Swahili News
3.16K subscribers
120K photos
69.7K videos
37 files
277K links
🐾
Download Telegram
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
@HabariTz ✰✰✰
Hali ya hatari inatarajiwa kujitokeza katika Mlango wa Hormuz, hali ambayo inaweza kuchochea vita kubwa wakati wowote.
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
@HabariTz ✰✰✰
DROO CRDB BANK FEDERATION: “Hata wao wenyewe Yanga walishtuka”

Afisa Habari wa JKT Tanzania, Masau Bwire anasema wamefurahi kupangwa na Yanga SC kwenye mchezo wa robo fainali ya CRDB Bank Federation Cup.

Masau anasema ni zamu yao sasa kuwapa fursa Watanzania kuona kwamba JKT Tanzania ni timu ya aina gani.

Tayari droo ya michuano hiyo imefanyika leo Aprili 17, 2026, ndani ya studio za #AzamTV na matokeo yake ni:

Coastal Union itacheza dhidi ya Singida BS

Simba SC itaikaribisha TRA United

JKT Tanzania itaikaribisha Yanga SC

Mashujaa FC itaikaribisha Azam FC

(Imeandikwa na @allymufti_tz)

Ilikuwa LIVE #AzamSports1HD

#CRDBBankFederationCup
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
@HabariTz ✰✰✰
DROO CRDB BANK FEDERATION: “Chobwedo hamna kitu”

Mkurugenzi wa Wanachama wa Simba SC, Hamis Kisiwa anasema hawana wasiwasi na TRA United, watakapokutana nao kwenye mchezo wa robo fainali ya CRDB Bank Federation Cup.

Mzee Kisiwa anasema Simba inacheza kitimu na ndio maana hauwezi kumtaja mchezaji mmoja mmoja.

Tayari droo ya michuano hiyo imefanyika leo Aprili 17, 2026, ndani ya studio za #AzamTV na matokeo yake ni:

Coastal Union itacheza dhidi ya Singida BS

Simba SC itaikaribisha TRA United

JKT Tanzania itaikaribisha Yanga SC

Mashujaa FC itaikaribisha Azam FC

(Imeandikwa na @allymufti_tz)

Ilikuwa LIVE #AzamSports1HD

#CRDBBankFederationCup
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
@HabariTz ✰✰✰
DROO CRDB BANK FEDERATION: “Tupo tayari kupambana na JKT”

Mratibu wa Yanga SC, Hafidh Saleh anasema watakabiliana na JKT Tanzania hata kama wao watakuwa ugenini.

Ni mchezo wa CRDB Bank Federation Cup hatua ya robo fainali.

Tayari droo ya michuano hiyo imefanyika leo Aprili 17, 2026, ndani ya studio za #AzamTV na matokeo yake ni:

Coastal Union itacheza dhidi ya Singida BS

Simba SC itaikaribisha TRA United

JKT Tanzania itaikaribisha Yanga SC

Mashujaa FC itaikaribisha Azam FC

(Imeandikwa na @allymufti_tz)

Ilikuwa LIVE #AzamSports1HD

#CRDBBankFederationCup
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
@HabariTz ✰✰✰
#NBCPL: Kocha wa TRA United, Etienne Ndayiragije anasema bado yapo maeneo ya kuboresha japo vijana wake wanaendelea vema.

Kwa upande wa Kocha Francis Baraza anasema wanakwenda kufanyia kazi eneo la umaliziaji, kwasababu vijana wake wanatengeneza nafasi lakini hawazitumii vema.

FT: TRA United 1-0 Pamba Jiji

Saa 1:00 usiku ni Azam FC dhidi ya JKT Tanzania LIVE #AzamSports1HD

#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #ImenogaZaidi #TRAUnitedVsPambaJiji #TRAUnited #PambaJiji #TRAPMB
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
@HabariTz ✰✰✰
#NBCPL: Jephte Kitambala akaupokea mpira kutoka kwa Fei Toto na kisha kumpasia Iddy Nado ambaye akaiandikia Azam FC, goli la tatu.

90’: Azam FC 3-0 JKT Tanzania

LIVE #AzamSports1HD

#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #ImenogaZaidi #AzamFCVsJKTTanzania #AzamFC #JKTTanzania #AZMJKT
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
@HabariTz ✰✰✰
#NBCPL: Kocha wa Azam FC, Florent Ibenge anasema aliwaambia wachezaji wake kuongeza jitihada ili waweze kufunga magoli.

Hii ni baada ya kutoka bila goli kwenye dakika 45 za kipindi cha kwanza.

Kwa upande wake Kocha Ahmad Ally anasema kipindi cha pili hakikuwa kizuri kwao huku akiongeza kuwa hawakuwa vema kwenye kuzuia mipira ya kutenga.

FT: Azam FC 3-0 JKT Tanzania

Kesho ni Fountain Gate FC dhidi ya Mtibwa Sugar LIVE #AzamSports1HD kuanzia saa 10:00 jioni.

#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #ImenogaZaidi #AzamFCVsJKTTanzania #AzamFC #JKTTanzania #AZMJKT
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
@HabariTz ✰✰✰
Mgogoro wa mlango wa hormuz wafikia hatua nyeti, china yasisitiza mazungumzo ya amani
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
@HabariTz ✰✰✰
#ChaJuuZaidi: Timu ya #AzamTV na #AzamPesa ilikuwa sehemu ya washiriki wa #BungeMarathon iliyofanyika leo Aprili 18, 2026 jijini Dododoma, ikiwa ni sehemu ya kuwa karibu na jamii kupitia michezo.

Popote utakapoiona timu ya #AzamPesa katika jiji la Dodoma, usisite kuwafuata ili kupata msaada zaidi.

Lipia kisimbuzi cha shilingi 28,000 kwa AzamPesa upandishwe kuangalia chaneli za shilingi 35,000.

CHA JUU ZAIDI

azamtv azampesa
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
@HabariTz ✰✰✰
KNOCKOUT YA MAMA, VITA YA KISASI: “Kutakuwa na ugeni mbalimbali kutoka nje ya nchi”

Mkurugenzi Mtendaji Mafia Boxing Promotion, Ally Zayumba amewaomba Watanzania kujitokeza Aprili 24, 2026 kwenye usiku wa #KnockoutYaMama #VitaYaKisasi ambayo itafanyika kwenye ukumbi wa EACLC, Ubungo Dar es Salaam.

Zayumba amewakumbusha wale ambao watashindwa kufika ukumbini, kulipia visimbuzi vyao vya #AzamTV

Uhondo huo utafanyika itakuwa LIVE #AzamSports3HD

(Imeandikwa na @allymufti_tz)

#VitaYaKisasi #KnockOutYaMama #HiiNiPersonal
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
@HabariTz ✰✰✰
IRAN : HORMUZ IMAFUNGWA TENA , TRUMP : HORMUZ NI MALI YA IRAN .

DUNIA NI YA WAKUBWA WENGI KWA SASA . ( multi- polar world order ) . BAADHI YA WAKUBWA HAWATAKI KUAMINI ZAMA ZAO ZIMEFIKA MWISHO .

Mswahili Elimika LINK

#elimikausiwemsomi

#mwalimugoogletv

#tanzania-tunataka-uchumi-chotara

#tanzania-we-want-hybrid economic system

#JKT-Jibu-la-umasikini-Tanzania
IRAN : HORMUZ IMAFUNGWA TENA , TRUMP : HORMUZ NI MALI YA IRAN .
Mwalimu Google TV
IRAN HORMUZ IMAFUNGWA TENA , TRUMP HORMUZ NI MALI YA IRAN
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
@HabariTz ✰✰✰
Iran inasema: lipa ushuru ndipo upite Hormouz, wakati Marekani inasema yeyote atakayelipa ushuru huo kwa Iran atazuiwa na Marekani.
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
@HabariTz ✰✰✰
KNOCKOUT YA MAMA, VITA YA KISASI: “Kiingilio ni rafiki sana”

Mkuu wa Idara ya Matangazo wa Mafia Boxing Promotion, Omary Clayton, anasema kiingilio cha kawaida kitaanzia shilingi elfu tano (5,000).

Ni kuelekea kwenye #KnockoutYaMama #VitaYaKisasi ambayo itafanyika ukumbi wa EACLC, Ubungo Dar es Salaam.

Uhuondo huo utakuwa LIVE #AzamSports3HD

(Imeandikwa na @allymufti_tz)

#VitaYaKisasi #KnockOutYaMama #HiiNiPersonal
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
@HabariTz ✰✰✰
#SportPesaLeague: Ni Mambote Batshi Assis ndiye aliyezipeleka alama tatu kwa Shabana.

Tazama alivyoutuliza mpira na kuukwamisha nyavuni.

Shabana 1-0 Kakamega Homeboyz

Ilikuwa LIVE #AzamSpors3HD

#LigiKuuKenya #SportPesaLeague #ShabanaVsKakamegaHomeboyz