OBBY
1. Anasimamia vatcan secret archive.
Hii wao vatcan wanaiita Vatcan apostolic archive. Ni maktaba iliyohifadhi documents nyingi za historia pamoja na maagizo kutoka kwa papa. Inasemekana black pope ndie msimamizi hasa wa maktaba hii.
Swali wengi wanalojiuliza kama maktaba hii inadocument tu za kihistoria kwanini inazungukwa na siri kubwa ni nini hasa kilichomo ndani ya maktaba hii kiasi watu wasiruhusiwe kuingia au kuona kilichomo ndani.
Wataalamu wa mambo wanasema ndani ya maktaba hii kuna historia halisi ya dunia, na teknolojia kutoka kwa aliens ambayo kwa namna moja ama nyingine inatumika na kanisa kucontrol dunia.
https://twitter.com/obby__davinci/status/1879100516120105321
OBBY
1. Anasimamia vatcan secret archive.
Hii wao vatcan wanaiita Vatcan apostolic archive. Ni maktaba iliyohifadhi documents nyingi za historia pamoja na maagizo kutoka kwa papa. Inasemekana black pope ndie msimamizi hasa wa maktaba hii.
Swali wengi wanalojiuliza kama maktaba hii inadocument tu za kihistoria kwanini inazungukwa na siri kubwa ni nini hasa kilichomo ndani ya maktaba hii kiasi watu wasiruhusiwe kuingia au kuona kilichomo ndani.
Wataalamu wa mambo wanasema ndani ya maktaba hii kuna historia halisi ya dunia, na teknolojia kutoka kwa aliens ambayo kwa namna moja ama nyingine inatumika na kanisa kucontrol dunia.
https://twitter.com/obby__davinci/status/1879100516120105321
vxTwitter / fixvx
💖 224 🔁 14
💖 224 🔁 14
OBBY (@obby__davinci)
6. MAKTABA YA SIRI YA VATIKAN, VATIKANI (VATICAN SECRET ARCHIVES)
Maktaba ya Siri ya Vatikani ni moja ya sehemu zenye ulinzi mkali sana duniani.
Maktaba hii inanyaraka za kale zinazoenda mpaka karne ya 8.
Maktaba hii ya ajabu ipo chini ya ardhi, na…
Maktaba ya Siri ya Vatikani ni moja ya sehemu zenye ulinzi mkali sana duniani.
Maktaba hii inanyaraka za kale zinazoenda mpaka karne ya 8.
Maktaba hii ya ajabu ipo chini ya ardhi, na…
OBBY
Kwa kawaida mara nyingi papa hua anaonekana akiwa na mavazi meupe (au cream) ingawaje kuna muda anavaa mavazi ya pink au kijani lakini vazi analoonekana nalo mara nyingi ni jeupe hivyo kuitwa white pope.
Black pope ni nicknane ya kiongozi wa shirika la kikatoliki la Jesuit (society of Jesus) . Jina rasmi ni supreme general of Jesuit lakini huitwa black pope kutokana na kuvaa mavazi meusi kinyume na papa.
Kwa kawaida mara nyingi papa hua anaonekana akiwa na mavazi meupe (au cream) ingawaje kuna muda anavaa mavazi ya pink au kijani lakini vazi analoonekana nalo mara nyingi ni jeupe hivyo kuitwa white pope.
Black pope ni nicknane ya kiongozi wa shirika la kikatoliki la Jesuit (society of Jesus) . Jina rasmi ni supreme general of Jesuit lakini huitwa black pope kutokana na kuvaa mavazi meusi kinyume na papa.
OBBY
4. Jesuit ni kanisa ndani ya kanisa.
Shirika la Jesuit linajitegemea kwa mambo mengi ikiwapo sheria na vyeo vyake pekeyake vinavyotofautinana na vyeo vya kawqida vya kanisa. Uwepo wa papa mweusi unafanya Jesuit kuonekana kama ni kanisa ndani ya kanisa
Nguvu ya ushawishi aliyonayo papa mweusi inafanya papa wa kawaida kuonekana hana nguvu kumzidi na kufanya papa mweusi aonekane anaongoza kanisa lake mwenyewe lililondani ya kanisa katoliki
4. Jesuit ni kanisa ndani ya kanisa.
Shirika la Jesuit linajitegemea kwa mambo mengi ikiwapo sheria na vyeo vyake pekeyake vinavyotofautinana na vyeo vya kawqida vya kanisa. Uwepo wa papa mweusi unafanya Jesuit kuonekana kama ni kanisa ndani ya kanisa
Nguvu ya ushawishi aliyonayo papa mweusi inafanya papa wa kawaida kuonekana hana nguvu kumzidi na kufanya papa mweusi aonekane anaongoza kanisa lake mwenyewe lililondani ya kanisa katoliki
OBBY
Jesuit ni shirika ndani ya kanisa katoliki linaloshughulikia maswala ya Elimu, umisheni, filosofia na theolojia.
Shirika hili ndo wamiliki wa shule kaka loyola high school, st. Peters clever, Gonzaga na zingine hapa nnchini. Kwenye documents za kawaida haya ndio yanayoonekana yanafanyika na shirika hili lakini nyuma ya pazia kuna mengi ambayo yanakua yamejificha.
Jesuit ni shirika ndani ya kanisa katoliki linaloshughulikia maswala ya Elimu, umisheni, filosofia na theolojia.
Shirika hili ndo wamiliki wa shule kaka loyola high school, st. Peters clever, Gonzaga na zingine hapa nnchini. Kwenye documents za kawaida haya ndio yanayoonekana yanafanyika na shirika hili lakini nyuma ya pazia kuna mengi ambayo yanakua yamejificha.
OBBY
3. Uhusiano na makundi ya Siri.
Inasemekana papa mweusi huunganishwa na mashirika ya siri hasa freemasons na illuminati kutengeneza kitu kinaitwa Vatcan-masonic-illuminati triad.
Utatu huu usio mtakatifu unasimamia maswala yote ya kidunia, vatcan wakisimamia dini, freemason wakisimamia new world order wakati huo illuminati wakisimamia uchumi wa dunia, na vyombo vya habari
Uhusiano huu inasemekana ulitokana na ukweli kwamba mwanzilishi wa illuminati, Adam weishaupt alikua ni mjesuit kabla ya kuanzisha illuminati hivyo waliwaingiza free mason kutokana na ushawishi wao.
Utatu huu unampa nguvu papa mweusi kumzidi papa mweupe
3. Uhusiano na makundi ya Siri.
Inasemekana papa mweusi huunganishwa na mashirika ya siri hasa freemasons na illuminati kutengeneza kitu kinaitwa Vatcan-masonic-illuminati triad.
Utatu huu usio mtakatifu unasimamia maswala yote ya kidunia, vatcan wakisimamia dini, freemason wakisimamia new world order wakati huo illuminati wakisimamia uchumi wa dunia, na vyombo vya habari
Uhusiano huu inasemekana ulitokana na ukweli kwamba mwanzilishi wa illuminati, Adam weishaupt alikua ni mjesuit kabla ya kuanzisha illuminati hivyo waliwaingiza free mason kutokana na ushawishi wao.
Utatu huu unampa nguvu papa mweusi kumzidi papa mweupe
OBBY
BLACK POPE KIONGOZI WA KANISA KATOLIKI MWENYE NGUVU KULIKO PAPA.
Kwa taratibu za kanisa katoliki papa ndiye kiongozi mkuu wa kanisa na mwakilishi wa Yesu kristo duniani (vicar of christ on earth) lakini wataalamu wa mambo wanasema cheo chake ni kidogo ukilinganisha na mtu anaejulikana kama black pope (papa mweusi).
Thread🧵
BLACK POPE KIONGOZI WA KANISA KATOLIKI MWENYE NGUVU KULIKO PAPA.
Kwa taratibu za kanisa katoliki papa ndiye kiongozi mkuu wa kanisa na mwakilishi wa Yesu kristo duniani (vicar of christ on earth) lakini wataalamu wa mambo wanasema cheo chake ni kidogo ukilinganisha na mtu anaejulikana kama black pope (papa mweusi).
Thread🧵
OBBY
2. Nguvu ya ujasusi ya Jesuit order.
Jesuit ni moja ya mashirika yenye nguvu kubwa zaidi za kijasusi. Mara nyingi ukiambiwa utaje mashirika makubwa zaidi ya kijajusi watu wanaishia kutaka CIA au MOSSAD. lakini ukweli ni kwamba Jesuit ni shirika kubwa la kijasusi kubwa zaidi kuliko hata haya mashirika tunayoyajua.
Wingi wa taarifa zinazokusanywa zinafanya Black pope kua na ushawishi mkubwa kwenye maswala ya siasa, elimu, vyombo vya habari na mashirika ya kijasusi. Ushawishi huu unatokana na ujasusi unaofanywa na mabrother wa kijesuit.
Kwenye dunia ya sasa ambayo information is power, papa mweusi ananguvu kubwa inayomsaidia kuweza kushawishi namna baadhi ya mambo kutokea.
Mfano karne ya 16 nnchini Japan shirika la Jesuit lilitumika kushawishi kutokea kwa mapinduzi ya serikali wakati huo pia wakitumika kama majasusi waliopeleka taarifa muhimu kuhusu nchi ya Japani kwa mabeberu wa ulaya .
Hali kama hii ilitokea china pia na kupelekea mabadiriko mengi ndani ya serikali ya kifalme.
2. Nguvu ya ujasusi ya Jesuit order.
Jesuit ni moja ya mashirika yenye nguvu kubwa zaidi za kijasusi. Mara nyingi ukiambiwa utaje mashirika makubwa zaidi ya kijajusi watu wanaishia kutaka CIA au MOSSAD. lakini ukweli ni kwamba Jesuit ni shirika kubwa la kijasusi kubwa zaidi kuliko hata haya mashirika tunayoyajua.
Wingi wa taarifa zinazokusanywa zinafanya Black pope kua na ushawishi mkubwa kwenye maswala ya siasa, elimu, vyombo vya habari na mashirika ya kijasusi. Ushawishi huu unatokana na ujasusi unaofanywa na mabrother wa kijesuit.
Kwenye dunia ya sasa ambayo information is power, papa mweusi ananguvu kubwa inayomsaidia kuweza kushawishi namna baadhi ya mambo kutokea.
Mfano karne ya 16 nnchini Japan shirika la Jesuit lilitumika kushawishi kutokea kwa mapinduzi ya serikali wakati huo pia wakitumika kama majasusi waliopeleka taarifa muhimu kuhusu nchi ya Japani kwa mabeberu wa ulaya .
Hali kama hii ilitokea china pia na kupelekea mabadiriko mengi ndani ya serikali ya kifalme.
OBBY
Kuna mengi yanaongelewa kuhusu papa mweusi lakini ukweli kulingana na kanisa katoliki papa mweusi ni kiongozi tu wa shirika la yesu kristo, Jesuit. Nafasi ambayo kwa sasa inashikwa na Arturo Sosa.
Marehemu papa Francis alikua ndie papa wa kwanza kutoka kwenye shirika la Jesuit na kua papa. Wengi wa washauri wake walikua ni members wa Jesuits .
Kuhusu nani ananguvu kumzidi mwengine nadhani ni Vatcan wenyewe ndo wanao jua
Kuna mengi yanaongelewa kuhusu papa mweusi lakini ukweli kulingana na kanisa katoliki papa mweusi ni kiongozi tu wa shirika la yesu kristo, Jesuit. Nafasi ambayo kwa sasa inashikwa na Arturo Sosa.
Marehemu papa Francis alikua ndie papa wa kwanza kutoka kwenye shirika la Jesuit na kua papa. Wengi wa washauri wake walikua ni members wa Jesuits .
Kuhusu nani ananguvu kumzidi mwengine nadhani ni Vatcan wenyewe ndo wanao jua
Mfalme👑🇹🇿
Enemy of Africa is Africans themselves. https://twitter.com/AfricanHub_/status/1914023421274374482#m
Enemy of Africa is Africans themselves. https://twitter.com/AfricanHub_/status/1914023421274374482#m
Paul Bonaventure
Kardinali Robert Sarah, Mtumishi wa Mungu kutoka Moyoni mwa Afrika.
Karibu na milima ya Guinea, katika kijiji kidogo kiitwacho Ourous, mtoto alizaliwa mnamo tarehe 15 Juni 1945.
Alipewa jina la Robert Sarah, jina ambalo baadaye limepewa heshima na hofu kubwa ndani ya mipaka ya Kanisa Katoliki duniani.
Wazazi wake walikuwa wakulima wa kawaida, wakimlea kwa maadili ya unyenyekevu, maombi, na heshima kwa kazi.
Tangu akiwa mdogo alionyesha dalili za kuwa mtu wa rohoni. Alipenda utulivu, kusali kwa bidii, na mara nyingi alionekana kanisani hata nje ya saa za ibada.
Haya yote yalikuwa kama mafunzo ya kimya kimya ya safari yake ndefu na takatifu.
Akiwa na miaka 11 tu, alijiunga na seminari ya kwanza. Aliendelea na masomo ya theolojia na falsafa nchini Senegal, Ufaransa, na baadaye Roma.
Alipofikia umri wa miaka 34, aliteuliwa kuwa Askofu Mkuu wa Conakry na hapo akaweka historia kama askofu mwenye umri mdogo zaidi duniani wakati huo.
Kardinali Robert Sarah, Mtumishi wa Mungu kutoka Moyoni mwa Afrika.
Karibu na milima ya Guinea, katika kijiji kidogo kiitwacho Ourous, mtoto alizaliwa mnamo tarehe 15 Juni 1945.
Alipewa jina la Robert Sarah, jina ambalo baadaye limepewa heshima na hofu kubwa ndani ya mipaka ya Kanisa Katoliki duniani.
Wazazi wake walikuwa wakulima wa kawaida, wakimlea kwa maadili ya unyenyekevu, maombi, na heshima kwa kazi.
Tangu akiwa mdogo alionyesha dalili za kuwa mtu wa rohoni. Alipenda utulivu, kusali kwa bidii, na mara nyingi alionekana kanisani hata nje ya saa za ibada.
Haya yote yalikuwa kama mafunzo ya kimya kimya ya safari yake ndefu na takatifu.
Akiwa na miaka 11 tu, alijiunga na seminari ya kwanza. Aliendelea na masomo ya theolojia na falsafa nchini Senegal, Ufaransa, na baadaye Roma.
Alipofikia umri wa miaka 34, aliteuliwa kuwa Askofu Mkuu wa Conakry na hapo akaweka historia kama askofu mwenye umri mdogo zaidi duniani wakati huo.
Paul Bonaventure
Karibu kwenye darasa la Meditation ujifunze na kujua mambo mbalimbali kukuhusu.
Utajifunza namna Meditation inavyo badilisha maisha yako ndani ya muda mfupi na kuongeza uelewa wako wa ndani.
Njoo Inbox nikupe utaratibu wa kujiunga na darasa hili la kipekee.
.
.
Karibu kwenye darasa la Meditation ujifunze na kujua mambo mbalimbali kukuhusu.
Utajifunza namna Meditation inavyo badilisha maisha yako ndani ya muda mfupi na kuongeza uelewa wako wa ndani.
Njoo Inbox nikupe utaratibu wa kujiunga na darasa hili la kipekee.
.
.
Paul Bonaventure
Alichukuliwa kama "ngome ya imani" wakati wa utawala wa kiimla wa Ahmed Sékou Touré, ambapo makanisa yalifungwa na waumini kuonewa.
Askofu Sarah alisimama kidete kama mlinzi wa imani na mtetezi wa haki, bila kuogopa vifungo, vitisho au mateso.
Mnamo mwaka 2001, alipelekwa Vatican na kuteuliwa kuwa Katibu wa Baraza la Kipapa la Uinjilishaji wa Watu.
Lakini nafasi yake ya kihistoria ilikuja mwaka 2010, alipoteuliwa na Papa Benedict XVI kuwa Kardinali.
Na baadaye akawa Mkuu wa Kongamano la Ibada Takatifu na Nidhamu ya Sakramenti, miongoni mwa nafasi za juu kabisa kwenye Kanisa Katoliki.
Katika wadhifa huu, Kardinali Sarah alisimama imara kama mtetezi wa ibada ya kiorthodox (kama vile misa ya Kilatini).
Akisisitiza utakatifu, unyenyekevu na heshima kwa Mungu katika kila tendo la kiibada.
Alichukuliwa kama "ngome ya imani" wakati wa utawala wa kiimla wa Ahmed Sékou Touré, ambapo makanisa yalifungwa na waumini kuonewa.
Askofu Sarah alisimama kidete kama mlinzi wa imani na mtetezi wa haki, bila kuogopa vifungo, vitisho au mateso.
Mnamo mwaka 2001, alipelekwa Vatican na kuteuliwa kuwa Katibu wa Baraza la Kipapa la Uinjilishaji wa Watu.
Lakini nafasi yake ya kihistoria ilikuja mwaka 2010, alipoteuliwa na Papa Benedict XVI kuwa Kardinali.
Na baadaye akawa Mkuu wa Kongamano la Ibada Takatifu na Nidhamu ya Sakramenti, miongoni mwa nafasi za juu kabisa kwenye Kanisa Katoliki.
Katika wadhifa huu, Kardinali Sarah alisimama imara kama mtetezi wa ibada ya kiorthodox (kama vile misa ya Kilatini).
Akisisitiza utakatifu, unyenyekevu na heshima kwa Mungu katika kila tendo la kiibada.
Paul Bonaventure
Wengine, hasa wale wa mitazamo ya kisasa zaidi, wanahofia msimamo wake mkali kuhusu masuala ya imani na maadili.
Lakini jambo moja liko wazi, Sarah ana moyo wa kiaskofu wa kweli. Ana upendo kwa watu wa Mungu. Na anayo hofu ya Mungu isiyo na kificho.
Ikiwa Peter Turkson ni kioo cha haki ya kijamii na maendeleo ya watu, basi Robert Sarah ni alama ya ibada, unyenyekevu, na msimamo wa kiimani.
Wote wawili, kutoka bara lenye historia ya mateso na matumaini, wanaendelea kuonyesha kuwa Afrika ina sauti ndani ya Ukristo wa dunia.
Na katika harakati za kumtafuta Papa mpya, dunia inatazama, Je, ni wakati wa Afrika? Je, ni wakati wa Sarah?
Tukio hilo likitokea, basi historia haitabadilishwa tu, bali roho ya dunia itapata pumzi mpya ya kiroho kutoka barani Afrika.
Wengine, hasa wale wa mitazamo ya kisasa zaidi, wanahofia msimamo wake mkali kuhusu masuala ya imani na maadili.
Lakini jambo moja liko wazi, Sarah ana moyo wa kiaskofu wa kweli. Ana upendo kwa watu wa Mungu. Na anayo hofu ya Mungu isiyo na kificho.
Ikiwa Peter Turkson ni kioo cha haki ya kijamii na maendeleo ya watu, basi Robert Sarah ni alama ya ibada, unyenyekevu, na msimamo wa kiimani.
Wote wawili, kutoka bara lenye historia ya mateso na matumaini, wanaendelea kuonyesha kuwa Afrika ina sauti ndani ya Ukristo wa dunia.
Na katika harakati za kumtafuta Papa mpya, dunia inatazama, Je, ni wakati wa Afrika? Je, ni wakati wa Sarah?
Tukio hilo likitokea, basi historia haitabadilishwa tu, bali roho ya dunia itapata pumzi mpya ya kiroho kutoka barani Afrika.
Paul Bonaventure
Kardinali Sarah ni kama sauti ya nabii wa kale, anayeikemea dunia ya kisasa bila uoga.
Ameandika vitabu vikali kama “God or Nothing”, “The Power of Silence”, na “The Day is Now Far Spent”, ambavyo vimegusa mamilioni ya wasomaji duniani.
Katika vitabu hivyo, ameonya juu ya hatari ya ulimwengu kupoteza maadili, ameikemea dhambi ya ubinafsi wa kisasa, na ametoa mwito kwa Kanisa kurudi kwenye mizizi ya kweli ya injili.
Anaamini kuwa Kanisa linapaswa kuwa kama taa juu ya mlima, si kutafuta sifa za dunia, bali kuwa taa ya wokovu kwa walio gizani.
Kwa miaka kadhaa sasa, Kardinali Robert Sarah ametajwa mara kadhaa kuwa mmoja wa wagombea wakuu wa nafasi ya Papa.
Wapo wanaomuunga mkono kwa nguvu, wakiamini kuwa yeye ni mtu sahihi wa kuliongoza Kanisa katika enzi ya changamoto za kimaadili na kiimani.
Wanaompenda wanasema: “Huyu ndiye Mtakatifu wa kweli. Mnyenyekevu, mcha Mungu, na asiye na mchezo na mambo ya dunia.”
Kardinali Sarah ni kama sauti ya nabii wa kale, anayeikemea dunia ya kisasa bila uoga.
Ameandika vitabu vikali kama “God or Nothing”, “The Power of Silence”, na “The Day is Now Far Spent”, ambavyo vimegusa mamilioni ya wasomaji duniani.
Katika vitabu hivyo, ameonya juu ya hatari ya ulimwengu kupoteza maadili, ameikemea dhambi ya ubinafsi wa kisasa, na ametoa mwito kwa Kanisa kurudi kwenye mizizi ya kweli ya injili.
Anaamini kuwa Kanisa linapaswa kuwa kama taa juu ya mlima, si kutafuta sifa za dunia, bali kuwa taa ya wokovu kwa walio gizani.
Kwa miaka kadhaa sasa, Kardinali Robert Sarah ametajwa mara kadhaa kuwa mmoja wa wagombea wakuu wa nafasi ya Papa.
Wapo wanaomuunga mkono kwa nguvu, wakiamini kuwa yeye ni mtu sahihi wa kuliongoza Kanisa katika enzi ya changamoto za kimaadili na kiimani.
Wanaompenda wanasema: “Huyu ndiye Mtakatifu wa kweli. Mnyenyekevu, mcha Mungu, na asiye na mchezo na mambo ya dunia.”