OBBY
YAJUE MAMBO 10 YASIYO NA MAJIBU NDANI YA BIBLIA
Biblia inamengi yaliyofichwa au kuandikwa kwa mafumbo. Watu wengi wamekua wakitafuta namna ya kuelezea siri hizi bila kupata majibu au kupata majibu ambayo wengi hayakubaliki na kundi kubwa la watu.
Haya hapa mambo 10 ambayo hayajawahi kupatiwa majibu kutoka kwenye biblia hadi leo
YAJUE MAMBO 10 YASIYO NA MAJIBU NDANI YA BIBLIA
Biblia inamengi yaliyofichwa au kuandikwa kwa mafumbo. Watu wengi wamekua wakitafuta namna ya kuelezea siri hizi bila kupata majibu au kupata majibu ambayo wengi hayakubaliki na kundi kubwa la watu.
Haya hapa mambo 10 ambayo hayajawahi kupatiwa majibu kutoka kwenye biblia hadi leo
OBBY
09. Ukweli kuhusu bustani ya Edeni
Kuna nadharia nyingi kuhusu bustani ya Edeni. Wengi wakiamnini ilkua bustani kweli ikipatikana Iraq, wengine wakisema ilkua Afrika na wapo wanaosema inapatikana mbinguni, wapo wanaosema inapatikana Agartha (ufalme ndani ya tabaka la dunia) lakini wapo pia wanaosema bustani ya Edeni ni ya kufikirika tu na sio bustani kweli. Ukweli ni kwamba lolote lonaweza kua kweli kwasababu hakuna ushahidi wowote uliopatikana kuonesha wapi ilipo. Wengi wanakubaliana na Iraq sababu ya uwepo wa mito miwili (yufrates na Tigris) iliyotajwa kwenye biblia.
09. Ukweli kuhusu bustani ya Edeni
Kuna nadharia nyingi kuhusu bustani ya Edeni. Wengi wakiamnini ilkua bustani kweli ikipatikana Iraq, wengine wakisema ilkua Afrika na wapo wanaosema inapatikana mbinguni, wapo wanaosema inapatikana Agartha (ufalme ndani ya tabaka la dunia) lakini wapo pia wanaosema bustani ya Edeni ni ya kufikirika tu na sio bustani kweli. Ukweli ni kwamba lolote lonaweza kua kweli kwasababu hakuna ushahidi wowote uliopatikana kuonesha wapi ilipo. Wengi wanakubaliana na Iraq sababu ya uwepo wa mito miwili (yufrates na Tigris) iliyotajwa kwenye biblia.
OBBY
07. Miaka iliyopotea ya yesu
Miaka iliyopotea ya yesu ni ile miaka ambayo haijasemwa kwenye biblia ya yesu toka miaka 12 mpaka miaka 30.
Baada ya kuonekana hekaluni akiwa na miaka 12 (luka 2:41-52) biblia haisemi chochote kilichotokea au alichokua akifanya Yesu mpaka alipoanza kuhubiri akiwa na miaka 30.
Kumekua na nadharia nyingi kuelezea miaka iliyopotea ya yesu. Nadharia hizi ni pamoja na;
▪︎ Aliishi maisha ya kimya Nazareth akiwa fundi seremala akimsaidia baba yake.
▪︎kitabu cha apocryipha cha injili ya utoto ya Thomas, kinaeleza kuhusu miujiza aliyokua akifanya kipindi Yesu bado mtoto lakini kitabu hiki hakikubaliki na hakipo kwenye kanoni ya biblia
▪︎ Yesu alisafiri kwenda India na Tibet. Hii pia ni moja ya nadharia inayokubalika na wengi. Wengi wakiamini akienda India na Tibet kufundishwa na mabudha wa kihindu na kitibet mambo ya kiroho . Wengi wanaamini mafundisho ya Yesu yalitokana na hekima kutoka kwa mabudha wa kihindu na kiTibet.
▪︎ Alisafiri kwenda Misri na Uingereza......
07. Miaka iliyopotea ya yesu
Miaka iliyopotea ya yesu ni ile miaka ambayo haijasemwa kwenye biblia ya yesu toka miaka 12 mpaka miaka 30.
Baada ya kuonekana hekaluni akiwa na miaka 12 (luka 2:41-52) biblia haisemi chochote kilichotokea au alichokua akifanya Yesu mpaka alipoanza kuhubiri akiwa na miaka 30.
Kumekua na nadharia nyingi kuelezea miaka iliyopotea ya yesu. Nadharia hizi ni pamoja na;
▪︎ Aliishi maisha ya kimya Nazareth akiwa fundi seremala akimsaidia baba yake.
▪︎kitabu cha apocryipha cha injili ya utoto ya Thomas, kinaeleza kuhusu miujiza aliyokua akifanya kipindi Yesu bado mtoto lakini kitabu hiki hakikubaliki na hakipo kwenye kanoni ya biblia
▪︎ Yesu alisafiri kwenda India na Tibet. Hii pia ni moja ya nadharia inayokubalika na wengi. Wengi wakiamini akienda India na Tibet kufundishwa na mabudha wa kihindu na kitibet mambo ya kiroho . Wengi wanaamini mafundisho ya Yesu yalitokana na hekima kutoka kwa mabudha wa kihindu na kiTibet.
▪︎ Alisafiri kwenda Misri na Uingereza......
OBBY
08. Makabila yaliyopotea ya wanaisraeli (lost tribes of israel)
Wanaisraeli wa kale waligawanyika katika makabila kumi na mawili, waliotokana na wana wa kumi na wawili wa Yakobo (Israeli).
Baada ya kifo cha Mfalme Sulemani, ufalme ulivunjika: Ufalme wa Kaskazini (Israeli): Makabila 10 na Ufalme wa Kusini (Yuda): Makabila 2 (Yuda na Benyamini)
Mwaka 722 KK, Dola ya Waashuru iliteka Ufalme wa Kaskazini na kupeleka watu wa ufalme wa kaskazini uhamishoni.
Makabila haya yaliyopelekwa uhamishoni yalichanganyika na watu wengine au kutawanyika – na kupotea hivyo kupewa jina la “Makabila Yaliyopotea.”
Kuna nadharia nyingi zinazoelezea nini kilitokea kwa watu wa makabila haya ya Israel. Baadhi ya watu hudai kuwa makabila haya Yalihamia mashariki au magharibi na kuanzisha mataifa mapya kama
Wayahudi wa Ethiopia (Beta Israel), Watu wa Kipushtun (Afghanistan/Pakistan), Makabila ya asili ya Marekani,Wazungu wa Ulaya na
Watu wa Igbo nchini Nigeria
08. Makabila yaliyopotea ya wanaisraeli (lost tribes of israel)
Wanaisraeli wa kale waligawanyika katika makabila kumi na mawili, waliotokana na wana wa kumi na wawili wa Yakobo (Israeli).
Baada ya kifo cha Mfalme Sulemani, ufalme ulivunjika: Ufalme wa Kaskazini (Israeli): Makabila 10 na Ufalme wa Kusini (Yuda): Makabila 2 (Yuda na Benyamini)
Mwaka 722 KK, Dola ya Waashuru iliteka Ufalme wa Kaskazini na kupeleka watu wa ufalme wa kaskazini uhamishoni.
Makabila haya yaliyopelekwa uhamishoni yalichanganyika na watu wengine au kutawanyika – na kupotea hivyo kupewa jina la “Makabila Yaliyopotea.”
Kuna nadharia nyingi zinazoelezea nini kilitokea kwa watu wa makabila haya ya Israel. Baadhi ya watu hudai kuwa makabila haya Yalihamia mashariki au magharibi na kuanzisha mataifa mapya kama
Wayahudi wa Ethiopia (Beta Israel), Watu wa Kipushtun (Afghanistan/Pakistan), Makabila ya asili ya Marekani,Wazungu wa Ulaya na
Watu wa Igbo nchini Nigeria
Paul Bonaventure
Karibu kwenye darasa la Meditation ujifunze na kujua mambo mbalimbali kukuhusu.
Utajifunza namna Meditation inavyo badilisha maisha yako ndani ya muda mfupi na kuongeza uelewa wako wa ndani.
Njoo Inbox nikupe utaratibu wa kujiunga na darasa hili la kipekee.
.
.
Karibu kwenye darasa la Meditation ujifunze na kujua mambo mbalimbali kukuhusu.
Utajifunza namna Meditation inavyo badilisha maisha yako ndani ya muda mfupi na kuongeza uelewa wako wa ndani.
Njoo Inbox nikupe utaratibu wa kujiunga na darasa hili la kipekee.
.
.
Paul Bonaventure
Binafsi hua nasema kwamba Physics ni tawi la uchawi ambalo linajishughlisha na kuchukua mambo yale yanayofanywa na wachawi na kuyaweka katika teknolojia.
Kipindi hicho (dark ages), kabla ndege hazijavumbuliwa watu walikua wanaruka na fagio angani.
Sisi kwetu tunatumia ungo ila baada tu ya industrialization mambo yote ya kichawi yalipigwa marufuku.
Watu wakawekeza kwenye teknolojia zaidi ila elimu hawakuitupa wanaenda wanaitumia kupata ideas mbalimbali kisha kuvumbua teknolojia yao.
Karibia kila kitu kinachofanyika kwenye masuala yahusuyo physics basi yapo pia kwenye uchawi no wonder.
Wakati Galei Galileo alipokuwa anawasilisha hoja yake ya sayari mbele ya viongozi wa kanisa wazeebaba waliona anazungumzia uchawi mimi hadi theories za Copernicus hua naziona zimekaa kichawi chawi tu.
Huko juu tumezungumzia jinsi wachawi na watu wa kawaida wanaweza kuproject illusion sasa na huku kwenye masuala ya teknolojia Illusion zinatengenezwa vizuri tu.
Binafsi hua nasema kwamba Physics ni tawi la uchawi ambalo linajishughlisha na kuchukua mambo yale yanayofanywa na wachawi na kuyaweka katika teknolojia.
Kipindi hicho (dark ages), kabla ndege hazijavumbuliwa watu walikua wanaruka na fagio angani.
Sisi kwetu tunatumia ungo ila baada tu ya industrialization mambo yote ya kichawi yalipigwa marufuku.
Watu wakawekeza kwenye teknolojia zaidi ila elimu hawakuitupa wanaenda wanaitumia kupata ideas mbalimbali kisha kuvumbua teknolojia yao.
Karibia kila kitu kinachofanyika kwenye masuala yahusuyo physics basi yapo pia kwenye uchawi no wonder.
Wakati Galei Galileo alipokuwa anawasilisha hoja yake ya sayari mbele ya viongozi wa kanisa wazeebaba waliona anazungumzia uchawi mimi hadi theories za Copernicus hua naziona zimekaa kichawi chawi tu.
Huko juu tumezungumzia jinsi wachawi na watu wa kawaida wanaweza kuproject illusion sasa na huku kwenye masuala ya teknolojia Illusion zinatengenezwa vizuri tu.
Paul Bonaventure
Karibu kwenye darasa la Meditation ujifunze na kujua mambo mbalimbali kukuhusu.
Utajifunza namna Meditation inavyo badilisha maisha yako ndani ya muda mfupi na kuongeza uelewa wako wa ndani.
Njoo Inbox nikupe utaratibu wa kujiunga na darasa hili la kipekee.
.
.
Karibu kwenye darasa la Meditation ujifunze na kujua mambo mbalimbali kukuhusu.
Utajifunza namna Meditation inavyo badilisha maisha yako ndani ya muda mfupi na kuongeza uelewa wako wa ndani.
Njoo Inbox nikupe utaratibu wa kujiunga na darasa hili la kipekee.
.
.
Paul Bonaventure
Holography ni mfumo unaowezesha mawimbi (wavefront) kurekodiwa, kutengenezwa na kuonyeshwa tena katika picha zenye mfumo wa 3D.
Mbali na kurekodiwa mtu mwenye ujuzi anaweza kutengeneza Hologram kwa kutumia Computer Genarated Image.
Mtu mwenye ujuzi wa holography anaweza kutengeneza kitu chochote atakacho kwa kutumia Computer kisha akakiproject kwa projectors maalumu.
Mtu anaweza kutengeneza hata mazingira unaona hapa kuna nyumba zipo hivi na hivi ila kiuhalisia hakuna kitu kama hicho it’s just an illusion.
Technology its so interesting kwakweli unaweza kudhani hapa tunapigiana hadithi za uongo ila ni vitu vipo sema tu sio kwa ajili ya matumizi ya kawaida.
Holography ni mfumo unaowezesha mawimbi (wavefront) kurekodiwa, kutengenezwa na kuonyeshwa tena katika picha zenye mfumo wa 3D.
Mbali na kurekodiwa mtu mwenye ujuzi anaweza kutengeneza Hologram kwa kutumia Computer Genarated Image.
Mtu mwenye ujuzi wa holography anaweza kutengeneza kitu chochote atakacho kwa kutumia Computer kisha akakiproject kwa projectors maalumu.
Mtu anaweza kutengeneza hata mazingira unaona hapa kuna nyumba zipo hivi na hivi ila kiuhalisia hakuna kitu kama hicho it’s just an illusion.
Technology its so interesting kwakweli unaweza kudhani hapa tunapigiana hadithi za uongo ila ni vitu vipo sema tu sio kwa ajili ya matumizi ya kawaida.
Paul Bonaventure
Kumbuka kila teknolojia unayoiona basi ujue chanzo chake cha kuundwa ni ili ikatumike jeshini/ajili ya kulinda usalama wa watu.
Sisi tunaletewa hizi teknolojia ndogondogo tu ili tufurahie na kuboresha maisha tu.
Ndio maana mtu akikuambia kwamba unaweza kufungua njia ukatokezea kijijini kwenu utaona ni uongo ila wachawi wanafanya sana.
Jiulize tu mtu mchawi anawezaje kupotea chap akatokezea chumbani kwa mtu au mkoa mwingine, its simple they just opening portal/gateway na kutokezea upande mwingine kiuchawi.
Inawezekane nikisema kwa kutumia physics inawezekana pia mtanibishia kama mnavyobishia Time Travelling.
Kumbuka kila teknolojia unayoiona basi ujue chanzo chake cha kuundwa ni ili ikatumike jeshini/ajili ya kulinda usalama wa watu.
Sisi tunaletewa hizi teknolojia ndogondogo tu ili tufurahie na kuboresha maisha tu.
Ndio maana mtu akikuambia kwamba unaweza kufungua njia ukatokezea kijijini kwenu utaona ni uongo ila wachawi wanafanya sana.
Jiulize tu mtu mchawi anawezaje kupotea chap akatokezea chumbani kwa mtu au mkoa mwingine, its simple they just opening portal/gateway na kutokezea upande mwingine kiuchawi.
Inawezekane nikisema kwa kutumia physics inawezekana pia mtanibishia kama mnavyobishia Time Travelling.
Paul Bonaventure
Karibu kwenye darasa la Meditation ujifunze na kujua mambo mbalimbali kukuhusu.
Utajifunza namna Meditation inavyo badilisha maisha yako ndani ya muda mfupi na kuongeza uelewa wako wa ndani.
Njoo Inbox nikupe utaratibu wa kujiunga na darasa hili la kipekee.
.
.
Karibu kwenye darasa la Meditation ujifunze na kujua mambo mbalimbali kukuhusu.
Utajifunza namna Meditation inavyo badilisha maisha yako ndani ya muda mfupi na kuongeza uelewa wako wa ndani.
Njoo Inbox nikupe utaratibu wa kujiunga na darasa hili la kipekee.
.
.
Mwalimu Google TV:
ASKOFU GWAJIMA NI AJENT WA UKOLONI MAMBOLEO , "mungu" WA GWAJIMA ANAPENDA TANZANIA MASKINI MILELE.
https://www.youtube.com/watch?v=zyhPeDAE4Io
ASKOFU GWAJIMA NI AJENT WA UKOLONI MAMBOLEO , "mungu" WA GWAJIMA ANAPENDA TANZANIA MASKINI MILELE.
https://www.youtube.com/watch?v=zyhPeDAE4Io
YouTube
ASKOFU GWAJIMA NI AJENT WA UKOLONI MAMBOLEO , "mungu" WA GWAJIMA ANAPENDA TANZANIA MASKINI MILELE.
Zamani dini ilitumika kusaidia wakoloni kututawala .
Kwa sasa dini inatumika kutupumbaza tusidai vitu vya msingi mfano uhalali wa kumiliki madini yetu
#elimikausiwemsomi
#mwalimugoogletv
Kwa sasa dini inatumika kutupumbaza tusidai vitu vya msingi mfano uhalali wa kumiliki madini yetu
#elimikausiwemsomi
#mwalimugoogletv