MOROGORO: GARI LA KWENYE MSAFARA WA IGP SIRRO LAGONGA MTOTO, AFARIKI
- Jackline Samwel (9), amefariki baada ya kugongwa na gari lililokuwa katika msafara wa IGP Simon Sirro
- Amegongwa wakati akivuka barabara baada ya kutoka kununua maji
Zaidi, soma https://jamii.app/MsafaraSirroWaua
- Jackline Samwel (9), amefariki baada ya kugongwa na gari lililokuwa katika msafara wa IGP Simon Sirro
- Amegongwa wakati akivuka barabara baada ya kutoka kununua maji
Zaidi, soma https://jamii.app/MsafaraSirroWaua
TAASISI 58 ZATOA GAWIO KWA SERIKALI BAADA YA KUPEWA SIKU 60
- Taasisi 58 ambazo zilikuwa hazijatoa gawio kwa Serikali zimetoa jumla ya Tsh. Bilioni 12.12
- Ni kati ya Kampuni na Taasisi 187 zilizopewa siku 60 na Rais Magufuli kutoa gawio
Zaidi, soma https://jamii.app/GawioKampuni58
- Taasisi 58 ambazo zilikuwa hazijatoa gawio kwa Serikali zimetoa jumla ya Tsh. Bilioni 12.12
- Ni kati ya Kampuni na Taasisi 187 zilizopewa siku 60 na Rais Magufuli kutoa gawio
Zaidi, soma https://jamii.app/GawioKampuni58
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
ALGERIA: ASILIMIA 20 YA WAPIGA KURA WAJITOKEZA KUPIGA KURA
- Watu wote wenye uwezo wa kupiga kura katika Uchaguzi huo Mkuu ni Milioni 24
- Wananchi wamejitokeza katika Mitaa ya Mji Mkuu wa nchi hiyo, Algiers kupinga Uchaguzi huo unaoendelea
Zaidi, soma https://jamii.app/UchaguziAlgeria
- Watu wote wenye uwezo wa kupiga kura katika Uchaguzi huo Mkuu ni Milioni 24
- Wananchi wamejitokeza katika Mitaa ya Mji Mkuu wa nchi hiyo, Algiers kupinga Uchaguzi huo unaoendelea
Zaidi, soma https://jamii.app/UchaguziAlgeria
KENYA: MBARONI AKIDAIWA KUMUUA MUMEWE
- Mercy Rita Wanjiru (21) anadaiwa kumchoma kisu kifuani Kevin Kuria (23), alipojaribu kumzuia asiondoke nyumbani
- Inaelezwa kuwa, Mercy alitaka kuondoka kutokana na ugomvi usioisha baina yake na Kevin
Zaidi, soma https://jamii.app/MbaroniKuuaMume-KE
- Mercy Rita Wanjiru (21) anadaiwa kumchoma kisu kifuani Kevin Kuria (23), alipojaribu kumzuia asiondoke nyumbani
- Inaelezwa kuwa, Mercy alitaka kuondoka kutokana na ugomvi usioisha baina yake na Kevin
Zaidi, soma https://jamii.app/MbaroniKuuaMume-KE
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
NDEGE YA TANZANIA ILIYOKUWA IKISHIKILIWA CANADA YAANZA SAFARI
- Ndege mpya, Bombardier Q400 iliyokuwa ikishikiliwa kutokana na madai ya Mkulima, Hermanus Steyn imeanza safari kuja Tanzania
- Ndege hiyo inatarajiwa kuwasili Disemba 14, 2019 na itapokelewa jijini Mwanza
- Ndege mpya, Bombardier Q400 iliyokuwa ikishikiliwa kutokana na madai ya Mkulima, Hermanus Steyn imeanza safari kuja Tanzania
- Ndege hiyo inatarajiwa kuwasili Disemba 14, 2019 na itapokelewa jijini Mwanza
TUHUMA ZA RUSHWA YA NGONO SEKTA YA AFYA: TAARIFA ZAIDI ZINAHITAJIKA
> Kumekuwa na tuhuma ambazo zimekuwa zikisambaa kwenye Mtandao wa JamiiForums zikielekezwa kwa Madaktari wa Hospitali ya Rufaa ya Mbeya
> Vyombo vya Dola vimeziona tuhuma hizo (katika JF) na Mamlaka zinahitaji wenye taarifa za kina zinazoweza kuwasaidia wachunguzi wazilete taarifa hizo zikiwa detailed (hata kama kuna viambatanisho zaidi) ili wahusika/watuhumiwa wachukuliwe hatua stahiki
> Tuma Barua Pepe sensitive@jamiiforums.com au uwasiliane na Waziri wa Afya (Ummy Mwalimu) kwa DM Twitter (@umwalimu) au Instagram (@ummymwalimu)
Soma https://jamii.app/RushwaYaNgonoMbeya
> Kumekuwa na tuhuma ambazo zimekuwa zikisambaa kwenye Mtandao wa JamiiForums zikielekezwa kwa Madaktari wa Hospitali ya Rufaa ya Mbeya
> Vyombo vya Dola vimeziona tuhuma hizo (katika JF) na Mamlaka zinahitaji wenye taarifa za kina zinazoweza kuwasaidia wachunguzi wazilete taarifa hizo zikiwa detailed (hata kama kuna viambatanisho zaidi) ili wahusika/watuhumiwa wachukuliwe hatua stahiki
> Tuma Barua Pepe sensitive@jamiiforums.com au uwasiliane na Waziri wa Afya (Ummy Mwalimu) kwa DM Twitter (@umwalimu) au Instagram (@ummymwalimu)
Soma https://jamii.app/RushwaYaNgonoMbeya
JAPAN: WAZEE WATUMIA 'EXOSKELETONS' ILI WACHELEWE KUSTAAFU
- Wanavaa vifaa hivyo ili kuendana na mahitaji ya kazi na kukaa kwenye kazi kwa muda mrefu
- Vifaa hivyo vinawaongezea nguvu vikiwasaidia kukimbia haraka na kubeba vitu nzito
Zaidi, soma https://jamii.app/ExoskeletonJapan
- Wanavaa vifaa hivyo ili kuendana na mahitaji ya kazi na kukaa kwenye kazi kwa muda mrefu
- Vifaa hivyo vinawaongezea nguvu vikiwasaidia kukimbia haraka na kubeba vitu nzito
Zaidi, soma https://jamii.app/ExoskeletonJapan
HALIMA MDEE ASHINDA UENYEKITI WA BAWACHA
- Mbunge wa Kawe, Halima Mdee amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake CHADEMA (BAWACHA)
- Hawa Mwaifunga ni Makamu Mwenyekiti Bara na Sharifa Suleiman Suleiman ni Makamu Mwenyekiti Zanzibar
Zaidi, soma https://jamii.app/UchaguziBawacha2019
- Mbunge wa Kawe, Halima Mdee amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake CHADEMA (BAWACHA)
- Hawa Mwaifunga ni Makamu Mwenyekiti Bara na Sharifa Suleiman Suleiman ni Makamu Mwenyekiti Zanzibar
Zaidi, soma https://jamii.app/UchaguziBawacha2019
UINGEREZA: BORIS JOHNSON ASHINDA UCHAGUZI, AAHIDI KUKAMILISHA MCHAKATO WA 'BREXIT' JANUARI 31, 2020
- Chama cha Conservatives kimepata viti 364 vya Wabunge wakati Labour kikipata 203, SNP 48, Liberal Democrats 11 na DUP 8
Soma => https://jamii.app/BorisAshinda
#UKElection #JFLeo
- Chama cha Conservatives kimepata viti 364 vya Wabunge wakati Labour kikipata 203, SNP 48, Liberal Democrats 11 na DUP 8
Soma => https://jamii.app/BorisAshinda
#UKElection #JFLeo
UCHAGUZI MKUU ALGERIA: ABDELMADJID TEBBOUNE ACHAGULIWA KUWA RAIS
- Abdelmadjid Tebboune ameshinda kiti hicho kwa kupata asilimia 58.1% ya kura zote
- Alikuwa Waziri Mkuu(Mei 2017-Agosti 2017), Waziri wa Makazi (2001 - 2002 na 2012 - 2017).
Soma > https://jamii.app/TebbouneAshindaUrais
- Abdelmadjid Tebboune ameshinda kiti hicho kwa kupata asilimia 58.1% ya kura zote
- Alikuwa Waziri Mkuu(Mei 2017-Agosti 2017), Waziri wa Makazi (2001 - 2002 na 2012 - 2017).
Soma > https://jamii.app/TebbouneAshindaUrais
MBEYA: MHANDISI WA MRADI WA MAJI MBARONI KWA KULA BILIONI 3 ZA MRADI
- Waziri wa Maji, Prof. Makame Mbarawa ameamuru kuwekwa mahabusu Mhandisi Alistides Kanyomo
- Pia, Mhandisi huyo amedai kujenga ofisi ya muda ya mabati kwa Tsh. Milioni 100
Zaidi, soma https://jamii.app/MhandisiMbaroniFedha
- Waziri wa Maji, Prof. Makame Mbarawa ameamuru kuwekwa mahabusu Mhandisi Alistides Kanyomo
- Pia, Mhandisi huyo amedai kujenga ofisi ya muda ya mabati kwa Tsh. Milioni 100
Zaidi, soma https://jamii.app/MhandisiMbaroniFedha
UHURU WA VYOMBO VYA HABARI KATIKA RASIMU YA KATIBA CHINI YA TUME YA JAJI WARIOBA
- Ibara ya 31 -(1) Kila mtu ana haki na uhuru wa kutafuta na kupata habari kupitia Vyombo vya Habari na njia nyingine za upashanaji wa habari bila kujali mipaka ya nchi
- (2) Vyombo vya Habari vitakuwa huru na vitakuwa na haki ya kupata, kutumia na kusambaza habari na taarifa wanazozipata na kuanzisha
- Serikali na Taasisi zake, Asasi za Kiraia na Watu Binafsi watakuwa na wajibu wa kutoa habari juu ya utekelezaji wa kazi zao
- #Katiba ya sasa haijaainisha jambo hili
Soma > https://jamii.app/UhuruHabariKatibaMpya
- Ibara ya 31 -(1) Kila mtu ana haki na uhuru wa kutafuta na kupata habari kupitia Vyombo vya Habari na njia nyingine za upashanaji wa habari bila kujali mipaka ya nchi
- (2) Vyombo vya Habari vitakuwa huru na vitakuwa na haki ya kupata, kutumia na kusambaza habari na taarifa wanazozipata na kuanzisha
- Serikali na Taasisi zake, Asasi za Kiraia na Watu Binafsi watakuwa na wajibu wa kutoa habari juu ya utekelezaji wa kazi zao
- #Katiba ya sasa haijaainisha jambo hili
Soma > https://jamii.app/UhuruHabariKatibaMpya
RASIMU YA KATIBA CHINI YA TUME YA JAJI WARIOBA: HAKI YA WAPIGA KURA KUMWAJIBISHA MBUNGE WAO
- Ibara ya 129 -(1): Wananchi wanahaki ya kumuondoa Mbunge wao madarakani, kama; (a) ataunga mkono sera ambazo zinaenda kinyume na maslahi ya wapiga kura au Taifa
- (b) Atashindwa kuwasilisha au kutetea kwa dhati hoja zinazotokana na kero za wapiga kura wake
- (c) Ataacha kuishi au kuhamisha makazi yake kutoka eneo la Jimbo la Uchaguzi kwa zaidi ya miezi sita bila sababu za msingi
Soma > https://jamii.app/WabungeVsWapigaKura
- Ibara ya 129 -(1): Wananchi wanahaki ya kumuondoa Mbunge wao madarakani, kama; (a) ataunga mkono sera ambazo zinaenda kinyume na maslahi ya wapiga kura au Taifa
- (b) Atashindwa kuwasilisha au kutetea kwa dhati hoja zinazotokana na kero za wapiga kura wake
- (c) Ataacha kuishi au kuhamisha makazi yake kutoka eneo la Jimbo la Uchaguzi kwa zaidi ya miezi sita bila sababu za msingi
Soma > https://jamii.app/WabungeVsWapigaKura
MZEE MAKAMBA, KINANA NA MEMBE WATAITWA CCM KUHOJIWA
- Halmashauri Kuu ya CCM imewaita Wanachama hao katika Kamati ya Usalama na Maadili ya Taifa ya CCM
- Wameitwa kujibu tuhuma za kimaadili zinazowakabili kwa mujibu wa Katiba ya Chama hicho
Zaidi, soma https://jamii.app/KinanaMakambaMembe
- Halmashauri Kuu ya CCM imewaita Wanachama hao katika Kamati ya Usalama na Maadili ya Taifa ya CCM
- Wameitwa kujibu tuhuma za kimaadili zinazowakabili kwa mujibu wa Katiba ya Chama hicho
Zaidi, soma https://jamii.app/KinanaMakambaMembe
MAMA WA ERICK KABENDERA AMUOMBEA MWANAYE MSAMAHA
- Verdiana Mjwahuzi (81) amemuomba Rais Magufuli amsamehe Erick anayemsaidia katika matibabu
- Amesema, "Nilipomuona mwanangu sikujua kama ni yeye, amekonda na ana nywele nyingi kama mwehu.“
Zaidi, soma https://jamii.app/MamaKabenderaMsamahaRais
- Verdiana Mjwahuzi (81) amemuomba Rais Magufuli amsamehe Erick anayemsaidia katika matibabu
- Amesema, "Nilipomuona mwanangu sikujua kama ni yeye, amekonda na ana nywele nyingi kama mwehu.“
Zaidi, soma https://jamii.app/MamaKabenderaMsamahaRais
MPYA: Kamati ya Mahakama imepitisha Makala zinazohusu kumuondoa Rais Donald Trump Madarakani
- Wiki ijayo Makala hizo zitawasilishwa kwa Wawakilishi wa vyama ili wazipigiwe kura
Zaidi, soma https://jamii.app/TrumpImpeachmentApproved
- Wiki ijayo Makala hizo zitawasilishwa kwa Wawakilishi wa vyama ili wazipigiwe kura
Zaidi, soma https://jamii.app/TrumpImpeachmentApproved
BODI ZA MAZAO NCHINI KUUNGANISHWA NA KUBAKIZA BODI 3
- Ambazo ni Bodi ya Mazao ya Kimkakati kama Kahawa, Pamba, Mkonge, Tumbaku, Pareto, Korosho na Mchikichi
- Bodi ya Mazao ya Nafaka, Mbogamboga na Matunda na Bodi ya tatu itakuwa ya Sukari
Zaidi, soma https://jamii.app/Bodi3Mazao
- Ambazo ni Bodi ya Mazao ya Kimkakati kama Kahawa, Pamba, Mkonge, Tumbaku, Pareto, Korosho na Mchikichi
- Bodi ya Mazao ya Nafaka, Mbogamboga na Matunda na Bodi ya tatu itakuwa ya Sukari
Zaidi, soma https://jamii.app/Bodi3Mazao
MWANACHAMA MKONGWE WA YANGA MZEE AKILIMALI AFARIKI
- Aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa Klabu ya Yanga, Mzee Ibrahim Akilimali amefariki leo alfajiri
- Amefariki katika hospitali ya Wilaya ya Bagamoyo, mkoani Pwani
Zaidi, soma https://jamii.app/MzeeAkilimaliAfariki
- Aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa Klabu ya Yanga, Mzee Ibrahim Akilimali amefariki leo alfajiri
- Amefariki katika hospitali ya Wilaya ya Bagamoyo, mkoani Pwani
Zaidi, soma https://jamii.app/MzeeAkilimaliAfariki
UN: SHERIA MPYA YA URAIA NCHINI INDIA NI YA KIBAGUZI
- UN imesema sheria hiyo ina misingi ya kibaguzi kwa kuwa inawatenga Waislam
- Sheria hiyo inaongeza mchakato wa Uraia kwa makundi ya walio wachache waliokimbia kutoka nchi kama Pakistani
Zaidi, soma https://jamii.app/UNSheriaUraiaInabagua
- UN imesema sheria hiyo ina misingi ya kibaguzi kwa kuwa inawatenga Waislam
- Sheria hiyo inaongeza mchakato wa Uraia kwa makundi ya walio wachache waliokimbia kutoka nchi kama Pakistani
Zaidi, soma https://jamii.app/UNSheriaUraiaInabagua