JE, TUENDELEE KUWAZIKA WAFU AU TUANZE KUWACHOMA MOTO?
> Mdau wa JamiiForums anasema kuwa Watanzania tunaongezeka kwa kasi sana huku eneo la ardhi likibaki kuwa lile lile
> Muda mwingine Serikali hulazimika kuhamisha makaburi ili kupisha miradi ya maendeleo
Soma ~ https://jamii.app/KuzikaVsKuchomaMoto
> Mdau wa JamiiForums anasema kuwa Watanzania tunaongezeka kwa kasi sana huku eneo la ardhi likibaki kuwa lile lile
> Muda mwingine Serikali hulazimika kuhamisha makaburi ili kupisha miradi ya maendeleo
Soma ~ https://jamii.app/KuzikaVsKuchomaMoto
LINDI: SERIKALI YAAGIZA UCHUNGUZI UFANYIKE KWENYE FEDHA ZA MIRADI YA UJENZI
> Milioni 700 za ukarabati wa Hospitali ya Nachingwea hazijatumika hadi leo
> Milioni 400 za ujenzi Kituo cha Afya Kilimarondo zimeisha na ujenzi haujakamilika
Soma ~ https://jamii.app/UchunguziFedhaNachingwea
> Milioni 700 za ukarabati wa Hospitali ya Nachingwea hazijatumika hadi leo
> Milioni 400 za ujenzi Kituo cha Afya Kilimarondo zimeisha na ujenzi haujakamilika
Soma ~ https://jamii.app/UchunguziFedhaNachingwea
AUAWA AKIJARIBU KUZUIA MSICHANA KUBAKWA
- Mkazi wa kijiji cha Mnolela, Wilayani Lindi, Issa Selemani(62) auawa kwa kukatwa mapanga na watu wasiojulikana
- Alikuwa akizuia Mwanafunzi(12) wa darasa la 5 shule ya msingi Nikowela asibakwe
Zaidi, soma https://jamii.app/AuawaAkizuiaUbakaji
- Mkazi wa kijiji cha Mnolela, Wilayani Lindi, Issa Selemani(62) auawa kwa kukatwa mapanga na watu wasiojulikana
- Alikuwa akizuia Mwanafunzi(12) wa darasa la 5 shule ya msingi Nikowela asibakwe
Zaidi, soma https://jamii.app/AuawaAkizuiaUbakaji
SHIRIKA LA MARIE STOPES LATAKIWA KUACHA KUTOA HUDUMA YA UTOAJI WA MIMBA
> Bodi ya Madaktari(Kenya) imelitaka shirika hilo kuondoa matangazo ya utoaji mimba ktk tovuti zake
> Upande wa Tanzania wasema hawajawahi kuhusika na shughuli hizo.
Soma ~ https://jamii.app/KenyaVsMarieStopes
> Bodi ya Madaktari(Kenya) imelitaka shirika hilo kuondoa matangazo ya utoaji mimba ktk tovuti zake
> Upande wa Tanzania wasema hawajawahi kuhusika na shughuli hizo.
Soma ~ https://jamii.app/KenyaVsMarieStopes
CANADA NJIA PANDA KUHUSU KUTOA MISAADA KWA TANZANIA
- Gazeti la 'The Globe and Mail' limeripoti nchi hiyo inatafakari iwapo izuie misaada kwa Tanzania ila inahofia kuadhibu raia wasio na hatia
- Sababu ni sakata la ushoga na mambo ya kisiasa
Zaidi, soma https://jamii.app/CanadaAid-Tanzania
- Gazeti la 'The Globe and Mail' limeripoti nchi hiyo inatafakari iwapo izuie misaada kwa Tanzania ila inahofia kuadhibu raia wasio na hatia
- Sababu ni sakata la ushoga na mambo ya kisiasa
Zaidi, soma https://jamii.app/CanadaAid-Tanzania
LESOTHO vs TANZANIA: WAZIRI MWAKYEMBE AJIPANGA KUJIELEZA KWA RAIS MAFUGULI
- Asema atamueleza Rais kuwa kufungwa bao 1 kwenye mchezo huo ni bahati mbaya
- Aeleza "Milioni 50 tulizopewa zimesaidia kufungwa bao 1 tu pengine tungefungwa hata 6"
Zaidi, soma https://jamii.app/MwakyembeStarsMagufuli
- Asema atamueleza Rais kuwa kufungwa bao 1 kwenye mchezo huo ni bahati mbaya
- Aeleza "Milioni 50 tulizopewa zimesaidia kufungwa bao 1 tu pengine tungefungwa hata 6"
Zaidi, soma https://jamii.app/MwakyembeStarsMagufuli
WAVUVI KUTOKA TANZANIA WARIPOTIWA KUKAMATWA NCHINI KENYA
> Mamlaka ya nchi ya Kenya zawakamata Wavuvi 16 raia wa Tanzania kwa tuhuma za kuvuka mpaka na kutumia vifaa haramu vya uvuvi
> Wamekamatwa ufukwe wa Ziwa Victoria Kaunti ya Migori
Soma ~ https://jamii.app/TZFishermensArrested
> Mamlaka ya nchi ya Kenya zawakamata Wavuvi 16 raia wa Tanzania kwa tuhuma za kuvuka mpaka na kutumia vifaa haramu vya uvuvi
> Wamekamatwa ufukwe wa Ziwa Victoria Kaunti ya Migori
Soma ~ https://jamii.app/TZFishermensArrested
KAMPUNI YA NDEGE YA FAST JET PLC KUJIONDOA KATIKA SOKO LA TANZANIA
- Kampuni ya Fastjet Plc iliyoorodheshwa katika soko la hisa la London, Uingereza inatarajia kuuza hisa zake 49% zilizopo katika Shirika la Ndege la Fastjet Tanzania
Soma https://jamii.app/FastJetPlcKuuzaHisa
- Kampuni ya Fastjet Plc iliyoorodheshwa katika soko la hisa la London, Uingereza inatarajia kuuza hisa zake 49% zilizopo katika Shirika la Ndege la Fastjet Tanzania
Soma https://jamii.app/FastJetPlcKuuzaHisa
JE, WAJUA KUNA SIKU YA WANAUME DUNIANI?
- Novemba 19 ni siku ya Wanaume duniani kama ilivyo Machi 8 siku ya Wanawake duniani
- Baadhi ya malengo ni kuhamasisha utu, kutilia mkazo hali ya afya kwa Wanaume na kuboresha mahusiano ya kijinsia
Zaidi, soma https://jamii.app/SikuWanaume-Nov19
- Novemba 19 ni siku ya Wanaume duniani kama ilivyo Machi 8 siku ya Wanawake duniani
- Baadhi ya malengo ni kuhamasisha utu, kutilia mkazo hali ya afya kwa Wanaume na kuboresha mahusiano ya kijinsia
Zaidi, soma https://jamii.app/SikuWanaume-Nov19
ARUSHA: MADUKA YA KUBADILI FEDHA ZA KIGENI YADAIWA KUWEKWA CHINI YA ULINZI
- Ulinzi mkali umeimarishwa kwenye maduka karibu yote yanayohusika na biashara ya hiyo
- Yadaiwa kuna operesheni maalum ambayo bado haijafahamika inahusu nini
Zaidi, soma https://jamii.app/ArushaForexShops
- Ulinzi mkali umeimarishwa kwenye maduka karibu yote yanayohusika na biashara ya hiyo
- Yadaiwa kuna operesheni maalum ambayo bado haijafahamika inahusu nini
Zaidi, soma https://jamii.app/ArushaForexShops
AFYA: Je, wafahamu faida za tunda la papai?
> Hupunguza kuganda kwa damu, hupunguza hatari ya kupata kansa ya kibofu na juisi yake hujenga kinga ya mwili na kuzuia magonjwa ya moyo.
> Pia, mbegu za papai hutibu homa ya matumbo(Typhoid)
Jifunze zaidi | Tembelea https://jamii.app/FaidaJuisiPapai
> Hupunguza kuganda kwa damu, hupunguza hatari ya kupata kansa ya kibofu na juisi yake hujenga kinga ya mwili na kuzuia magonjwa ya moyo.
> Pia, mbegu za papai hutibu homa ya matumbo(Typhoid)
Jifunze zaidi | Tembelea https://jamii.app/FaidaJuisiPapai
MBARONI KWA KUGHUSHI RISITI YA MALIPO YA KOROSHO
- Ni karani Chama Msingi cha Makonga, Asma Rajab na Mohammed Namkunga anayedaiwa kuwa mpenzi wake
- Inadaiwa Namkunga alikwenda na viroba 2 ila Asma aliandika kwenye cheti amepeleka kilo 200
Zaidi, soma https://jamii.app/WaghushiRisitiKorosho
- Ni karani Chama Msingi cha Makonga, Asma Rajab na Mohammed Namkunga anayedaiwa kuwa mpenzi wake
- Inadaiwa Namkunga alikwenda na viroba 2 ila Asma aliandika kwenye cheti amepeleka kilo 200
Zaidi, soma https://jamii.app/WaghushiRisitiKorosho
WAASI WA HOUTHI WATANGAZA KUSITISHA MAPIGANO YEMEN
- Ni mashambulizi ya makombora na ndege zisizo na rubani dhidi ya muungano wa majeshi yanayoongozwa na Saudi Arabia
- Watafanya hivyo iwapo majeshi ya Saudi na washirika wake yanataka amani
Zaidi, soma https://jamii.app/WaasiMapiganoYemen
- Ni mashambulizi ya makombora na ndege zisizo na rubani dhidi ya muungano wa majeshi yanayoongozwa na Saudi Arabia
- Watafanya hivyo iwapo majeshi ya Saudi na washirika wake yanataka amani
Zaidi, soma https://jamii.app/WaasiMapiganoYemen
MWANDISHI WA VITABU CHINA, AFUNGWA JELA MIAKA 10
- Mwandishi Liu ambaye ni Mwanamke alihukumiwa kwa kuandika na kuuza kitabu chenye maudhui ya mapenzi ya jinsia moja
- Kutengeneza na kusambaza maudhui ya ngono ni kinyume cha sheria China
Zaidi, soma https://jamii.app/MwandishiAfungwaJelaCHN
- Mwandishi Liu ambaye ni Mwanamke alihukumiwa kwa kuandika na kuuza kitabu chenye maudhui ya mapenzi ya jinsia moja
- Kutengeneza na kusambaza maudhui ya ngono ni kinyume cha sheria China
Zaidi, soma https://jamii.app/MwandishiAfungwaJelaCHN
SHERIA YA KUMFUNGA ALIYEMPA MIMBA MWANAFUNZI MIAKA 30 ILITUNGWA KIMIHEMKO
- RC Mtwara, Gelasius Byakanwa asema SOSPA ilitungwa kwa jazba na mihemko ya Wanaharakati sababu haimuwajibishi mtoto wa kike
- Pia yamfanya mtoto akue bila mzazi mmoja
Zaidi, soma https://jamii.app/SOSPAIlitungwaKimihemko
- RC Mtwara, Gelasius Byakanwa asema SOSPA ilitungwa kwa jazba na mihemko ya Wanaharakati sababu haimuwajibishi mtoto wa kike
- Pia yamfanya mtoto akue bila mzazi mmoja
Zaidi, soma https://jamii.app/SOSPAIlitungwaKimihemko
ELIMU YA KODI YATAJWA KUWA KATIKA MCHAKATO WA KUINGIZWA KWENYE MTAALA WA ELIMU
> TRA yasema iko katika mchakato wa kuhakikisha elimu ya kodi inafundishwa kuanzia madarasa ya chini.
> Yasema wafanyabiashara wengi huona kulipa kodi ni mzigo
Soma ~ https://jamii.app/ElimuYaKodi
> TRA yasema iko katika mchakato wa kuhakikisha elimu ya kodi inafundishwa kuanzia madarasa ya chini.
> Yasema wafanyabiashara wengi huona kulipa kodi ni mzigo
Soma ~ https://jamii.app/ElimuYaKodi
SAKATA LA KUHAMA KWA MBUNGE KATANI(CUF): JAMES MBATIA ATAJWA KUWA CHACHU YA KUMSIHI ASIHAME
> Mbunge wa Vunjo(NCCR), James Mbatia ameeleza kuwa Katani alimwambia anataka kuchukua uamuzi mgumu kwasababu anaona giza ndani ya CUF.
Zaidi, soma => https://jamii.app/KujiuzuluKatani
> Mbunge wa Vunjo(NCCR), James Mbatia ameeleza kuwa Katani alimwambia anataka kuchukua uamuzi mgumu kwasababu anaona giza ndani ya CUF.
Zaidi, soma => https://jamii.app/KujiuzuluKatani