KENYA: MANDONGA AMCHAKAZA MKENYA KWA NGUMI YA SUGUNYO
Bondia Mtanzania Kareem Mandonga amefanikiwa kupata ushindi wa TKO dhidi ya Daniel Wanyonyi katika pambano la uzito wa kati (Super-middleweight)
Kabla ya pambano hilo, Mandonga alisema atamchakaza mpinzani wake huyo kwa ngumi ya Sugunyo ambayo anadai ‘imetoka Ukraine kwenye mlipuko wa mabomu’
#JFSports #mandonga
Bondia Mtanzania Kareem Mandonga amefanikiwa kupata ushindi wa TKO dhidi ya Daniel Wanyonyi katika pambano la uzito wa kati (Super-middleweight)
Kabla ya pambano hilo, Mandonga alisema atamchakaza mpinzani wake huyo kwa ngumi ya Sugunyo ambayo anadai ‘imetoka Ukraine kwenye mlipuko wa mabomu’
#JFSports #mandonga