➟ @HabariTz ✰✰✰
90' | #MuunganoCup
Simba SC 1-0 Mafunzo SC
Iko LIVE #AzamSports1HD
#MuunganoCup2026 #KombeLaMuungano #SokaLinatuunganisha.
90' | #MuunganoCup
Simba SC 1-0 Mafunzo SC
Iko LIVE #AzamSports1HD
#MuunganoCup2026 #KombeLaMuungano #SokaLinatuunganisha.
❤1
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
➟ @HabariTz ✰✰✰
#MuunganoCup: Ni Selemani Mwalimu......
FT: Simba SC 1-0 Mafunzo SC
Ilikuwa LIVE #AzamSports1HD
#MuunganoCup2026 #KombeLaMuungano #SokaLinatuunganisha
SimbaMafunzo
#MuunganoCup: Ni Selemani Mwalimu......
FT: Simba SC 1-0 Mafunzo SC
Ilikuwa LIVE #AzamSports1HD
#MuunganoCup2026 #KombeLaMuungano #SokaLinatuunganisha
SimbaMafunzo
➟ @HabariTz ✰✰✰
#MuunganoCup Nyota wa mchezo ni kiungo wa Simba, Semfuko Daud, na anakula kitita cha shilingi milioni moja 'cash', kutoka chuo cha afya cha Zanzibar School of Health.
FT: Simba SC 1-0 Mafunzo SC
Kesho Aprili 24 ni VITASA LIVE #AzamSports3HD
#MuunganoCup2026 #KombeLaMuungano #SokaLinatuunganisha.
#MuunganoCup Nyota wa mchezo ni kiungo wa Simba, Semfuko Daud, na anakula kitita cha shilingi milioni moja 'cash', kutoka chuo cha afya cha Zanzibar School of Health.
FT: Simba SC 1-0 Mafunzo SC
Kesho Aprili 24 ni VITASA LIVE #AzamSports3HD
#MuunganoCup2026 #KombeLaMuungano #SokaLinatuunganisha.
➟ @HabariTz ✰✰✰
#MuunganoCup Mkwanja shilingi laki tano 'cash', kutoka City Institute of Health, Dar es Salaam, umekwenda kwa 'Kimwinyi', muite Mwinyi Mohamed wa Mafunzo SC.
Hii ni zawadi ya mchezo wa kiungwana (fair play).
FT: Simba SC 1-0 Mafunzo SC
Kesho Aprili 24 ni VITASA LIVE #AzamSports3HD
#MuunganoCup2026 #KombeLaMuungano #SokaLinatuunganisha.
#MuunganoCup Mkwanja shilingi laki tano 'cash', kutoka City Institute of Health, Dar es Salaam, umekwenda kwa 'Kimwinyi', muite Mwinyi Mohamed wa Mafunzo SC.
Hii ni zawadi ya mchezo wa kiungwana (fair play).
FT: Simba SC 1-0 Mafunzo SC
Kesho Aprili 24 ni VITASA LIVE #AzamSports3HD
#MuunganoCup2026 #KombeLaMuungano #SokaLinatuunganisha.
➟ @HabariTz ✰✰✰
#MuunganoCup Wachezaji na viongozi wa Yanga katika ziara yao kwenye Jumba la Mwananchi.
Msafara huu leo umepata fursa ya kutembelea baadhi ya vivutio na kumbukumbu muhimu za kihistoria Zanzibar na hili ni jengo la kumbukumbu muhimu za wafalme waliotawala Zanzibar.
Moja kati ya kumbukumbu zilizopo hapa ni makaburi ya familia za wafalme hao.
Ziara hii ni moja kati ya zawadi kutoka kwa Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi kwa timu zitakazoingia nusu fainali ya Kombe la Muungano.
#MuunganoCup2026 #KombeLaMuungano #SokaLinatuunganisha.
#MuunganoCup Wachezaji na viongozi wa Yanga katika ziara yao kwenye Jumba la Mwananchi.
Msafara huu leo umepata fursa ya kutembelea baadhi ya vivutio na kumbukumbu muhimu za kihistoria Zanzibar na hili ni jengo la kumbukumbu muhimu za wafalme waliotawala Zanzibar.
Moja kati ya kumbukumbu zilizopo hapa ni makaburi ya familia za wafalme hao.
Ziara hii ni moja kati ya zawadi kutoka kwa Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi kwa timu zitakazoingia nusu fainali ya Kombe la Muungano.
#MuunganoCup2026 #KombeLaMuungano #SokaLinatuunganisha.
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
️️➟ @HabariTz ✰✰✰
Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, CHADEMA, kimekataa kutambua ripoti ya tume ya uchunguzi iliyoundwa na Rais Samia Suluhu Hassan, kikisema mchakato mzima haukuwa huru wala wa haki.
Makamu mwenyekiti @hechejohn amesema si rahisi kujichunguza mwenyewe:
-
-
Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, CHADEMA, kimekataa kutambua ripoti ya tume ya uchunguzi iliyoundwa na Rais Samia Suluhu Hassan, kikisema mchakato mzima haukuwa huru wala wa haki.
Makamu mwenyekiti @hechejohn amesema si rahisi kujichunguza mwenyewe:
-
-