RAIS WA BURUNDI KUPATA TSH. BILIONI 1.15 AKISTAAFU
> Bunge limepitisha Sheria inatakayompa Rais kitita cha Tsh. Bilioni 1.15 atakapostaafu
> Na Rais akistaafu atachukuliwa kwa Hadhi ya Makamu wa Rais kwa kipindi cha miaka 7
Zaidi, soma https://jamii.app/BurundiNkurunzinza
> Bunge limepitisha Sheria inatakayompa Rais kitita cha Tsh. Bilioni 1.15 atakapostaafu
> Na Rais akistaafu atachukuliwa kwa Hadhi ya Makamu wa Rais kwa kipindi cha miaka 7
Zaidi, soma https://jamii.app/BurundiNkurunzinza
KANGI LUGOLA ANG’OLEWA KWENYE NAFASI YA UWAZIRI
- Lugola, aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, amesema Rais ndiye aliyemteua na sasa ameona ampumzishe
- Asema, ni jambo la faraja na hatua nzuri inayolenga kujenga safu ya Serikali ya Awamu ya 5
Zaidi, soma https://jamii.app/LugolaAondolewaUwaziri
- Lugola, aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, amesema Rais ndiye aliyemteua na sasa ameona ampumzishe
- Asema, ni jambo la faraja na hatua nzuri inayolenga kujenga safu ya Serikali ya Awamu ya 5
Zaidi, soma https://jamii.app/LugolaAondolewaUwaziri
ANGOLA: MWANAMKE TAJIRI ZAIDI AFRIKA AFUNGULIWA MASHTAKA YA ULAGHAI
> Isabel dos Santos anashtakiwa kwa ulaghai, ufujaji fedha, usimamizi mbaya wa Ofisi, kughushi stakabadhi pamoja na uhalifu mwingine wa kiuchumi
> Isabel dos Santos pia ni mtoto wa aliyewahikuwa Rais wa Angola (mwaka 1979-2017), Jose Eduardo dos Santos
Zaidi, soma - https://jamii.app/IsabelUlaghaiAngola
> Isabel dos Santos anashtakiwa kwa ulaghai, ufujaji fedha, usimamizi mbaya wa Ofisi, kughushi stakabadhi pamoja na uhalifu mwingine wa kiuchumi
> Isabel dos Santos pia ni mtoto wa aliyewahikuwa Rais wa Angola (mwaka 1979-2017), Jose Eduardo dos Santos
Zaidi, soma - https://jamii.app/IsabelUlaghaiAngola
UGANDA: RAIA WA SUDAN AKAMATWA NA KARATASI ZINAZOBADILIKA NA KUWA DOLA BANDIA
> Duach Toang alikamatwa wakati anavuka mpaka wa Malaba, akitokea nchini Kenya
> Makaratasi hayo yanabadilika kuwa Dola bandia yanapomwagiwa kemikali
Zaidi, soma - https://jamii.app/DolaBandia-UG
> Duach Toang alikamatwa wakati anavuka mpaka wa Malaba, akitokea nchini Kenya
> Makaratasi hayo yanabadilika kuwa Dola bandia yanapomwagiwa kemikali
Zaidi, soma - https://jamii.app/DolaBandia-UG
WAMAREKANI WATATU WAFARIKI KATIKA HARAKATI ZA KUZIMA MOTO AUSTRALIA
> Ni baada ya ndege yao kuanguka wakati wanasaidia kuzima moto
> Waliofariki tangu kuanza kwa moto huo Septemba 2019 wamefikia 38
Zaidi, soma - https://jamii.app/AjaliVifo-AUS
> Ni baada ya ndege yao kuanguka wakati wanasaidia kuzima moto
> Waliofariki tangu kuanza kwa moto huo Septemba 2019 wamefikia 38
Zaidi, soma - https://jamii.app/AjaliVifo-AUS
ULINZI WA KIDIGITALI: JINSI YA KUJUA KAMA TOVUTI ULIYOTEMBELEA NI SALAMA
> Angalia kama tovuti uliyoifungua au kuitembelea ina alama ya kufuli kwenye 'URL' yake. Alama hii hutokea kabla ya 'link' iliyofungua ukurasa huo
> Tazama mfano pichani
#UlinziWaKidigitali
> Angalia kama tovuti uliyoifungua au kuitembelea ina alama ya kufuli kwenye 'URL' yake. Alama hii hutokea kabla ya 'link' iliyofungua ukurasa huo
> Tazama mfano pichani
#UlinziWaKidigitali
KATIBA: JAMHURI YA MUUNGANO
-
#KatibaTz - 3.-(1) Jamhuri ya Muungano ni nchi ya Kidemokrasia na ya Kjamaa, yenye kufuata mfumo wa Vyama Vingi vya Siasa
-
2 (1) Eneo la Jamhuri ya Muungano ni eneo lote la Tanzania Bara na Zanzibar pamoja na sehemu ya Bahari inayopakana nayo
-
Rasimu ya Jaji Warioba: 1 (1) Jamhuri ya Muungano ni Shirikisho lenye mamlaka kamili iliyotokana na Muungano wa Nchi 2
-
(2) Ni Shirikisho la Kidemokrasia linalofuata mfumo wa Vyama Vingi vya Siasa, usawa wa Binadamu, kujitegemea, utawala wa Sheria na kuheshimu Haki za Binadamu
-
#KatibaTz - 3.-(1) Jamhuri ya Muungano ni nchi ya Kidemokrasia na ya Kjamaa, yenye kufuata mfumo wa Vyama Vingi vya Siasa
-
2 (1) Eneo la Jamhuri ya Muungano ni eneo lote la Tanzania Bara na Zanzibar pamoja na sehemu ya Bahari inayopakana nayo
-
Rasimu ya Jaji Warioba: 1 (1) Jamhuri ya Muungano ni Shirikisho lenye mamlaka kamili iliyotokana na Muungano wa Nchi 2
-
(2) Ni Shirikisho la Kidemokrasia linalofuata mfumo wa Vyama Vingi vya Siasa, usawa wa Binadamu, kujitegemea, utawala wa Sheria na kuheshimu Haki za Binadamu
SABABU ZA MIKOA KUFANYA/KUTOFANYA VIZURI KATIKA MITIHANI DARASA LA SABA
> Nafasi hafifu ya wazazi kuwahamasisha watoto, Umbali mrefu kwenda shuleni
> Changamoto ya kimenejimenti na kukosa hamasa na mbinu za ziada katika kuimarisha ufundishaji
Zaidi, soma https://jamii.app/HakiElimuSababu
> Nafasi hafifu ya wazazi kuwahamasisha watoto, Umbali mrefu kwenda shuleni
> Changamoto ya kimenejimenti na kukosa hamasa na mbinu za ziada katika kuimarisha ufundishaji
Zaidi, soma https://jamii.app/HakiElimuSababu
SYRIA: WANAJESHI 40 WAUAWA NA WAASI
> Waasi walitumia milipuko ya kutegwa ndani ya magari na silaha nzito nzito katika mashambulizi hayo
> Jeshi la Serikali limepeleka Vikosi vya Msaada katika jimbo hilo
Zaidi, soma zaidi https://jamii.app/SyriaWanajeshi
> Waasi walitumia milipuko ya kutegwa ndani ya magari na silaha nzito nzito katika mashambulizi hayo
> Jeshi la Serikali limepeleka Vikosi vya Msaada katika jimbo hilo
Zaidi, soma zaidi https://jamii.app/SyriaWanajeshi
MBINGA, RUVUMA: KIJANA HUNYWA MAJI LITA 100 KWA SAA MBILI, TANGU APIGWE NA RADI
> Erick Msuha ana matatizo ya kiafya tangu apigwe na radi mwaka 1993 hivyo anatakiwa kufanyiwa Upasuaji
> Baba wa Kijana huyo ameomba msaada kutoka kwa Wasamaria wema kwani wameuza kila walichokuwa nacho kumsaidia bila mafanikio
Zaidi, soma zaidi https://jamii.app/MajiLita
> Erick Msuha ana matatizo ya kiafya tangu apigwe na radi mwaka 1993 hivyo anatakiwa kufanyiwa Upasuaji
> Baba wa Kijana huyo ameomba msaada kutoka kwa Wasamaria wema kwani wameuza kila walichokuwa nacho kumsaidia bila mafanikio
Zaidi, soma zaidi https://jamii.app/MajiLita
RIPOTI: TANZANIA YAZIZIDI KENYA NA UGANDA KATIKA KUTOKOMEZA RUSHWA
> Tanzania imepata alama 37 kati ya alama 100 kwa Viashiria vya Kutokomeza Rushwa Duniani
> Kenya na Uganda zimepata alama 28. Nyingine ni Somalia (9), Sudan Kusini (12) na Rwanda (53)
Zaidi, soma - https://jamii.app/RipotiRushwaTZ
> Tanzania imepata alama 37 kati ya alama 100 kwa Viashiria vya Kutokomeza Rushwa Duniani
> Kenya na Uganda zimepata alama 28. Nyingine ni Somalia (9), Sudan Kusini (12) na Rwanda (53)
Zaidi, soma - https://jamii.app/RipotiRushwaTZ
MWAKYEMBE: 2021 MWISHO WA WANAHABARI WASIO NA ELIMU KUANZIA STASHAHADA
- Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe amesema, Desemba mwaka 2021 ndio mwisho kwa mujibu wa Sheria ya Huduma ya habari ya Mwaka 2016
Zaidi, soma https://jamii.app/ElimuWanahabari
- Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe amesema, Desemba mwaka 2021 ndio mwisho kwa mujibu wa Sheria ya Huduma ya habari ya Mwaka 2016
Zaidi, soma https://jamii.app/ElimuWanahabari
DAR: WATANZANIA 30 WALIOZAMIA AFRIKA KUSINI WAHUKUMIWA
> Watuhumiwa hao walirudishwa nchini na kufikishwa Mahakama ya Kisutu
> 16 wahukumiwa miezi 6 jela au faini ya Tsh. 300,000. Wengine 14 wamehukumiwa miezi 18 jela au faini ya Tsh. 50,000
Zaidi, soma - https://jamii.app/WazamiajiAfrikaKusini
> Watuhumiwa hao walirudishwa nchini na kufikishwa Mahakama ya Kisutu
> 16 wahukumiwa miezi 6 jela au faini ya Tsh. 300,000. Wengine 14 wamehukumiwa miezi 18 jela au faini ya Tsh. 50,000
Zaidi, soma - https://jamii.app/WazamiajiAfrikaKusini