MWANAUME WA MIAKA 69 ATAKA MAHAKAMA AMRUDISHIE UMRI WA MIAKA 49
> Emile Ratelband amehoji: kama inawezekana kubadili jina kwanini asiruhusiwe kubadili umri?
> Asema badiliko hilo litamsaidia kuwa na mahusiano na Wanawake vijana zaidi
Soma ~ https://jamii.app/EmileChangingAge
> Emile Ratelband amehoji: kama inawezekana kubadili jina kwanini asiruhusiwe kubadili umri?
> Asema badiliko hilo litamsaidia kuwa na mahusiano na Wanawake vijana zaidi
Soma ~ https://jamii.app/EmileChangingAge
SERIKALI IMEANZA KUJENGA DARAJA JIPYA LA MTO WAMI
- Mkandarasi Power Construction Corporation kutoka China amesaini mkataba tangu Juni 28 mwaka huu
- Litakuwa na urefu wa mita 513.5 na upana wa mita 11.85 na litagharimu Tsh. Bilioni 67.8
Soma https://jamii.app/DarajaJipyaWamiKujengwa
- Mkandarasi Power Construction Corporation kutoka China amesaini mkataba tangu Juni 28 mwaka huu
- Litakuwa na urefu wa mita 513.5 na upana wa mita 11.85 na litagharimu Tsh. Bilioni 67.8
Soma https://jamii.app/DarajaJipyaWamiKujengwa
SERIKALI YAWATAKA WANUNUZI WA KOROSHO KUTAJA TANI WANAZOHITAJI NDANI YA SIKU 4
> Wanunuzi wametakiwa kuwasilisha barua zao wakieleza ni tani ngapi wanahitaji
> Baada ya siku 2 kupita Serikali haitaruhusu Kampuni yoyote kununua zao hilo
Soma ~ https://jamii.app/UnunuziKorosho
> Wanunuzi wametakiwa kuwasilisha barua zao wakieleza ni tani ngapi wanahitaji
> Baada ya siku 2 kupita Serikali haitaruhusu Kampuni yoyote kununua zao hilo
Soma ~ https://jamii.app/UnunuziKorosho
POLISI WAMPIGA RISASI ANAYESADIKIWA KUCHOMA VISU WATU
- Polisi nchini Australia wamempiga risasi Muhunzi mtengeneza visu anayedaiwa kuchoma visu watu watatu na kumuua mmoja mjini Melbourne
- Alipigwa baada ya kuwavamia na kuwatishia Polisi
Soma https://jamii.app/PolisiRisasiMuhunzi
- Polisi nchini Australia wamempiga risasi Muhunzi mtengeneza visu anayedaiwa kuchoma visu watu watatu na kumuua mmoja mjini Melbourne
- Alipigwa baada ya kuwavamia na kuwatishia Polisi
Soma https://jamii.app/PolisiRisasiMuhunzi
SAKATA LA MASHOGA: SERIKALI YASEMA KAMWE HAITAWARUHUSU WANANCHI KUBADILI MATUMIZI YA VIUNGO VYAO
> Imesema haitawaruhusu Wananachi wa Tanzania kubadili matumizi ya kiungo cha kutolea haja kwa matumizi ambayo Mungu hakuyakusudia
Soma ~ https://jamii.app/SerikaliVsMashoga
> Imesema haitawaruhusu Wananachi wa Tanzania kubadili matumizi ya kiungo cha kutolea haja kwa matumizi ambayo Mungu hakuyakusudia
Soma ~ https://jamii.app/SerikaliVsMashoga
CHUO KISHIRIKI CHA KUMBUKUMBU YA STEFANO MOSHI CHAFUTIWA USAJILI
- TCU yaamuru Wanafunzi Chuoni hapo wahamishiwe Kampasi ya Chuo hicho iliyopo Masoka, Moshi
- Aidha, kozi 9 zimefutwa katika Vyuo 4 huku Wanafunzi wanaozisoma wakitakiwa kuhama
Zaidi, soma https://jamii.app/SMMUCoYafutwa
- TCU yaamuru Wanafunzi Chuoni hapo wahamishiwe Kampasi ya Chuo hicho iliyopo Masoka, Moshi
- Aidha, kozi 9 zimefutwa katika Vyuo 4 huku Wanafunzi wanaozisoma wakitakiwa kuhama
Zaidi, soma https://jamii.app/SMMUCoYafutwa
MADENI YASABABISHA NDEGE YA SHIRIKA LA RYANAIR ISHIKILIWE UFARANSA
> Mamlaka ya Anga ya Ufaransa imeishikilia Ndege hiyo aina ya Boeing 737 katika Uwanja wa Bordeaux
> Hii ni baada ya mazungumzo rasmi ya kiofisi kuhindwa kuzaa matunda
Soma ~ https://jamii.app/RyanairSeized
> Mamlaka ya Anga ya Ufaransa imeishikilia Ndege hiyo aina ya Boeing 737 katika Uwanja wa Bordeaux
> Hii ni baada ya mazungumzo rasmi ya kiofisi kuhindwa kuzaa matunda
Soma ~ https://jamii.app/RyanairSeized
TANI 1.2 ZA SAMAKI ZAKAMATWA MKOANI KAGERA
- Idara ya uvuvi imekamata samaki aina ya sangara wenye thamani ya Tsh. Milioni 10.3 waliopatikana kwa uvuvi haramu
- Samaki hao wamegawiwa kwa taasisi mbalimbali zikiwemo baadhi ya shule za sekondari
Zaidi, soma https://jamii.app/SamakiWakamatwaKGR
- Idara ya uvuvi imekamata samaki aina ya sangara wenye thamani ya Tsh. Milioni 10.3 waliopatikana kwa uvuvi haramu
- Samaki hao wamegawiwa kwa taasisi mbalimbali zikiwemo baadhi ya shule za sekondari
Zaidi, soma https://jamii.app/SamakiWakamatwaKGR
SERENGETI, MARA: ASKARI MAGEREZA AJIUA KWA KUJIPIGA RISASI MDOMONI
- Yohana Tangawizi amejiua na kuacha ujumbe kuwa sababu za kujiua ni kuugua tumbo muda mrefu
- Lakini pia inaelezwa kuwa alifunguliwa jalada la kumpa mimba mwanafunzi wa sekondari
Zaidi, soma https://jamii.app/AskariAjiuaSRNGT
- Yohana Tangawizi amejiua na kuacha ujumbe kuwa sababu za kujiua ni kuugua tumbo muda mrefu
- Lakini pia inaelezwa kuwa alifunguliwa jalada la kumpa mimba mwanafunzi wa sekondari
Zaidi, soma https://jamii.app/AskariAjiuaSRNGT
Scheduled Maintenance: JF ‘inaweza’ potea hewani leo Novemba 10, 2018
- Kuanzia saa 9 Alasiri(1500Hrs) yatafanyika matengenezo ili kuboresha huduma zetu na ulinzi kwa Watumiaji na Jukwaa lenyewe
- Tunaomba radhi kwa usumbufu wowote utakaojitokeza kwa muda huo
Asante
Zaidi, Fuatilia https://jamii.app/JFMaintenance-2018
- Kuanzia saa 9 Alasiri(1500Hrs) yatafanyika matengenezo ili kuboresha huduma zetu na ulinzi kwa Watumiaji na Jukwaa lenyewe
- Tunaomba radhi kwa usumbufu wowote utakaojitokeza kwa muda huo
Asante
Zaidi, Fuatilia https://jamii.app/JFMaintenance-2018
WATU 28 WAFARIKI KWA MABOMU NCHINI SOMALIA
- Ni katika mashambulizi matatu ya mabomu ya kutegwa kwenye magari, mjini Mogadishu jana Novemba 09
- Milipuko imetokea karibu na Makao makuu ya Kitengo cha Uchunguzi wa makosa ya Jinai, CID
Zaidi, soma https://jamii.app/28WafaSomalia
- Ni katika mashambulizi matatu ya mabomu ya kutegwa kwenye magari, mjini Mogadishu jana Novemba 09
- Milipuko imetokea karibu na Makao makuu ya Kitengo cha Uchunguzi wa makosa ya Jinai, CID
Zaidi, soma https://jamii.app/28WafaSomalia
TANZANIA YADAIWA ZAIDI YA TSH. BILIONI 400 KWENYE MAHAKAMA ZA KIMATAIFA
- Ni madai katika Mahakama za Kimataifa kutokana na mashauri 13 yaliyofunguliwa
- Hata hivyo, Waziri wa Katiba na Sheria Prof. Kabudi asema hakuna shauri lililotolewa uamuzi hivyo fedha hizo si madeni halisi
Zaidi, soma https://jamii.app/TZDeniMahakamaNje
- Ni madai katika Mahakama za Kimataifa kutokana na mashauri 13 yaliyofunguliwa
- Hata hivyo, Waziri wa Katiba na Sheria Prof. Kabudi asema hakuna shauri lililotolewa uamuzi hivyo fedha hizo si madeni halisi
Zaidi, soma https://jamii.app/TZDeniMahakamaNje
Rais Magufuli leo Novemba 10, 2018 amekagua magari ya Jeshi, Kikosi cha Usafirishaji cha 95KJ
- Magari hayo yanaweza kutumika kubebea Korosho katika mikoa ya Kusini (Lindi na Mtwara) iwapo wanunuzi wa zao hilo hawatazinunua baada ya siku ya Jumatatu saa kumi jioni
Zaidi, soma https://jamii.app/MagariJWTZKorosho
- Magari hayo yanaweza kutumika kubebea Korosho katika mikoa ya Kusini (Lindi na Mtwara) iwapo wanunuzi wa zao hilo hawatazinunua baada ya siku ya Jumatatu saa kumi jioni
Zaidi, soma https://jamii.app/MagariJWTZKorosho
SHAIBU AUAWA KWA KUMBAKA MTOTO NA KUMUAMBUKIZA UKIMWI
- Mkazi kijiji cha Lego Muro mkoani Kilimanjaro, Theobist Gabriel(68) ameuawa na Wananchi baada ya kudaiwa kumbaka mtoto wa miaka 12
- Baada ya vipimo mtoto alibainika kuambukizwa UKIMWI
Zaidi, soma https://jamii.app/ShaibuAuawaMoshi
- Mkazi kijiji cha Lego Muro mkoani Kilimanjaro, Theobist Gabriel(68) ameuawa na Wananchi baada ya kudaiwa kumbaka mtoto wa miaka 12
- Baada ya vipimo mtoto alibainika kuambukizwa UKIMWI
Zaidi, soma https://jamii.app/ShaibuAuawaMoshi