URUSI YAAZIMIA KUUNDA 'INTERNET' YAKE
- Bunge limepitisha muswada ambao ukiwa sheria, Taifa hilo litaunda Internet yake na kuacha kutumia inayotumika duniani
- Ni ili kujilinda na mashambulio ikiwemo kuzimiwa Internet na Mataifa yenye uwezo
Zaidi, soma https://jamii.app/RussiaUnplugInternet
- Bunge limepitisha muswada ambao ukiwa sheria, Taifa hilo litaunda Internet yake na kuacha kutumia inayotumika duniani
- Ni ili kujilinda na mashambulio ikiwemo kuzimiwa Internet na Mataifa yenye uwezo
Zaidi, soma https://jamii.app/RussiaUnplugInternet
SERIKALI: HAKUNA HAJA YA KUBADILI MUDA WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI
- Naibu Waziri wa Elimu, William Ole Nasha amesema muda wa miaka 7 si kitu kibaya
- Amesema Serikali haijavunja sheria kwa hatua hiyo na inazingatia ubora wa elimu
Soma https://jamii.app/MudaElimuMsingi
- Naibu Waziri wa Elimu, William Ole Nasha amesema muda wa miaka 7 si kitu kibaya
- Amesema Serikali haijavunja sheria kwa hatua hiyo na inazingatia ubora wa elimu
Soma https://jamii.app/MudaElimuMsingi
KAKAMEGA, KENYA: MAPACHA WALIOTENGANISHWA WAKUTANA BAADA YA MIAKA 19
> Walizaliwa Agosti 15 mwaka 1999 katika Hospitali ya Kakamega ambayo kwa sasa ni Hospitali ya Rufaa
> Mama yao aliporuhusiwa kutoka Hospitali, alipewa Watoto 2 mmoja akiwa si wake
Zaidi kuhusu kisa hiki, soma > https://jamii.app/MapachaKakamega
> Walizaliwa Agosti 15 mwaka 1999 katika Hospitali ya Kakamega ambayo kwa sasa ni Hospitali ya Rufaa
> Mama yao aliporuhusiwa kutoka Hospitali, alipewa Watoto 2 mmoja akiwa si wake
Zaidi kuhusu kisa hiki, soma > https://jamii.app/MapachaKakamega
RAIS WA TFF AKANUSHA KUPOKEA RUSHWA KUTOKA KWA RAIS WA CAF
- Wallace Karia amekanusha kuwa miongoni mwa waliopokea rushwa ya Tsh. Milioni 46 kutoka kwa Rais wa CAF, Ahmad Ahmad
- Amesema hakuwepo madarakani wakati uchaguzi wa CAF unafanyika
Zaidi, soma https://jamii.app/MadaiRushwaKariaTFF
- Wallace Karia amekanusha kuwa miongoni mwa waliopokea rushwa ya Tsh. Milioni 46 kutoka kwa Rais wa CAF, Ahmad Ahmad
- Amesema hakuwepo madarakani wakati uchaguzi wa CAF unafanyika
Zaidi, soma https://jamii.app/MadaiRushwaKariaTFF
RAIS MAGUFULI ATOA WIKI 1 TARATIBU ZA UWEKEZAJI KWA KAMPUNI YA SIT ZIKAMILIKE
- Ameziagiza Wizara ya Ardhi na Wizara ya Viwanda kukamilisha uwekezaji wa Kampuni ya Sugar Investment Trust(SIT) iliyocheleweshwa kuwekeza katika uzalishaji wa sukari tangu mwaka 2017
Zaidi, soma https://jamii.app/UwekezajiKampuniSIT
- Ameziagiza Wizara ya Ardhi na Wizara ya Viwanda kukamilisha uwekezaji wa Kampuni ya Sugar Investment Trust(SIT) iliyocheleweshwa kuwekeza katika uzalishaji wa sukari tangu mwaka 2017
Zaidi, soma https://jamii.app/UwekezajiKampuniSIT
PERU: RAIS WA ZAMANI AJIUA KWA RISASI POLISI WALIPOTAKA KUMKAMATA
- Alan Garcia(69) amefariki baada ya kujipiga risasi kichwani leo wakati Polisi walipofika nyumbani kwake katika mji wa Lima kumkamata kwa kumuhusisha na vitendo vya rushwa
Zaidi, soma https://jamii.app/RaisAjiuaAsikamatwePolisi-PERU
- Alan Garcia(69) amefariki baada ya kujipiga risasi kichwani leo wakati Polisi walipofika nyumbani kwake katika mji wa Lima kumkamata kwa kumuhusisha na vitendo vya rushwa
Zaidi, soma https://jamii.app/RaisAjiuaAsikamatwePolisi-PERU
KENYA: UWANJA WA NDEGE WAFUNGWA KWA MUDA KUTOKANA NA TAHADHARI YA BOMU
- Ni Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta uliofungwa leo majira ya saa 7:00 mchana
- Ni baada ya abiria kwenye ndege ya Shirika la Kenya(KQ) kutamka neno “bomu”
Zaidi, soma https://jamii.app/JKIABombThreat
- Ni Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta uliofungwa leo majira ya saa 7:00 mchana
- Ni baada ya abiria kwenye ndege ya Shirika la Kenya(KQ) kutamka neno “bomu”
Zaidi, soma https://jamii.app/JKIABombThreat
TRA: MWISHO WA MATUMIZI YA STEMPU ZA KARATASI NI APRILI 30, 2019
- TRA imepiga marufuku matumizi ya stempu za karatasi kwa bidhaa zote za sigara, pombe kali, mvinyo, bia na aina zote za vileo zenye stempu zisizo za kielektroniki
Zaidi, soma https://jamii.app/TRAStempuKaratasiMwisho
- TRA imepiga marufuku matumizi ya stempu za karatasi kwa bidhaa zote za sigara, pombe kali, mvinyo, bia na aina zote za vileo zenye stempu zisizo za kielektroniki
Zaidi, soma https://jamii.app/TRAStempuKaratasiMwisho
MADEIRA, URENO: WATALII 28 KUTOKA UJERUMANI WAFARIKI KATIKA AJALI
> Wamefariki baada ya basi walilokuwa wakisafiria kuacha njia na kupinduka
> Watu 21 wamejeruhiwa na wanaendelea na matibabu katika hospitali moja huko Santa Cruz
Soma > https://jamii.app/AjaliMadeira
> Wamefariki baada ya basi walilokuwa wakisafiria kuacha njia na kupinduka
> Watu 21 wamejeruhiwa na wanaendelea na matibabu katika hospitali moja huko Santa Cruz
Soma > https://jamii.app/AjaliMadeira
KENYA: MAMA MWENYE NYUMBA AMUUA MPANGAJI WAKE KWA DENI LA TSH. 11,400/=
> Loice Kasembeli(Mama Kelele) anashikiliwa na Polisi kwa kuhusika na mauaji ya mpangaji wake(Mwanaume)
> Maiti yakutwa ndani ya nyumba yake ikiwa na majeraha shingoni
Soma > https://jamii.app/LandladyKillTenant
> Loice Kasembeli(Mama Kelele) anashikiliwa na Polisi kwa kuhusika na mauaji ya mpangaji wake(Mwanaume)
> Maiti yakutwa ndani ya nyumba yake ikiwa na majeraha shingoni
Soma > https://jamii.app/LandladyKillTenant
TETEMEKO LA UKUBWA WA 6.1 KWENYE KIPIMO CHA RICHA LAIKUMBA TAIWAN
> Tetemeko hilo limetokea saa 7:01 mchana kwa saa za Taiwan
> Huduma za usafiri wa treni zimesitishwa katika Jiji la Taipei kutokana na tetemeko hilo
Zaidi, soma => https://jamii.app/TetemekoTaiwanHualien
> Tetemeko hilo limetokea saa 7:01 mchana kwa saa za Taiwan
> Huduma za usafiri wa treni zimesitishwa katika Jiji la Taipei kutokana na tetemeko hilo
Zaidi, soma => https://jamii.app/TetemekoTaiwanHualien
IMF YAILAUMU TANZANIA KWA KUTOCHAPISHA MATOKEO YA UTAFITI
> Machi 18/2019, IMF ilifanya kikao cha mashauriano kuhusu hali ya uchumi na Tanzania
> IMF imeeleza kuwa mpaka sasa Mamlaka za Tanzania hazijachapisha taarifa ya kikao hicho
Soma > https://jamii.app/IMFVsTanzaniaGvt
> Machi 18/2019, IMF ilifanya kikao cha mashauriano kuhusu hali ya uchumi na Tanzania
> IMF imeeleza kuwa mpaka sasa Mamlaka za Tanzania hazijachapisha taarifa ya kikao hicho
Soma > https://jamii.app/IMFVsTanzaniaGvt
TOZO YA KUPIMA, KURASIMISHA MAKAZI KISHA KUPATA HATI YA KIWANJA, YASHUSHWA
- Waziri wa Ardhi, William Lukuvi ameshusha tozo hiyo kutoka Tsh. 250,000 hadi Tsh. 150,000
- Amesema lengo la Serikali ni kutoa hati 500,000 ndani ya miezi mitatu
Zaidi, soma https://jamii.app/TozoUrasimishajiMakazi
- Waziri wa Ardhi, William Lukuvi ameshusha tozo hiyo kutoka Tsh. 250,000 hadi Tsh. 150,000
- Amesema lengo la Serikali ni kutoa hati 500,000 ndani ya miezi mitatu
Zaidi, soma https://jamii.app/TozoUrasimishajiMakazi
KENYA: WAFANYAKAZI 52 WA HOSPITALI YA NAIROBI WAUGUA KIPINDUPINDU
- Idadi hiyo imeripotiwa leo kutokea 23 iliyoripotiwa awali na wote wamelazwa hospitalini
- Wataalamu wa afya wametembelea hospitali hiyo kuchunguza chanzo na namna ya kuzuia
Zaidi, soma https://jamii.app/NairobiHospitalCholera
- Idadi hiyo imeripotiwa leo kutokea 23 iliyoripotiwa awali na wote wamelazwa hospitalini
- Wataalamu wa afya wametembelea hospitali hiyo kuchunguza chanzo na namna ya kuzuia
Zaidi, soma https://jamii.app/NairobiHospitalCholera
MAREKANI: WANASAYANSI WAFUFUA UBONGO WA NGURUWE ALIYEKUFA
- Wamefufua ubongo huo ikiwa ni saa nne baada ya mnyama huyo kuchinjwa
- Utafiti huo unaonesha kufa kwa seli za ubongo kunaweza kuzuiwa na baadhi ya mifumo kwenye ubongo kuunganishwa
Zaidi, soma https://jamii.app/SayansiYafufuaNguruwe
- Wamefufua ubongo huo ikiwa ni saa nne baada ya mnyama huyo kuchinjwa
- Utafiti huo unaonesha kufa kwa seli za ubongo kunaweza kuzuiwa na baadhi ya mifumo kwenye ubongo kuunganishwa
Zaidi, soma https://jamii.app/SayansiYafufuaNguruwe
JOSEPH MBILINYI(SUGU) AGOMA KUSOMA HOTUBA AKIDAI 80% YA MANENO YAMEONDOLEWA
- Agoma kusoma hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Habari kutoka kambi ya Upinzani Bungeni
- Naibu Spika, Dkt. Tulia amesema maneno hayo yalikuwa yakikiuka kanuni za Bunge
Zaidi, soma https://jamii.app/SuguAgomeaHotuba
- Agoma kusoma hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Habari kutoka kambi ya Upinzani Bungeni
- Naibu Spika, Dkt. Tulia amesema maneno hayo yalikuwa yakikiuka kanuni za Bunge
Zaidi, soma https://jamii.app/SuguAgomeaHotuba
TABORA: MTOTO ATUPWA CHOONI KATIKA SHULE YA SEKONDARI KAZIMA
- Mtoto huyo anayekadiriwa kuwa na siku 1 amekutwa kwenye choo cha Wasichana
- Aidha, Mkuu wa shule amesema huenda aliyefanya hivyo ni Mwananchi kwani Wanafunzi wake hupimwa mimba
Zaidi, soma https://jamii.app/MtotoAtupwaChooni-TBR
- Mtoto huyo anayekadiriwa kuwa na siku 1 amekutwa kwenye choo cha Wasichana
- Aidha, Mkuu wa shule amesema huenda aliyefanya hivyo ni Mwananchi kwani Wanafunzi wake hupimwa mimba
Zaidi, soma https://jamii.app/MtotoAtupwaChooni-TBR