Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DODOMA: Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson, amesema maoni yaliyotolewa na baadhi ya Wabunge wakati wa mjadala wa Bajeti za Wizara ya Mambo ya Ndani na Wizara ya Maendeleo ya Jamii hayawakilishi msimamo rasmi wa Bunge hilo
Kauli hiyo inagusa baadhi ya kauli zilizotolewa kuhusu Wanaharakati kutoka Kenya na Uganda ambao waliingia Nchini kufuatilia kesi dhidi ya Mwenyekiti wa #CHADEMA Taifa, Tundu Lissu ambapo baadhi ya Wabunge waliooneshwa kukerwa ujio wa Wanaharakati hao
Soma https://jamii.app/MaelezoYaSpika
#JamiiForums #Siasa #Diplomacy #Kuelekea2025 #Democracy #JamiiAfrica
Kauli hiyo inagusa baadhi ya kauli zilizotolewa kuhusu Wanaharakati kutoka Kenya na Uganda ambao waliingia Nchini kufuatilia kesi dhidi ya Mwenyekiti wa #CHADEMA Taifa, Tundu Lissu ambapo baadhi ya Wabunge waliooneshwa kukerwa ujio wa Wanaharakati hao
Soma https://jamii.app/MaelezoYaSpika
#JamiiForums #Siasa #Diplomacy #Kuelekea2025 #Democracy #JamiiAfrica
KENYA: Rais #WilliamRuto ameomba radhi kwa Nchi jirani za Uganda na Tanzania, endapo kuna migogoro au sintofahamu ambazo hazijatatuliwa na zinaweza kudhoofisha uhusiano wa kidiplomasia kati ya Nchi hizo
Akizungumza katika Hafla ya Kitaifa ya Maombi, Rais Ruto amesisitiza kuwa #Kenya ipo katika safari ya 'kufufuka' na kujijenga upya na kuhimiza Wakenya kubadili mtazamo na kuwa na roho ya upatanisho na mshikamano, akieleza Serikali yake inalenga kuunganisha Taifa na kulijenga kwa pamoja
Amesema "Nawaomba tuache lawama na badala yake tujenge Madaraja ya maridhiano na umoja yatakayoiinua Nchi yetu kuwa bora zaidi,”
Soma https://jamii.app/RutoAombaRadhi
#JamiiAfrica #JamiiForums #Accountability #UtawalaBora #Diplomacy
Akizungumza katika Hafla ya Kitaifa ya Maombi, Rais Ruto amesisitiza kuwa #Kenya ipo katika safari ya 'kufufuka' na kujijenga upya na kuhimiza Wakenya kubadili mtazamo na kuwa na roho ya upatanisho na mshikamano, akieleza Serikali yake inalenga kuunganisha Taifa na kulijenga kwa pamoja
Amesema "Nawaomba tuache lawama na badala yake tujenge Madaraja ya maridhiano na umoja yatakayoiinua Nchi yetu kuwa bora zaidi,”
Soma https://jamii.app/RutoAombaRadhi
#JamiiAfrica #JamiiForums #Accountability #UtawalaBora #Diplomacy
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
ZANZIBAR: Jeshi la Polisi limesema linafanya uchunguzi kuhusu kifo cha Sheikh Jabir Haidar Jabir Mkazi wa Fuoni ambaye Mwili wake uliokotwa eneo la Kizimbani Bumbwisudi Mkoa wa Mjini Magharibi ukiwa hauna jeraha wala hakukuwa na dalili za vurugu
Mwili huo uliokotwa Usiku wa kuamkia Mei 28, 2025 ambapo Kamanda wa Polisi Mkoa, Richard Mchomvu, amesema umehifadhiwa Hospitali ya Rufaa ya Mnazi Mmoja kwa ajili ya uchunguzi zaidi
Amesema Marehemu alikuwa anaishi na Kijana aliyekuwa akimsaidia na Mei 27, 2025 Saa 12 Jioni Sheikh alitembelewa na Vijana kadhaa ambapo aliondoka nao Saa 2:30 Usiku na baadaye akapatikana akiwa amefariki
Soma https://jamii.app/SheikhJabirHaidar
#JamiiForums #HumanRights #JamiiAfrica
Mwili huo uliokotwa Usiku wa kuamkia Mei 28, 2025 ambapo Kamanda wa Polisi Mkoa, Richard Mchomvu, amesema umehifadhiwa Hospitali ya Rufaa ya Mnazi Mmoja kwa ajili ya uchunguzi zaidi
Amesema Marehemu alikuwa anaishi na Kijana aliyekuwa akimsaidia na Mei 27, 2025 Saa 12 Jioni Sheikh alitembelewa na Vijana kadhaa ambapo aliondoka nao Saa 2:30 Usiku na baadaye akapatikana akiwa amefariki
Soma https://jamii.app/SheikhJabirHaidar
#JamiiForums #HumanRights #JamiiAfrica
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
MAREKANI: Msanii wa Kenya, Bien-Aime Baraza "Bien" akihojiwa katika Kipindi cha Breakfast Club Power amezungumzia mambo yanayoendelea katika Nchi yake akitaja uwepo wa matukio ya Utekaji, Upinzani kuminywa na nafasi ya Vijana katika kuiwajibisha Serikali
Amesema kumekuwa na Uhuru wa Kujieleza lakini hakuna Uhuru baada ya Kujieleza na kwamba ana Imani kubwa kwa Vijana wa sasa kuliko Viongozi lakini pamoja na hayo bado anajivunia kuishi Kenya kwa kuwa ni Nchi nzuri na ina mambo mengi mazuri
Soma https://jamii.app/BienInterview
#JamiiForums #Governance #JamiiAfrica #Democracy #Entertainment #FreedomOfSpeech
Amesema kumekuwa na Uhuru wa Kujieleza lakini hakuna Uhuru baada ya Kujieleza na kwamba ana Imani kubwa kwa Vijana wa sasa kuliko Viongozi lakini pamoja na hayo bado anajivunia kuishi Kenya kwa kuwa ni Nchi nzuri na ina mambo mengi mazuri
Soma https://jamii.app/BienInterview
#JamiiForums #Governance #JamiiAfrica #Democracy #Entertainment #FreedomOfSpeech
Katika Mkutano Mkuu wa 14 wa Afrika wa Jukwaa la Utawala wa Mtandao (AfIGF) leo Mei 29, 2025, JamiiAfrica inashiriki kwenye Mjadala unaohusu 'Nani Anaongoza? Mashindano ya Uzingatiaji wa Haki za Kidigitali kati ya Nchi 27 za Afrika"
Wadau wa Mjadala huu watajadili mwenendo na matokeo ya Ripoti ya Haki za Kidigitali na Ujumuishaji Barani Afrika (LONDA) ya Paradigm Initiative, pamoja na namna Watetezi wa Haki za Kidigitali wanaweza kupima kiwango cha uzingatiaji wa Nchi za Afrika kwenye Tamko la Tume ya Afrika kuhusu Kanuni za Uhuru wa Kujieleza na Upatikanaji wa Taarifa.
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #UadilifuWaTaarifa #MaendeleoYaKidijitali #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UpotoshajiWaTaarifa #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
Wadau wa Mjadala huu watajadili mwenendo na matokeo ya Ripoti ya Haki za Kidigitali na Ujumuishaji Barani Afrika (LONDA) ya Paradigm Initiative, pamoja na namna Watetezi wa Haki za Kidigitali wanaweza kupima kiwango cha uzingatiaji wa Nchi za Afrika kwenye Tamko la Tume ya Afrika kuhusu Kanuni za Uhuru wa Kujieleza na Upatikanaji wa Taarifa.
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #UadilifuWaTaarifa #MaendeleoYaKidijitali #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UpotoshajiWaTaarifa #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
Kuanzia leo Mei 29 hadi 31, 2025, JamiiAfrica inashiriki katika Mkutano wa 14 wa Afrika wa Utawala wa Mtandao (AfIGF2025) unaofanyika Dar es Salaam katika Ukumbi wa JNICC.
Mkutano huu unawakutanisha wadau mbalimbali kutoka Serikalini, Sekta binafsi, Asasi za Kiraia na Vijana ili kujadili kwa pamoja mustakabali wa Maendeleo ya Kidigitali Barani Afrika
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #UadilifuWaTaarifa #MaendeleoYaKidijitali #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UpotoshajiWaTaarifa #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
Mkutano huu unawakutanisha wadau mbalimbali kutoka Serikalini, Sekta binafsi, Asasi za Kiraia na Vijana ili kujadili kwa pamoja mustakabali wa Maendeleo ya Kidigitali Barani Afrika
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #UadilifuWaTaarifa #MaendeleoYaKidijitali #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UpotoshajiWaTaarifa #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
Mkutano wa Jukwaa la Utawala wa Mtandaoni Afrika umeanza leo, Mei 29, 2025 ambapo JamiiAfrica itashiriki majadiliano kuhusu "Kuimarisha Uadilifu wa taarifa Mtandaoni", kuanzia Saa 3 hadi 4 asubuhi, katika chumba cha Bagamoyo
Majadiliano haya yanalenga kujadili changamoto za upotoshaji wa taarifa, mbinu za kujenga Mifumo ya taarifa iliyo thabiti na kuhamasisha ushirikiano wa Kimkakati kati ya wadau wote muhimu
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #UadilifuWaTaarifa #MaendeleoYaKidijitali #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UpotoshajiWaTaarifa #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
Majadiliano haya yanalenga kujadili changamoto za upotoshaji wa taarifa, mbinu za kujenga Mifumo ya taarifa iliyo thabiti na kuhamasisha ushirikiano wa Kimkakati kati ya wadau wote muhimu
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #UadilifuWaTaarifa #MaendeleoYaKidijitali #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UpotoshajiWaTaarifa #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Mbunge Halima Mdee ameeleza kuwa tuhuma dhidi ya Mwenyekiti wa #CHADEMA Taifa, #TunduLissu, kuhusu uhaini anashindwa kuzungumzia kwa kuwa anaamini kama ni kauli pekee za Kisiasa ndio zinahusika kwenye makosa ya Uhaini basi Wanasiasa wengi watakuwa matatizoni
Amesema hayo alipohojiwa na Kituo cha BBC ambapo ameeleza hafurahishwi na mgawanyiko unaoendelea ndani ya CHADEMA, kuhusu Kauli ya ‘No Reforms No Election’ amesema hana cha kuzungumza kwa kuwa hakuwa mshiriki wa mchakato wa Sera hiyo
Soma https://jamii.app/MdeeInterview
#JamiiForums #Siasa #Democracy #Kuelekea2025 #UchaguziMkuu2025
Amesema hayo alipohojiwa na Kituo cha BBC ambapo ameeleza hafurahishwi na mgawanyiko unaoendelea ndani ya CHADEMA, kuhusu Kauli ya ‘No Reforms No Election’ amesema hana cha kuzungumza kwa kuwa hakuwa mshiriki wa mchakato wa Sera hiyo
Soma https://jamii.app/MdeeInterview
#JamiiForums #Siasa #Democracy #Kuelekea2025 #UchaguziMkuu2025
Tabani Moyo kutoka The Media Institute of Southern Africa (MISA) amesema mbali na kuwa sehemu ya mnyororo wa Wahakiki wa Taarifa (Tact-Checkers), wameweka pia Msisitizo wa 'Kudemokrasisha' zoezi la Uhakiki wa Taarifa, kwa kuwajumuisha Wanahabari Wananchi (Citizen Journalists) na kuwapatia Mafunzo ya Kuchambua na Kuhakiki Taarifa kabla ya Uchaguzi.
Ameongeza pia wamegundua kwamba, bila Kushirikisha Majukwaa ya Kidijitali katika mjadala kuhusu Kanuni na Mifumo yao, wanakuwa wameacha pengo linaloweza Kuchochea Upotoshaji wa Taarifa
Kufuatilia bofya https://jamii.app/AfIGF2025Day1
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #UadilifuWaTaarifa #MaendeleoYaKidijitali #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UpotoshajiWaTaarifa #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
Ameongeza pia wamegundua kwamba, bila Kushirikisha Majukwaa ya Kidijitali katika mjadala kuhusu Kanuni na Mifumo yao, wanakuwa wameacha pengo linaloweza Kuchochea Upotoshaji wa Taarifa
Kufuatilia bofya https://jamii.app/AfIGF2025Day1
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #UadilifuWaTaarifa #MaendeleoYaKidijitali #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UpotoshajiWaTaarifa #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
JamiiAfrica imeshiriki kwenye Mjadala unaohusu Kujenga Utamaduni wa Usalama wa Kidigitali katika Jamii zilizotengwa, kwenye Mkutano Mkuu wa 14 wa Afrika wa Utawala wa Mtandao (AfIGF2025) unaofanyika katika Ukumbi wa JNICC.
Mjadala huu ulijadili zaidi ya uelewa wa kinadharia hadi utekelezaji wa vitendo kuhusu Usalama wa Kimtandao.
Washiriki waliangazia mikakati bunifu, mipango inayoongozwa na Jamii, na zana zinazoweza kutumika kwa vitendo ambazo zimetengenezwa ili kuingiza Usalama wa Kidigitali katika maisha ya kila siku ya jamii zisizohudumiwa ipasavyo.
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #UadilifuWaTaarifa #MaendeleoYaKidijitali #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UpotoshajiWaTaarifa #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
Mjadala huu ulijadili zaidi ya uelewa wa kinadharia hadi utekelezaji wa vitendo kuhusu Usalama wa Kimtandao.
Washiriki waliangazia mikakati bunifu, mipango inayoongozwa na Jamii, na zana zinazoweza kutumika kwa vitendo ambazo zimetengenezwa ili kuingiza Usalama wa Kidigitali katika maisha ya kila siku ya jamii zisizohudumiwa ipasavyo.
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #UadilifuWaTaarifa #MaendeleoYaKidijitali #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UpotoshajiWaTaarifa #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tech and Media Convergency (TMC), Asha Abinallah amesema tukiangalia suala la Uadilifu wa Taarifa kwa ujumla, ni jambo moja lakini hali hubadilika kabisa linapokuja kwenye Uadilifu wa Taarifa zinazohusiana na Uchaguzi
Ameongeza kuwa, Sifa au Vigezo vya kuamua kama taarifa ni Sahihi kwenye muktadha wa kijamii vinaweza kuendana na hali ya kawaida, lakini pindi taarifa hizo zinapohusiana moja kwa moja na Masuala ya Kisiasa, hali hubadilika
Kufuatilia bofya https://jamii.app/AfIGF2025Day1
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #UadilifuWaTaarifa #MaendeleoYaKidijitali #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UpotoshajiWaTaarifa #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
Ameongeza kuwa, Sifa au Vigezo vya kuamua kama taarifa ni Sahihi kwenye muktadha wa kijamii vinaweza kuendana na hali ya kawaida, lakini pindi taarifa hizo zinapohusiana moja kwa moja na Masuala ya Kisiasa, hali hubadilika
Kufuatilia bofya https://jamii.app/AfIGF2025Day1
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #UadilifuWaTaarifa #MaendeleoYaKidijitali #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UpotoshajiWaTaarifa #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
Naibu Waziri wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhandisi Maryprisca Mahundi anasema “Jukwaa la Utawala wa Intaneti kwa Vijana wa Afrika ni muhimu kwa mazungumzo, ubunifu, na utetezi, linaakisi roho ya kizazi ambacho si tu kinajua kutumia teknolojia, bali pia kina malengo kizazi chenye maono, sauti, na maadili yanayohitajika kuunda mustakabali wa mazingira ya kidijitali ya Afrika.”
Ameongeza “Kuwawezesha Vijana wa Afrika si jukumu la Serikali peke yake, Jukwaa linahitaji ushirikiano wa Serikali, Sekta Binafsi, Taasisi za Elimu ya Juu, na Jamii ya Kiraia. Kwa pamoja, lazima tuhahakikishe Vijana wanapata elimu, miundombinu, maarifa ya kidijitali, na huduma za intaneti zinazoweza kumuduwa.
Soma https://jamii.app/AfIGF2025Day1
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #UadilifuWaTaarifa #MaendeleoYaKidijitali #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UpotoshajiWaTaarifa #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
Ameongeza “Kuwawezesha Vijana wa Afrika si jukumu la Serikali peke yake, Jukwaa linahitaji ushirikiano wa Serikali, Sekta Binafsi, Taasisi za Elimu ya Juu, na Jamii ya Kiraia. Kwa pamoja, lazima tuhahakikishe Vijana wanapata elimu, miundombinu, maarifa ya kidijitali, na huduma za intaneti zinazoweza kumuduwa.
Soma https://jamii.app/AfIGF2025Day1
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #UadilifuWaTaarifa #MaendeleoYaKidijitali #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UpotoshajiWaTaarifa #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
Naibu Waziri wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhandisi Maryprisca Mahundi anasema “Jukwaa la Utawala wa Intaneti kwa Vijana wa Afrika ni muhimu kwa mazungumzo, ubunifu, na utetezi, linaakisi roho ya kizazi ambacho si tu kinajua kutumia teknolojia, bali pia kina malengo kizazi chenye maono, sauti, na maadili yanayohitajika kuunda mustakabali wa mazingira ya kidijitali ya Afrika.”
Ameongeza “Kuwawezesha Vijana wa Afrika si jukumu la Serikali peke yake, Jukwaa linahitaji ushirikiano wa Serikali, Sekta Binafsi, Taasisi za Elimu ya Juu, na Jamii ya Kiraia. Kwa pamoja, lazima tuhahakikishe Vijana wanapata elimu, miundombinu, maarifa ya kidijitali, na huduma za intaneti wanazoweza kuzimudu"
Soma https://jamii.app/AfIGF2025Day1
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #UadilifuWaTaarifa #MaendeleoYaKidijitali #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UpotoshajiWaTaarifa #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
Ameongeza “Kuwawezesha Vijana wa Afrika si jukumu la Serikali peke yake, Jukwaa linahitaji ushirikiano wa Serikali, Sekta Binafsi, Taasisi za Elimu ya Juu, na Jamii ya Kiraia. Kwa pamoja, lazima tuhahakikishe Vijana wanapata elimu, miundombinu, maarifa ya kidijitali, na huduma za intaneti wanazoweza kuzimudu"
Soma https://jamii.app/AfIGF2025Day1
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #UadilifuWaTaarifa #MaendeleoYaKidijitali #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UpotoshajiWaTaarifa #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
Asha Abinallah (TMC): Tujiulize, ni nani anatafsiri maana ya ‘upotoshaji wa taarifa’? Hii ni hoja nyeti sana tunapozungumzia uadilifu wa taarifa wakati wa Uchaguzi
Kwasababu hata kama tutafafanua kwa Jamii nini maana ya 'disinformation', bado changamoto inaweza kubaki kwa sababu ya tafsiri tofauti, hasa pale ambapo maslahi ya Kisiasa yanahusika. Kile ambacho mtu mmoja anaona kama upotoshaji, mwingine anaweza kuona kama ‘msimamo wa Kisiasa’ au ‘uhuru wa kutoa maoni’
Hivyo, tunahitaji si tu kufafanua maana ya disinformation, bali pia kuwa na muktadha wa pamoja kuhusu nani anayepewa mamlaka ya kuamua, na kwa kutumia vigezo gani.
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #UadilifuWaTaarifa #MaendeleoYaKidijitali #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UpotoshajiWaTaarifa #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
Kwasababu hata kama tutafafanua kwa Jamii nini maana ya 'disinformation', bado changamoto inaweza kubaki kwa sababu ya tafsiri tofauti, hasa pale ambapo maslahi ya Kisiasa yanahusika. Kile ambacho mtu mmoja anaona kama upotoshaji, mwingine anaweza kuona kama ‘msimamo wa Kisiasa’ au ‘uhuru wa kutoa maoni’
Hivyo, tunahitaji si tu kufafanua maana ya disinformation, bali pia kuwa na muktadha wa pamoja kuhusu nani anayepewa mamlaka ya kuamua, na kwa kutumia vigezo gani.
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #UadilifuWaTaarifa #MaendeleoYaKidijitali #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UpotoshajiWaTaarifa #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
Innocent Mangu kutoka JamiiAfrica amesema Mwaka 2024 JamiiAfrica kupitia Jukwaa la JamiiCheck wamewajengea uwezo Wanahabari zaidi ya 300 kuhusu masuala mbalimbali ya Ulinzi wa Kidigitali na Uthibitishaji wa Taarifa, aidha amesema JamiiAfrica ina ushirikiano na taasisi mbalimbali za Serikali, CSO's, Redio pamoja na washirika wenye maono yanayofanana
Kufuatilia bofya https://jamii.app/AfIGF2025Day1
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #UadilifuWaTaarifa #MaendeleoYaKidijitali #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UpotoshajiWaTaarifa #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
Kufuatilia bofya https://jamii.app/AfIGF2025Day1
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #UadilifuWaTaarifa #MaendeleoYaKidijitali #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UpotoshajiWaTaarifa #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
Innocent Mangu kutoka JamiiAfrica amesema kupitia Jukwaa lao la Uhakiki wa taarifa la #JamiiCheck, wamejipanga kuhakikisha wanashirikiana na Wananchi ili wapate taarifa sahihi muda wote, zitakazowawezesha kufanya maamuzi sahihi kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2025
Amesema hili lilifanyika vema kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa Mwaka 2024 ambapo mada 81 zilifanyiwa Uhakiki
Kufuatilia bofya https://jamii.app/AfIGF2025Day1
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #UadilifuWaTaarifa #MaendeleoYaKidijitali #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UpotoshajiWaTaarifa #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
Amesema hili lilifanyika vema kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa Mwaka 2024 ambapo mada 81 zilifanyiwa Uhakiki
Kufuatilia bofya https://jamii.app/AfIGF2025Day1
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #UadilifuWaTaarifa #MaendeleoYaKidijitali #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UpotoshajiWaTaarifa #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
Nancy Angulo kutoka UNESCO amesema ni muhimu kuzingatia aina ya maudhui tunayozalisha kwasababu kwa kiasi kikubwa AI huakisi kile inachofundishwa. Kwa hiyo, mitazamo ya watayarishaji wa maudhui ndio inayoakisiwa na AI katika kazi zake
Amesema kama wanahabari, watumiaji na watayarishaji wa maudhui, wanatakiwa kujiuliza kama wanachoweka mtandaoni kinaakisi Usawa wa Kijinsia au kimejaa Ubaguzi
Kufuatilia bofya https://jamii.app/AfIGF2025Day1
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #UadilifuWaTaarifa #MaendeleoYaKidijitali #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UpotoshajiWaTaarifa #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
Amesema kama wanahabari, watumiaji na watayarishaji wa maudhui, wanatakiwa kujiuliza kama wanachoweka mtandaoni kinaakisi Usawa wa Kijinsia au kimejaa Ubaguzi
Kufuatilia bofya https://jamii.app/AfIGF2025Day1
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #UadilifuWaTaarifa #MaendeleoYaKidijitali #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UpotoshajiWaTaarifa #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
Nancy Angulo kutoka UNESCO amesema mjadala wa Ukatili wa Mtandaoni unatakiwa kuwa wa Wote, na si kwa wale tu wenye sauti kubwa. Akisema kuwa mara nyingi ni watu wale wale wachache ndio huzungumzia suala hilo kila mahali
Ameongeza kuwa, msukumo wa ajenda hii unahitajika hadi ngazi za jamii (grassroots) ili watu wa kawaida waelewe: "Huu ni ukatili wa Mtandaoni, na ninahitaji kutumia Majukwaa ya Mtandaoni kwa Uwajibikaji, ili nisiuumize mtu mwingine"
Mtu anaposhika kifaa cha Kidijitali, anapaswa kufahamu kuwa anawajibika kutengeneza nafasi Salama Mtandaoni, si kwa ajili yetu tu, bali kwa wengine pia
Kufuatilia bofya https://jamii.app/AfIGF2025Day1
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #UadilifuWaTaarifa #MaendeleoYaKidijitali #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UpotoshajiWaTaarifa #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
Ameongeza kuwa, msukumo wa ajenda hii unahitajika hadi ngazi za jamii (grassroots) ili watu wa kawaida waelewe: "Huu ni ukatili wa Mtandaoni, na ninahitaji kutumia Majukwaa ya Mtandaoni kwa Uwajibikaji, ili nisiuumize mtu mwingine"
Mtu anaposhika kifaa cha Kidijitali, anapaswa kufahamu kuwa anawajibika kutengeneza nafasi Salama Mtandaoni, si kwa ajili yetu tu, bali kwa wengine pia
Kufuatilia bofya https://jamii.app/AfIGF2025Day1
#JamiiAfrica #AfIGF2025 #UadilifuWaTaarifa #MaendeleoYaKidijitali #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UpotoshajiWaTaarifa #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights