This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
👨🏫 @Jitibu
MAGNETIC BRACELETS Ina health elements 4 ✒️Magnet ✒️Far infrared ✒️Germanium ✒️ Negative ions Ambazo Zina saidia mambo mengi kama: 📌Kuondoa mivimbe 📌Kuboresha mzunguko wa damu 📌Kupunguza sumu na acid mwili Kwa ku neutralize positive ions. 📌Kuponesha majeraha Kwa haraka. UKIACHANA NA FAIDA HIZO PIA NI UREMBO AU UTANASHANI. 0673402024 ZIPO ZA RANGI MBALIMBALI 💥GOLD ELFU 50 💥SILVER ELFU 50 💥COPPER ELFU 60 💥BLACK ELFU 60 Wasiliana nasi kwa 0673402024 Credit: @manasechihoma
MAGNETIC BRACELETS Ina health elements 4 ✒️Magnet ✒️Far infrared ✒️Germanium ✒️ Negative ions Ambazo Zina saidia mambo mengi kama: 📌Kuondoa mivimbe 📌Kuboresha mzunguko wa damu 📌Kupunguza sumu na acid mwili Kwa ku neutralize positive ions. 📌Kuponesha majeraha Kwa haraka. UKIACHANA NA FAIDA HIZO PIA NI UREMBO AU UTANASHANI. 0673402024 ZIPO ZA RANGI MBALIMBALI 💥GOLD ELFU 50 💥SILVER ELFU 50 💥COPPER ELFU 60 💥BLACK ELFU 60 Wasiliana nasi kwa 0673402024 Credit: @manasechihoma
👨🏫 @Jitibu
Ushiriki wa wanaume na wavulana katika mijadala kuhusu hedhi ni njia muhimu ya kuondoa unyanyapaa na kukuza usawa wa kijinsia na kulinda afya ya akili ya wasichana.
Godrick Shango, alipozungumza kwenye Spaces
Ushiriki wa wanaume na wavulana katika mijadala kuhusu hedhi ni njia muhimu ya kuondoa unyanyapaa na kukuza usawa wa kijinsia na kulinda afya ya akili ya wasichana.
Godrick Shango, alipozungumza kwenye Spaces
👨🏫 @Jitibu
“Utii ukizidi unakuwa woga. Woga huzaa unafiki na kujipendekeza, mwishowe ni mauti.” - Mwl. Julius Nyerere
“Utii ukizidi unakuwa woga. Woga huzaa unafiki na kujipendekeza, mwishowe ni mauti.” - Mwl. Julius Nyerere
Miwasho ukeni baada ya mwanaume kumwagia ndani ni hali inayoweza kua imesababishwa na:-
⚠️A.ALEJI YA SHAHAWA
Hali ni adimu,ila ipo.
Yaani mwanamke anakua na aleji na shahawa za mwanaume
Husababisha mwanamke kuhisi miwasho ukeni baada ya tendo,na wakati mwingine husababisha miwasho maeneo mengine ya mwili.
🦠B.Ph-Imbalance.
Shahawa zina bezi,na mazingira ya uke yana asidi.
Sasa ikiwa shahawa za mwanaume zina bezi nyingi kuliko kawaida zikimwagwa ukeni hubadilisha mazingira ya uke,Na hapo ndo mwanamke anapopata miwasho.
🪰C.FANGASI
Inawezekana mwanamke ana fangasi ukeni,ambapo mwanaume anapomwaga shahawa ndani inaamsha na kuongeza ile hali ya kuwashwa.
🥺D.MICHUBUKO
Lakini pia miwasho ukeni baada ya tendo inaweza kua imesababishwa na michubuko ukeni hasa kama mmefanya tendo uke ukiwa mkavu au kulikoa na msuguano mkubwa.
😥E.Aleji na CONDOM/Kilainishi.
Ikiwa mwanaume katumia Condom halafu baada ya tendo ,mwanamke akawa na miwasho ukeni,huenda mwanamke ana eleji na Condom au mafuta...
View original post
⚠️A.ALEJI YA SHAHAWA
Hali ni adimu,ila ipo.
Yaani mwanamke anakua na aleji na shahawa za mwanaume
Husababisha mwanamke kuhisi miwasho ukeni baada ya tendo,na wakati mwingine husababisha miwasho maeneo mengine ya mwili.
🦠B.Ph-Imbalance.
Shahawa zina bezi,na mazingira ya uke yana asidi.
Sasa ikiwa shahawa za mwanaume zina bezi nyingi kuliko kawaida zikimwagwa ukeni hubadilisha mazingira ya uke,Na hapo ndo mwanamke anapopata miwasho.
🪰C.FANGASI
Inawezekana mwanamke ana fangasi ukeni,ambapo mwanaume anapomwaga shahawa ndani inaamsha na kuongeza ile hali ya kuwashwa.
🥺D.MICHUBUKO
Lakini pia miwasho ukeni baada ya tendo inaweza kua imesababishwa na michubuko ukeni hasa kama mmefanya tendo uke ukiwa mkavu au kulikoa na msuguano mkubwa.
😥E.Aleji na CONDOM/Kilainishi.
Ikiwa mwanaume katumia Condom halafu baada ya tendo ,mwanamke akawa na miwasho ukeni,huenda mwanamke ana eleji na Condom au mafuta...
View original post
👨🏫 @Jitibu
Leo ni Siku ya Hedhi Salama 🩸
Elimika Wikiendi tunaungana na wadau wa Afya ya Uzazi kuhimiza mazingira salama yenye heshima na utu kwa wasichana na wanawake.
Tushiriki pamoja kubadili mtazamo, kupaza sauti na kushiriki kuleta suluhisho la kudumu.
Leo ni Siku ya Hedhi Salama 🩸
Elimika Wikiendi tunaungana na wadau wa Afya ya Uzazi kuhimiza mazingira salama yenye heshima na utu kwa wasichana na wanawake.
Tushiriki pamoja kubadili mtazamo, kupaza sauti na kushiriki kuleta suluhisho la kudumu.
👨🏫 @Jitibu
Wasichana wanaokosa taulo za kike wakati wa hedhi hupitia aibu na hofu hali inayowaathiri kisaikolojia.
Ni muhimu kuondoa tozo na kuweka bajeti endelevu ya pedi ili kuwawezesha mabinti kusoma bila vikwazo.
@JenniferKayombo alipozungumza kwenye Spaces.
Wasichana wanaokosa taulo za kike wakati wa hedhi hupitia aibu na hofu hali inayowaathiri kisaikolojia.
Ni muhimu kuondoa tozo na kuweka bajeti endelevu ya pedi ili kuwawezesha mabinti kusoma bila vikwazo.
@JenniferKayombo alipozungumza kwenye Spaces.