AFYA YAKO LEO
2.47K subscribers
14.4K photos
6.17K videos
7 files
16.3K links
Download Telegram
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
FAIDA ZA ZINC Madini ya zinc yana faida nyingi kwa afya ya binadamu. Hapa kuna baadhi ya faida zake muhimu: 1. Kinga ya mwili: Zinc huimarisha mfumo wa kinga, kusaidia mwili kupambana na magonjwa na maambukizi. 2. Uponaji wa vidonda: Zinc ni muhimu katika mchakato wa uponaji wa vidonda, kusaidia ngozi kupona haraka. 3. Afya ya uzazi: Zinc husaidia kuboresha afya ya uzazi kwa wanaume na wanawake, ikiwemo uzalishaji wa mbegu za kiume na kudhibiti mzunguko wa hedhi. 4. Afya ya ngozi: Zinc ni muhimu kwa afya ya ngozi, kusaidia katika matengenezo ya seli za ngozi na kuzuia matatizo kama chunusi. 5. Kudhibiti sukari mwilini: Zinc husaidia kudhibiti kiwango cha sukari mwilini, muhimu kwa watu wenye kisukari. 6. Kuhara: Zinc husaidia kupunguza vifo vinavyosababishwa na kuhara, hasa kwa watoto wadogo. Vyanzo vya asili vya madini ya zinc ni pamoja na nyama, samaki, maharage, karanga, mayai, na vyakula vya baharini. Pia waweza pata Virutubisho vya zinc kwa mfumo wa vidonge ili kufikia kiwango...

View original post
❒ @Jitibu

Veriafya

Spika Mstaafu na Mbunge wa Kongwa, Job Ndugai ameishauri serikali kuangalia upya utaratibu uliopo sasa, katika Hospitali nyingi za Umma kuwa ni lazima Mgonjwa kutoa Tsh. 10,000 kwaajili ya kumuona Daktari.

β€œHivi huu utaratibu wa lazima mgonjwa atoe Tsh. 10,000 kwa ajili ya kumwona daktari, nini Mantiki yake yaani kumwona Mkuu wa Mkoa ni bure kumwona Waziri ni bure kwanini kumwona Daktari ni Tsh. 10,000?” alihoji Ndugai.

Aidha, alisema kama inawezekana utaratibu huo uangaliwe upya, ili kuona viwango hivyo vinapunguzwa kutoa nafuu kwa wagonjwa ambao wamekuwa na uhitaji wa kuwaona madaktari, kwaajili ya Matibabu mbalimbali.
Vijana acheni kuzama chumvini, Saratani ya koo, tumbo, Utumbo mpana na mkundu zitawamaliza..

Last week Ijumaa nilitoa Elimu na Onyo juu ya kuzama chumvini, Nipo na pitia DM vijana wengi wanaulizia dawa..

Ipo hivi,,

Kama wewe unajijua ni mdau mzuri wa Chumvini, nakushahuri neda Hospitali mara moja DM kwangu hakuna Dawa...🫡
❒ @Jitibu

Mapema leo, tumefanya mafunzo ya Ulinzi na Usalama wa Watoto Mtandaoni katika Shule ya Sekondari Kimanga.

Lengo likiwa kuwaongezea uelewa wa kujilinda dhidi ya hatari za mitandao, ikiwemo Ukatili wa Kijinsia na ulinzi wa taarifa binafsi.
Ukiwa na Mke wako...Huwa unafungua Kondom kwa kutumia Nini..?

1. Mkasi
2. Meno
3. Kisu
Kwa kutumia nini..??
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
❒ @Jitibu

Je Kipimo cha mkojo cha Ujauzito huonesha Umri wa Mimba? Sababu 7 za mistari kufifia!
Kipimo huonesha umri wa Mimba,Kipimo cha Mimba cha mkojo,Kipimo cha Mjamzito,Kipimo cha mkojo husoma lini,Mimba ipo kipimo kusoma negative, Kipimo Cha Mimba Cha Kinaonesha lini,Kipimo Cha Mimba Cha husoma lini,Kipimo Cha Mimba Mwanzoni,Mstari Moja Kufifia je ni Mimba,Kipimo Cha Mimba Cha Mkojo,Kipimo Cha Mimba Kutoonesha Mimba,Kipimo Cha Mimba Cha Mkojo wa ahsubuhi na Dr.Mwanyika

Unaweza kujifunza masomo kupitia Instagram
❒ @Jitibu

Msaada wa haraka kwa watoto wanaodhalilishwa mtandaoni.

Wanafunzi wamejifunza namna bora ya kutoa taarifa dhidi ya vitendo vya Ukatili wa Kijinsia hususani udhalilishaji katika vituo vya polisi, madawati ya kijinsia na namba ya dharura 116
❒ @Jitibu

Umuhimu wa kulinda taarifa binafsi.

Wanafunzi wamejifunza kwamba kutokusambaza taarifa zao ni hatua muhimu ya kulinda usalama wao. Hii inawasaidia kuepuka hatari za udhalilishaji, udukuzu, na uhalifu mtandaoni.
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
❒ @Jitibu

β€œWanafunzi tunaweza kutumia mitandao kwa faida .”

Jane James, Mwanafunzi wa kidato cha tatu akizungumzia Programu tumizi wanafunzi wanazoweza kufanya mitahani.