SPIKA NDUGAI: TUNA TATIZO LA UAMINIFU KATIKA NCHI YETU
- Amesema Waswahili wengi wakiwekwa mahali kufanya kazi ni lazima wataiba/kupiga kwasababu ya kukosa Uaminifu
- Asema Wawekezaji wengi wamekuwa wakilalamikia hilo hasa kwa Vijana
Angalia - https://youtu.be/243pohKOugU
- Amesema Waswahili wengi wakiwekwa mahali kufanya kazi ni lazima wataiba/kupiga kwasababu ya kukosa Uaminifu
- Asema Wawekezaji wengi wamekuwa wakilalamikia hilo hasa kwa Vijana
Angalia - https://youtu.be/243pohKOugU
UCHAGUZI TLS: DKT. HOSEAH ATANGAZWA MSHINDI
- Dkt. Edward Hoseah amechaguliwa kuwa Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika kwa Kura 293
- Flaviana Charles amepata Kura 223, Shehzada Walli 192, Albert Msando 69 na Francis Stolla 17
Soma https://jamii.app/UchaguziTLS
- Dkt. Edward Hoseah amechaguliwa kuwa Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika kwa Kura 293
- Flaviana Charles amepata Kura 223, Shehzada Walli 192, Albert Msando 69 na Francis Stolla 17
Soma https://jamii.app/UchaguziTLS
WAZIRI JENISTA: TUSIPOONDOA UDUMAVU TUTAKUWA NA WATOTO WASIOFANYA VIZURI
- Amesema kuna Mikoa inafanya vizuri ktk Uzalishaji lakini kiwango cha Utapiamlo na Udumavu bado kipo juu
- Asema kiwango cha Iringa kimefikia 47.1% huku Songwe ikiwa 43.3%
Soma > https://jamii.app/MikoaUdumavu
- Amesema kuna Mikoa inafanya vizuri ktk Uzalishaji lakini kiwango cha Utapiamlo na Udumavu bado kipo juu
- Asema kiwango cha Iringa kimefikia 47.1% huku Songwe ikiwa 43.3%
Soma > https://jamii.app/MikoaUdumavu
MWAMBE: TUMUACHE RAIS, ANAFAHAMU WAPI ATAFIKISHA NCHI
- Waziri Geoffrey Mwambe amesema anatamani wale wanaojaribu kutoa ushauri wa 'hapa na pale' kuhusu nini Rais afanye wampe nafasi afanye kazi yake
- Asema, "Alikuwepo kwenye kupanga mipango"
Soma > https://jamii.app/MwambeBungeni
- Waziri Geoffrey Mwambe amesema anatamani wale wanaojaribu kutoa ushauri wa 'hapa na pale' kuhusu nini Rais afanye wampe nafasi afanye kazi yake
- Asema, "Alikuwepo kwenye kupanga mipango"
Soma > https://jamii.app/MwambeBungeni
UTEUZI: RAIS SAMIA ATEUA WASAIDIZI WA OFISI YA RAIS, IKULU
> Said Ali Juma anakuwa Mnikulu
> Dkt. Blandina Kilama anakuwa Mshauri wa Rais, Uchumi
> Dkt. Salim Othman, Msaidizi wa Rais - Siasa
Zaidi, soma https://jamii.app/UteuziApril16
> Said Ali Juma anakuwa Mnikulu
> Dkt. Blandina Kilama anakuwa Mshauri wa Rais, Uchumi
> Dkt. Salim Othman, Msaidizi wa Rais - Siasa
Zaidi, soma https://jamii.app/UteuziApril16
URUSI YAWAFUKUZA WANADIPLOMASIA 10 WA MAREKANI
- Ni katika hatua ya kulipiza kisasi baada ya kuwekewa vikwazo na Marekani
- Urusi imekana tuhuma dhidi yake na kusema huu ni wakati wa Marekani kugeuza mwenendo wa uhusiano wa Mataifa hayo
Soma > https://jamii.app/UrusiMarekani
- Ni katika hatua ya kulipiza kisasi baada ya kuwekewa vikwazo na Marekani
- Urusi imekana tuhuma dhidi yake na kusema huu ni wakati wa Marekani kugeuza mwenendo wa uhusiano wa Mataifa hayo
Soma > https://jamii.app/UrusiMarekani
FAHAMU KUHUSU KILIMO CHA UYOGA
- Mdau anasema aina za Uyoga zinazofaa kulimwa #Tanzania ni zile zinazostawi vizuri kwenye maeneo ya joto la wastani wa nyuzi 20c hadi 33c
- Malighafi zitumikazo kuzalisha Uyoga ni mabua, majani ya mpunga, ngano, pumba za mpunga au mahindi, masalia ya miwa baada ya kukamua ambayo hukatwa, huchemshwa na kutandazwa kwaajili ya mbengu kupandwa
Zaidi, soma - https://jamii.app/KilimoUyoga
#JFKilimo
- Mdau anasema aina za Uyoga zinazofaa kulimwa #Tanzania ni zile zinazostawi vizuri kwenye maeneo ya joto la wastani wa nyuzi 20c hadi 33c
- Malighafi zitumikazo kuzalisha Uyoga ni mabua, majani ya mpunga, ngano, pumba za mpunga au mahindi, masalia ya miwa baada ya kukamua ambayo hukatwa, huchemshwa na kutandazwa kwaajili ya mbengu kupandwa
Zaidi, soma - https://jamii.app/KilimoUyoga
#JFKilimo
MAREKANI: UCHAGUZI WA UGANDA ULICHAKACHULIWA. YAWEKA VIKWAZO KWA MAAFISA WA SERIKALI
Marekani imesema inaweka vikwazo kwa Maafisa waliodhoofisha mchakato wa #Demokrasia hasa wakati wa Uchaguzi uliofanyika Januari 2021 na kipindi cha Kampeni
Soma https://jamii.app/USSanctionsUG
Marekani imesema inaweka vikwazo kwa Maafisa waliodhoofisha mchakato wa #Demokrasia hasa wakati wa Uchaguzi uliofanyika Januari 2021 na kipindi cha Kampeni
Soma https://jamii.app/USSanctionsUG
TUNISIA: WATU 41 WAPOTEZA MAISHA BAADA YA BOTI KUZAMA
- Walikuwa wakijaribu kufika Kisiwa cha Italia cha Lampedusa
- Mwezi uliopita wahamiaji na wakimbizi 39 walipoteza maisha na Juni 2020 takriban watu 60 walifariki dunia baada ya boti kuzama
Soma > https://jamii.app/41BotiTunisia
- Walikuwa wakijaribu kufika Kisiwa cha Italia cha Lampedusa
- Mwezi uliopita wahamiaji na wakimbizi 39 walipoteza maisha na Juni 2020 takriban watu 60 walifariki dunia baada ya boti kuzama
Soma > https://jamii.app/41BotiTunisia
CUBA KUTOKUWA NA KIONGOZI ANAYEITWA CASTRO BAADA YA MIAKA 62
- RaΓΊl Castro anatarajiwa kuachia Madaraka kama Katibu Mkuu wa Chama, cheo kinachotajwa kuwa na nguvu kuliko cha Rais
- Aliingia Madarakani 2008 baada ya Afya ya Fidel Castro kudhoofika
Soma https://jamii.app/CubaCastro
- RaΓΊl Castro anatarajiwa kuachia Madaraka kama Katibu Mkuu wa Chama, cheo kinachotajwa kuwa na nguvu kuliko cha Rais
- Aliingia Madarakani 2008 baada ya Afya ya Fidel Castro kudhoofika
Soma https://jamii.app/CubaCastro
FAHAMU NAMNA YA KUWATOFAUTISHA CHIPMUNK NA KINDI (SQUIRREL)
- Chipmunk wana mistari 7 katika miili yao, mstari mmoja mweusi unaopita mgongoni na mistari 3 kila upande
- Kindi ana mistari 13, mistari 7 myeusi yenye vidoti vyeupe ikitenganishwa na mistari myeupe. Mistari yote inaenda hadi kichwani
- Chipmunks wana masikio yaliyosimama na yenye umbo la duara wakati Kindi wana masikio mafupi ambayo hayajatokeza juu ya kichwa
- Chipmunks wana mkia wenye manyoya mengi na mara zote unanyanyuka juu wakiwa wanatembea. Kindi wana mkia usio na manyoya mengi na haunyanyuki juu anapotembea
#JamiiForums
- Chipmunk wana mistari 7 katika miili yao, mstari mmoja mweusi unaopita mgongoni na mistari 3 kila upande
- Kindi ana mistari 13, mistari 7 myeusi yenye vidoti vyeupe ikitenganishwa na mistari myeupe. Mistari yote inaenda hadi kichwani
- Chipmunks wana masikio yaliyosimama na yenye umbo la duara wakati Kindi wana masikio mafupi ambayo hayajatokeza juu ya kichwa
- Chipmunks wana mkia wenye manyoya mengi na mara zote unanyanyuka juu wakiwa wanatembea. Kindi wana mkia usio na manyoya mengi na haunyanyuki juu anapotembea
#JamiiForums
SERIKALI KUWASILISHA MUSWADA WA KUREKEBISHA KIKOKOTOO CHA MAFAO
- Serikali itawasilisha Bungeni Muswada wa marekebisho ya #Sheria ya mafao ya Wafanyakazi kuhusu kikokotoo kipya ili kuondoa vikwazo kwa Wafanyakazi kuchukua fedha wanapostaafu
Soma - https://jamii.app/MuswadaMafao
- Serikali itawasilisha Bungeni Muswada wa marekebisho ya #Sheria ya mafao ya Wafanyakazi kuhusu kikokotoo kipya ili kuondoa vikwazo kwa Wafanyakazi kuchukua fedha wanapostaafu
Soma - https://jamii.app/MuswadaMafao
ALIYEKUWA MKURUGENZI WA TPA AACHIWA KWA DHAMANA
- TAKUKURU imesema Deusdedit Kakoko ameachiwa kwa dhamana na Taasisi hiyo imekamilisha uchunguzi kwa 98%
- Alishikiliwa kufuatia tuhuma za ubadhirifu wa zaidi ya Bilioni 3 ndani ya Mamlaka ya Bandari
Soma https://jamii.app/KakokoDhamana
- TAKUKURU imesema Deusdedit Kakoko ameachiwa kwa dhamana na Taasisi hiyo imekamilisha uchunguzi kwa 98%
- Alishikiliwa kufuatia tuhuma za ubadhirifu wa zaidi ya Bilioni 3 ndani ya Mamlaka ya Bandari
Soma https://jamii.app/KakokoDhamana
SHINYANGA: BABU ATUHUMIWA KUBAKA MJUKUU WA MIAKA 7
- Jeshi la Polisi linamshikilia Juma Emmanuel (53) kwa kumbaka Mjukuu wake wakati Bibi wa Mtoto akiwa amelazwa Hospitalini
- Wananchi watakiwa kutoa taarifa kuhusu Ukatili dhidi ya Watoto
Soma - https://jamii.app/KubakaMjukuuSHY
- Jeshi la Polisi linamshikilia Juma Emmanuel (53) kwa kumbaka Mjukuu wake wakati Bibi wa Mtoto akiwa amelazwa Hospitalini
- Wananchi watakiwa kutoa taarifa kuhusu Ukatili dhidi ya Watoto
Soma - https://jamii.app/KubakaMjukuuSHY
TAKWIMU: KUNA ONGEZEKO LA WATOTO KUACHA SHULE. WAVULANA WAONGOZA
- Wavulana 96,683 waliacha Shule mwaka 2020 na Wasichana 71,151. Mwaka 2017 ilikuwa Wavulana 36,434 na Wasichana 29,708
- Wanafunzi 167,834 waliacha Shule kutokana na utoro
Soma - https://jamii.app/WanaoachaShule
- Wavulana 96,683 waliacha Shule mwaka 2020 na Wasichana 71,151. Mwaka 2017 ilikuwa Wavulana 36,434 na Wasichana 29,708
- Wanafunzi 167,834 waliacha Shule kutokana na utoro
Soma - https://jamii.app/WanaoachaShule
MAREKANI YAAMURU WANADIPLOMASIA WAKE KUONDOKA CHAD
- Ni kutokana na hofu ya kutokea mashambulio katika Mji Mkuu wa NβDjamena
- Marekani imetoa kauli hiyo wakati vikundi vyenye silaha vikionekana kujiimarisha kuingia katika Mji huo
Soma > https://jamii.app/USDiplomatsChad
- Ni kutokana na hofu ya kutokea mashambulio katika Mji Mkuu wa NβDjamena
- Marekani imetoa kauli hiyo wakati vikundi vyenye silaha vikionekana kujiimarisha kuingia katika Mji huo
Soma > https://jamii.app/USDiplomatsChad
PERU: KASHFA YA CHANJO YAPELEKEA RAIS WA ZAMANI KUPIGWA MARUFUKU KWA MIAKA 10
- MartΓn Vizcarra amepigwa marufuku kushika wadhifa kwenye Ofisi ya Umma kwa muda wa miaka 10 kufuatia madai kuwa aliruka foleni kupokea Chanjo ya #COVID19
Soma > https://jamii.app/VizcarraPeru
- MartΓn Vizcarra amepigwa marufuku kushika wadhifa kwenye Ofisi ya Umma kwa muda wa miaka 10 kufuatia madai kuwa aliruka foleni kupokea Chanjo ya #COVID19
Soma > https://jamii.app/VizcarraPeru
MIKATABA YA VIJANA 854 WA JKT WALIOGOMA NA KUANDAMANA YASITISHWA
- Vijana hao wa kujitolea walifanya hivyo kushinikiza kuandikishwa Jeshini
- Jenerali Venance Mabeyo amesema, "Kitendo hiki hakikubaliki, kugoma au kuandamana Jeshini ni kosa la uasi"
Soma > https://jamii.app/VijanaMikatabaJKT
- Vijana hao wa kujitolea walifanya hivyo kushinikiza kuandikishwa Jeshini
- Jenerali Venance Mabeyo amesema, "Kitendo hiki hakikubaliki, kugoma au kuandamana Jeshini ni kosa la uasi"
Soma > https://jamii.app/VijanaMikatabaJKT
RAIS SAMIA ASHIRIKI KONGAMANO LA KUMUENZI MAGUFULI
- Rais Samia Suluhu na Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi, leo wameshiriki Kongamano lililoandaliwa na Viongozi wa dini Chimwaga, kwa ajili ya kumshukuru Mungu kwa maisha ya Hayati Magufuli
Angalia - https://youtu.be/e4bSqKFNb3M
- Rais Samia Suluhu na Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi, leo wameshiriki Kongamano lililoandaliwa na Viongozi wa dini Chimwaga, kwa ajili ya kumshukuru Mungu kwa maisha ya Hayati Magufuli
Angalia - https://youtu.be/e4bSqKFNb3M
ASKOFU KONKI: KUMSIFIA RAIS SAMIA NA KUMKASHIFU DKT. MAGUFULI NI KUJIPENDEKEZA
- Askofu Mkuu wa Kanisa la Pentekoste Tanzania, Peter Konki, amesema, "Watu hawa wanafanya hivyo kwa kutugawa Watanzania, tunaanza kushambuliana. Hayati Magufuli ni kipenzi cha Watanzania wengi kwahivyo wanasiasa msitugawanye"
Msikilize https://youtu.be/e4bSqKFNb3M
- Askofu Mkuu wa Kanisa la Pentekoste Tanzania, Peter Konki, amesema, "Watu hawa wanafanya hivyo kwa kutugawa Watanzania, tunaanza kushambuliana. Hayati Magufuli ni kipenzi cha Watanzania wengi kwahivyo wanasiasa msitugawanye"
Msikilize https://youtu.be/e4bSqKFNb3M
RAIS SAMIA: KUNA MIJADALA BUNGENI HAINA AFYA KWA TAIFA
- Amesema kipindi hiki wabunge wanapaswa kupitisha bajeti kwa maendeleo
- Asema "Jikiteni huko mengine tutayazungumza siku zinavyokwenda. Tufanye kazi kama Bunge linavyotakiwa kufanya kazi"
Tazama > https://youtu.be/FB7b1J8Dcuw
- Amesema kipindi hiki wabunge wanapaswa kupitisha bajeti kwa maendeleo
- Asema "Jikiteni huko mengine tutayazungumza siku zinavyokwenda. Tufanye kazi kama Bunge linavyotakiwa kufanya kazi"
Tazama > https://youtu.be/FB7b1J8Dcuw