Azam Sports
Kiporo kimewachachia.....
FT: Fiorentina 3-0 Inter Milan
Ilikuwa LIVE .... upande wa akiwepo @seif_bongi
Kiporo kimewachachia.....
FT: Fiorentina 3-0 Inter Milan
Ilikuwa LIVE .... upande wa akiwepo @seif_bongi
'Tutaishi na kufa katika ardhi yetu': Ghadhabu Mashariki ya Kati baada ya kauli ya Trump kuhusu Gaza
BBC News Swahili
'Tutaishi na kufa katika ardhi yetu': Ghadhabu Mashariki ya Kati baada ya kauli ya Trump kuhusu Gaza
Hamas, ambayo imedhoofishwa sana lakini bado inadhibiti Ukanda huo, ilisema matamshi ya Trump ni "ya kipuuzi."
Azam Sports
NBC Premier League leo Ijumaa
Saa 10:00 jioni Coastal Union watakuwa uwanja wa Sheikh Amri Abeid wakiwakaribisha JKT Tanzania.
Coastal ana alama 18 kwenye msimamo wakati JKT ana 19.
Je, nani kuongeza mtaji wa alama?
Mechi hii kuruka mbashara kupitia AzamSports2HD.
Singida BS watakuwa nyumbani uwanja wa Liti wakiwaalika Kagera Sugar.
Mchezo huu utachezwa saa 10:00 jioni na kuruka mbashara kupitia AzamSports1HD.
NBC Premier League leo Ijumaa
Saa 10:00 jioni Coastal Union watakuwa uwanja wa Sheikh Amri Abeid wakiwakaribisha JKT Tanzania.
Coastal ana alama 18 kwenye msimamo wakati JKT ana 19.
Je, nani kuongeza mtaji wa alama?
Mechi hii kuruka mbashara kupitia AzamSports2HD.
Singida BS watakuwa nyumbani uwanja wa Liti wakiwaalika Kagera Sugar.
Mchezo huu utachezwa saa 10:00 jioni na kuruka mbashara kupitia AzamSports1HD.
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
@HabariTz ✰✰✰
Je, mbwa wako atakula nyama feki?
Mbwa wako anapobweka sana kwa ajili ya chakula chake cha jioni, mara nyingi anataka nyama. Lakini je, atafurahua nyama inayokuzwa katika maabara? Nyama hiyo imeanza kuuzwa kwa mara ya kwanza leo. Aliyetengeneza nyama hiyo anasema ina manufaa mazuri ya kiafya kwa mbwa, lakini pia ina manufaa kwa mazingira.
Je, mbwa wako atakula nyama feki?
Mbwa wako anapobweka sana kwa ajili ya chakula chake cha jioni, mara nyingi anataka nyama. Lakini je, atafurahua nyama inayokuzwa katika maabara? Nyama hiyo imeanza kuuzwa kwa mara ya kwanza leo. Aliyetengeneza nyama hiyo anasema ina manufaa mazuri ya kiafya kwa mbwa, lakini pia ina manufaa kwa mazingira.
@HabariTz ✰✰✰
SportsArenaTz
ANAJIPIGIA TU
.
5 —Hll ni mara ya tano kwa Arsenal kupoteza dhidi ya Newcastle ya Eddie Howe katika mashindano yote chini ya Mikel Arteta. Ni Pep Guardiola (mara 9) na Jurgen Klopp (mara 6) pekee ambao wamemshinda Mhispania huyo mara nyingi zaidi tangu awe meneja wa Arsenal.
SportsArenaTz
ANAJIPIGIA TU
.
5 —Hll ni mara ya tano kwa Arsenal kupoteza dhidi ya Newcastle ya Eddie Howe katika mashindano yote chini ya Mikel Arteta. Ni Pep Guardiola (mara 9) na Jurgen Klopp (mara 6) pekee ambao wamemshinda Mhispania huyo mara nyingi zaidi tangu awe meneja wa Arsenal.
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
@HabariTz ✰✰✰
M23 WAPINDUA SERIKALI DRC, PIGO KWA TSHESEKEDI,, WANANCHI WA GOMA WATAKA M23 WAWAONGOZE
M23 WAPINDUA SERIKALI DRC, PIGO KWA TSHESEKEDI,, WANANCHI WA GOMA WATAKA M23 WAWAONGOZE