This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
️️➟ @HabariTz ✰✰✰
WALIMU WASIO NA AJIRA (NETO) WAPONGEZA 4R ZA RAIS SAMIA, WAIMWAGIA SIFA SERIKALI KWA KUWASIKILIZA
WALIMU WASIO NA AJIRA (NETO) WAPONGEZA 4R ZA RAIS SAMIA, WAIMWAGIA SIFA SERIKALI KWA KUWASIKILIZA
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
️️➟ @HabariTz ✰✰✰
Uhaba wa maji mkoani Kagera, Tanzania
Uharibifu wa vyanzo vya maji unachangia katika uhaba wa maji Kagera, Tanzania. Wakati nchi zikiendelea kuhimizwa kulinda mazingira ili kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi, nchi na jamii zinajizatiti kuchukua hatua ili kuhakikisha jamii inatambua jukumu lake katika kulinda mazingira.
Uhaba wa maji mkoani Kagera, Tanzania
Uharibifu wa vyanzo vya maji unachangia katika uhaba wa maji Kagera, Tanzania. Wakati nchi zikiendelea kuhimizwa kulinda mazingira ili kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi, nchi na jamii zinajizatiti kuchukua hatua ili kuhakikisha jamii inatambua jukumu lake katika kulinda mazingira.
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
️️➟ @HabariTz ✰✰✰
Real Madrid na Arsenal kuchuana kwenye robo fainali
Jumla ya timu nane tayari zimejikatia tiketi ya robo fainali ya ligi ya mabingwa Ulaya, ikiwa ni pamoja na Bayern Munich, Borussia Dortmund, Arsenal, Aston Villa, Barcelona, Real Madrid, na Paris St Germain. Je ni nani atatamba? #DWMichezo
Real Madrid na Arsenal kuchuana kwenye robo fainali
Jumla ya timu nane tayari zimejikatia tiketi ya robo fainali ya ligi ya mabingwa Ulaya, ikiwa ni pamoja na Bayern Munich, Borussia Dortmund, Arsenal, Aston Villa, Barcelona, Real Madrid, na Paris St Germain. Je ni nani atatamba? #DWMichezo
️️➟ @HabariTz ✰✰✰
millardayo
Pengine wengine walionesha kukujali siku ya Valentine’s pekee ila Mtandao wa YAS wana mahaba na wewe katika siku zote 366 za mwaka kwasababu wanataka unukie uturi wa YAS muda wote na ndio maana pia bufee lao halikauki misosi ya kututabasamisha kila siku hata jua liwe kali vipi.
Kampuni hiyo ya Mawasiliano ya YAS ( @YasTanzania_ ) imetangaza ofa yake mpya kuwa Wateja wake watakaonunua tiketi za kusafiria Treni ya Mwendokasi ( SGR) kila Ijumaa kwa kutumia MIXX by YAS watarudishiwa pesa zao.
Hii inamaanisha utarudishiwa pesa yako yote kila unaponunua tiketi zote za kusafiri na SGR siku ya Ijumaa bila kujalisha kuwa umekata tiketi siku gani, mfano ukikata tiketi yako Jumatatu lakini ikawa inahusu safari ya Ijumaa basi utarudishiwa pesa yako kwa asilimia 100 ikiwa utakuwa miongoni mwa Watu 100 wa kwanza kununua tiketi.
“Ukitumia MIXX BY YAS kulipia tiketi yako inayohusu safari yako ya siku ya Ijumaa ya wiki hii na Ijumaa zijazo utarudishiwa pesa yako kwa asilimia 100, haijalishi..
millardayo
Pengine wengine walionesha kukujali siku ya Valentine’s pekee ila Mtandao wa YAS wana mahaba na wewe katika siku zote 366 za mwaka kwasababu wanataka unukie uturi wa YAS muda wote na ndio maana pia bufee lao halikauki misosi ya kututabasamisha kila siku hata jua liwe kali vipi.
Kampuni hiyo ya Mawasiliano ya YAS ( @YasTanzania_ ) imetangaza ofa yake mpya kuwa Wateja wake watakaonunua tiketi za kusafiria Treni ya Mwendokasi ( SGR) kila Ijumaa kwa kutumia MIXX by YAS watarudishiwa pesa zao.
Hii inamaanisha utarudishiwa pesa yako yote kila unaponunua tiketi zote za kusafiri na SGR siku ya Ijumaa bila kujalisha kuwa umekata tiketi siku gani, mfano ukikata tiketi yako Jumatatu lakini ikawa inahusu safari ya Ijumaa basi utarudishiwa pesa yako kwa asilimia 100 ikiwa utakuwa miongoni mwa Watu 100 wa kwanza kununua tiketi.
“Ukitumia MIXX BY YAS kulipia tiketi yako inayohusu safari yako ya siku ya Ijumaa ya wiki hii na Ijumaa zijazo utarudishiwa pesa yako kwa asilimia 100, haijalishi..
️️➟ @HabariTz ✰✰✰
millardayo
Msafara wa Viongozi wa ACT Wazalendo ukiongozwa na Kiongozi wa Chama Dorothy Semu na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar ambaye pia ni Mwenyekiti wa ACT Othman Masoud Othman pamoja na msafara wa Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu, umezuiwa kuingia nchini Angola na Mamlaka za Serikali ya Angola.
Taarifa iliyotolewa na Katibu wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa ACT, Mwanaisha Mndeme leo March 13,2025 imesema Viongozi hao wanashikiliwa katika Uwanja wa Ndege wa Luanda na hati zao za kusafiria zinashikiliwa, Serikali ya Angola, bila kueleza sababu yoyote imetoa amri ya Viongozi hao kurejeshwa Tanzania.
Viongozi hao waliwasili Angola kushiriki mazungumzo ya Jukwaa la Demokrasia Afrika The Platform for African Democrats (PAD) yaliyoandaliwa na Taasisi ya The Brenthurst Foundation yaliyopangwa kufanyika kuanzia March 13-16, 2025 ambapo mbali na Viongozi hao, Viongozi wengine zaidi ya 40 kutoka nchi mbalimbali Afrika ambao pia walikuwa wanahudhuria mkutano huo wamezuiliwa..
millardayo
Msafara wa Viongozi wa ACT Wazalendo ukiongozwa na Kiongozi wa Chama Dorothy Semu na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar ambaye pia ni Mwenyekiti wa ACT Othman Masoud Othman pamoja na msafara wa Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu, umezuiwa kuingia nchini Angola na Mamlaka za Serikali ya Angola.
Taarifa iliyotolewa na Katibu wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa ACT, Mwanaisha Mndeme leo March 13,2025 imesema Viongozi hao wanashikiliwa katika Uwanja wa Ndege wa Luanda na hati zao za kusafiria zinashikiliwa, Serikali ya Angola, bila kueleza sababu yoyote imetoa amri ya Viongozi hao kurejeshwa Tanzania.
Viongozi hao waliwasili Angola kushiriki mazungumzo ya Jukwaa la Demokrasia Afrika The Platform for African Democrats (PAD) yaliyoandaliwa na Taasisi ya The Brenthurst Foundation yaliyopangwa kufanyika kuanzia March 13-16, 2025 ambapo mbali na Viongozi hao, Viongozi wengine zaidi ya 40 kutoka nchi mbalimbali Afrika ambao pia walikuwa wanahudhuria mkutano huo wamezuiliwa..
️️➟ @HabariTz ✰✰✰
TRT Afrika Swahili
Soka ni mchezo unaohusisha matumizi makubwa ya fedha.
Kutoka wachezaji wanaolipwa fedha nyingi, hadi klabu zenye kuingiza pesa nyingi, mchezo wa kandanda unaendelea kujizoelea umaarufu duniani.
Kwa sasa, hizi ndizo klabu zenye kuingiza mapato makubwa zaidi ulimwenguni.
TRT Afrika Swahili
Soka ni mchezo unaohusisha matumizi makubwa ya fedha.
Kutoka wachezaji wanaolipwa fedha nyingi, hadi klabu zenye kuingiza pesa nyingi, mchezo wa kandanda unaendelea kujizoelea umaarufu duniani.
Kwa sasa, hizi ndizo klabu zenye kuingiza mapato makubwa zaidi ulimwenguni.
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
️️➟ @HabariTz ✰✰✰
TRT Afrika Swahili
Uteuzi wa Elon Musk kuongoza idara ya kubana matumizi ya serikali na kuongeza ufanisi (DOGE), umeibua mjadala mkubwa nchini Marekani kuhusu ushawishi wa Musk kwa Rais Trump na utawala wake
TRT Afrika Swahili
Uteuzi wa Elon Musk kuongoza idara ya kubana matumizi ya serikali na kuongeza ufanisi (DOGE), umeibua mjadala mkubwa nchini Marekani kuhusu ushawishi wa Musk kwa Rais Trump na utawala wake
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
️️➟ @HabariTz ✰✰✰
Vikosi vya SADC vyasitisha operesheni DRC
Jumuiya ya maendeleo ya nchi za kusini mwa Afrika SADC imechukua uamuzi wa kusitisha uwepo wa kikosi chake huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo baada ya kuwapoteza mwezi Januari, zaidi ya wanajeshi kumi katika vita kwenye eneo hilo.
Vikosi vya SADC vyasitisha operesheni DRC
Jumuiya ya maendeleo ya nchi za kusini mwa Afrika SADC imechukua uamuzi wa kusitisha uwepo wa kikosi chake huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo baada ya kuwapoteza mwezi Januari, zaidi ya wanajeshi kumi katika vita kwenye eneo hilo.
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
️️➟ @HabariTz ✰✰✰
Uamuzi wa SADC utaathiri vipi usalama nchini Kongo?
SADC imeamua kuondoa vikosi vyake vya usalama nchini DR Congo. Hii itaathiri vipi hali ya usalama mnamo wakati waasi wakiendelea kuyateka maeneo kadhaa? Awali vikosi vya Afrika Mashariki pia vililazimika kuondoka DRC vilevile vikosi vya MONUSCO. Je ni kwa nini vikosi vya nje vimeshindwa kuipa Congo Usaidizi?
Uamuzi wa SADC utaathiri vipi usalama nchini Kongo?
SADC imeamua kuondoa vikosi vyake vya usalama nchini DR Congo. Hii itaathiri vipi hali ya usalama mnamo wakati waasi wakiendelea kuyateka maeneo kadhaa? Awali vikosi vya Afrika Mashariki pia vililazimika kuondoka DRC vilevile vikosi vya MONUSCO. Je ni kwa nini vikosi vya nje vimeshindwa kuipa Congo Usaidizi?
️️➟ @HabariTz ✰✰✰
TRT Afrika Swahili
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) cha nchini Tanzania Tundu Lissu, pamoja na wanasiasa wengine wa upinzani barani Afrika, wamezuiwa kuingia Angola na mamlaka za uhamiaji za nchi hiyo.
Lissu, akiwa na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Othman Masoud Othman, Bobi Wine wa Uganda, Edwin Sifuna kutoka Kenya na Venâncio Mondlane wa Msumbiji, walizuiwa katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Quatro de Fevereiro ulioko jijini Luanda.
Wanasiasa hao walikuwa wamealikwa na chama kikuu cha upinzani nchini Angola cha UNITA kwa ajili ya kongamano la kidemokrasia.
TRT Afrika Swahili
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) cha nchini Tanzania Tundu Lissu, pamoja na wanasiasa wengine wa upinzani barani Afrika, wamezuiwa kuingia Angola na mamlaka za uhamiaji za nchi hiyo.
Lissu, akiwa na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Othman Masoud Othman, Bobi Wine wa Uganda, Edwin Sifuna kutoka Kenya na Venâncio Mondlane wa Msumbiji, walizuiwa katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Quatro de Fevereiro ulioko jijini Luanda.
Wanasiasa hao walikuwa wamealikwa na chama kikuu cha upinzani nchini Angola cha UNITA kwa ajili ya kongamano la kidemokrasia.
️️➟ @HabariTz ✰✰✰
millardayo
Katika kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, taasisi ya DADA HOOD @dadahoodtz iliandaa semina yenye kaulimbiu “MWANAMKE NI CHAPA, AMUA SASA!” kupitia The Orange Concert 2025 – Tabora Edition iliyofanyika Machi 8, 2025 katika ukumbi wa Restilemi Hotel Tabora.
Semina hiyo imewakutanisha Wanawake kutoka sekta mbalimbali wakijadili njia za kujijenga kiuchumi, kijamii na kitaaluma ambapo Mkurugenzi wa DADA HOOD, Mamy Baby @mamybabytz akichukua fursa hiyo kuwasihi Wanawake kujitambua, kujiamini na kuchukua hatua madhubuti katika maisha yao, vilevile Muigizaji Irene Paul mmoja wa Wageni waalikwa akisisitiza umuhimu wa uthubutu na kutumia rasilimali zilizopo kujitengenezea fursa za maendeleo.
Aidha Washiriki wa semina hiyo wamepata nafasi ya kushirikishana uzoefu na kujadili mbinu bora za kujikwamua kiuchumi wakipata ushauri wa kuwa chapa imara kwa kuwekeza katika maendeleo yao binafsi na kusaidiana kuinua Wanawake wenzao.
#MillardAyoUPDATES
millardayo
Katika kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, taasisi ya DADA HOOD @dadahoodtz iliandaa semina yenye kaulimbiu “MWANAMKE NI CHAPA, AMUA SASA!” kupitia The Orange Concert 2025 – Tabora Edition iliyofanyika Machi 8, 2025 katika ukumbi wa Restilemi Hotel Tabora.
Semina hiyo imewakutanisha Wanawake kutoka sekta mbalimbali wakijadili njia za kujijenga kiuchumi, kijamii na kitaaluma ambapo Mkurugenzi wa DADA HOOD, Mamy Baby @mamybabytz akichukua fursa hiyo kuwasihi Wanawake kujitambua, kujiamini na kuchukua hatua madhubuti katika maisha yao, vilevile Muigizaji Irene Paul mmoja wa Wageni waalikwa akisisitiza umuhimu wa uthubutu na kutumia rasilimali zilizopo kujitengenezea fursa za maendeleo.
Aidha Washiriki wa semina hiyo wamepata nafasi ya kushirikishana uzoefu na kujadili mbinu bora za kujikwamua kiuchumi wakipata ushauri wa kuwa chapa imara kwa kuwekeza katika maendeleo yao binafsi na kusaidiana kuinua Wanawake wenzao.
#MillardAyoUPDATES
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
️️➟ @HabariTz ✰✰✰
MAJESHI YA TANZANIA SAMIDRC WAANGUKIA PUA, WATANGAZA KUJIONDOA DRC, USHINDI KWA M23 ?!!
MAJESHI YA TANZANIA SAMIDRC WAANGUKIA PUA, WATANGAZA KUJIONDOA DRC, USHINDI KWA M23 ?!!
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
️️➟ @HabariTz ✰✰✰
Kwanini vikosi vya SADC vinaondoka DRC?
Vikosi vya kijeshi Jumuiya ya maendelo ya mataifa ya Afrika Kusini SADC vinatarajiwa kuondoka mashariki mwa DRC kwa awamu, baada ya kikao cha dharura cha Marais kusitisha misheni ya kikosi chake cha kulinda amani maarufu kama SAMIDRC.
Kwanini vikosi vya SADC vinaondoka DRC?
Vikosi vya kijeshi Jumuiya ya maendelo ya mataifa ya Afrika Kusini SADC vinatarajiwa kuondoka mashariki mwa DRC kwa awamu, baada ya kikao cha dharura cha Marais kusitisha misheni ya kikosi chake cha kulinda amani maarufu kama SAMIDRC.
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
️️➟ @HabariTz ✰✰✰
Shambulizi la wanamgambo katika hoteli laua idadi ya watu isiyojulikana
Bomu la kwenye gari lilipuka Jumanne katika hoteli moja mjiniBeledweyne, katikati mwa Somalia, na kusababisha shambulizi lawanamgambo lililodumu kwa saa kadhaa na kuua idadiisiyojulikana ya watu.
Majeshi ya Somalia yaliendelea na juhudi za kuwafurushawashambuliaji Jumanne jioni baada ya mapigano makali.
Hoteli ya Cairo inatumiwa na viongozi wa kijadi na maafisa wajeshi ambao wanahusika na uratibu wa mashambulizi ya serikalidhidi ya kikundi cha wanamgambo wa al-Shabaab.
Kikundi cha al-Shabaab chenye uhusiano na al-Qaida kilidaikuhusika na shambulizi hilo.
Beledweyne, iko kiasi cha kilometa 335 kaskazini mwa mjimkuu, Mogadishu, ni mji mkuu wa mkoa wa Hiran na eneo lakimkakati katika kampeni inayoendelea dhidi ya al-Shabaab.(AP)
Shambulizi la wanamgambo katika hoteli laua idadi ya watu isiyojulikana
Bomu la kwenye gari lilipuka Jumanne katika hoteli moja mjiniBeledweyne, katikati mwa Somalia, na kusababisha shambulizi lawanamgambo lililodumu kwa saa kadhaa na kuua idadiisiyojulikana ya watu.
Majeshi ya Somalia yaliendelea na juhudi za kuwafurushawashambuliaji Jumanne jioni baada ya mapigano makali.
Hoteli ya Cairo inatumiwa na viongozi wa kijadi na maafisa wajeshi ambao wanahusika na uratibu wa mashambulizi ya serikalidhidi ya kikundi cha wanamgambo wa al-Shabaab.
Kikundi cha al-Shabaab chenye uhusiano na al-Qaida kilidaikuhusika na shambulizi hilo.
Beledweyne, iko kiasi cha kilometa 335 kaskazini mwa mjimkuu, Mogadishu, ni mji mkuu wa mkoa wa Hiran na eneo lakimkakati katika kampeni inayoendelea dhidi ya al-Shabaab.(AP)
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
️️➟ @HabariTz ✰✰✰
millardayo
Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa mwaka 2025/26, imetenga takribani shilingi bilioni moja na milioni 500 kwa ajili ya uimarishaji wa mtandao wa barabara za ndani kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Nzega mkoani Tabora.
Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa Majaliwa wakati wa ziara yake ya kikazi Tabora leo akieleza kuwa yote hayo ni muendelezo wa utekelezaji wa dhamira ya Rais Samia Suluhu Hassan katika kuiunganisha Mikoa yote nchini kwa barabara za lami pamoja na kuzijenga na kukarabati barabara za ndani ili ziweze kutumika nyakati zote.
Akiongea na maelfu ya Wakazi wa Nzega Mjini wakati wa uzinduzi wa Kituo cha mabasi Nzega Mjini, Majaliwa pia amesema kazi hiyo inaenda sambamba na uimarishaji wa huduma ya usafiri na usafirishaji katika maeneo mengine ikiwemo ununuzi wa ndege na upanuzi wa viwanja vya ndege pamoja na ujenzi wa reli na ununuzi wa mabehewa na treni kwaajili ya kusafirisha abiria na bidhaa mbalimbali.
#MillardAyoUPDATES
millardayo
Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa mwaka 2025/26, imetenga takribani shilingi bilioni moja na milioni 500 kwa ajili ya uimarishaji wa mtandao wa barabara za ndani kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Nzega mkoani Tabora.
Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa Majaliwa wakati wa ziara yake ya kikazi Tabora leo akieleza kuwa yote hayo ni muendelezo wa utekelezaji wa dhamira ya Rais Samia Suluhu Hassan katika kuiunganisha Mikoa yote nchini kwa barabara za lami pamoja na kuzijenga na kukarabati barabara za ndani ili ziweze kutumika nyakati zote.
Akiongea na maelfu ya Wakazi wa Nzega Mjini wakati wa uzinduzi wa Kituo cha mabasi Nzega Mjini, Majaliwa pia amesema kazi hiyo inaenda sambamba na uimarishaji wa huduma ya usafiri na usafirishaji katika maeneo mengine ikiwemo ununuzi wa ndege na upanuzi wa viwanja vya ndege pamoja na ujenzi wa reli na ununuzi wa mabehewa na treni kwaajili ya kusafirisha abiria na bidhaa mbalimbali.
#MillardAyoUPDATES