SERIKALI YATOA KANUNI MPYA KWA WANUNUZI NA WAUZAJI WA MKAA
> Wanunuaji wa mkaa na samani wanatakiwa wawe na risiti za bidhaa kutoka kwenye maeneo ya mauzo yaliyosajiliwa
> Adhabu kwa atakayezikiuka ni faini ya Tsh 500,000 hadi Tsh milioni 12 au kifungo kati ya miezi 6 hadi miaka 5
Soma - https://jamii.app/KanuniBidhaaMisitu
> Wanunuaji wa mkaa na samani wanatakiwa wawe na risiti za bidhaa kutoka kwenye maeneo ya mauzo yaliyosajiliwa
> Adhabu kwa atakayezikiuka ni faini ya Tsh 500,000 hadi Tsh milioni 12 au kifungo kati ya miezi 6 hadi miaka 5
Soma - https://jamii.app/KanuniBidhaaMisitu
VITUO VYA HABARI VYAPIGWA FAINI KWA MADAI YA KURUSHA HABARI ZA UONGO
> Kamati ya Maudhui ya TCRA imetoa adhabu ya kulipa faini kwa kusambaza na kutangaza habari zisizo na ukweli
> Vituo hivyo ni: Azam Media Ltd na Gilly Bonny Online TV
Soma - https://jamii.app/FainiVituoHabari
> Kamati ya Maudhui ya TCRA imetoa adhabu ya kulipa faini kwa kusambaza na kutangaza habari zisizo na ukweli
> Vituo hivyo ni: Azam Media Ltd na Gilly Bonny Online TV
Soma - https://jamii.app/FainiVituoHabari
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
RC wa Iringa, Ally Hapi akizungumzia Tamko la Wanahabari waliompa siku 7 kuomba radhi kutokana na kauli yake ya kugawa Vitambulisho vya Wafanyabiashara Wadogo kwa Wanahabari
Anasema, “Nikajiuliza Mkuu wa Mkoa unampa siku 7, unaelewa maana ya Mkuu wa mkoa? Nilipoona nikacheka. Mimi ni mwakilishi wa Rais.”
Anasema, “Nikajiuliza Mkuu wa Mkoa unampa siku 7, unaelewa maana ya Mkuu wa mkoa? Nilipoona nikacheka. Mimi ni mwakilishi wa Rais.”
WANAFUNZI WAZAMA ZIWANI WAKITALII, WATATU WAPOTEZA MAISHA
> Wanafunzi 3 kati ya 5 wa kidato cha nne katika Shule ya Sekondari Makurugusi, Wilayani Chato wamepoteza maisha baada ya mtumbwi waliokuwa wakiutumia kufanya utalii wa ndani kuzama Ziwa Victoria jana asubuhi
Soma - https://jamii.app/WanafunziVifoUtalii
> Wanafunzi 3 kati ya 5 wa kidato cha nne katika Shule ya Sekondari Makurugusi, Wilayani Chato wamepoteza maisha baada ya mtumbwi waliokuwa wakiutumia kufanya utalii wa ndani kuzama Ziwa Victoria jana asubuhi
Soma - https://jamii.app/WanafunziVifoUtalii
UINGEREZA: IDADI YA WANAOUGUA MAGONJWA YA ZINAA YAONGEZEKA
> Takwimu zinaonesha mwaka 2018 kulikuwa na wagonjwa 447,694 waliobainika kwa mara ya kwanza na maradhi hayo, kiwango hicho kikiwa ni sawa na ongezeko la 5% juu ya idadi ya mwaka 2017 cha watu 422,147
> Makundi yaliyomo hatarini ni vijana pamoja na wanaume wanaofanya ngono na wanaume wenzao
Soma - https://jamii.app/STDsPatientsUK
> Takwimu zinaonesha mwaka 2018 kulikuwa na wagonjwa 447,694 waliobainika kwa mara ya kwanza na maradhi hayo, kiwango hicho kikiwa ni sawa na ongezeko la 5% juu ya idadi ya mwaka 2017 cha watu 422,147
> Makundi yaliyomo hatarini ni vijana pamoja na wanaume wanaofanya ngono na wanaume wenzao
Soma - https://jamii.app/STDsPatientsUK
KIZIMBANI KWA KUCHAPISHA MAUDHUI ‘YOUTUBE’ BILA KIBALI
- Charles Kombe(24), John Chuwa(28), Amos Warema(27) na Raymond Mkoroka(30) wamefikishwa katika Mahakama ya Kisutu jijini Dar
- Wanatuhiwa kuchapisha maudhui hayo bila kibali cha TCRA
Zaidi, soma https://jamii.app/KizimbaniMaudhuiYouTubeKibali
- Charles Kombe(24), John Chuwa(28), Amos Warema(27) na Raymond Mkoroka(30) wamefikishwa katika Mahakama ya Kisutu jijini Dar
- Wanatuhiwa kuchapisha maudhui hayo bila kibali cha TCRA
Zaidi, soma https://jamii.app/KizimbaniMaudhuiYouTubeKibali
KENYA: WATOTO WAMUUA MPENZI WA MAMA YAO BAADA YA KUMKUTA NYUMBANI
> Ndugu wawili katika kijiji cha Kilungu, kaunti ya Makueni wamekamatwa na Polisi baada ya kumshambulia kwa panga na kumuua Onesmus Kivuna aliyedaiwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mama yao walipomkuta kwenye nyumba ya mama yao jana majira ya saa nne usiku
Soma - https://jamii.app/WatotoMpenziMama
> Ndugu wawili katika kijiji cha Kilungu, kaunti ya Makueni wamekamatwa na Polisi baada ya kumshambulia kwa panga na kumuua Onesmus Kivuna aliyedaiwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mama yao walipomkuta kwenye nyumba ya mama yao jana majira ya saa nne usiku
Soma - https://jamii.app/WatotoMpenziMama
SHINYANGA: MBARONI KWA KUJIFANYA AFISA USALAMA NA KUTAPELI
- Mrisho Zabroni(37) na Mgema Patrick(25) wamekamatwa Wilayani Kahama kwa kutaka kutapeli
- Walitaka kumtapeli Abdallah Moro ambaye ghala lake la kuhifadhia bidhaa lilifungwa na TFDA
Zaidi, soma https://jamii.app/AfisaTISSFekiMbaroni
- Mrisho Zabroni(37) na Mgema Patrick(25) wamekamatwa Wilayani Kahama kwa kutaka kutapeli
- Walitaka kumtapeli Abdallah Moro ambaye ghala lake la kuhifadhia bidhaa lilifungwa na TFDA
Zaidi, soma https://jamii.app/AfisaTISSFekiMbaroni
UINGEREZA: DUNIA YAADHIMISHA MIAKA 75 YA D-DAY
> Rais Donald Trump ameungana leo na viongozi wa nchi 16 katika kuadhimisha miaka 75 tangu kuanza kwa operesheni ya kijeshi mwaka 1944 iliyoikomboa Ulaya kutoka mikononi mwa Wanazi wa Ujerumani, maarufu kama D-Day
> Wanazi wa Ujerumani walikuwa wameyakalia maeneo makubwa ya Ulaya katika vita vikuu vya pili
Soma - https://jamii.app/75YrsD-Day
> Rais Donald Trump ameungana leo na viongozi wa nchi 16 katika kuadhimisha miaka 75 tangu kuanza kwa operesheni ya kijeshi mwaka 1944 iliyoikomboa Ulaya kutoka mikononi mwa Wanazi wa Ujerumani, maarufu kama D-Day
> Wanazi wa Ujerumani walikuwa wameyakalia maeneo makubwa ya Ulaya katika vita vikuu vya pili
Soma - https://jamii.app/75YrsD-Day
MAPOROMOKO YA ARDHI UGANDA: 6 WAFARIKI, 50 HAWAONEKANI
- Nyumba zaidi ya 150, mifugo na mimea imefukiwa na matope baada ya maporomoko hayo kutokea usiku wa kuamkia leo huko Bududa
- Uokoaji unaendelea huku Wakazi wakisema uharibifu ni mkubwa
Zaidi, soma https://jamii.app/6WafaMaporomokoArdhiUganda
- Nyumba zaidi ya 150, mifugo na mimea imefukiwa na matope baada ya maporomoko hayo kutokea usiku wa kuamkia leo huko Bududa
- Uokoaji unaendelea huku Wakazi wakisema uharibifu ni mkubwa
Zaidi, soma https://jamii.app/6WafaMaporomokoArdhiUganda
URUSI YAPIGA MARUFUKU UWEPO WA KANISA LA MASHAHIDI WA YEHOVA
> Mahakama ya Juu nchini Urusi imekubali ombi la Serikali kuorodhesha kanisa la Mashahidi wa Yehova kama kundi la kidini lililoharamishwa kwa madai ya kusambaza nyaraka zenye ujumbe wa kuchochea chuki dhidi ya makundi mengine
Soma - https://jamii.app/BanJehovahWitnesses
> Mahakama ya Juu nchini Urusi imekubali ombi la Serikali kuorodhesha kanisa la Mashahidi wa Yehova kama kundi la kidini lililoharamishwa kwa madai ya kusambaza nyaraka zenye ujumbe wa kuchochea chuki dhidi ya makundi mengine
Soma - https://jamii.app/BanJehovahWitnesses
KENYA: AMSHONA MWANAYE MDOMO KWA KUTOFANYA VIZURI SHULENI
- Mwanamke mmoja kutoka Naivasha, Kaunti ya Nakuru amemshona mdomo mtoto wake wa kiume wa darasa la 5
- Inadaiwa kuwa Mwanamke huyo aliumizwa sana na maendeleo ya mtoto wake shuleni
Zaidi, soma https://jamii.app/AmshonaMdomoKufeli-KE
- Mwanamke mmoja kutoka Naivasha, Kaunti ya Nakuru amemshona mdomo mtoto wake wa kiume wa darasa la 5
- Inadaiwa kuwa Mwanamke huyo aliumizwa sana na maendeleo ya mtoto wake shuleni
Zaidi, soma https://jamii.app/AmshonaMdomoKufeli-KE
MTOTO AMUUA BABA YAKE WAKATI AKIMUOKOA MAMA YAKE ASISHAMBULIWE
> Edison Mwananjela (18) mkazi wa Mkoani Rukwa anadaiwa kumuua baba yake mzazi, Galus Mwananjela (42) kwa kumshambulia na mpini wa jembe kichwani na kumvunja mikono kwa madai ya kuchoshwa na tabia ya baba yake ya kumpiga mara kwa mara mama yake
Soma - https://jamii.app/KijanaAuaBaba
> Edison Mwananjela (18) mkazi wa Mkoani Rukwa anadaiwa kumuua baba yake mzazi, Galus Mwananjela (42) kwa kumshambulia na mpini wa jembe kichwani na kumvunja mikono kwa madai ya kuchoshwa na tabia ya baba yake ya kumpiga mara kwa mara mama yake
Soma - https://jamii.app/KijanaAuaBaba
KENYA KUPIGA MARUFUKU MATUMIZI YA CHUPA ZA PLASTIKI
> Rais Uhuru Kenyatta jana alitangaza kupiga marufuku ya matumizi ya chupa za plastiki nchini humo kuanzia Juni 5, 2020 na marufuku hiyo itatekelezwa katika maeneo yenye ulinzi kama vile Mbuga za Kitaifa, fukwe za bahari, misituni na maeneo ya uhifadhi
Soma - https://jamii.app/BanPlastickBottles
> Rais Uhuru Kenyatta jana alitangaza kupiga marufuku ya matumizi ya chupa za plastiki nchini humo kuanzia Juni 5, 2020 na marufuku hiyo itatekelezwa katika maeneo yenye ulinzi kama vile Mbuga za Kitaifa, fukwe za bahari, misituni na maeneo ya uhifadhi
Soma - https://jamii.app/BanPlastickBottles
SUDAN: UPINZANI WAKATAA MAZUNGUMZO. VIFO VYADAIWA KUFIKA 108
- Umekataa mazungumzo mapya na Jeshi baada ya jana Jeshi kupendekeza
- Aidha, Serikali imesema watu 46 wameuawa kwenye vurugu huku Madaktari wanaouhusiana na Upinzani wakidai ni 108
Zaidi, soma https://jamii.app/108KilledSudanProtest
- Umekataa mazungumzo mapya na Jeshi baada ya jana Jeshi kupendekeza
- Aidha, Serikali imesema watu 46 wameuawa kwenye vurugu huku Madaktari wanaouhusiana na Upinzani wakidai ni 108
Zaidi, soma https://jamii.app/108KilledSudanProtest
CAF YAFUTA MATOKEO YA FAINALI YA PILI YA MABINGWA WA AFRIKA
> Shirikisho la Soka Barani Afrika limeyafuta matokeo yaliyoipa Ubingwa Esperance ya Tunisia dhidi ya Wydad Casablanca ya Morocco
> Mechi hiyo itarudiwa baada ya mashindano ya AFCON Afrika Kusini, Juni 30
> Shirikisho la Soka Barani Afrika limeyafuta matokeo yaliyoipa Ubingwa Esperance ya Tunisia dhidi ya Wydad Casablanca ya Morocco
> Mechi hiyo itarudiwa baada ya mashindano ya AFCON Afrika Kusini, Juni 30
TRA YAANZISHA MSAKO WA KODI, WASIOTOA NA KUDAI RISITI KUPIGWA FAINI
> Mamlaka ya Mapato Tanzania, Mkoa wa Kodi Kariakoo umetoa tangazo la kukamata mizigo au bidhaa ambazo hazitakuwa na risiti halali ambapo kwa wasiotoa risiti watatozwa faini ya Tsh. milioni 3 hadi milioni 4.5 na wale wasiodai risiti watatozwa faini ya Tsh. milioni 1.5 kwa kila kosa
Soma - https://jamii.app/MsakoFainiRisiti
> Mamlaka ya Mapato Tanzania, Mkoa wa Kodi Kariakoo umetoa tangazo la kukamata mizigo au bidhaa ambazo hazitakuwa na risiti halali ambapo kwa wasiotoa risiti watatozwa faini ya Tsh. milioni 3 hadi milioni 4.5 na wale wasiodai risiti watatozwa faini ya Tsh. milioni 1.5 kwa kila kosa
Soma - https://jamii.app/MsakoFainiRisiti
SERIKALI YAKUSUDIA KUSHUSHA UMRI WA VIJANA KUPATA HUDUMA ZA UKIMWI
> Serikali inatarajia kupeleka Muswada wa sheria Bungeni wa kushusha umri wa kuridhia vijana kupata huduma za UKIMWI bila ridhaa ya wazazi kutoka miaka 18 hadi 15 ili kupunguza wimbi la maambukizi mapya ya Virusi Vya UKIMWI(VVU)
> Kwa siku, zaidi ya watu 200 hupata maambukizi mapya ya VVU huku kati yao 80 wakiwa ni vijana wenye umri wa miaka 15 hadi 24
Soma - https://jamii.app/UmriMaambukiziVVU
> Serikali inatarajia kupeleka Muswada wa sheria Bungeni wa kushusha umri wa kuridhia vijana kupata huduma za UKIMWI bila ridhaa ya wazazi kutoka miaka 18 hadi 15 ili kupunguza wimbi la maambukizi mapya ya Virusi Vya UKIMWI(VVU)
> Kwa siku, zaidi ya watu 200 hupata maambukizi mapya ya VVU huku kati yao 80 wakiwa ni vijana wenye umri wa miaka 15 hadi 24
Soma - https://jamii.app/UmriMaambukiziVVU