SIMU ZENYE iOS CHINI YA 9, ANDROID 2.3.7 NA WINDOW KUTOWEZA KUTUMIA WHATSAPP
> Hadi kufikia Februari 1, 2020, programu ya WhatsApp itakuwa inafanya kazi kwenye simu za iPhone zenye mfumo wa kuanzia iOS 9 na kuendelea
> Aidha hadi kufikia Desemba 2019 itasitisha kabisa upatikanaji wa programu yake kwenye simu za Window zote na Android 2.3 (Gingerbread)
Soma - https://jamii.app/WhatsAppDiscontinueAccess
#JFTeknolojia
> Hadi kufikia Februari 1, 2020, programu ya WhatsApp itakuwa inafanya kazi kwenye simu za iPhone zenye mfumo wa kuanzia iOS 9 na kuendelea
> Aidha hadi kufikia Desemba 2019 itasitisha kabisa upatikanaji wa programu yake kwenye simu za Window zote na Android 2.3 (Gingerbread)
Soma - https://jamii.app/WhatsAppDiscontinueAccess
#JFTeknolojia
MBEYA: ALIYESAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA AHUKUMIWA MIAKA 20 KWA UHUJUMU UCHUMI
> Mahakama Kuu imemhukumu Waziri Mizogi kifungo na kulipa faini ya zaidi ya Milioni 270
> Mizogi amekutwa na hatia ya kusafirisha #DawaZaKulevya aina ya Heroin na Cocaine
Soma > https://jamii.app/MizogiJela
> Mahakama Kuu imemhukumu Waziri Mizogi kifungo na kulipa faini ya zaidi ya Milioni 270
> Mizogi amekutwa na hatia ya kusafirisha #DawaZaKulevya aina ya Heroin na Cocaine
Soma > https://jamii.app/MizogiJela
ARUSHA: MKURUGENZI ALIYEMPIGA RISASI MENEJA AJISALIMISHA POLISI
> Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya ulinzi ya Bonds Security, Frenk Kessy amejikabidhi kituo cha Polisi na kuwekwa mahabusu baada ya kumjeruhi kwa Risasi Meneja wa Kampuni ya Maxshield, Endrew Lubange wakigombea lindo la hoteli
Soma - https://jamii.app/KessyAjisalimishaPolisi
> Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya ulinzi ya Bonds Security, Frenk Kessy amejikabidhi kituo cha Polisi na kuwekwa mahabusu baada ya kumjeruhi kwa Risasi Meneja wa Kampuni ya Maxshield, Endrew Lubange wakigombea lindo la hoteli
Soma - https://jamii.app/KessyAjisalimishaPolisi
GHANA: WAZAZI WAPINGA MPANGO WA ELIMU YA NGONO KWA WANAFUNZI
> Wanadai kuwa programu hiyo iliyoandaliwa na UNESCO inachochea watoto kujiingiza kwenye mapenzi ya jinsia moja au kuwa wanaharakati wa watu wenye jinsia mbili
> Jumuiya ya Walimu wanapinga somo hilo, kwa kuwa hawakushirikishwa kuandaa somo hilo
Soma - https://jamii.app/SexualityEducationRejected
> Wanadai kuwa programu hiyo iliyoandaliwa na UNESCO inachochea watoto kujiingiza kwenye mapenzi ya jinsia moja au kuwa wanaharakati wa watu wenye jinsia mbili
> Jumuiya ya Walimu wanapinga somo hilo, kwa kuwa hawakushirikishwa kuandaa somo hilo
Soma - https://jamii.app/SexualityEducationRejected
MOROCCO: MWANDISHI AHUKUMIWA KWA KUFANYA NGONO NA KUTOA MIMBA
> Hajar Raissouni na mpenziwe, Rifaat Al-Amin wamehukumiwa kifungo cha mwaka 1 akidaiwa kufanya ngono kabla ya ndoa na kutoa mimba
> Daktari anayedaiwa kumtoa mimba hiyo amehukumiwa miaka 2
Soma - https://jamii.app/JournalistJailAbortion
> Hajar Raissouni na mpenziwe, Rifaat Al-Amin wamehukumiwa kifungo cha mwaka 1 akidaiwa kufanya ngono kabla ya ndoa na kutoa mimba
> Daktari anayedaiwa kumtoa mimba hiyo amehukumiwa miaka 2
Soma - https://jamii.app/JournalistJailAbortion
KENYA: GARI LA MAGEREZA LAPATA AJALI, MTUHUMIWA AFARIKI
> Mtu mmoja amefariki na wengine 7 kujeruhiwa baada ya gari la Magereza kupinduka leo katika eneo la Kathageri karibu na Daraja la Thuci, Wilaya ya Embu
> Watuhumiwa hao walikuwa wakisafirishwa kutoka Gereza la Embu kwenda Mahakama za Meru
Soma zaidi - https://jamii.app/AjaliKifoMfungwa
> Mtu mmoja amefariki na wengine 7 kujeruhiwa baada ya gari la Magereza kupinduka leo katika eneo la Kathageri karibu na Daraja la Thuci, Wilaya ya Embu
> Watuhumiwa hao walikuwa wakisafirishwa kutoka Gereza la Embu kwenda Mahakama za Meru
Soma zaidi - https://jamii.app/AjaliKifoMfungwa
FAIDA ZA KUTUMIA ILIKI KIAFYA
> Huipa Figo uwezo wa kuondoa takamwili na kusaidia kuweka sawa mfumo wa mmeng'enyo wa chakula tumboni
> Iliki inasaidia kuondoa hali ya kiungulia/gesi na tatizo la kukosa choo. Saga kisha tumia unga wake kijiko 1 cha chakula ktk maji moto kwa wiki 2
> Kwa kinywa kinachotoa harufu au vidonda tumia unga uliochanganywa na maji ya uvuguvugu kisha sukutua kila siku kwa wiki 3
Fahamu zaidi - https://jamii.app/FaidaIlikiAfya
#JFAfya
> Huipa Figo uwezo wa kuondoa takamwili na kusaidia kuweka sawa mfumo wa mmeng'enyo wa chakula tumboni
> Iliki inasaidia kuondoa hali ya kiungulia/gesi na tatizo la kukosa choo. Saga kisha tumia unga wake kijiko 1 cha chakula ktk maji moto kwa wiki 2
> Kwa kinywa kinachotoa harufu au vidonda tumia unga uliochanganywa na maji ya uvuguvugu kisha sukutua kila siku kwa wiki 3
Fahamu zaidi - https://jamii.app/FaidaIlikiAfya
#JFAfya
DAR: MAJAMBAZI WAWILI WAUAWA NA KUPATIKANA NA SILAHA MBILI AINA YA BASTOLA NA RISASI 5
-
Jeshi la Polisi limefanikiwa kuzima tukio la ujambazi, Mbezi Msakuzi
- Raia wema waliwatonya Polisi kuwa majambazi wamepanga kuvamia SACCOSS ya Msakuzi
Soma > https://jamii.app/MajambaziMsakuzi
-
Jeshi la Polisi limefanikiwa kuzima tukio la ujambazi, Mbezi Msakuzi
- Raia wema waliwatonya Polisi kuwa majambazi wamepanga kuvamia SACCOSS ya Msakuzi
Soma > https://jamii.app/MajambaziMsakuzi
KISUTU, DAR: WANAWAKE WAWILI WALIOENDESHA MCHEZO WA UPATU WAHUKUMIWA MIAKA 20 JELA
> Halima Nsubuga na Magdalena Uhwello wametakiwa kulipa kiasi cha milioni 101 kama faini kwa kosa la utakatishaji fedha
> Walikuwa wakiendesha upatu
Zaidi, soma > https://jamii.app/WanawakeJela
> Halima Nsubuga na Magdalena Uhwello wametakiwa kulipa kiasi cha milioni 101 kama faini kwa kosa la utakatishaji fedha
> Walikuwa wakiendesha upatu
Zaidi, soma > https://jamii.app/WanawakeJela
DAR: WAFANYAKAZI 9 WA NSSF AKIWEMO KAIMU MKURUGENZI WA FEDHA WAFIKISHWA MAHAKAMANI
- Kaimu Mkurugenzi wa Fedha, Jamila Vullu pamoja na watumishi wengine 8 wamefikishwa Mahakamani wakikabiliwa na mashtaka 5 likiwemo la uhujumu uchumi
Soma > https://jamii.app/WatumishiNSSFKisutu
- Kaimu Mkurugenzi wa Fedha, Jamila Vullu pamoja na watumishi wengine 8 wamefikishwa Mahakamani wakikabiliwa na mashtaka 5 likiwemo la uhujumu uchumi
Soma > https://jamii.app/WatumishiNSSFKisutu
KENYA: WATANZANIA WALIOKUWA OMBAOMBA KENYA WARUDISHWA NCHINI
> Emmanuel Masabuko pamoja na msaidizi wake Deus Peter baada ya kukamatwa walifikishwa katika Mahakama ya Bomet kujibu tuhuma dhidi yao
Zaidi, soma => https://jamii.app/OmbaombaTzKenya
> Emmanuel Masabuko pamoja na msaidizi wake Deus Peter baada ya kukamatwa walifikishwa katika Mahakama ya Bomet kujibu tuhuma dhidi yao
Zaidi, soma => https://jamii.app/OmbaombaTzKenya
SERENGETI: TANESCO YAIKATIA UMEME MAMLAKA YA MAJI MUGUMU, WANANCHI WASOTA BILA MAJI SAFI
- Wakazi wa Mugumu wamekosa huduma hiyo baada ya TANESCO kuchukua hatua hiyo tarehe 25, Septemba
- MUGUWASA wanadaiwa na TANESCO Tsh. milioni 31
Zaidi, soma > https://jamii.app/TANESCOVsMUGUWASA
- Wakazi wa Mugumu wamekosa huduma hiyo baada ya TANESCO kuchukua hatua hiyo tarehe 25, Septemba
- MUGUWASA wanadaiwa na TANESCO Tsh. milioni 31
Zaidi, soma > https://jamii.app/TANESCOVsMUGUWASA
TRA YATANGAZA KUKUSANYA TRILIONI 1.767 KWA MWEZI SEPTEMBA, 2019
> Mamlaka ya Mapato Nchini imesema kiwango hiki hakijawahi kukusanywa tangu TRA ianzishwe
> Makusanyo haya ni sawa na ufanisi wa 97.20%. Lengo lilikuwa kukusanya Tsh. Trilioni 1.817
Zaidi, soma https://jamii.app/TRASeptmberRevenues
> Mamlaka ya Mapato Nchini imesema kiwango hiki hakijawahi kukusanywa tangu TRA ianzishwe
> Makusanyo haya ni sawa na ufanisi wa 97.20%. Lengo lilikuwa kukusanya Tsh. Trilioni 1.817
Zaidi, soma https://jamii.app/TRASeptmberRevenues
UEFA: REAL MADRID YAILAZIMISHA SARE CLUB BRUGGE
- Real Madrid baada ya kuwa nyuma kwa goli 2-0 hadi mapumziko, imefanikiwa kutoka sare ya goli 2-2 na Club Brugge baada ya dakika 90
- Mchezo huo wa Kundi A ulianza mapema muda mmoja na mchezo mwingine wa kundi C ambapo Shakhtar Donetsk imefanikiwa kuifunga Atlanta goli 2-1
- Aidha, Michezo inayofuata katika michuano hiyo ya barani Ulaya ni kama ionekanavyo kwenye picha
- Real Madrid baada ya kuwa nyuma kwa goli 2-0 hadi mapumziko, imefanikiwa kutoka sare ya goli 2-2 na Club Brugge baada ya dakika 90
- Mchezo huo wa Kundi A ulianza mapema muda mmoja na mchezo mwingine wa kundi C ambapo Shakhtar Donetsk imefanikiwa kuifunga Atlanta goli 2-1
- Aidha, Michezo inayofuata katika michuano hiyo ya barani Ulaya ni kama ionekanavyo kwenye picha
TISHIO LA EBOLA: UINGEREZA YAWATAHADHARISHA RAIA WAKE WAENDAO TANZANIA
- Uingereza imewatahadharisha raia wake wanaosafiri kwenda Tanzania juu ya uwezekano wa kuwepo kwa Ebola
- Tahadhari hiyo imekuja baada ya Marekani wiki iliyopita kuwaonya raia wake wajao Nchini
Zaidi, soma https://jamii.app/TahadhariEbolaUK-TZ
- Uingereza imewatahadharisha raia wake wanaosafiri kwenda Tanzania juu ya uwezekano wa kuwepo kwa Ebola
- Tahadhari hiyo imekuja baada ya Marekani wiki iliyopita kuwaonya raia wake wajao Nchini
Zaidi, soma https://jamii.app/TahadhariEbolaUK-TZ
SHULE YA BARBRO JOHANSSON KURUDISHA BILIONI 1.6 ILIZOPOKEA KUTOKA KWA RUGEMALIRA
- Kauli hiyo imetolewa na Mbunge wa Muleba Kusini, Profesa Anna Tibaijuka amesema uongozi wa Shule utarejesha fedha hizo ili James Rugemalira aweze kutoka jela
Soma > https://jamii.app/BarbroRugemarila
- Kauli hiyo imetolewa na Mbunge wa Muleba Kusini, Profesa Anna Tibaijuka amesema uongozi wa Shule utarejesha fedha hizo ili James Rugemalira aweze kutoka jela
Soma > https://jamii.app/BarbroRugemarila
DAR: LORI LA COCACOLA LAGONGANA NA DALADALA, WATU WAWILI WAJERUHIWA
- Ni katika ajali iliyotokea eneo la Ubungo External baada ya lori la Kampuni ya Cocacola lililokuwa likielekea Tabata kuacha njia na kuigonga daladala iliyokuwa ikielekea Ubungo
Zaidi, soma https://jamii.app/AjaliLoriCoke-DaladalaDSM
- Ni katika ajali iliyotokea eneo la Ubungo External baada ya lori la Kampuni ya Cocacola lililokuwa likielekea Tabata kuacha njia na kuigonga daladala iliyokuwa ikielekea Ubungo
Zaidi, soma https://jamii.app/AjaliLoriCoke-DaladalaDSM
ALIYEKUWA MKURUGENZI WA MIPANGO-TAKUKURU AANDIKA BARUA KWA DPP
- Mkurugenzi wa Mipango, Ufuatiliaji na Tathmini wa TAKUKURU, Kulthum Mansoor ameandika barua kukiri makosa yake
- Anakabiliwa na mashtaka 8 likiwemo la kutakatisha Tsh. Bilioni 1.477
Zaidi, soma https://jamii.app/MfanyakaziTAKUKURUAandikaDPP
- Mkurugenzi wa Mipango, Ufuatiliaji na Tathmini wa TAKUKURU, Kulthum Mansoor ameandika barua kukiri makosa yake
- Anakabiliwa na mashtaka 8 likiwemo la kutakatisha Tsh. Bilioni 1.477
Zaidi, soma https://jamii.app/MfanyakaziTAKUKURUAandikaDPP