MGOMBEA URAIS WA ADC ADAI KUPIGWA MAKOFI NA KUVUNJIWA KIOO CHA GARI
> Queen Sendiga amedai kupigwa makofi na watu wasiojulikana na kuvunjiwa kioo cha gari lake la matangazo akiwa Stendi ya zamani ya Manispaa ya Iringa akiendelea na Kampeni
Soma - https://jamii.app/MakofiMgombeaADC
#TZ2020
> Queen Sendiga amedai kupigwa makofi na watu wasiojulikana na kuvunjiwa kioo cha gari lake la matangazo akiwa Stendi ya zamani ya Manispaa ya Iringa akiendelea na Kampeni
Soma - https://jamii.app/MakofiMgombeaADC
#TZ2020
JAMES MBATIA ASIMAMISHWA KUFANYA KAMPENI KWA SIKU 7
- Kamati ya Maadili imemsimamisha Mgombea huyo wa Ubunge wa Vunjo kupitia NCCR Mageuzi kufanya kampeni kuanzia Oktoba 17, 2020
- Ni kwa kutumia kipeperushi cha kampeni ambacho hakijaidhinishwa na Msimamizi wa Uchaguzi wa Vunjo
Soma https://jamii.app/MbatiaAsimamishwaKampeni
#Uchaguzi2020
- Kamati ya Maadili imemsimamisha Mgombea huyo wa Ubunge wa Vunjo kupitia NCCR Mageuzi kufanya kampeni kuanzia Oktoba 17, 2020
- Ni kwa kutumia kipeperushi cha kampeni ambacho hakijaidhinishwa na Msimamizi wa Uchaguzi wa Vunjo
Soma https://jamii.app/MbatiaAsimamishwaKampeni
#Uchaguzi2020
TANAPA: MOTO MLIMA KILIMANJARO UMEDHIBITIWA
> Ukaguzi wa anga umebaini moto wote umedhibitiwa. Hata hivyo vikosi vya askari vimetawanywa kwa tahadhari
> Moto ulizuka Oktoba 11 na kuathiri 5% ya eneo lote la hifadhi lenye km za mraba 1700
Soma https://jamii.app/TANAPAMotoKLM
#JFLeo
> Ukaguzi wa anga umebaini moto wote umedhibitiwa. Hata hivyo vikosi vya askari vimetawanywa kwa tahadhari
> Moto ulizuka Oktoba 11 na kuathiri 5% ya eneo lote la hifadhi lenye km za mraba 1700
Soma https://jamii.app/TANAPAMotoKLM
#JFLeo
LISSU: NIKISHINDWA KWA HAKI NITAKIRI KUSHINDWA
> Mgombea Urais kupitia CHADEMA amesema wakishinda lazima NEC itangaze kwa heri au kwa shari
> Amesisitiza wanataka Uchaguzi wa amani lakini hawatakuwa tayari kugeuza shavu la pili waumie zaidi
Soma https://jamii.app/LissuHakiUchaguzi
#TZ2020
> Mgombea Urais kupitia CHADEMA amesema wakishinda lazima NEC itangaze kwa heri au kwa shari
> Amesisitiza wanataka Uchaguzi wa amani lakini hawatakuwa tayari kugeuza shavu la pili waumie zaidi
Soma https://jamii.app/LissuHakiUchaguzi
#TZ2020
GAIRO: AJINYONGA BAADA YA KUGOMBANA NA MAMA YAKE
> Rahel Yohana (14) aliyemaliza darasa la 7 amejinyonga baada ya kukatazwa kurudi nyumbani usiku
> RPC wa Morogoro amewataka wenye changamoto watafute wataalam wa Saikolojia na sio kujiua
Soma - https://jamii.app/Mwnf7Ajinyonga
> Rahel Yohana (14) aliyemaliza darasa la 7 amejinyonga baada ya kukatazwa kurudi nyumbani usiku
> RPC wa Morogoro amewataka wenye changamoto watafute wataalam wa Saikolojia na sio kujiua
Soma - https://jamii.app/Mwnf7Ajinyonga
ZANZIBAR NA SERIKALI YA MUUNGANO WAKUBALIANA KUFUTA HOJA 5 BAADA YA KUZITATUA
> Baadhi ya hoja zilizoondolewa ni Ushirikishwaji wa Zanzibar kwenye masuala ya Kimataifa na Kikanda pamoja na Ushiriki wa Zanzibar ktk Jumuiya ya Afrika Mashariki
Soma https://jamii.app/MuunganoSainiHoja
#JFLeo
> Baadhi ya hoja zilizoondolewa ni Ushirikishwaji wa Zanzibar kwenye masuala ya Kimataifa na Kikanda pamoja na Ushiriki wa Zanzibar ktk Jumuiya ya Afrika Mashariki
Soma https://jamii.app/MuunganoSainiHoja
#JFLeo
ZANZIBAR: VURUGU ZA KISIASA ZATOKEA NA BAADHI YA WATU KUJERUHIWA
> Kamanda wa Polisi Kaskazini Pemba amesema ulitokea ugomvi kati ya Wanachama wa ACT-Wazalendo na CCM eneo la Shumba Mjini ambapo walishambuliana kwa mapanga na kuumizana
Soma https://jamii.app/VuruguSiasaZbar
#Uchaguzi2020
> Kamanda wa Polisi Kaskazini Pemba amesema ulitokea ugomvi kati ya Wanachama wa ACT-Wazalendo na CCM eneo la Shumba Mjini ambapo walishambuliana kwa mapanga na kuumizana
Soma https://jamii.app/VuruguSiasaZbar
#Uchaguzi2020
PWANI: TAKUKURU YAOKOA ZAIDI YA TSH MILIONI 200 KWA MIEZI 3
> Julai hadi Septemba 2020, TAKUKURU ilipokea malalamiko 318 ambapo 157 yanafanyiwa kazi, 74 yalionekana kuhusu Sheria nyinginezo
> Kesi 10 zilitolewa hukumu na Jamhuri ilishinda 6
Soma https://jamii.app/PCCBTsh200M
#JFLeo
> Julai hadi Septemba 2020, TAKUKURU ilipokea malalamiko 318 ambapo 157 yanafanyiwa kazi, 74 yalionekana kuhusu Sheria nyinginezo
> Kesi 10 zilitolewa hukumu na Jamhuri ilishinda 6
Soma https://jamii.app/PCCBTsh200M
#JFLeo
KILIMANJARO: BWENI LA SHULE YA SEKONDARI YA UCHIRA ISLAMIC LATEKETEA KWA MOTO
> Bweni la Shule hiyo ya Wasichana iliyopo Moshi Vijijini limeteketea jioni ya Oktoba 16
> Chanzo cha moto huo bado hakijajulikana, hakuna kifo kilichoripotiwa
Soma - https://jamii.app/UchiraMoto
#JFLeo
> Bweni la Shule hiyo ya Wasichana iliyopo Moshi Vijijini limeteketea jioni ya Oktoba 16
> Chanzo cha moto huo bado hakijajulikana, hakuna kifo kilichoripotiwa
Soma - https://jamii.app/UchiraMoto
#JFLeo
WAANGALIZI WA UCHAGUZI MKUU KUWASILI OKTOBA 23
> Waangalizi hao kutoka Jumuiya ya #Afrika Mashariki wataongozwa na Rais Mstaafu wa #Burundi, Sylvestre Ntibantunganya
> Wamo Wabunge wa Bunge la #EAC na Mawaziri wa masuala ya Jumuiya hiyo
Soma - https://jamii.app/WaangaliziEAC
#TZ2020
> Waangalizi hao kutoka Jumuiya ya #Afrika Mashariki wataongozwa na Rais Mstaafu wa #Burundi, Sylvestre Ntibantunganya
> Wamo Wabunge wa Bunge la #EAC na Mawaziri wa masuala ya Jumuiya hiyo
Soma - https://jamii.app/WaangaliziEAC
#TZ2020
LIGI KUU ENGLAND: LIVERPOOL NA EVERTON ZATOSHANA NGUVU
- Mchezo wa βMerseyside Derbyβ wa mzunguko wa 5 wa Ligi Kuu England kati ya Liverpool na Everton umemalizika kwa timu hizo kufungana goli 2-2
- Mechi inayofuata sasa ni kati ya Chelsea na Southampton na baadaye, Manchester City na Arsenal zitapimana ubavu kabla ya Manchester United kukipiga na Newcastle
#Michezo #Sports #JamiiForums #JFSports #JFMichezo
- Mchezo wa βMerseyside Derbyβ wa mzunguko wa 5 wa Ligi Kuu England kati ya Liverpool na Everton umemalizika kwa timu hizo kufungana goli 2-2
- Mechi inayofuata sasa ni kati ya Chelsea na Southampton na baadaye, Manchester City na Arsenal zitapimana ubavu kabla ya Manchester United kukipiga na Newcastle
#Michezo #Sports #JamiiForums #JFSports #JFMichezo
TUNDU LISSU AWATAKA WATANZANIA KUHAMASISHANA ILI KWENDA KUPIGA KURA
> Mgombea Urais kupitia CHADEMA amesema Uchaguzi wa mwaka huu ni muhimu kuliko wakati wowote kwa sababu utaunda Serikali itakayolinda Uhuru, Haki na Maendeleo ya watu
Soma - https://jamii.app/LissuManyoni
#Uchaguzi2020
> Mgombea Urais kupitia CHADEMA amesema Uchaguzi wa mwaka huu ni muhimu kuliko wakati wowote kwa sababu utaunda Serikali itakayolinda Uhuru, Haki na Maendeleo ya watu
Soma - https://jamii.app/LissuManyoni
#Uchaguzi2020
LIGI KUU ENGLAND: CHELSEA YALAZIMISHWA SARE NYUMBANI
- Klabu ya Chelsea imetoka sare ya goli 3-3 na Klabu ya Southampton katika mchezo wa Ligi hiyo mzunguko wa 5
- Mchezo unaofuata ni kati ya Manchester City na Arsenal na kisha Manchester United itapambana na Newcastle
#JamiiForums #JFSports #JFMichezo #Michezo #Sports
- Klabu ya Chelsea imetoka sare ya goli 3-3 na Klabu ya Southampton katika mchezo wa Ligi hiyo mzunguko wa 5
- Mchezo unaofuata ni kati ya Manchester City na Arsenal na kisha Manchester United itapambana na Newcastle
#JamiiForums #JFSports #JFMichezo #Michezo #Sports
NEC: WAANGALIZI WA UCHAGUZI WASIWE WASEMAJI WA UCHAGUZI
> Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema, Waangalizi wa Uchaguzi wajibu wao ni kutazama tu namna shughuli zinavyoendeshwa ili kupata fursa ya kuandaa ripoti na kutoa mapendekezo
Soma https://jamii.app/JukumuWaangalizi
#Uchaguzi2020
> Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema, Waangalizi wa Uchaguzi wajibu wao ni kutazama tu namna shughuli zinavyoendeshwa ili kupata fursa ya kuandaa ripoti na kutoa mapendekezo
Soma https://jamii.app/JukumuWaangalizi
#Uchaguzi2020
WATOTO KUTOKWA NA HAJA KUBWA BILA KUJIJUA NI TATIZO KATIKA UTUMBO MPANA
> Kitaalamu Ugonjwa huo unaitwa Hirschsprungβs Disease, na unawakabili watoto wengi
> Ni Ugonjwa unaochukuliwa kama tabia, lakini ni tatizo lililo nje ya uwezo wa mtoto
Soma https://jamii.app/UgonjwaKujinyea
#JFAfya
> Kitaalamu Ugonjwa huo unaitwa Hirschsprungβs Disease, na unawakabili watoto wengi
> Ni Ugonjwa unaochukuliwa kama tabia, lakini ni tatizo lililo nje ya uwezo wa mtoto
Soma https://jamii.app/UgonjwaKujinyea
#JFAfya
TCRA: WANAWAKE HUDHALILISHWA SANA MITANDAONI KUTOKANA NA KUPIGA PICHA TATA
> Kwa mujibu wa kesi wanazozipokea, waathirika hubainika walihusika kuchapisha maudhui hayo ya ngono
> Suala hilo linachangiwa na ugawaji wa nywila kwa watu wa karibu
Soma https://jamii.app/SocialMediaBullying
> Kwa mujibu wa kesi wanazozipokea, waathirika hubainika walihusika kuchapisha maudhui hayo ya ngono
> Suala hilo linachangiwa na ugawaji wa nywila kwa watu wa karibu
Soma https://jamii.app/SocialMediaBullying
RIPOTI: WATUMIAJI WA INTANETI TANZANIA WAFIKIA MILIONI 27.1
> Kwa mujibu wa takwimu mpya za TCRA, Watumiaji wamefikia idadi hiyo Juni kutoka Milioni 26.8 ya mwezi Machi
> Hii inaashiria ongezeko la fursa mtandaoni kama biashara na maarifa
Soma - https://jamii.app/WatumiajiIntaneti
#JFLeo
> Kwa mujibu wa takwimu mpya za TCRA, Watumiaji wamefikia idadi hiyo Juni kutoka Milioni 26.8 ya mwezi Machi
> Hii inaashiria ongezeko la fursa mtandaoni kama biashara na maarifa
Soma - https://jamii.app/WatumiajiIntaneti
#JFLeo
KAGERA: MBARONI KWA KUUA AKIJARIBU KUTOA MIMBA
> Frodius Protace (24) anatuhumiwa kumuua Saraiya Idd (25) kwa kujaribu kumtoa mimba ya miezi sita
> Mtuhumiwa alikiri kushiriki mafunzo ya kozi fupi ya Ufamasia lakini hajawahi kuajiriwa
Soma https://jamii.app/TuhumaZaKuua
> Frodius Protace (24) anatuhumiwa kumuua Saraiya Idd (25) kwa kujaribu kumtoa mimba ya miezi sita
> Mtuhumiwa alikiri kushiriki mafunzo ya kozi fupi ya Ufamasia lakini hajawahi kuajiriwa
Soma https://jamii.app/TuhumaZaKuua
RAIS MAGUFULI AMKABIDHI NYUMBA MZEE MWINYI
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt. John Magufuli amemkabidhi nyumba Rais Mstaafu, Ally Hassan Mwinyi
-
Mzee Mwinyi amekuwa akiishi kwenye nyumba aliyojenga mwenyewe iliyoko Mikocheni jijini Dar, nyumba ambayo ipo karibu na Nyumba ya Mwalimu Nyerere
-
Ally Hassan Mwinyi ni Rais wa Pili wa Tanzania, aliyeongoza tangu mwaka 1985 hadi mwaka 1995
-
#JFLeo #JamiiForums #JFSiasa
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt. John Magufuli amemkabidhi nyumba Rais Mstaafu, Ally Hassan Mwinyi
-
Mzee Mwinyi amekuwa akiishi kwenye nyumba aliyojenga mwenyewe iliyoko Mikocheni jijini Dar, nyumba ambayo ipo karibu na Nyumba ya Mwalimu Nyerere
-
Ally Hassan Mwinyi ni Rais wa Pili wa Tanzania, aliyeongoza tangu mwaka 1985 hadi mwaka 1995
-
#JFLeo #JamiiForums #JFSiasa
KENYA YASHUKU KUPIGWA NA WIMBI LA PILI LA #CORONAVIRUS
> Kenya imethibitisha watu 685 kuambukizwa #CoronaVirus ndani ya saa 24
> Jumla ya walioambukizwa ni 44,881 huku 28 wakiwa mahututi. Wizara imetahadharisha wananchi kufuata kanuni
Soma https://jamii.app/SecondWaveKE
#JFLeo
> Kenya imethibitisha watu 685 kuambukizwa #CoronaVirus ndani ya saa 24
> Jumla ya walioambukizwa ni 44,881 huku 28 wakiwa mahututi. Wizara imetahadharisha wananchi kufuata kanuni
Soma https://jamii.app/SecondWaveKE
#JFLeo
MAJALIWA: MCHAGUENI DKT. MAGUFULI KWANI SIO MLALAMISHI
> Amesema, Wananchi wanatakiwa kumchagua mgombea huyo kwa kuwa ana uwezo wa kusimamia kazi ipasavyo
> Amewataka wananchi kutofanya makosa kwa kuchagua wagombea wasioweza kuwatumikia
Soma - https://jamii.app/MajaliwaKigoma
#TZ2020
> Amesema, Wananchi wanatakiwa kumchagua mgombea huyo kwa kuwa ana uwezo wa kusimamia kazi ipasavyo
> Amewataka wananchi kutofanya makosa kwa kuchagua wagombea wasioweza kuwatumikia
Soma - https://jamii.app/MajaliwaKigoma
#TZ2020