozi waliowasilisha Hati zao Ikulu Mkoani Dodoma leo Januari 14, 2022 ni wa Saudi Arabia, Jamhuri ya Korea, Indonesia na Morocco
Soma https://jamii.app/Mabalozi
#Governance
Mabalozi waliowasilisha Hati zao Ikulu Mkoani Dodoma leo Januari 14, 2022 ni wa Saudi Arabia, Jamhuri ya Korea, Indonesia na Morocco
Soma https://jamii.app/Mabalozi
#Governance
DODOMA: JELA MIAKA MIWILI KWA KUJIFANYA AFISA WA TRA
Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma imemhukumu Mkazi wa Dar es Salaam, Kitareti Mahuti kwa kosa la kutumia kitambulisho bandia cha TRA kuwatapeli watu kwa kuwatishia kuwapa makosa mbalimbali
Soma - https://jamii.app/TapeliJela
#JFMatukio
Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma imemhukumu Mkazi wa Dar es Salaam, Kitareti Mahuti kwa kosa la kutumia kitambulisho bandia cha TRA kuwatapeli watu kwa kuwatishia kuwapa makosa mbalimbali
Soma - https://jamii.app/TapeliJela
#JFMatukio
MOROGORO: WATAKAOSHINDWA KUPELEKA WATOTO SHULE KUKAMATWA
Mkuu wa Wilaya ya Kilosa, Alhaji Majdi Mwanga ameandaa mikataba kati ya Wazazi kuhusu kudhibiti tabia za baadhi yao kuwa chanzo cha Wanafunzi kukatisha Masomo na kukosa Haki ya kupata Elimu
Soma - https://jamii.app/WazaziWalezi
#JFElimu
Mkuu wa Wilaya ya Kilosa, Alhaji Majdi Mwanga ameandaa mikataba kati ya Wazazi kuhusu kudhibiti tabia za baadhi yao kuwa chanzo cha Wanafunzi kukatisha Masomo na kukosa Haki ya kupata Elimu
Soma - https://jamii.app/WazaziWalezi
#JFElimu
AL-SHABAAB YATISHIA KUSHAMBULIA KENYA
Wapiganaji hao wametuma ujumbe wa kuishambulia #Kenya kama kisasi cha uwepo wa Majeshi yake Nchini Somalia
Watu 13 wameuawa tangu kuanza mwaka 2022. Vifo vimehusishwa na wapiganaji wa Al-Shabaab
Soma - https://jamii.app/KenyaAlShabaab
Wapiganaji hao wametuma ujumbe wa kuishambulia #Kenya kama kisasi cha uwepo wa Majeshi yake Nchini Somalia
Watu 13 wameuawa tangu kuanza mwaka 2022. Vifo vimehusishwa na wapiganaji wa Al-Shabaab
Soma - https://jamii.app/KenyaAlShabaab
UGANDA KUHARIBU DOZI ZAIDI 400,000 ZILIZOISHA MUDA
Kasi ndogo ya utoaji Chanjo dhidi ya #COVID19 imesababisha Chanjo za Moderna na #AstraZeneca kuisha muda wa matumizi
Dozi 12,220,106 zimetolewa hadi sasa. Uganda imerekodi Vifo 3,378
Soma - https://jamii.app/DoziLakiNne
#UVIKO3 #JFAfya
Kasi ndogo ya utoaji Chanjo dhidi ya #COVID19 imesababisha Chanjo za Moderna na #AstraZeneca kuisha muda wa matumizi
Dozi 12,220,106 zimetolewa hadi sasa. Uganda imerekodi Vifo 3,378
Soma - https://jamii.app/DoziLakiNne
#UVIKO3 #JFAfya
AUSTRALIA YAFUTA VISA YA NOVAK DJOKOVIC KWA KUTOCHOMA CHANJO YA #COVID19
Waziri wa masuala ya Uhamiaji amesema wamechukua uamuzi huo kwa kuzingatia Sheria ya Afya
Djokovic bado anaweza kufungua kesi nyingine kupinga kufukuzwa Nchini humo
Soma https://jamii.app/DjokovicVisaBan
#UVIKO3
Waziri wa masuala ya Uhamiaji amesema wamechukua uamuzi huo kwa kuzingatia Sheria ya Afya
Djokovic bado anaweza kufungua kesi nyingine kupinga kufukuzwa Nchini humo
Soma https://jamii.app/DjokovicVisaBan
#UVIKO3
MALEZI: NAMNA YA KUMSAIDIA MTOTO KUWA MTU BORA KWENYE JAMII
1. Mfundishe kufanya kazi kwa Ushirikiano (Teamwork). Mfano unaweza kutenga muda kusaidiana naye kwenye 'Homework' au majukumu ya Nyumbani
2. Shiriki au Mfundishe kupanga malengo pamoja na maono mliyonayo. Washirikishe Watoto kwenye uwekaji wa Sheria/Miongozo itakayowasaidia kitabia
Soma - https://jamii.app/MtotoBora
#Malezi
1. Mfundishe kufanya kazi kwa Ushirikiano (Teamwork). Mfano unaweza kutenga muda kusaidiana naye kwenye 'Homework' au majukumu ya Nyumbani
2. Shiriki au Mfundishe kupanga malengo pamoja na maono mliyonayo. Washirikishe Watoto kwenye uwekaji wa Sheria/Miongozo itakayowasaidia kitabia
Soma - https://jamii.app/MtotoBora
#Malezi
UGANDA: WANAFUNZI MILIONI 4.5 HAWATARUDI SHULE
Ripoti ya Mamlaka ya Mipango ya Taifa imeonesha Wanafunzi hao hawataweza kurudi Shule kwa sababu mbalimbali ikiwemo Ujauzito
Uganda imefungua Shule hivi karibuni baada ya kuzifunga kwa takriban miaka 2
Soma https://jamii.app/MilioniWanafunzi
#JFElimu
Ripoti ya Mamlaka ya Mipango ya Taifa imeonesha Wanafunzi hao hawataweza kurudi Shule kwa sababu mbalimbali ikiwemo Ujauzito
Uganda imefungua Shule hivi karibuni baada ya kuzifunga kwa takriban miaka 2
Soma https://jamii.app/MilioniWanafunzi
#JFElimu
WHO YAPENDEKEZA DAWA MBILI KUTUMIKA KUTIBU #COVID19
Baricitinib imependekezwa kutumika kutibu wagonjwa mahututi wa #COVID19 na Sotrovimab kutumika kwa Corona isiyo kali
Dawa zimependekezwa baada ya majaribio saba yaliyohusisha watu 4,000
Soma - https://jamii.app/DawaCorona
#UVIKO3 #JFAfya
Baricitinib imependekezwa kutumika kutibu wagonjwa mahututi wa #COVID19 na Sotrovimab kutumika kwa Corona isiyo kali
Dawa zimependekezwa baada ya majaribio saba yaliyohusisha watu 4,000
Soma - https://jamii.app/DawaCorona
#UVIKO3 #JFAfya
WATOA HUDUMA ZA 'MASSAGE' WATAKIWA KUJISAJILI KABLA YA MACHI 31, 2022
Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala limesema huduma ya 'Massage' ni tiba asili hivyo watoa huduma wanatakiwa kupata Mafunzo Maalum na Leseni ya kutoa huduma hiyo
Soma https://jamii.app/MassageService
#JFAfya
Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala limesema huduma ya 'Massage' ni tiba asili hivyo watoa huduma wanatakiwa kupata Mafunzo Maalum na Leseni ya kutoa huduma hiyo
Soma https://jamii.app/MassageService
#JFAfya
12.7% YA WALIOMALIZA KIDATO CHA NNE 2021 WAPATA SIFURI
NECTA imetangaza matokeo ya Kidato cha Nne. Wanafunzi 652,611 walifanya mitihani na 422,388 wamefaulu kwa kupata Daraja la Kwanza hadi Daraja la Nne sawa na 87.3%
> 19.24% wamefaulu Hisabati
Soma https://jamii.app/CSEE2021
#JFElimu
NECTA imetangaza matokeo ya Kidato cha Nne. Wanafunzi 652,611 walifanya mitihani na 422,388 wamefaulu kwa kupata Daraja la Kwanza hadi Daraja la Nne sawa na 87.3%
> 19.24% wamefaulu Hisabati
Soma https://jamii.app/CSEE2021
#JFElimu
MATOKEO KIDATO CHA 4: WANAFUNZI WAONESHA UMWAMBA KWENYE KISWAHILI NA KEMIA
Katika wanafunzi waliofaulu mtihani wa kidato cha nne 2021, waliofaulu Kiswahili ni 95.58% na Kemia 92.02%
> Hisabati imeendelea kuwaburuza, waliofaulu Hisabati ni 19.24%
Soma https://jamii.app/CSEE2021
#JFElimu
Katika wanafunzi waliofaulu mtihani wa kidato cha nne 2021, waliofaulu Kiswahili ni 95.58% na Kemia 92.02%
> Hisabati imeendelea kuwaburuza, waliofaulu Hisabati ni 19.24%
Soma https://jamii.app/CSEE2021
#JFElimu