Swahili News
3.05K subscribers
121K photos
70.2K videos
37 files
277K links
🐾
Download Telegram
️️➟ @HabariTz ✰✰✰

#HABARI Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo XIV, leo Jumapili ameadhimisha Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani kwa kulaani ukiukwaji unaoendelea wa uhuru wa vyombo vya habari kote duniani na kutoa heshima kwa waandishi wa habari waliouawa wakiwa kazini, hususan katika maeneo yenye migogoro. Akizungumza mwishoni mwa sala yake ya kila wiki katika Uwanja wa Mtakatifu Petro mji wa Roma, Italia, uliokuwa umejaa waumini, Papa Leo amesema siku hiyo inaonyesha umuhimu mkubwa wa uandishi wa habari huru pamoja na vitisho vinavyozidi kuwakabili wanahabari.
Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani, huadhimishwa Mei 3 kila mwaka kwa udhamini wa UNESCO, ni fursa ya kuunga mkono taasisi za habari zinazokabiliwa na shinikizo au udhibiti, pamoja na kuwakumbuka wanahabari waliokufa wakitimiza wajibu wao. #DWKiswahili
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
@HabariTz ✰✰✰
#PinPoint | #KariakooDerby

Je, nini kimeipa Simba magoli mawili ya chapchap mwanzoni mwa mchezo? Udhaifu wa Yanga ulikuwa ni upi?

@leomusikula_tz kupitia Pin Point, anatuonesha ni wapi Yanga walikosea na Simba waliyatumia vipi makosa hayo hasa kupitia kwa Clatous Chama, ambaye ameibuka kuwa mchezaji bora wa mechi.

FT: Simba SC 2-2 Yanga SC.

Kuhusu Yanga, cheki post inayofuata.

Burudani zinaendelea LIVE #AzamSportsHD

#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #ImenogaZaidi #KariakooDerby #SimbaYanga #HainaLawama
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
@HabariTz ✰✰✰
#PinPoint | #KariakooDerby

Je, nini kimewaponza Simba hadi chuma zao mbili zote zikachomolewa? Yanga waliipataje ‘code’?

“Simba walianza kufeli kwa kupoteza mipira.... “

Ndicho anachokiona @leomusikula_tz kupitia Pin Point, akituonesha pia jinsi Yanga walivyokuwa wanaipenya ngome ya Simba kupitia eneo la kiungo.

FT: Simba SC 2-2 Yanga SC.

Burudani zinaendelea LIVE #AzamSportsHD

#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #ImenogaZaidi #KariakooDerby #SimbaYanga #HainaLawama
@HabariTz ✰✰✰
68’ | #LaligaEASports

Espanyol 0-2 Real Madrid (Vini 55', 67')

LIVE #AzamSports4HD

#LigiKuuHispania #LaligaUpdates #EspanyolRealMadrid
@HabariTz ✰✰✰
#SerieA Harufu ya ubingwa inazidi kuongezeka...!!!

87’: Inter 2-0 Parma

LIVE #AzamSports3HD

#LigiKuuItalia #SerieAUpdates #InterParma
@HabariTz ✰✰✰
#SerieA Inter Milan ndiyo mabingwa wa Ligi Kuu ya Italia 2025/26 wakiwa na mechi tatu mkononi.

Hii ni baada ya ushindi wa leo unaowafanya wafikishe pointi 82 ambazo hazitafikiwa na timu nyingine yoyote.

Hili ni taji lao la 21 katika historia ya ligi hiyo..

Je, unasemaje kuhusu kiwango cha Inter msimu huu??

FT: Inter 2-0 Parma

Burudani za Serie A zinapatikana LIVE #AzamSports3HD

#LigiKuuItalia #SerieAUpdates #InterParma
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
️️➟ @HabariTz ✰✰✰

Shirika la ndege la Japan Airlines (JAL) linaanza kutumia roboti wenye umbo la binadamu katika kazi za ardhini kwenye Uwanja wa Ndege wa Haneda, Tokyo kuanzia mwezi Mei, katika jaribio la miaka miwili linalolenga kupunguza mzigo wa kazi kwa wafanyakazi.
-
Shirika hilo linatarajia kuwa roboti hao pia wataweza kutumika kusafisha ndani ya ndege na kuendesha vifaa vya huduma za ardhini siku zijazo.
-
-
-
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
️️➟ @HabariTz ✰✰✰

"Kina mama wengi wanatumia 'akili za kike' kumlea mtoto wa kiume"
-
John Magoda ni mwalimu katika shule ya msingi ya watoto wenye mahitaji maalumu iliyopo jijini Arusha.
-
Katika siku za hivi karibuni, amejizolea umaarufu mkubwa kupitia mitandao ya kijamii kwa hotuba zake zinazolenga kuwapa mwongozo na nguvu kina mama katika malezi ya watoto wa kiume.
-
@martha_saranga amefanya mahojiano maalum na @mwl.magodajr ambaye pia ni Mwandishi wa kitabu cha ‘Boys Code’ na kuandaa taarifa hii.
-