Swahili News
3.78K subscribers
108K photos
58.6K videos
28 files
266K links
🐾
Download Telegram
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
️️➟ @HabariTz ✰✰✰

“Walanguzi kutoka ughaibuni wamekuja na njia mpya ya kuiba mali asili yetu au Bio-Piracy”

-
Shirika la kuwahudumia wanyama pori la Kenya (KWS) limetibua njama ya walanguzi walioingia nchini humo kama watalii kumbe nia yao ilikuwa kuiba na kusafirisha wadudu takriban elfu 5 wenye thamani ya dola $7000
katika masoko huko Asia na bara Ulaya.

-
Raia hao wawili kutoka Ubelgiji na mmoja kutoka Vietnam wanasubiri hukumu katika kesi ya kwanza kama hiyo.

-
Je Afrika ifanye nini kulinda mali asili vivutio na bio anuai yake?
Tuandikie hapo chini 👇🏿
-
-
-
🇰🇪
️️➟ @HabariTz ✰✰✰

Papa Francis, ambaye amefariki akiwa na umri wa miaka 88, alifanya safari kadhaa barani Afrika katika kipindi chote cha uongozi wake.
-
Katika safari zake barani Afrika, Papa alitaka kueneza ujumbe wa amani na upatanisho katika nchi zilizokumbwa na migogoro.
-
Akiwa barani Afrika, Papa Francis pia aliwatawaza makadinali kadhaa, wakiwemo wale wa kwanza kabisa wa mataifa madogo ya Afrika.
-
Je safari zake zilileta matokeo yapi kwa Afrika? Pangusa kushoto kufahamu zaidi
-
-
-
️️➟ @HabariTz ✰✰✰
️️➟ @HabariTz ✰✰✰
️️➟ @HabariTz ✰✰✰

millardayo

Rubia ni oili maalumu kwaajili ya magari yanayotumia dizeli, iliyoidhinishwa na zaidi ya watengenezaji wakuu 200 wa magari makubwa. Rubia imejaribiwa na kuidhinishwa na watengenezaji wakuu wa Vifaa Halisi (OEMs).

Sifa za oili ya Rubia:
- Rubia ni ulinzi dhabiti dhidi
ya uchakavu wa injini.
- Huboresha ufanisi wa injini.
- Hurefusha uhai wa injini na
kupunguza gharama za
matengenezo.
- Huboresha usafi wa injini na
kuimarisha ulinzi wa injini.
- Hupunguza matumizi ya
mafuta.

Jipatie oili za Rubia zinazopatikana katika vituo vya mafuta vya @totalenergies_tz TotalEnergies na mawakala walioidhinishwa.