Paul Bonaventure
Karibu kwenye darasa la Meditation ujifunze na kujua mambo mbalimbali kukuhusu.
Utajifunza namna Meditation inavyo badilisha maisha yako ndani ya muda mfupi na kuongeza uelewa wako wa ndani.
Njoo Inbox nikupe utaratibu wa kujiunga na darasa hili la kipekee.
.
.
Karibu kwenye darasa la Meditation ujifunze na kujua mambo mbalimbali kukuhusu.
Utajifunza namna Meditation inavyo badilisha maisha yako ndani ya muda mfupi na kuongeza uelewa wako wa ndani.
Njoo Inbox nikupe utaratibu wa kujiunga na darasa hili la kipekee.
.
.
Paul Bonaventure
Kuimarisha uzalishaji wa ndani Badala ya kuagiza bidhaa kutoka nje, nchi inapaswa kuzalisha zaidi.
Kuweka mazingira mazuri kwa wafanyabiashara Kodi ndogo na mazingira mazuri ya biashara hufanya uchumi ukue kwa kasi.
Kupunguza urasimu wa serikali Idara nyingi za serikali zina matumizi makubwa yasiyo na tija.
Watu wengi wanaweza kumpenda au kumchukia Trump, lakini jambo moja ni dhahiri anajua kuhusu pesa.
Amekuwa mfanyabiashara kwa miongo mingi, akisimamia biashara zenye thamani ya mabilioni ya dola. Akiwa Rais wa Marekani kipindi cha kwanza (2017-2021).
Alifanya mabadiliko makubwa ya kiuchumi, ikiwa ni pamoja na kupunguza kodi kwa wafanyabiashara na kuleta sera za kuongeza ajira kwa Wamarekani.
Anaposema kuwa uchumi hauwezi kukua kwa kutegemea mikopo, anazungumza kama mfanyabiashara halisi anayejua kanuni za pesa.
Kuimarisha uzalishaji wa ndani Badala ya kuagiza bidhaa kutoka nje, nchi inapaswa kuzalisha zaidi.
Kuweka mazingira mazuri kwa wafanyabiashara Kodi ndogo na mazingira mazuri ya biashara hufanya uchumi ukue kwa kasi.
Kupunguza urasimu wa serikali Idara nyingi za serikali zina matumizi makubwa yasiyo na tija.
Watu wengi wanaweza kumpenda au kumchukia Trump, lakini jambo moja ni dhahiri anajua kuhusu pesa.
Amekuwa mfanyabiashara kwa miongo mingi, akisimamia biashara zenye thamani ya mabilioni ya dola. Akiwa Rais wa Marekani kipindi cha kwanza (2017-2021).
Alifanya mabadiliko makubwa ya kiuchumi, ikiwa ni pamoja na kupunguza kodi kwa wafanyabiashara na kuleta sera za kuongeza ajira kwa Wamarekani.
Anaposema kuwa uchumi hauwezi kukua kwa kutegemea mikopo, anazungumza kama mfanyabiashara halisi anayejua kanuni za pesa.
Paul Bonaventure
Donald Trump, bilionea, mfanyabiashara na rais wa Marekani, anafahamika kwa kauli zake zenye uzito mkubwa, hasa inapokuja kwenye masuala ya uchumi.
Safari hii, ameamua kuweka wazi mtazamo wake:
"Hakuna uchumi unaokua kwa mikopo!"
Trump anasema kuwa ili uchumi wa nchi yoyote ukue, serikali inapaswa kupunguza matumizi badala ya kukopa pesa kila mara.
Kwa lugha rahisi, haamini katika wazo la "kukuza uchumi kwa madeni," jambo ambalo limekuwa likifanyika katika mataifa mengi duniani.
Kwa mujibu wa Trump, uchumi haupaswi kutegemea mikopo kama chanzo cha ukuaji. Badala yake, serikali inapaswa.
Kupunguza matumizi yasiyo ya lazima Kila dola inayotumika bila mpango ni mzigo kwa taifa.
Donald Trump, bilionea, mfanyabiashara na rais wa Marekani, anafahamika kwa kauli zake zenye uzito mkubwa, hasa inapokuja kwenye masuala ya uchumi.
Safari hii, ameamua kuweka wazi mtazamo wake:
"Hakuna uchumi unaokua kwa mikopo!"
Trump anasema kuwa ili uchumi wa nchi yoyote ukue, serikali inapaswa kupunguza matumizi badala ya kukopa pesa kila mara.
Kwa lugha rahisi, haamini katika wazo la "kukuza uchumi kwa madeni," jambo ambalo limekuwa likifanyika katika mataifa mengi duniani.
Kwa mujibu wa Trump, uchumi haupaswi kutegemea mikopo kama chanzo cha ukuaji. Badala yake, serikali inapaswa.
Kupunguza matumizi yasiyo ya lazima Kila dola inayotumika bila mpango ni mzigo kwa taifa.
Paul Bonaventure
Katika biashara yoyote, mtu hawezi kukopa kila wakati na kutegemea kufanikiwa lazima kuwe na nidhamu ya matumizi na vyanzo vya mapato vya uhakika.
Kwa sasa, nchi nyingi duniani zinaendelea kuchukua mikopo kutoka mashirika kama IMF na Benki ya Dunia, huku madeni yakizidi kuongezeka.
Mataifa yanapambana na gharama kubwa za uendeshaji wa serikali, huku kodi zikipandishwa na wananchi wakizidi kulalamika.
Je, viongozi wa dunia watasikiliza ushauri wa Trump na kuanza kupunguza matumizi?
Au wataendelea kuendesha serikali zao kwa mtindo wa "kukopa ili kulipa madeni ya awali," jambo ambalo linazidi kuzamisha uchumi wa mataifa mengi?
Katika biashara yoyote, mtu hawezi kukopa kila wakati na kutegemea kufanikiwa lazima kuwe na nidhamu ya matumizi na vyanzo vya mapato vya uhakika.
Kwa sasa, nchi nyingi duniani zinaendelea kuchukua mikopo kutoka mashirika kama IMF na Benki ya Dunia, huku madeni yakizidi kuongezeka.
Mataifa yanapambana na gharama kubwa za uendeshaji wa serikali, huku kodi zikipandishwa na wananchi wakizidi kulalamika.
Je, viongozi wa dunia watasikiliza ushauri wa Trump na kuanza kupunguza matumizi?
Au wataendelea kuendesha serikali zao kwa mtindo wa "kukopa ili kulipa madeni ya awali," jambo ambalo linazidi kuzamisha uchumi wa mataifa mengi?
Fortunatus Buyobe
Jicho la Zanzibar. Bofya "Follow" kwa habari za kiuchunguzi na za kina toka Zanzibar.
Jicho la Zanzibar. Bofya "Follow" kwa habari za kiuchunguzi na za kina toka Zanzibar.
Paul Bonaventure
Karibu kwenye darasa la Meditation ujifunze na kujua mambo mbalimbali kukuhusu.
Utajifunza namna Meditation inavyo badilisha maisha yako ndani ya muda mfupi na kuongeza uelewa wako wa ndani.
Njoo Inbox nikupe utaratibu wa kujiunga na darasa hili la kipekee.
.
.
Karibu kwenye darasa la Meditation ujifunze na kujua mambo mbalimbali kukuhusu.
Utajifunza namna Meditation inavyo badilisha maisha yako ndani ya muda mfupi na kuongeza uelewa wako wa ndani.
Njoo Inbox nikupe utaratibu wa kujiunga na darasa hili la kipekee.
.
.
Paul Bonaventure
Kukaa Lotus pose inasaidia sana damu kuzunguka sehemu ya juu ya mwili mpaka kwenye ubongo, inaweka uti wa mgongo katika mpangilio maalumu wa Chakra.
Na pia inakupa shape ya pembe tatu, ambayo ni shape nzuri kuchukua cosmic energy.
Pia ni mkao ambao mtu akiuzoea anaweza kukaa muda mrefu bila kuhama.
Wapo ambao wanakaa kwenye meditation kwa siku nzima mpaka zaidi ya siku bila kuhama wala kubadilisha mkao.
Ni mkao mgumu kuuzoea lakini unazoeleka taratibu kutokana na kukaa kwenye meditation kwa muda mrefu.
Pia mtu anaweza kuanza na mkao wa kawaida tu na taratibu Lotus pose itakuja.
Kukaa Lotus pose inasaidia sana damu kuzunguka sehemu ya juu ya mwili mpaka kwenye ubongo, inaweka uti wa mgongo katika mpangilio maalumu wa Chakra.
Na pia inakupa shape ya pembe tatu, ambayo ni shape nzuri kuchukua cosmic energy.
Pia ni mkao ambao mtu akiuzoea anaweza kukaa muda mrefu bila kuhama.
Wapo ambao wanakaa kwenye meditation kwa siku nzima mpaka zaidi ya siku bila kuhama wala kubadilisha mkao.
Ni mkao mgumu kuuzoea lakini unazoeleka taratibu kutokana na kukaa kwenye meditation kwa muda mrefu.
Pia mtu anaweza kuanza na mkao wa kawaida tu na taratibu Lotus pose itakuja.
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
+255 752 970146 KARIBU SANA #foruyou #foryouu #foryoupage❤️❤️ #viral_video #tiktok #tanzania🇹🇿 #tiktok_tanzaniaa🇹🇿 #tiktok_kenya🇰🇪 #islamic_video #christiantiktok
Paul Bonaventure
Wana mabilioni ya streams, mauzo yao ni ya kutisha, na hadi sasa, albamu zao bado zinauzwa kwa kasi ya ajabu.
Sasa twende kwa Michael Jackson.
Wengi wanajua MJ kama mfalme wa pop, lakini wachache wanajua kwamba MJ alikuwa na akili ya kibiashara kupita maelezo.
Sony, moja ya makampuni makubwa ya muziki duniani, ilikuwa inapata mabilioni kutoka kwenye muziki wa The Beatles.
Sasa imagine, MJ akaamua kununua haki za muziki wa The Beatles!
Yaani, kama kampuni ilikuwa inaingiza mapato makubwa kutoka kwa The Beatles, MJ naye akawa anapokea nusu ya kila senti inayotoka kwao.
Yaani, mtu anafanya kazi halafu pesa yake inaingia mfukoni mwako.
Hili jambo lilisababisha Sony kutokuwa na furaha hata kidogo.
Mwanamuziki mmoja kumiliki asilimia 50% ya kampuni inayoshikilia muziki wa dunia? Hili halikuwa jambo dogo.
Wana mabilioni ya streams, mauzo yao ni ya kutisha, na hadi sasa, albamu zao bado zinauzwa kwa kasi ya ajabu.
Sasa twende kwa Michael Jackson.
Wengi wanajua MJ kama mfalme wa pop, lakini wachache wanajua kwamba MJ alikuwa na akili ya kibiashara kupita maelezo.
Sony, moja ya makampuni makubwa ya muziki duniani, ilikuwa inapata mabilioni kutoka kwenye muziki wa The Beatles.
Sasa imagine, MJ akaamua kununua haki za muziki wa The Beatles!
Yaani, kama kampuni ilikuwa inaingiza mapato makubwa kutoka kwa The Beatles, MJ naye akawa anapokea nusu ya kila senti inayotoka kwao.
Yaani, mtu anafanya kazi halafu pesa yake inaingia mfukoni mwako.
Hili jambo lilisababisha Sony kutokuwa na furaha hata kidogo.
Mwanamuziki mmoja kumiliki asilimia 50% ya kampuni inayoshikilia muziki wa dunia? Hili halikuwa jambo dogo.
Paul Bonaventure
Kuna majina mawili makubwa kwenye muziki wa dunia ambayo ukiyasikia, unapaswa kusimama na kusikiliza kwa makini, The Beatles na Michael Jackson.
Haya siyo majina ya kawaida. Haya ni maajabu ya muziki.
Leo nakusimulia storii ya namna muziki ulivyogeuka biashara ya mabilioni, na jinsi msanii mmoja aliyekuwa na akili nyingi kuliko wote alivyoweza kushikilia utajiri wa kundi kubwa zaidi duniani.
The Beatles, kundi la muziki kutoka Uingereza, ndilo kundi lenye mafanikio makubwa zaidi katika historia ya muziki.
Washikaji hawa walikuwa moto wa kuotea mbali. Unajua kuna wakati ngoma zao zilishika nafasi ya kwanza hadi ya tano kwenye Billboard Hot 100 kwa wakati mmoja?
Hili halijawahi kutokea tena mpaka leo.
Ukifika Marekani au Uingereza halafu ukilitaja jina The Beatles, unakuwa umetaja historia ya muziki wa dunia.
Kuna majina mawili makubwa kwenye muziki wa dunia ambayo ukiyasikia, unapaswa kusimama na kusikiliza kwa makini, The Beatles na Michael Jackson.
Haya siyo majina ya kawaida. Haya ni maajabu ya muziki.
Leo nakusimulia storii ya namna muziki ulivyogeuka biashara ya mabilioni, na jinsi msanii mmoja aliyekuwa na akili nyingi kuliko wote alivyoweza kushikilia utajiri wa kundi kubwa zaidi duniani.
The Beatles, kundi la muziki kutoka Uingereza, ndilo kundi lenye mafanikio makubwa zaidi katika historia ya muziki.
Washikaji hawa walikuwa moto wa kuotea mbali. Unajua kuna wakati ngoma zao zilishika nafasi ya kwanza hadi ya tano kwenye Billboard Hot 100 kwa wakati mmoja?
Hili halijawahi kutokea tena mpaka leo.
Ukifika Marekani au Uingereza halafu ukilitaja jina The Beatles, unakuwa umetaja historia ya muziki wa dunia.
Paul Bonaventure
The Beatles walikuwa wanapiga kazi vizuri tu mpaka pale John Lennon alipokutana na Yoko Ono.
Mambo yakabadilika.
Yule mwanamke alikuja na falsafa zake, John akabadilika, ukaribu wa kundi ukatoweka, na mwishowe kundi likasambaratika.
Leo hii ukisoma historia ya The Beatles, jina Yoko Ono linatajwa kama sababu moja wapo ya kuvunjika kwao.
Hii ni dalili ya jinsi mwanamke mmoja anaweza kubadilisha historia ya kundi lenye nguvu zaidi duniani.
Baada ya miaka mingi ya mafanikio, Michael Jackson alikuja na kauli iliyoacha wengi midomo wazi.
Kwenye moja ya mahojiano yake, alisimama hadharani na kusema.
"Tommy Mottola is the devil."
Tommy Mottola alikuwa bosi mkubwa sana ndani ya Sony Music. Sasa kwa nini MJ alisema hivyo?
Kwa nini MJ, ambaye alikuwa anamiliki asilimia 50 ya kampuni hiyo, akaamua kusema hadharani kwamba mmoja wa watu wenye nguvu ndani ya Sony alikuwa shetani?
Hili lilionyesha kwamba ndani ya ulimwengu wa muziki, kulikuwa na nguvu kubwa zaidi ya kawaida.
The Beatles walikuwa wanapiga kazi vizuri tu mpaka pale John Lennon alipokutana na Yoko Ono.
Mambo yakabadilika.
Yule mwanamke alikuja na falsafa zake, John akabadilika, ukaribu wa kundi ukatoweka, na mwishowe kundi likasambaratika.
Leo hii ukisoma historia ya The Beatles, jina Yoko Ono linatajwa kama sababu moja wapo ya kuvunjika kwao.
Hii ni dalili ya jinsi mwanamke mmoja anaweza kubadilisha historia ya kundi lenye nguvu zaidi duniani.
Baada ya miaka mingi ya mafanikio, Michael Jackson alikuja na kauli iliyoacha wengi midomo wazi.
Kwenye moja ya mahojiano yake, alisimama hadharani na kusema.
"Tommy Mottola is the devil."
Tommy Mottola alikuwa bosi mkubwa sana ndani ya Sony Music. Sasa kwa nini MJ alisema hivyo?
Kwa nini MJ, ambaye alikuwa anamiliki asilimia 50 ya kampuni hiyo, akaamua kusema hadharani kwamba mmoja wa watu wenye nguvu ndani ya Sony alikuwa shetani?
Hili lilionyesha kwamba ndani ya ulimwengu wa muziki, kulikuwa na nguvu kubwa zaidi ya kawaida.
Fortunatus Buyobe
JUST IN
One of our esteemed Paratrooper stole a coat with an intercom technology
My condolences to his kith and kins
JUST IN
One of our esteemed Paratrooper stole a coat with an intercom technology
My condolences to his kith and kins
Paul Bonaventure
Nguvu ambazo zilihitaji mtu mwenye akili kali kama MJ kuzipinga.
Kama kuna jambo moja lililomfanya Michael Jackson awe hatari kwa mfumo wa muziki wa dunia, ni kwamba alionekana kama mtu aliyekuwa anaanza kujua siri kubwa.
Alikuwa na pesa, alikuwa na nguvu, alikuwa na haki za muziki wa kundi kubwa zaidi duniani, na zaidi ya yote, alikuwa anajua mambo ambayo wengine hawakutaka yajulikane.
Na hapo ndipo mambo yalipoanza kuwa magumu kwake.
Stori ya The Beatles na Michael Jackson siyo stori ya muziki tu, ni stori ya nguvu, pesa, na mapambano ya umiliki wa muziki duniani.
MJ alikuwa mjanja.
Aliingia kimuziki, akageuza muziki kuwa biashara, akashikilia utajiri wa kundi kubwa kuliko yote duniani.
Lakini mwisho wa siku, mfumo haukupenda hilo.
Je, MJ alikuwa sahihi aliposema "Tommy Mottola is the devil?"
Je, alikuwa amegundua jambo kubwa ambalo wengine walitaka lifichwe?
Historia inabaki na maswali haya...
Nguvu ambazo zilihitaji mtu mwenye akili kali kama MJ kuzipinga.
Kama kuna jambo moja lililomfanya Michael Jackson awe hatari kwa mfumo wa muziki wa dunia, ni kwamba alionekana kama mtu aliyekuwa anaanza kujua siri kubwa.
Alikuwa na pesa, alikuwa na nguvu, alikuwa na haki za muziki wa kundi kubwa zaidi duniani, na zaidi ya yote, alikuwa anajua mambo ambayo wengine hawakutaka yajulikane.
Na hapo ndipo mambo yalipoanza kuwa magumu kwake.
Stori ya The Beatles na Michael Jackson siyo stori ya muziki tu, ni stori ya nguvu, pesa, na mapambano ya umiliki wa muziki duniani.
MJ alikuwa mjanja.
Aliingia kimuziki, akageuza muziki kuwa biashara, akashikilia utajiri wa kundi kubwa kuliko yote duniani.
Lakini mwisho wa siku, mfumo haukupenda hilo.
Je, MJ alikuwa sahihi aliposema "Tommy Mottola is the devil?"
Je, alikuwa amegundua jambo kubwa ambalo wengine walitaka lifichwe?
Historia inabaki na maswali haya...
Paul Bonaventure
Karibu kwenye darasa la Meditation ujifunze na kujua mambo mbalimbali kukuhusu.
Utajifunza namna Meditation inavyo badilisha maisha yako ndani ya muda mfupi na kuongeza uelewa wako wa ndani.
Njoo Inbox nikupe utaratibu wa kujiunga na darasa hili la kipekee.
.
.
Karibu kwenye darasa la Meditation ujifunze na kujua mambo mbalimbali kukuhusu.
Utajifunza namna Meditation inavyo badilisha maisha yako ndani ya muda mfupi na kuongeza uelewa wako wa ndani.
Njoo Inbox nikupe utaratibu wa kujiunga na darasa hili la kipekee.
.
.