Paul Bonaventure
Alichukuliwa kama "ngome ya imani" wakati wa utawala wa kiimla wa Ahmed Sékou Touré, ambapo makanisa yalifungwa na waumini kuonewa.
Askofu Sarah alisimama kidete kama mlinzi wa imani na mtetezi wa haki, bila kuogopa vifungo, vitisho au mateso.
Mnamo mwaka 2001, alipelekwa Vatican na kuteuliwa kuwa Katibu wa Baraza la Kipapa la Uinjilishaji wa Watu.
Lakini nafasi yake ya kihistoria ilikuja mwaka 2010, alipoteuliwa na Papa Benedict XVI kuwa Kardinali.
Na baadaye akawa Mkuu wa Kongamano la Ibada Takatifu na Nidhamu ya Sakramenti, miongoni mwa nafasi za juu kabisa kwenye Kanisa Katoliki.
Katika wadhifa huu, Kardinali Sarah alisimama imara kama mtetezi wa ibada ya kiorthodox (kama vile misa ya Kilatini).
Akisisitiza utakatifu, unyenyekevu na heshima kwa Mungu katika kila tendo la kiibada.
Alichukuliwa kama "ngome ya imani" wakati wa utawala wa kiimla wa Ahmed Sékou Touré, ambapo makanisa yalifungwa na waumini kuonewa.
Askofu Sarah alisimama kidete kama mlinzi wa imani na mtetezi wa haki, bila kuogopa vifungo, vitisho au mateso.
Mnamo mwaka 2001, alipelekwa Vatican na kuteuliwa kuwa Katibu wa Baraza la Kipapa la Uinjilishaji wa Watu.
Lakini nafasi yake ya kihistoria ilikuja mwaka 2010, alipoteuliwa na Papa Benedict XVI kuwa Kardinali.
Na baadaye akawa Mkuu wa Kongamano la Ibada Takatifu na Nidhamu ya Sakramenti, miongoni mwa nafasi za juu kabisa kwenye Kanisa Katoliki.
Katika wadhifa huu, Kardinali Sarah alisimama imara kama mtetezi wa ibada ya kiorthodox (kama vile misa ya Kilatini).
Akisisitiza utakatifu, unyenyekevu na heshima kwa Mungu katika kila tendo la kiibada.
Paul Bonaventure
Wengine, hasa wale wa mitazamo ya kisasa zaidi, wanahofia msimamo wake mkali kuhusu masuala ya imani na maadili.
Lakini jambo moja liko wazi, Sarah ana moyo wa kiaskofu wa kweli. Ana upendo kwa watu wa Mungu. Na anayo hofu ya Mungu isiyo na kificho.
Ikiwa Peter Turkson ni kioo cha haki ya kijamii na maendeleo ya watu, basi Robert Sarah ni alama ya ibada, unyenyekevu, na msimamo wa kiimani.
Wote wawili, kutoka bara lenye historia ya mateso na matumaini, wanaendelea kuonyesha kuwa Afrika ina sauti ndani ya Ukristo wa dunia.
Na katika harakati za kumtafuta Papa mpya, dunia inatazama, Je, ni wakati wa Afrika? Je, ni wakati wa Sarah?
Tukio hilo likitokea, basi historia haitabadilishwa tu, bali roho ya dunia itapata pumzi mpya ya kiroho kutoka barani Afrika.
Wengine, hasa wale wa mitazamo ya kisasa zaidi, wanahofia msimamo wake mkali kuhusu masuala ya imani na maadili.
Lakini jambo moja liko wazi, Sarah ana moyo wa kiaskofu wa kweli. Ana upendo kwa watu wa Mungu. Na anayo hofu ya Mungu isiyo na kificho.
Ikiwa Peter Turkson ni kioo cha haki ya kijamii na maendeleo ya watu, basi Robert Sarah ni alama ya ibada, unyenyekevu, na msimamo wa kiimani.
Wote wawili, kutoka bara lenye historia ya mateso na matumaini, wanaendelea kuonyesha kuwa Afrika ina sauti ndani ya Ukristo wa dunia.
Na katika harakati za kumtafuta Papa mpya, dunia inatazama, Je, ni wakati wa Afrika? Je, ni wakati wa Sarah?
Tukio hilo likitokea, basi historia haitabadilishwa tu, bali roho ya dunia itapata pumzi mpya ya kiroho kutoka barani Afrika.
Paul Bonaventure
Kardinali Sarah ni kama sauti ya nabii wa kale, anayeikemea dunia ya kisasa bila uoga.
Ameandika vitabu vikali kama “God or Nothing”, “The Power of Silence”, na “The Day is Now Far Spent”, ambavyo vimegusa mamilioni ya wasomaji duniani.
Katika vitabu hivyo, ameonya juu ya hatari ya ulimwengu kupoteza maadili, ameikemea dhambi ya ubinafsi wa kisasa, na ametoa mwito kwa Kanisa kurudi kwenye mizizi ya kweli ya injili.
Anaamini kuwa Kanisa linapaswa kuwa kama taa juu ya mlima, si kutafuta sifa za dunia, bali kuwa taa ya wokovu kwa walio gizani.
Kwa miaka kadhaa sasa, Kardinali Robert Sarah ametajwa mara kadhaa kuwa mmoja wa wagombea wakuu wa nafasi ya Papa.
Wapo wanaomuunga mkono kwa nguvu, wakiamini kuwa yeye ni mtu sahihi wa kuliongoza Kanisa katika enzi ya changamoto za kimaadili na kiimani.
Wanaompenda wanasema: “Huyu ndiye Mtakatifu wa kweli. Mnyenyekevu, mcha Mungu, na asiye na mchezo na mambo ya dunia.”
Kardinali Sarah ni kama sauti ya nabii wa kale, anayeikemea dunia ya kisasa bila uoga.
Ameandika vitabu vikali kama “God or Nothing”, “The Power of Silence”, na “The Day is Now Far Spent”, ambavyo vimegusa mamilioni ya wasomaji duniani.
Katika vitabu hivyo, ameonya juu ya hatari ya ulimwengu kupoteza maadili, ameikemea dhambi ya ubinafsi wa kisasa, na ametoa mwito kwa Kanisa kurudi kwenye mizizi ya kweli ya injili.
Anaamini kuwa Kanisa linapaswa kuwa kama taa juu ya mlima, si kutafuta sifa za dunia, bali kuwa taa ya wokovu kwa walio gizani.
Kwa miaka kadhaa sasa, Kardinali Robert Sarah ametajwa mara kadhaa kuwa mmoja wa wagombea wakuu wa nafasi ya Papa.
Wapo wanaomuunga mkono kwa nguvu, wakiamini kuwa yeye ni mtu sahihi wa kuliongoza Kanisa katika enzi ya changamoto za kimaadili na kiimani.
Wanaompenda wanasema: “Huyu ndiye Mtakatifu wa kweli. Mnyenyekevu, mcha Mungu, na asiye na mchezo na mambo ya dunia.”
Paul Bonaventure
Papa huyu alileta mapinduzi ya huruma ndani ya Kanisa.
Alitetea masikini, alikemea ufisadi, alilaani unyonyaji wa mazingira, na akaonyesha moyo wa kibinadamu hata kwa wale waliotengwa na jamii.
Aliamini katika Kanisa la watu, si la mamlaka. Na kupitia maisha yake ya unyenyekevu, alionyesha kuwa ukuu si sauti kubwa, bali ni kusikiliza walio kimya.
Wakati Vatican ikiandaa kila kitu kwa mazishi hayo ya kihistoria, dunia inasubiri kwa heshima na maombi.
Jeneza lake litasafirishwa kwa heshima zote, likipitia njia alizopitia mara nyingi akiwahubiria watu, na hatimaye kuzikwa ndani ya maeneo ya Kanisa la Mtakatifu Petro, pembeni mwa makaburi ya mapapa waliotangulia.
Huu si mwisho wa hadithi ya Papa Francis. Ni mwanzo wa kumbukumbu isiyokufa, kwa mtu aliyeishi kama kiongozi, lakini akapendwa kama baba.
Na wakati pazia la historia likishuka taratibu, dunia itasubiri kwa shauku kujua. Ni nani atarithi viatu hivi vikubwa?
Papa huyu alileta mapinduzi ya huruma ndani ya Kanisa.
Alitetea masikini, alikemea ufisadi, alilaani unyonyaji wa mazingira, na akaonyesha moyo wa kibinadamu hata kwa wale waliotengwa na jamii.
Aliamini katika Kanisa la watu, si la mamlaka. Na kupitia maisha yake ya unyenyekevu, alionyesha kuwa ukuu si sauti kubwa, bali ni kusikiliza walio kimya.
Wakati Vatican ikiandaa kila kitu kwa mazishi hayo ya kihistoria, dunia inasubiri kwa heshima na maombi.
Jeneza lake litasafirishwa kwa heshima zote, likipitia njia alizopitia mara nyingi akiwahubiria watu, na hatimaye kuzikwa ndani ya maeneo ya Kanisa la Mtakatifu Petro, pembeni mwa makaburi ya mapapa waliotangulia.
Huu si mwisho wa hadithi ya Papa Francis. Ni mwanzo wa kumbukumbu isiyokufa, kwa mtu aliyeishi kama kiongozi, lakini akapendwa kama baba.
Na wakati pazia la historia likishuka taratibu, dunia itasubiri kwa shauku kujua. Ni nani atarithi viatu hivi vikubwa?
Paul Bonaventure
Karibu kwenye darasa la Meditation ujifunze na kujua mambo mbalimbali kukuhusu.
Utajifunza namna Meditation inavyo badilisha maisha yako ndani ya muda mfupi na kuongeza uelewa wako wa ndani.
Njoo Inbox nikupe utaratibu wa kujiunga na darasa hili la kipekee.
.
.
Karibu kwenye darasa la Meditation ujifunze na kujua mambo mbalimbali kukuhusu.
Utajifunza namna Meditation inavyo badilisha maisha yako ndani ya muda mfupi na kuongeza uelewa wako wa ndani.
Njoo Inbox nikupe utaratibu wa kujiunga na darasa hili la kipekee.
.
.
Miongoni mwa makardinali hao ni majina makubwa kama Peter Turkson kutoka Ghana na Robert Sarah kutok
🧵 Thread • FxTwitter
Paul Bonaventure (@Phbhimself)
Miongoni mwa makardinali hao ni majina makubwa kama Peter Turkson kutoka Ghana na Robert Sarah kutoka Guinea.
Wanaotajwa miongoni mwa wagombea wanaoonekana kuwa na nafasi ya kuchukua nafasi hiyo tukufu.
Kutoka Afrika Mashariki, Kadinali Polycarp Pengo (mstaafu)…
Wanaotajwa miongoni mwa wagombea wanaoonekana kuwa na nafasi ya kuchukua nafasi hiyo tukufu.
Kutoka Afrika Mashariki, Kadinali Polycarp Pengo (mstaafu)…
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Nimepata heshima kubwa kama mwana historia kuhojiwa na kituo cha redio cha Bongo FM! Tulijadili historia ya Tanzania, matukio muhimu yaliyobadilisha taifa letu, na nafasi ya vijana katika kuitunza na kuieneza historia. Ilikuwa ni mazungumzo ya kina na yenye kufungua fikra. #lordnicky #tanzania #kenya #uganda #zanzibar #rwanda #lordnicky
Mwalimu Google TV:
URUSI YAIFUATA MAREKANI KWENYE "VICHOCHORO" VYAKE.
https://www.youtube.com/watch?v=4GOn7z-D02w
URUSI YAIFUATA MAREKANI KWENYE "VICHOCHORO" VYAKE.
https://www.youtube.com/watch?v=4GOn7z-D02w
YouTube
URUSI YAIFUATA MAREKANI KWENYE "VICHOCHORO" VYAKE.
SupaPawa ni kuitawala BAHARI na ANGA
#mwalimugoogletv
#elimikausiwemsomi
#mwalimugoogletv
#elimikausiwemsomi
Paul Bonaventure
Kama atachaguliwa, atakuwa Papa wa kwanza Mwafrika katika karne ya sasa, na ishara kubwa ya Kanisa kufungua milango kwa bara lililotoa mchango mkubwa katika ukuaji wa Ukristo.
Kardinali Robert Sarah - Guinea
Mwenye sauti ya upole lakini ujumbe wa nguvu, Kardinali Sarah alizaliwa mwaka 1945 huko Ourous, Guinea.
Ana sifa ya kuwa mtu mwenye msimamo wa kihafidhina, hasa katika masuala ya liturujia (taratibu za misa) na maadili.
Alikuwa mkuu wa Baraza la Kipapa la Ibada na Nidhamu ya Sakramenti hadi alipostaafu mwaka 2021.
Ingawa anahesabiwa kuwa miongoni mwa makardinali wastaafu, ushawishi wake bado ni mkubwa.
Wengi humuona kama chaguo la kurudisha Kanisa kwenye mizizi ya kimapokeo ambako heshima, kimya na utakatifu vinatawala zaidi ya mageuzi.
Kama atachaguliwa, atakuwa Papa wa kwanza Mwafrika katika karne ya sasa, na ishara kubwa ya Kanisa kufungua milango kwa bara lililotoa mchango mkubwa katika ukuaji wa Ukristo.
Kardinali Robert Sarah - Guinea
Mwenye sauti ya upole lakini ujumbe wa nguvu, Kardinali Sarah alizaliwa mwaka 1945 huko Ourous, Guinea.
Ana sifa ya kuwa mtu mwenye msimamo wa kihafidhina, hasa katika masuala ya liturujia (taratibu za misa) na maadili.
Alikuwa mkuu wa Baraza la Kipapa la Ibada na Nidhamu ya Sakramenti hadi alipostaafu mwaka 2021.
Ingawa anahesabiwa kuwa miongoni mwa makardinali wastaafu, ushawishi wake bado ni mkubwa.
Wengi humuona kama chaguo la kurudisha Kanisa kwenye mizizi ya kimapokeo ambako heshima, kimya na utakatifu vinatawala zaidi ya mageuzi.
Paul Bonaventure
Kardinali Matteo Zuppi - Italia
Huyu ni kipenzi cha wengi kwa sasa.
Akiwa Askofu Mkuu wa Bologna na Rais wa Baraza la Maaskofu wa Italia, Zuppi ni kati ya wachache waliowahi kuwa karibu sana na Papa Francis.
Anapenda kueleweka kama Papa wa watu, ni mpenda amani, na mwepesi wa kujenga madaraja kati ya makundi yanayopingana.
Zuppi aliongoza juhudi za Vatican za kupatanisha Ukraine na Urusi, na anaonekana kuwa na ujuzi mzuri wa kidiplomasia, jambo ambalo linaongeza nafasi yake kuwa kiongozi wa kiroho wa dunia nzima.
Kardinali Luis Antonio Tagle - Ufilipino
Tagle ni mmoja wa makardinali wachanga, mwenye mvuto mkubwa na sura inayopendwa na vijana.
Akiwa amewahi kuongoza Caritas Internationalis, taasisi ya misaada ya Kanisa.
Tagle anahesabiwa kama daraja kati ya Ulaya, Asia, na Dunia ya Tatu.
Ana wasifu mzuri wa kiacademia, upole wa ajabu, na moyo wa huduma. Wengi humfananisha na Papa John Paul II kwa namna alivyo na mvuto wa kimataifa na mpenzi wa vijana.
Kardinali Matteo Zuppi - Italia
Huyu ni kipenzi cha wengi kwa sasa.
Akiwa Askofu Mkuu wa Bologna na Rais wa Baraza la Maaskofu wa Italia, Zuppi ni kati ya wachache waliowahi kuwa karibu sana na Papa Francis.
Anapenda kueleweka kama Papa wa watu, ni mpenda amani, na mwepesi wa kujenga madaraja kati ya makundi yanayopingana.
Zuppi aliongoza juhudi za Vatican za kupatanisha Ukraine na Urusi, na anaonekana kuwa na ujuzi mzuri wa kidiplomasia, jambo ambalo linaongeza nafasi yake kuwa kiongozi wa kiroho wa dunia nzima.
Kardinali Luis Antonio Tagle - Ufilipino
Tagle ni mmoja wa makardinali wachanga, mwenye mvuto mkubwa na sura inayopendwa na vijana.
Akiwa amewahi kuongoza Caritas Internationalis, taasisi ya misaada ya Kanisa.
Tagle anahesabiwa kama daraja kati ya Ulaya, Asia, na Dunia ya Tatu.
Ana wasifu mzuri wa kiacademia, upole wa ajabu, na moyo wa huduma. Wengi humfananisha na Papa John Paul II kwa namna alivyo na mvuto wa kimataifa na mpenzi wa vijana.
Paul Bonaventure
Anaweza kuwa chaguo lenye mvuto kwa Kanisa linalotafuta kuungana zaidi na kizazi kipya.
Kardinali Jean-Claude Hollerich - Luxembourg
Huyu ni mmoja wa makardinali wanaoongoza mageuzi ndani ya Kanisa.
Kama mwenyekiti wa Sinodi ya Maaskofu Ulaya, Hollerich anaonekana kuwa na maono ya Kanisa lenye uwazi zaidi.
Lenye kutafakari upya nafasi ya wanawake, ndoa, na uhusiano wa kijamii katika nyakati hizi mpya.
Licha ya wagombea hawa ambao ni machaguo ya waamini kutajwa wazi , historia ya Kanisa Katoliki imewahi kushangaza.
Papa mwingine anaweza kuchaguliwa kutoka nje ya majina haya ya "papabile".
Katika uchaguzi wa mwaka 1978, Karol Wojtyła wa Poland (baadaye John Paul II) hakuwa anatajwa, lakini alichaguliwa na akaleta mageuzi makubwa.
Wagombea hawa watakutana ndani ya Ukumbi wa Sistine, ambapo mlango mkubwa utafungwa kwa mbao nzito na funguo tatu maalum, na dunia itasubiri moshi. Je, utakuwa mweusi au mweupe?
Moshi mweusi utamaanisha bado hawajakubaliana, Moshi mweupe......
Anaweza kuwa chaguo lenye mvuto kwa Kanisa linalotafuta kuungana zaidi na kizazi kipya.
Kardinali Jean-Claude Hollerich - Luxembourg
Huyu ni mmoja wa makardinali wanaoongoza mageuzi ndani ya Kanisa.
Kama mwenyekiti wa Sinodi ya Maaskofu Ulaya, Hollerich anaonekana kuwa na maono ya Kanisa lenye uwazi zaidi.
Lenye kutafakari upya nafasi ya wanawake, ndoa, na uhusiano wa kijamii katika nyakati hizi mpya.
Licha ya wagombea hawa ambao ni machaguo ya waamini kutajwa wazi , historia ya Kanisa Katoliki imewahi kushangaza.
Papa mwingine anaweza kuchaguliwa kutoka nje ya majina haya ya "papabile".
Katika uchaguzi wa mwaka 1978, Karol Wojtyła wa Poland (baadaye John Paul II) hakuwa anatajwa, lakini alichaguliwa na akaleta mageuzi makubwa.
Wagombea hawa watakutana ndani ya Ukumbi wa Sistine, ambapo mlango mkubwa utafungwa kwa mbao nzito na funguo tatu maalum, na dunia itasubiri moshi. Je, utakuwa mweusi au mweupe?
Moshi mweusi utamaanisha bado hawajakubaliana, Moshi mweupe......
Paul Bonaventure
Hawa ndio wale wanaotajwa kwa nafasi kubwa kuwa wagombea wakuu wa kiti cha Papa mpya.
Baada ya dunia kumuaga Baba Mtakatifu Francis, aliyegusa maisha ya wengi kwa huruma, ujasiri, na msimamo wa haki.
Kardinali Peter Turkson - Ghana
Anatajwa mara kwa mara kuwa mmoja wa wagombea wakuu, "papabile", neno la Kilatini lenye maana ya mtu anayefaa kuwa Papa.
Turkson ni sura inayojulikana kwa miaka mingi ndani ya Vatican.
Alizaliwa mwaka 1948 huko Cape Coast, Ghana, na aliwahi kuwa Rais wa Baraza la Kipapa la Haki na Amani, kisha akaongoza pia kitengo cha maendeleo endelevu cha Vatican.
Ni kiongozi mwenye uelewa mkubwa wa masuala ya kijamii, mazingira, na haki za binadamu.
Mara nyingi amekuwa akihubiri mshikamano kati ya dini, utunzaji wa mazingira, na uadilifu wa kiuchumi.
Hawa ndio wale wanaotajwa kwa nafasi kubwa kuwa wagombea wakuu wa kiti cha Papa mpya.
Baada ya dunia kumuaga Baba Mtakatifu Francis, aliyegusa maisha ya wengi kwa huruma, ujasiri, na msimamo wa haki.
Kardinali Peter Turkson - Ghana
Anatajwa mara kwa mara kuwa mmoja wa wagombea wakuu, "papabile", neno la Kilatini lenye maana ya mtu anayefaa kuwa Papa.
Turkson ni sura inayojulikana kwa miaka mingi ndani ya Vatican.
Alizaliwa mwaka 1948 huko Cape Coast, Ghana, na aliwahi kuwa Rais wa Baraza la Kipapa la Haki na Amani, kisha akaongoza pia kitengo cha maendeleo endelevu cha Vatican.
Ni kiongozi mwenye uelewa mkubwa wa masuala ya kijamii, mazingira, na haki za binadamu.
Mara nyingi amekuwa akihubiri mshikamano kati ya dini, utunzaji wa mazingira, na uadilifu wa kiuchumi.
Paul Bonaventure
Karibu kwenye darasa la Meditation ujifunze na kujua mambo mbalimbali kukuhusu.
Utajifunza namna Meditation inavyo badilisha maisha yako ndani ya muda mfupi na kuongeza uelewa wako wa ndani.
Njoo Inbox nikupe utaratibu wa kujiunga na darasa hili la kipekee.
.
.
Karibu kwenye darasa la Meditation ujifunze na kujua mambo mbalimbali kukuhusu.
Utajifunza namna Meditation inavyo badilisha maisha yako ndani ya muda mfupi na kuongeza uelewa wako wa ndani.
Njoo Inbox nikupe utaratibu wa kujiunga na darasa hili la kipekee.
.
.
Davistar Mata Media:
PART10:MAJALIWA ALIEKUWA MGANGA MCHAWI ALIEZALIWA NA MWANAMKE NUSU JINI NUSU MWANADAMU AELEZA YOTE
https://www.youtube.com/watch?v=-mjF_o5RVpU
PART10:MAJALIWA ALIEKUWA MGANGA MCHAWI ALIEZALIWA NA MWANAMKE NUSU JINI NUSU MWANADAMU AELEZA YOTE
https://www.youtube.com/watch?v=-mjF_o5RVpU
YouTube
PART10:MAJALIWA ALIEKUWA MGANGA MCHAWI ALIEZALIWA NA MWANAMKE NUSU JINI NUSU MWANADAMU AELEZA YOTE
Mwalimu Google TV:
TRAORE { BURKINA FASO } vs RUTO { KENYA } NANI ANA KUBALIKA.
https://www.youtube.com/watch?v=k1dE_mWHCKc
TRAORE { BURKINA FASO } vs RUTO { KENYA } NANI ANA KUBALIKA.
https://www.youtube.com/watch?v=k1dE_mWHCKc
YouTube
TRAORE { BURKINA FASO } vs RUTO { KENYA } NANI ANA KUBALIKA.
Mbaya wa MWAFRIKA NI MWAFRIKA MWENZAKE.
#mwalimugoogletv
#elimikausiwemsomi
#mwalimugoogletv
#elimikausiwemsomi