Paul Bonaventure
"Mungu Hatakaa Kimya"
Katika hali iliyojaa hisia na imani, Padri Dkt. Charles Kitima, Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC),
Ameongoza Adhimisho la Misa Takatifu ya shukrani leo hii katika Kanisa la Bikira Maria Mkingiwa Dhambi ya Asili, lililopo makao makuu ya TEC, Kurasini โ Dar es Salaam.
Hii ni mara ya kwanza kwa Padri Kitima kuonekana hadharani na kuadhimisha Misa Takatifu tangu alipovamiwa na kushambuliwa kikatili takribani mwezi mmoja uliopita.
Akiwa bado na alama za mapambano ya maumivu, lakini akiradi kwa utulivu wa kiroho na tabasamu la mtu aliyeshinda kifo kwa neema ya Mungu.
Padri Kitima aliingia madhabahuni akiongozana na mapadri wenzake, watawa na wafanyakazi wa Sekretarieti ya TEC.
Kulikuwa na ukimya wa heshima, lakini nyuso nyingi zilionyesha mshangao na furaha kumwona tena akiendesha liturujia takatifu kwa sauti yake ile ile tuliyoizoea sauti ya matumaini.
โTunamshukuru Mungu kwa wema wake, pia tunawashukuru watu wote...
View original post
"Mungu Hatakaa Kimya"
Katika hali iliyojaa hisia na imani, Padri Dkt. Charles Kitima, Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC),
Ameongoza Adhimisho la Misa Takatifu ya shukrani leo hii katika Kanisa la Bikira Maria Mkingiwa Dhambi ya Asili, lililopo makao makuu ya TEC, Kurasini โ Dar es Salaam.
Hii ni mara ya kwanza kwa Padri Kitima kuonekana hadharani na kuadhimisha Misa Takatifu tangu alipovamiwa na kushambuliwa kikatili takribani mwezi mmoja uliopita.
Akiwa bado na alama za mapambano ya maumivu, lakini akiradi kwa utulivu wa kiroho na tabasamu la mtu aliyeshinda kifo kwa neema ya Mungu.
Padri Kitima aliingia madhabahuni akiongozana na mapadri wenzake, watawa na wafanyakazi wa Sekretarieti ya TEC.
Kulikuwa na ukimya wa heshima, lakini nyuso nyingi zilionyesha mshangao na furaha kumwona tena akiendesha liturujia takatifu kwa sauti yake ile ile tuliyoizoea sauti ya matumaini.
โTunamshukuru Mungu kwa wema wake, pia tunawashukuru watu wote...
View original post
Paul Bonaventure
Hivyo basi wanajua ulimwengu wa roho unajengwa kwa kutema yale ya rohoni na pindi unapoanza kujishikiza katika ulimwengu wa mwili.
Ambao ni kutafuta mali na kujilimbikizia materials kwa ajili ya kufurahisha mwili huu basi anakua anajipunguzia nguvu zake za kiroho.
Same applied kwa sisi tuifatayo Nuru kama una upako wako/roho mtakatifu rohoni mwako ukianza tu kujikita kutafuta mali.
Basi ule uwezo wako unaanza kuupoteza maana unakua umewekeza nguvu zaidi katika kutafuta mali za mwili na sio mali za roho yako.
Kwa kulizingatia hilo ndio maana watawa wa kikatoliki hua hawajishikizi katika materials kama vile pesa, majumba, watoto, mke n.k.
Maana wanajua wakiruhusu hiyo itokee basi hakutakua kuna Integrity ya utume wao maana huwezi tumikia mabwana wawili.
Wewe wakati unayapima mafanikio kwa kuangalia materials uliyonayo ila hawa watu utajiri wao unapimwa kwa nguvu zake alizonazo.
Ndio maana utamuona mtu huyu ana maisha duni ila huko kwingine anaheshimika sana kwa uwezo na nguvu alizonazo.
Hivyo basi wanajua ulimwengu wa roho unajengwa kwa kutema yale ya rohoni na pindi unapoanza kujishikiza katika ulimwengu wa mwili.
Ambao ni kutafuta mali na kujilimbikizia materials kwa ajili ya kufurahisha mwili huu basi anakua anajipunguzia nguvu zake za kiroho.
Same applied kwa sisi tuifatayo Nuru kama una upako wako/roho mtakatifu rohoni mwako ukianza tu kujikita kutafuta mali.
Basi ule uwezo wako unaanza kuupoteza maana unakua umewekeza nguvu zaidi katika kutafuta mali za mwili na sio mali za roho yako.
Kwa kulizingatia hilo ndio maana watawa wa kikatoliki hua hawajishikizi katika materials kama vile pesa, majumba, watoto, mke n.k.
Maana wanajua wakiruhusu hiyo itokee basi hakutakua kuna Integrity ya utume wao maana huwezi tumikia mabwana wawili.
Wewe wakati unayapima mafanikio kwa kuangalia materials uliyonayo ila hawa watu utajiri wao unapimwa kwa nguvu zake alizonazo.
Ndio maana utamuona mtu huyu ana maisha duni ila huko kwingine anaheshimika sana kwa uwezo na nguvu alizonazo.
Paul Bonaventure
Furaha yao ni kuongeza nguvu zao za uchawi/kuroga kama alikua ana uchawi wa kuua kwa saa apate uchawi wa kuua kwa sekunde.
Halafu jambo moja ambalo hawa watu wanaliheshimu sana katika mambo yao ni Kutoa sadaka.
Wakati mimi na wewe tukiambiwa tutoe michango ya pesa tunalaumu sana ila wao michango yao si ya pesa bali ni michango ya Damu.
Tunaomuabudu Mungu hatutoi sadaka za damu maana kuna damu iliyokwisha tolewa (Mwaka 33AD) hivyo basi sisi tunatoa kile tunachojipatia kwa kufanya kazi wao wanatoa sadaka ya Damu tena ya mtu.
Ndio maana wanaua.
Furaha yao ni kuongeza nguvu zao za uchawi/kuroga kama alikua ana uchawi wa kuua kwa saa apate uchawi wa kuua kwa sekunde.
Halafu jambo moja ambalo hawa watu wanaliheshimu sana katika mambo yao ni Kutoa sadaka.
Wakati mimi na wewe tukiambiwa tutoe michango ya pesa tunalaumu sana ila wao michango yao si ya pesa bali ni michango ya Damu.
Tunaomuabudu Mungu hatutoi sadaka za damu maana kuna damu iliyokwisha tolewa (Mwaka 33AD) hivyo basi sisi tunatoa kile tunachojipatia kwa kufanya kazi wao wanatoa sadaka ya Damu tena ya mtu.
Ndio maana wanaua.
Paul Bonaventure
Misa hii imekuja wakati ambapo bado kuna maswali mengi yasiyopata majibu kuhusu tukio la kushambuliwa kwa Padri huyo.
Wahusika bado hawajafikishwa mahakamani, na juhudi za kutafuta haki zinaendelea kuungwa mkono na viongozi wa dini na watanzania wanaotamani taifa lenye heshima na utu.
Lakini kwa waliokuwepo leo Kurasini, ujumbe mmoja ulikuwa wazi kama mwangaza wa mshumaa katika giza.
Imani ya kweli haishindwi. Na sauti ya haki, hata ikijaribiwa kwa mapanga ya uovu, bado itaimba haleluya.
Karibu tena nyumbani, Padri Kitima.
Misa hii imekuja wakati ambapo bado kuna maswali mengi yasiyopata majibu kuhusu tukio la kushambuliwa kwa Padri huyo.
Wahusika bado hawajafikishwa mahakamani, na juhudi za kutafuta haki zinaendelea kuungwa mkono na viongozi wa dini na watanzania wanaotamani taifa lenye heshima na utu.
Lakini kwa waliokuwepo leo Kurasini, ujumbe mmoja ulikuwa wazi kama mwangaza wa mshumaa katika giza.
Imani ya kweli haishindwi. Na sauti ya haki, hata ikijaribiwa kwa mapanga ya uovu, bado itaimba haleluya.
Karibu tena nyumbani, Padri Kitima.
Paul Bonaventure
Sometimes mtoto wa mganga anaweza akaumwa ila mganga huyo akashindwa kumponya mpaka ampeleke kwa mganga mwingine.
Na huko pia akitibiwa bure inawezekana asipone mpaka pesa itoke.
โ
Sababu nyingine inayofanya wachawi/waganga wanabaki kwenye umaskini mkubwa huku wakitajirisha wengine ni kua unapojishikiza sana kwenye vitu/pesa unakua unajitenga na mambo ya kiroho.
Mungu alivyomuumba mwanadamu akamtaka ajipatie riziki yake kwa kufanya kazi, pia Mungu alimtaka mwanadamu akijipatia ridhiki atumie na kutafuta nyingine na sio kujilimbikizia mali.
Watu wa zamani waliishi kwa upendo na amani kwakua walikua wanaishi kwa kutafuta na kutumia kwa pamoja na sio kijilimbikizia peke yako.
Dunia ilichuka sura mpya baada ya mwanadamu kuanza kujilimbikizia mali hapo ndipo kukatoka Uasi wa kila namna, mtu yupo radhi kuua ilia pate mali, ubinafsi, uchoyo, roho mbaya nk.
Mpaka sasa tunaoana effect za Capitalism model of production duniani. Kuna nchi watu hawana amani ajili ya watu...
View original post
Sometimes mtoto wa mganga anaweza akaumwa ila mganga huyo akashindwa kumponya mpaka ampeleke kwa mganga mwingine.
Na huko pia akitibiwa bure inawezekana asipone mpaka pesa itoke.
โ
Sababu nyingine inayofanya wachawi/waganga wanabaki kwenye umaskini mkubwa huku wakitajirisha wengine ni kua unapojishikiza sana kwenye vitu/pesa unakua unajitenga na mambo ya kiroho.
Mungu alivyomuumba mwanadamu akamtaka ajipatie riziki yake kwa kufanya kazi, pia Mungu alimtaka mwanadamu akijipatia ridhiki atumie na kutafuta nyingine na sio kujilimbikizia mali.
Watu wa zamani waliishi kwa upendo na amani kwakua walikua wanaishi kwa kutafuta na kutumia kwa pamoja na sio kijilimbikizia peke yako.
Dunia ilichuka sura mpya baada ya mwanadamu kuanza kujilimbikizia mali hapo ndipo kukatoka Uasi wa kila namna, mtu yupo radhi kuua ilia pate mali, ubinafsi, uchoyo, roho mbaya nk.
Mpaka sasa tunaoana effect za Capitalism model of production duniani. Kuna nchi watu hawana amani ajili ya watu...
View original post
Mfalme๐๐น๐ฟ
Kama tunapigana wenyewe, hatuwezi kumpiga ADUI
Kama tunapigana wenyewe, hatuwezi kumpiga ADUI
Kama tunapigana wenyewe, hatuwezi kumpiga ADUI
Kama tunapigana wenyewe, hatuwezi kumpiga ADUI
Kama tunapigana wenyewe, hatuwezi kumpiga ADUI
Kama tunapigana wenyewe, hatuwezi kumpiga ADUI
Kama tunapigana wenyewe, hatuwezi kumpiga ADUI
Kama tunapigana wenyewe, hatuwezi kumpiga ADUI
Kama tunapigana wenyewe, hatuwezi kumpiga ADUI
Kama tunapigana wenyewe, hatuwezi kumpiga ADUI
Mfalme๐๐น๐ฟ
Alikuwa โanajipa umuhimuโ ๐๐ https://twitter.com/Labella_Mafia95/status/1929841418622697572#m
Alikuwa โanajipa umuhimuโ ๐๐ https://twitter.com/Labella_Mafia95/status/1929841418622697572#m
Mwalimu Google TV:
DINI au KIKUNDI CHA WATU HAKIWEZI KUWA JUU YA SHERIA ZA NCHI.
https://www.youtube.com/watch?v=ptCwMWRSWNE
DINI au KIKUNDI CHA WATU HAKIWEZI KUWA JUU YA SHERIA ZA NCHI.
https://www.youtube.com/watch?v=ptCwMWRSWNE
YouTube
DINI au KIKUNDI CHA WATU HAKIWEZI KUWA JUU YA SHERIA ZA NCHI.
Serikali iko juu ya DINI kuwa makini usidanganyike .
#elimikausiwemsomi
#mwalimugoogletv
#elimikausiwemsomi
#mwalimugoogletv
Paul Bonaventure
Kuna siku mtoto mmoja alimuuliza baba yake; โHivi Mungu ni mkubwa kiasi gani?โ
Baba yake hakujibu swali hilo, akamwambia kwa kumuonyesha ndege iliyokuwa angani.
โUnaiona ile ndege?โ
โNdiyo!โ
โNi kubwa?โ
โHapana! Ni ndogo.โ
โSawa twende huku.โ
Akamchukua na kuondoka naye kuelekea uwanja wa ndege, akamuonyesha ndege ikiwa imepaki, akamuuliza, unaionaje hii ndege?
โNi kubwa sana.โ
Mshua akamjibu.
โHivi ndivyo Mungu alivyo. Ukubwa wake unatokana na umbali uliokuwanao kutoka kwake. Ukiwa mbali naye, utamuona ni mdogo ila ukiwa karibu naye hakika utamuona ni mkubwa.โ
Tujitahidi sana โkusogeaโ karibu na Mungu ili tuuone ukubwa wake maradufu.
Kuna siku mtoto mmoja alimuuliza baba yake; โHivi Mungu ni mkubwa kiasi gani?โ
Baba yake hakujibu swali hilo, akamwambia kwa kumuonyesha ndege iliyokuwa angani.
โUnaiona ile ndege?โ
โNdiyo!โ
โNi kubwa?โ
โHapana! Ni ndogo.โ
โSawa twende huku.โ
Akamchukua na kuondoka naye kuelekea uwanja wa ndege, akamuonyesha ndege ikiwa imepaki, akamuuliza, unaionaje hii ndege?
โNi kubwa sana.โ
Mshua akamjibu.
โHivi ndivyo Mungu alivyo. Ukubwa wake unatokana na umbali uliokuwanao kutoka kwake. Ukiwa mbali naye, utamuona ni mdogo ila ukiwa karibu naye hakika utamuona ni mkubwa.โ
Tujitahidi sana โkusogeaโ karibu na Mungu ili tuuone ukubwa wake maradufu.
Paul Bonaventure
Karibu kwenye darasa la Meditation ujifunze na kujua mambo mbalimbali kukuhusu.
Utajifunza namna Meditation inavyo badilisha maisha yako ndani ya muda mfupi na kuongeza uelewa wako wa ndani.
Njoo Inbox nikupe utaratibu wa kujiunga na darasa hili la kipekee.
.
.
Karibu kwenye darasa la Meditation ujifunze na kujua mambo mbalimbali kukuhusu.
Utajifunza namna Meditation inavyo badilisha maisha yako ndani ya muda mfupi na kuongeza uelewa wako wa ndani.
Njoo Inbox nikupe utaratibu wa kujiunga na darasa hili la kipekee.
.
.
Tricod Media:
SEHEMU YA TATU : Ukweli kuhusu KING VON Kwanini Lil Durk Alijuta Kumuokoa King Von?
https://www.youtube.com/watch?v=o5Lr4DglJ5o
SEHEMU YA TATU : Ukweli kuhusu KING VON Kwanini Lil Durk Alijuta Kumuokoa King Von?
https://www.youtube.com/watch?v=o5Lr4DglJ5o
YouTube
SEHEMU YA TATU : Ukweli kuhusu KING VON Kwanini Lil Durk Alijuta Kumuokoa King Von?
SEHEMU YA TATU : Ukweli kuhusu KING VON Kwanini Lil Durk Alijuta Kumuokoa King Von?
King Von hakuwa msanii wa kawaida. Alikuwa hadithi hai ya mitaa ya Chicago โ kijana aliyepitia magereza, alishinda kesi ya mauaji, na akarudi mtaani akiwa maarufu zaidi.โฆ
King Von hakuwa msanii wa kawaida. Alikuwa hadithi hai ya mitaa ya Chicago โ kijana aliyepitia magereza, alishinda kesi ya mauaji, na akarudi mtaani akiwa maarufu zaidi.โฆ
Paul Bonaventure
Wakati binti huyu akitekwa, kulikuwa na skendo kubwa sana lililolikumba Kanisa Katoliki kipindi hicho.
Skendo kuhusu rushwa na hata kuwa na baahi ya washirika na viongozi wa kanisa hilo kumuabudu shetani.
Kwahiyo ikahisiwa kwamba watu walitaka masuala hayo yasizungumziwe kabisa.
Hivyo kuamua kumteka binti huyo na stori yake kukuzwa kiasi cha watu kusahau kuhusu hayo yaliyokuwa yamelikumba kanisa hilo kipindi hicho.
Pamoja na kutafutwa sana, kila kona, mwili wa msichana huyo haukuweza kupatikana popote pale mpaka leo.
Wakati binti huyu akitekwa, kulikuwa na skendo kubwa sana lililolikumba Kanisa Katoliki kipindi hicho.
Skendo kuhusu rushwa na hata kuwa na baahi ya washirika na viongozi wa kanisa hilo kumuabudu shetani.
Kwahiyo ikahisiwa kwamba watu walitaka masuala hayo yasizungumziwe kabisa.
Hivyo kuamua kumteka binti huyo na stori yake kukuzwa kiasi cha watu kusahau kuhusu hayo yaliyokuwa yamelikumba kanisa hilo kipindi hicho.
Pamoja na kutafutwa sana, kila kona, mwili wa msichana huyo haukuweza kupatikana popote pale mpaka leo.
Paul Bonaventure
Karibu kwenye darasa la Meditation ujifunze na kujua mambo mbalimbali kukuhusu.
Utajifunza namna Meditation inavyo badilisha maisha yako ndani ya muda mfupi na kuongeza uelewa wako wa ndani.
Njoo Inbox nikupe utaratibu wa kujiunga na darasa hili la kipekee.
.
.
Karibu kwenye darasa la Meditation ujifunze na kujua mambo mbalimbali kukuhusu.
Utajifunza namna Meditation inavyo badilisha maisha yako ndani ya muda mfupi na kuongeza uelewa wako wa ndani.
Njoo Inbox nikupe utaratibu wa kujiunga na darasa hili la kipekee.
.
.
Paul Bonaventure
June 22 mwaka 1983, binti aitwaye Emmanueal Orlandi aliyekuwa na miaka 15 aliyekuwa akiishi Vatican na familia yake.
Alipotea kwenye mazingira ya kutatanisha alipokuwa amekwenda katika kipindi cha muziki shuleni kwao.
Baba yake alikuwa akifanya kazi hapo Vatican na kupotea kwake kukawa maarufu miongoni mwa kesi ambazo hazijawahi kutatuliwa mpaka leo hii.
Siku nyingi zikapita hatimaye watu wakaanza kusema kuwa binti huyo alitekwa kwa sababu kulikuwa na watu waliotaka Bwana Mehmet Ali Agca aachiwe huru.
Huyu mwamba alikuwa akishikiliwa kwa kuwa alifanya jaribio la kummaliza Papa John Paul II.
Tetesi hizo ziliendelea kusikika zaidi kwamba binti huyo alishikiliwa na genge la Mafia.
June 22 mwaka 1983, binti aitwaye Emmanueal Orlandi aliyekuwa na miaka 15 aliyekuwa akiishi Vatican na familia yake.
Alipotea kwenye mazingira ya kutatanisha alipokuwa amekwenda katika kipindi cha muziki shuleni kwao.
Baba yake alikuwa akifanya kazi hapo Vatican na kupotea kwake kukawa maarufu miongoni mwa kesi ambazo hazijawahi kutatuliwa mpaka leo hii.
Siku nyingi zikapita hatimaye watu wakaanza kusema kuwa binti huyo alitekwa kwa sababu kulikuwa na watu waliotaka Bwana Mehmet Ali Agca aachiwe huru.
Huyu mwamba alikuwa akishikiliwa kwa kuwa alifanya jaribio la kummaliza Papa John Paul II.
Tetesi hizo ziliendelea kusikika zaidi kwamba binti huyo alishikiliwa na genge la Mafia.