Ukaguzi wa kiufundi wa ukarabati na ujenzi wa Soko la Kariakoo, Soko Kuu la Mwanza, na Kituo cha Mabasi cha Nyamhongolo umebaini mapungufu katika upangaji wa Miradi, Usanifu, na Usimamizi wa Mikataba, hali iliyosababisha ongezeko la gharama na ucheleweshaji wa Utekelezaji wa Miradi
Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya Miradi ya Maendeleo kwa Mwaka wa Fedha 2023/24 inaeleza kutokuwepo kwa tathmini ya kina ya hali ya majengo katika Masoko ya Kariakoo na Mwanza kulisababisha kutofafanuliwa kwa wigo wa Miradi, hali iliyosababisha mabadiliko yenye thamani ya Tsh. Milioni 757.02
Malipo ya Tsh. Bilioni 9.87 kwa upauaji wa nondo bila kubainisha vipimo vya nondo hizo. Pia, Tsh. Milioni 766.90 zililipwa kwa Washauri kama gharama za kurejesheka bila nyaraka za uthibitisho, jambo linaloashiria udhaifu katika udhibiti wa Fedha
Soma https://jamii.app/CAGMiradiMaendeleo
#RipotiYaCAG25 #RipotiCAG2025 #Uwajibikaji #CAGMiradiMaendeleo #Accountability #JamiiForums #Transparency
Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya Miradi ya Maendeleo kwa Mwaka wa Fedha 2023/24 inaeleza kutokuwepo kwa tathmini ya kina ya hali ya majengo katika Masoko ya Kariakoo na Mwanza kulisababisha kutofafanuliwa kwa wigo wa Miradi, hali iliyosababisha mabadiliko yenye thamani ya Tsh. Milioni 757.02
Malipo ya Tsh. Bilioni 9.87 kwa upauaji wa nondo bila kubainisha vipimo vya nondo hizo. Pia, Tsh. Milioni 766.90 zililipwa kwa Washauri kama gharama za kurejesheka bila nyaraka za uthibitisho, jambo linaloashiria udhaifu katika udhibiti wa Fedha
Soma https://jamii.app/CAGMiradiMaendeleo
#RipotiYaCAG25 #RipotiCAG2025 #Uwajibikaji #CAGMiradiMaendeleo #Accountability #JamiiForums #Transparency
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DEMOKRASIA: Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) limetoa wito kwa Serikali ya #Tanzania kuwaachilia bila masharti Viongozi wa kisiasa waliokamatwa kwa kudai haki, likisisitiza hatua hiyo ni muhimu katika kulinda amani ya taifa, hasa kuelekea mwaka wa uchaguzi.
Rais wa #TEC na Askofu wa Jimbo Katoliki Lindi, Mhashamu Wolfgang Pisa ameyasema hayo katika mkesha wa Pasaka uliofanyika Kanisa Kuu la Mtakatifu Andrea Kagwa, Jimbo Katoliki Lindi
Soma https://jamii.app/WadaiHakiWaachiwe
#JamiiForums #Demokrasia #KuelekeaUchagua2025
Rais wa #TEC na Askofu wa Jimbo Katoliki Lindi, Mhashamu Wolfgang Pisa ameyasema hayo katika mkesha wa Pasaka uliofanyika Kanisa Kuu la Mtakatifu Andrea Kagwa, Jimbo Katoliki Lindi
Soma https://jamii.app/WadaiHakiWaachiwe
#JamiiForums #Demokrasia #KuelekeaUchagua2025
ZANZIBAR: Goli pekee la Jean Charles Ahoua katika dakika ya 45+2 kwenye Uwanja wa Amaan, limeiwezesha #Simba kupata ushindi wa 1-0 dhidi ya #Stellenbosch, katika mchezo wa Nusu Fainali ya kwanza ya Kombe la Shirikisho Afrika
Licha ya ushindi, Wachezaji wa Simba wamekosa nafasi kadhaa za wazi katika mtanange huo, hivyo mchezo wa marudio unatarajiwa kupigwa Aprili 27, 2025 kwenye Dimba la Moses Mabhida, Durban, Afrika Kusini
Mshindi baina ya pande hizo anatarajiwa kukutana na mshindi wa mechi kati ya RS Berkane ya Morocco na CS Constantine ya Algeria
Soma https://jamii.app/SimbaStellenbosch
#JamiiForums #JFSports #CAFCC
Licha ya ushindi, Wachezaji wa Simba wamekosa nafasi kadhaa za wazi katika mtanange huo, hivyo mchezo wa marudio unatarajiwa kupigwa Aprili 27, 2025 kwenye Dimba la Moses Mabhida, Durban, Afrika Kusini
Mshindi baina ya pande hizo anatarajiwa kukutana na mshindi wa mechi kati ya RS Berkane ya Morocco na CS Constantine ya Algeria
Soma https://jamii.app/SimbaStellenbosch
#JamiiForums #JFSports #CAFCC
Kusoma kwa undani habari hizi na mengine yaliyojiri juma lililopita bofya https://jamii.app/YaliyojiriJumaLililopita
#JamiiForums #YaliyojiriJumaLililopita #JFToons
#JamiiForums #YaliyojiriJumaLililopita #JFToons
Taarifa huru huwezesha #Uwajibikaji wa Viongozi, kupambana na ufisadi, kuhamasisha ushiriki wa raia, na kuchochea ubunifu. Bila taarifa huru, maendeleo ya kijamii, kisiasa na kiuchumi hulemazwa.
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
SHINYANGA: Mkuu wa Dayosisi Kusini Mashariki ya Ziwa Viktoria, Baba Askofu Dkt. Yohana Nzelu akizungumza na Waumini wa Kanisa hilo katika Ibada iliyofanyika Usharika wa Agape Kahama
Soma https://jamii.app/AskofuNzelu
#JamiiForums #Accountability #Governance
Soma https://jamii.app/AskofuNzelu
#JamiiForums #Accountability #Governance
VATICAN: Papa Francis, Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani amefariki Dunia akiwa na umri wa Miaka 88
Vatican imetangaza kifo cha Papa Francis, leo Aprili 21, 2025 kupitia kurasa zake za Mitandao ya Kijamii
Alikuwa Papa wa kwanza kuzaliwa au kukulia nje ya Ulaya katika kipindi cha karne 12, wa kwanza kutoka Amerika, na wa kwanza kutoka shirika la Kijesuiti kushika wadhifa huo.
Soma https://jamii.app/PopeFrancisDies
#JamiiForums #JFMatukio #RIPPopeFrancis
Vatican imetangaza kifo cha Papa Francis, leo Aprili 21, 2025 kupitia kurasa zake za Mitandao ya Kijamii
Alikuwa Papa wa kwanza kuzaliwa au kukulia nje ya Ulaya katika kipindi cha karne 12, wa kwanza kutoka Amerika, na wa kwanza kutoka shirika la Kijesuiti kushika wadhifa huo.
Soma https://jamii.app/PopeFrancisDies
#JamiiForums #JFMatukio #RIPPopeFrancis
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Mkuu wa Dayosisi Kusini Mashariki ya Ziwa Viktoria, Askofu Dkt. Yohana Nzelu, akizungumza na Waumini katika Ibada iliyofanyika Usharika wa Agape Kahama, amegusia umuhimu wa Serikali kuwaondolea Wananchi hofu ya kuzungumza, kwa kuwa hali hiyo ikiendelea itasababisha visasi
Soma https://jamii.app/AskofuNzelu
#JamiiForums #Accountability #Governance
Soma https://jamii.app/AskofuNzelu
#JamiiForums #Accountability #Governance
Maudhui potofu yanaweza kupotosha Umma, Kudhalilisha Watu, au hata kuchochea machafuko ya kijamii. Ni muhimu Jamii ifahamu na iwe na uwezo wa kutambua Maudhui ya aina hii.
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia
MWANZA: Mdau wa JamiiForums.com anasema licha ya uwepo wa Magugumaji maeneo mengi ya Kando ya Ziwa Victoria, mbona haoni jitihada za Mamlaka husika kuyaondoa wakati yamekuwa kero kwa Watu na Vyombo vya usafiri?
Soma https://jamii.app/Magugumaji
#JamiiForums #Accountability #JFMdau2025 #Uwajibikaji
Soma https://jamii.app/Magugumaji
#JamiiForums #Accountability #JFMdau2025 #Uwajibikaji
MANYARA: Timu ya #Yanga imefanikiwa kufikisha alama 70 katika Michezo 26 iliyocheza ya Ligi Kuu Bara baada ya kuichapa Fountain Gate Magoli 4-0 kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwara, leo Aprili 21, 2025
Wafungaji wa Mchezo huo ni; Clement Mzize (mawili), Ki Aziz na Clatous Chama. Matokeo hayo yanaifanya Yanga kuendelea kubaki nafasi ya kwanza ikifuatiwa na Simba yenye alama 57, Michezo 22 huku Fountain Gate ikisalia nafasi ya 11 ikiwa na pointi 29
Soma https://jamii.app/GateYanga
#Sports #JamiiForums #JFLigiKuu25
Wafungaji wa Mchezo huo ni; Clement Mzize (mawili), Ki Aziz na Clatous Chama. Matokeo hayo yanaifanya Yanga kuendelea kubaki nafasi ya kwanza ikifuatiwa na Simba yenye alama 57, Michezo 22 huku Fountain Gate ikisalia nafasi ya 11 ikiwa na pointi 29
Soma https://jamii.app/GateYanga
#Sports #JamiiForums #JFLigiKuu25
SINGIDA: Wakati akilalamikia ubora wa Barabara ya Singida – Babati – Arusha, Mdau mwingine wa JamiiForums anasema eneo la Endasak Wilaya ya Hanang Barabara ina Mashimo mengi pia
Anaongeza kuwa hali hiyo inaanzia Kata ya Masakta hadi Endasak na changamoto hiyo ni ya muda mrefu licha ya kuwa ni Barabara Kuu
Soma https://jamii.app/BarabaraSingidaBabati
#JamiiForums #ServiceDelivery #Accountability #Governance
Anaongeza kuwa hali hiyo inaanzia Kata ya Masakta hadi Endasak na changamoto hiyo ni ya muda mrefu licha ya kuwa ni Barabara Kuu
Soma https://jamii.app/BarabaraSingidaBabati
#JamiiForums #ServiceDelivery #Accountability #Governance
Ukaguzi wa taratibu za ununuzi wa vifaa vya ujenzi vilivyotumiwa katika OR-TAMISEMI chini ya Mpango wa Kuboresha Elimu ya Sekondari (SEQUIP) kwaajili ya ujenzi wa shule Mkoani Mara, ulibaini ununuzi wa vifaa vyenye thamani ya Tsh. 3,100,824,370 ulifanyika kinyume na masharti ya ununuzi wa Mwongozo wa Mamlaka ya Uthibiti wa Ununuzi wa Umma wa Utekelezaji wa Kazi za Ujenzi
Vifaa hivyo vilinunuliwa kutoka kwa Wazabuni ambao hawakuwa wameidhinishwa, au katika maduka yasiyokuwa na idhini ndani ya jamii husika au bila kuwa na makubaliano yoyote ya kimkataba kutoka kwa Wakala wa Huduma za Ununuzi Serikalini (GPSA)
Hayo yamebainika katika Ripoti ya CAG 2023/24 na kuelezwa kuwa hilo linadhoofisha Kanuni za uwazi, uwajibikaji na matumizi sahihi ya fedha za umma
Soma https://jamii.app/CAGMiradiMaendeleo
#RipotiYaCAG25 #RipotiCAG2025 #Uwajibikaji #CAGMiradiMaendeleo #Accountability #JamiiForums #Transparency
Vifaa hivyo vilinunuliwa kutoka kwa Wazabuni ambao hawakuwa wameidhinishwa, au katika maduka yasiyokuwa na idhini ndani ya jamii husika au bila kuwa na makubaliano yoyote ya kimkataba kutoka kwa Wakala wa Huduma za Ununuzi Serikalini (GPSA)
Hayo yamebainika katika Ripoti ya CAG 2023/24 na kuelezwa kuwa hilo linadhoofisha Kanuni za uwazi, uwajibikaji na matumizi sahihi ya fedha za umma
Soma https://jamii.app/CAGMiradiMaendeleo
#RipotiYaCAG25 #RipotiCAG2025 #Uwajibikaji #CAGMiradiMaendeleo #Accountability #JamiiForums #Transparency