DAR: Jana, Aprili 24 Taasisi ya JamiiAfrica ilizinduliwa rasmi ikichukua nafasi ya iliyokuwa “Jamii Forums”
Uzinduzi huo uliambatana na uzinduzi wa Mpango Mkakati wa Taasisi wa miaka 6 unaoelekeza dira mpya ya kujipanua kiutendaji (operational expansion) ndani na nje ya Tanzania; na katika kuchechemua kuhakikisha wananchi wanapata taarifa sahihi ili kufanya maamuzi sahihi, mamlaka zinazojibu na kuwajibika kwa wananchi na ushirikishwaji wa wananchi katika masuala anuai ya kimaendeleo
JamiiAfrica ambayo pia inasimamia majukwaa ya JamiiForums, JamiiCheck, Stories of Change, Fichua Uovu na JamiiData imenuia kupanua wigo wa kukuza Demokrasia, Uwajibikaji na Utawala Bora kidijitali na nje ya mtandao kwa kushirikiana na Wadau mbalimbali
Soma https://jamii.app/UzinduziJamiiAfrica
#JamiiForums #Rebranding #JamiiAfrica
Uzinduzi huo uliambatana na uzinduzi wa Mpango Mkakati wa Taasisi wa miaka 6 unaoelekeza dira mpya ya kujipanua kiutendaji (operational expansion) ndani na nje ya Tanzania; na katika kuchechemua kuhakikisha wananchi wanapata taarifa sahihi ili kufanya maamuzi sahihi, mamlaka zinazojibu na kuwajibika kwa wananchi na ushirikishwaji wa wananchi katika masuala anuai ya kimaendeleo
JamiiAfrica ambayo pia inasimamia majukwaa ya JamiiForums, JamiiCheck, Stories of Change, Fichua Uovu na JamiiData imenuia kupanua wigo wa kukuza Demokrasia, Uwajibikaji na Utawala Bora kidijitali na nje ya mtandao kwa kushirikiana na Wadau mbalimbali
Soma https://jamii.app/UzinduziJamiiAfrica
#JamiiForums #Rebranding #JamiiAfrica
Mdau, kuna ulazima wa mtu kupokea simu akiwa anakula?
Mtu asipopokea simu yako akakwambia alikuwa anakula utamuelewa?
Mjadala https://jamii.app/TableManners
#JamiiAfrica #Maisha #LifeStyle
Mtu asipopokea simu yako akakwambia alikuwa anakula utamuelewa?
Mjadala https://jamii.app/TableManners
#JamiiAfrica #Maisha #LifeStyle
Akihutubia Taifa, Rais Samia Suluhu amesema Kamwe falsafa ya 4R haiwezi kuwa kisingizio cha kuvunja Sheria au cha kujenga mazingira yanayohatarisha amani, utulivu na usalama wa Nchi
Amesema "Demokrasia yetu imeendelea kukua na kuimarika hususani kupitia falsafa yetu ya 4R, ambayo itaendelea kuwa nyenzo muhimu ya kukuza Ushiriki na Ushirikishwaji wa Wananchi kwenye masuala muhimu kwa mustakabali wa nchi yetu"
Ameongeza "Hata hivyo nataka kusisitiza kwamba, kutekelezwa kwa falsafa ya 4R kunaendana sambamba na kuzingatiwa kwa Katiba na Sheria za Nchi"
Soma https://jamii.app/HotubaYaRais
#JamiiAfrica #Democracy #Governance #JamiiForums
Amesema "Demokrasia yetu imeendelea kukua na kuimarika hususani kupitia falsafa yetu ya 4R, ambayo itaendelea kuwa nyenzo muhimu ya kukuza Ushiriki na Ushirikishwaji wa Wananchi kwenye masuala muhimu kwa mustakabali wa nchi yetu"
Ameongeza "Hata hivyo nataka kusisitiza kwamba, kutekelezwa kwa falsafa ya 4R kunaendana sambamba na kuzingatiwa kwa Katiba na Sheria za Nchi"
Soma https://jamii.app/HotubaYaRais
#JamiiAfrica #Democracy #Governance #JamiiForums
DODOMA: Rais Samia Suluhu akilihutubia Taifa, leo Aprili 25, 2025 kuelekea Miaka 61 ya Muungano, amesema Serikali itafanya kila iwezalo kuhakikisha Uchaguzi unafanyika kwenye Mazingira ya Utulivu na Amani, katika kipindi chote cha matayarisho hadi wakati wa Uchaguzi
Amesisitiza "Kamwe tusiruhusu Uchaguzi huu kuwa chanzo cha Migogoro, Chuki na Mivutano na uvunjifu wa Amani ndani ya Chama, baina ya Vyama au Nchini kwa ujumla."
Ameongeza kuwa "Niseme kuwa hakuna aliye juu ya Sheria na wote tunatakiwa kuendesha shughuli zetu za Kisiasa tukizingatia kuwa Amani na Usalama wa Nchi ndio kipaumbele cha kwanza."
Soma https://jamii.app/HotubaYaRais
#UchaguziMkuu2025 #Kuelekea2025 #JamiiAfrica #JamiiForums #Demokrasia
Amesisitiza "Kamwe tusiruhusu Uchaguzi huu kuwa chanzo cha Migogoro, Chuki na Mivutano na uvunjifu wa Amani ndani ya Chama, baina ya Vyama au Nchini kwa ujumla."
Ameongeza kuwa "Niseme kuwa hakuna aliye juu ya Sheria na wote tunatakiwa kuendesha shughuli zetu za Kisiasa tukizingatia kuwa Amani na Usalama wa Nchi ndio kipaumbele cha kwanza."
Soma https://jamii.app/HotubaYaRais
#UchaguziMkuu2025 #Kuelekea2025 #JamiiAfrica #JamiiForums #Demokrasia
Mdau wa JamiiForums.com anadai utaratibu wa kuingia katika Stendi ya Mabasi ya Kigoma unaofahamika ni kulipia Tsh. 200 kwa Mtu ambaye hana Tiketi ila wahusika wanadai imepanda hadi kuwa Tsh. 300, na ukitoa hela kubwa Mfano Tsh. 500 au 1,000 hupewi chenji. Wahusika Wanajizungusha kwa kuwa wanajua utaondoka na kuiacha, lakini ukikomaa wanakupa “bablish” za kutafuna ili kufidia.
Aidha, mdau amedai kuwa Mgambo wamekuwa na tabia ya kuchelewesha Abiria kuingia ndani ya Stendi hiyo kupanda mabasi, ili kupata Kamisheni ya Bodaboda anapomkimbiza Mtu mzani kuifuata gari
Ametoa wito kwa Serikali kufuatilia na kushughulikia changamoto katika Stendi hiyo
Soma https://jamii.app/ChenjiKigomaBablish
#JamiiForums #Accountability #Uwajibikaji #HudumaZaKijamii #JamiiAfrica #ServiceDelivery
Aidha, mdau amedai kuwa Mgambo wamekuwa na tabia ya kuchelewesha Abiria kuingia ndani ya Stendi hiyo kupanda mabasi, ili kupata Kamisheni ya Bodaboda anapomkimbiza Mtu mzani kuifuata gari
Ametoa wito kwa Serikali kufuatilia na kushughulikia changamoto katika Stendi hiyo
Soma https://jamii.app/ChenjiKigomaBablish
#JamiiForums #Accountability #Uwajibikaji #HudumaZaKijamii #JamiiAfrica #ServiceDelivery
Mwembe huo ulipandwa kwa pamoja na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Mzee Abeid Amani Karume na ukapewa jina la "Mwembe wa Muungano"
Udongo uliochanganywa pamoja na vifaa vilivyotumika wakati wa tukio la Muungano ulihifadhiwa katika Makumbusho ya Taifa. Udongo kutoka Zanzibar ulitolewa Kizimbani, Unguja huku ule wa Tanganyika ukitolewa Jijini Dar es Salaam
Hadi sasa, Mwembe huo bado upo katika Viwanja vya Ikulu.
Fahamu zaidi https://jamii.app/MwembeIkulu
#JamiiAfrica #JamiiForums #JFKumbukizi
Udongo uliochanganywa pamoja na vifaa vilivyotumika wakati wa tukio la Muungano ulihifadhiwa katika Makumbusho ya Taifa. Udongo kutoka Zanzibar ulitolewa Kizimbani, Unguja huku ule wa Tanganyika ukitolewa Jijini Dar es Salaam
Hadi sasa, Mwembe huo bado upo katika Viwanja vya Ikulu.
Fahamu zaidi https://jamii.app/MwembeIkulu
#JamiiAfrica #JamiiForums #JFKumbukizi
MWANZA: Mdau aliyejitambulisha kuwa ni Mkazi wa Kitongoji cha Nyaruhama, Kijiji cha Nyangomango, Kata ya Usagara Wilayani Misungwi anadai kuna changamoto ya uharibifu wa mazingira eneo hilo unaochangiwa na utaratibu mbovu wa uchimbaji moramu
Anadai mashimo hayo wakati wa mvua yanajaa maji, pia kuna utamaduni wa kulipua mawe kwa baruti maeneo haya bila kufuata utaratibu hali ambayo ni hatari pia kwa Wananchi
Anatoa wito kwa Mamlaka za ngazi za juu kufuatilia changamoto hiyo ambayo anadai inaendana na mazingira ya uwepo wa Rushwa
Soma https://jamii.app/UsagaraArdhi
#JamiiForums #ClimateChange #Accountability #Uwajibikaji #JFMdau2025
Anadai mashimo hayo wakati wa mvua yanajaa maji, pia kuna utamaduni wa kulipua mawe kwa baruti maeneo haya bila kufuata utaratibu hali ambayo ni hatari pia kwa Wananchi
Anatoa wito kwa Mamlaka za ngazi za juu kufuatilia changamoto hiyo ambayo anadai inaendana na mazingira ya uwepo wa Rushwa
Soma https://jamii.app/UsagaraArdhi
#JamiiForums #ClimateChange #Accountability #Uwajibikaji #JFMdau2025
Mtanzania Juma Ally Maganga (45) aliyeshikiliwa Nchini Sudan Kusini akituhumiwa kugonga mtu na kusababisha kifo chake Februari 2025 amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu gerezani ambacho pia kinaweza kuongezeka kama hataweza kulipa faini ndani ya siku 14 tokea siku ilipotolewa hukumu ambayo ni Aprili 23, 2025
Awali, mke wa Maganga, Rehema Mongi (38) alisema aliyegongwa alikuwa akiendesha Pikipiki, alifariki papo hapo na kwamba Familia ya marehemu ilihitaji ilipwe faini ya Tsh. Milioni 72 ili ikubali mtuhumiwa aachiwe
Februari 2025, JamiiForums iliwasiliana na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki ambayo ilisema inafuatilia kuhusu Mtanzania huyo kupitia Idara ya Afrika kwa karibu na Ubalozi uliopo Kampala kwa kuwa hakuna uwakilishi upande wa Sudani Kusini
Soma https://jamii.app/AllyMgangaUpdates
#JamiiForums
Awali, mke wa Maganga, Rehema Mongi (38) alisema aliyegongwa alikuwa akiendesha Pikipiki, alifariki papo hapo na kwamba Familia ya marehemu ilihitaji ilipwe faini ya Tsh. Milioni 72 ili ikubali mtuhumiwa aachiwe
Februari 2025, JamiiForums iliwasiliana na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki ambayo ilisema inafuatilia kuhusu Mtanzania huyo kupitia Idara ya Afrika kwa karibu na Ubalozi uliopo Kampala kwa kuwa hakuna uwakilishi upande wa Sudani Kusini
Soma https://jamii.app/AllyMgangaUpdates
#JamiiForums
DAR: Mdau wa JamiiForums.com anadai ni zaidi ya miezi sita tangu ujenzi huo uanze lakini hawaoni jitihada za kuharakisha kipande hicho kukamilika ili kuwezesha shughuli nyingine kuendelea
Anatoa wito kwa mamlaka kufuatilia kwa ukaribu changamoto zinazojitokeza ili ujenzi ukamilike kwa kuwa imekuwa ni kero kubwa inayosababisha shughuli nyingi za kiuchumi kukwama
Soma https://jamii.app/MwendokasiKarume
#JamiiForums #Accountability
Anatoa wito kwa mamlaka kufuatilia kwa ukaribu changamoto zinazojitokeza ili ujenzi ukamilike kwa kuwa imekuwa ni kero kubwa inayosababisha shughuli nyingi za kiuchumi kukwama
Soma https://jamii.app/MwendokasiKarume
#JamiiForums #Accountability
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DODOMA: Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Palamagamba Kabudi akizungumzia historia ya Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere amesema aliona mbali juu ya uwezo wa Wanawake katika masuala ya Utawala na aliamini ipo siku Tanzania itakuwa na Rais Mwanamke
Amesema hayo katika uzinduzi wa Kitabu cha “Mwalimu Julius Kambarage Nyerere: Photographic Journey” Ikulu Chamwino, leo Aprili 26, 2025
Soma https://jamii.app/NyerereKitabuUzinduzi
#JamiiForums #Democracy #Siasa
Amesema hayo katika uzinduzi wa Kitabu cha “Mwalimu Julius Kambarage Nyerere: Photographic Journey” Ikulu Chamwino, leo Aprili 26, 2025
Soma https://jamii.app/NyerereKitabuUzinduzi
#JamiiForums #Democracy #Siasa
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
PEMBA: Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Taifa, Othman Masoud Othman amesema ipo haja ya kufanyika kwa mabadiliko makubwa ya mfumo wa Muungano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ili Nchi zote mbili za washirika zipate haki sawa
Amesema hayo leo Aprili 26, 2025 katika Ukumbi wa Samael Chakechake katika Kongamano Maalumu la Maadhimisho ya Miaka 61 ya Muungano
Othman ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar ameongeza kuwa "Tulianza kulalamikia mambo 11 ya Muungano hapo awali lakini sasa tunalalamikia mambo 41 bila wenzetu kujali lolote huku mambo yote hayo yakinufaisha upande wa pili wa Tanzania Bara."
Soma https://jamii.app/ACTKuhusuMuungano
#JFMatukio #JamiiForums
Amesema hayo leo Aprili 26, 2025 katika Ukumbi wa Samael Chakechake katika Kongamano Maalumu la Maadhimisho ya Miaka 61 ya Muungano
Othman ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar ameongeza kuwa "Tulianza kulalamikia mambo 11 ya Muungano hapo awali lakini sasa tunalalamikia mambo 41 bila wenzetu kujali lolote huku mambo yote hayo yakinufaisha upande wa pili wa Tanzania Bara."
Soma https://jamii.app/ACTKuhusuMuungano
#JFMatukio #JamiiForums
Safari yako ya Maisha ni ya kipekee, wengine hawapaswi kuielewa au kuikubali
Cha muhimu ni kuendelea mbele kwa kuzingatia malengo yako
#JamiiForums #JamiiAfrica #Maisha
Cha muhimu ni kuendelea mbele kwa kuzingatia malengo yako
#JamiiForums #JamiiAfrica #Maisha