AFYA YAKO LEO
2.44K subscribers
13.6K photos
5.86K videos
7 files
16.2K links
Download Telegram
Mada ya kesho ndo hiyo:-

-Mtag mwanzako👌
-Weka Notification ON.🔛
-APUNI patawaka Moto🔥

#afyachapdaktarikiganjanimwako
Usipige PUNYETO
Usipige PUNYETO
Usipige PUNYETO
Usipige PUNYETO
Usipige PUNYETO
Usijichue
Usijichue
Usijichue
Usipige PUNYETO
Usipige PUNYETO
Usipige PUNYETO
Usipige PUNYETO
Usipige PUNYETO

↳ Wewe ni Imara, Usikubali Hisia Zako Zikutawale Kuliko Akili yako,

Kupiga PUNYETO Ni Uvulana , Si Uanaume!

↳ Tafuta Mbadala wa Kufanya Ubongo 🧠 wako Ushughulike Kuliko Kuwaza na Kufikiria Kuhusu PUNYETO, NA VIDEO ZA NGONO....

Madhara yake Ni Makubwa, USIPIGE PUNYETO!

↳ Kama Unahitaji Miongozo, Elimu Na ushauri wa Kisaikolojia, Soma kitabu hiki...👇

https://mr-health-huduma-ya-afya-kiganjani.gr-site.com/
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
@Jitibu

Veriafya

Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili na Mshauri wa Rais kuhusu Masuala ya Afya, Prof. Mohamed Janabi aliulza maswali haya Novemba 23, 2024 ambapo pamoja na mambo mengine alisisitiza umuhimu wa Kutunza Afya kwenye Umri wa ujana ili kupunguza Mateso ya Uzeeni.

Jikague mwenyewe, kwa haya maswali matano, wewe ungefaulu kiasi gani?
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
@Jitibu

JUKWAA LA AFYA | Athari na tiba ya maumivu ya mgongo (Part 1)
Kama hii unaijua Usije APUNI😂

Wahi fasta bado iko juu juu...
#afyachapdaktarikiganjanimwako
ZIFAHAMU FAIDA MUHIMU ZA MLENDA WA BAMIA MWILINI. (OKRA)

↳ Bamia ni jamii ya tunda la kola ambalo jamii hizi zina wingi wa zinki na kumbuka kazi ya zinki ni kuongeza nguvu na stamina kwenye tendo la ndoa,

Huboresha afya za mbegu za uzazi, Maziwa kwa wakina mama wanaonyonyesha na pia kusafisha njia ya mishipa iliyo kulegea.
👇
↳Mlenda wa bamia husaidia kusawazisha kiwango cha tindikali mwilini (neutralize acids).

↳Kama inavyoweza kueleweka miili yetu ilivyoumbwa imewekewa kiwango kwenye kila kitu, kwahiyo ikitokea tindikali ikazidi hupelekea maradhi mbalimbali ikiwemo vidonda vya tumbo.

↳Kama wewe ni mtu mwenye vidonda au hauna vidonda vya tumbo na unataka usije kuvipata, kula kwa wingi bamia, ule mlenda wake unazuia pia Saratani ya tumbo.
👇
↳Kama wewe ni mwanamke na uke wako ni mkavu sana, hivyo kwenye tendo la ndoa unachubuka na kuumia kula Mlenda wa bamia kwa wingii.

↳Ikiwa wewe ni mwanaume na mbegu zako ni nyepesi kama maji, chache, hazina uwezo wakutungisha mimba, Ukipizi zina toka zote nje.

Basi jitahidi kula Mlenda wa bamia pamoja na karanga, korosho wiki mbili tu zaweza kuwa nyingi sana utaona matokeo chanya ambapo zikiingia popote zinatungisha mimba.

↳Supu ya bamia huongeza uteute kwenye maeneo ya maungio ya mifupa yaani joints, hasa kama utakuwa unakula mara kwa mara, Supu, Juice, Mboga au Mlenda.

↳Pia inasaidia kuongeza CD4 na zingine CD8, kama ulikuwa hujui CD8 ni kinga za Saratani ndiyo maana ukila kwa wingi bamia hasa wanawake huwezi kuugua saratani (cancer) ya titi au uzazi (Breast Cancer and Cervical Cancer).

"Cytotoxic T cells expressing cell-surface CD8 are the most powerful effectors in the anticancer immune response and form the backbone of current successful cancer immunotherapies"

NB: NB: Zingatia......
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
@Jitibu

JUKWAA LA AFYA | Athari na tiba ya maumivu ya mgongo (Part 4)
@Jitibu

“Moyo wako ukijawa na shukrani kwa Mungu, tabia na matendo yako vitabadilika.” - Charles Stanley
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
@Jitibu

DOCTOR-ALLY TIBA HALISIA YA MADONDO YA TUMBO(WE KAMA UNASUMBULIWA NA MADONDA YA TUMBO SULIHISHO
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
@Jitibu

Ute mweupe usio na harufu mbaya. Uchafu mweupe ukeni .Tiba ya kutokwa na uchafu mweupe mzito ukeni .
Ute mweupe usio na harufu mbaya
Uchafu mweupe ukeni tiba .Tiba ya kutokwa na uchafu mweupe mzito ukeni . Dawa ya fangasi ya ukeni . Ute mweupe mzito ukeni .Dawa ya kutoa uchafu mweupe ukeni . Kutokwa na uchafu mweupe mzito ukeni . Uchafu mweupe mzito ukeni . ute ute mweupe ukeni . Sababu za kutoka uchafu mweupe ukeni . Tiba ya fangasi ukeni .
Uchafu mweupe ukeni tiba .Tiba ya kutokwa na uchafu mweupe mzito ukeni . Dawa ya fangasi ya ukeni . Ute mweupe mzito ukeni .Dawa ya kutoa uchafu mweupe ukeni . Kutokwa na uchafu mweupe mzito ukeni . Uchafu mweupe mzito ukeni . ute ute mweupe ukeni . Sababu za kutoka uchafu mweupe ukeni . Tiba ya fangasi ukeni .
Uchafu mweupe ukeni tiba .Tiba ya kutokwa na uchafu mweupe mzito ukeni . Dawa ya fangasi ya ukeni . Ute mweupe mzito ukeni .Dawa ya kutoa uchafu mweupe ukeni . Kutokwa na uchafu mweupe mzito ukeni . Uchafu mweupe mzito ukeni . ute ute...