ULINZI WA KIDIGITALI: Umewahi kukutana na neno 'Encryption'? Je, wajua maana na kazi yake?
> Encryption ni mchakato wa kufunga ujumbe au taarifa ili zisiweze kuinguliwa na Mtu asiyeruhusiwa, asiyehusika au asiyetakiwa. Ni moja kati ya hatua muhimu katika UlinziWaKidigitali
> Katika mchakato huu, taarifa au ujumbe hubadilishwa mantiki na muonekano ili kuzuia asiyehusika kuweza kuupata na kuuelewa
> Mfano: Katika simu au kompyuta ambayo imewezeshwa kufanya 'Encryption' ukituma ujumbe ulioandika (Habari ya Asubuhi) basi wakati wa kusafirishwa kwenda kwa mlengwa/walengwa utafungwa na kuwa (mfano: ₩¥Gskgzk:,÷..._52828) lakini ukimfikia mlengwa utasomeka (Habari ya Asubuhi)
> Kuna baadhi ya Programu Tumishi (Application) hutaka wahusika kubadilishana funguo kwanza kabla ya kuanza kuwasiliana kwa jumbe na taarifa zenye 'Encryption'
> Encryption ni mchakato wa kufunga ujumbe au taarifa ili zisiweze kuinguliwa na Mtu asiyeruhusiwa, asiyehusika au asiyetakiwa. Ni moja kati ya hatua muhimu katika UlinziWaKidigitali
> Katika mchakato huu, taarifa au ujumbe hubadilishwa mantiki na muonekano ili kuzuia asiyehusika kuweza kuupata na kuuelewa
> Mfano: Katika simu au kompyuta ambayo imewezeshwa kufanya 'Encryption' ukituma ujumbe ulioandika (Habari ya Asubuhi) basi wakati wa kusafirishwa kwenda kwa mlengwa/walengwa utafungwa na kuwa (mfano: ₩¥Gskgzk:,÷..._52828) lakini ukimfikia mlengwa utasomeka (Habari ya Asubuhi)
> Kuna baadhi ya Programu Tumishi (Application) hutaka wahusika kubadilishana funguo kwanza kabla ya kuanza kuwasiliana kwa jumbe na taarifa zenye 'Encryption'
KIGWANGALLA: WALISHINDWA KUNIUA WAKATI ULE. NAINGIA VITANI KWA SILAHA ZOTE
- Adai kuna Watu wanalipwa, wanaandika kwenye gazeti vitu vya kipuuzi ili kumchafua
- Asema, vita na ushindi ni asili yake bila kujali nani atadhurika kwenye vita hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/KigwangallaVitani
- Adai kuna Watu wanalipwa, wanaandika kwenye gazeti vitu vya kipuuzi ili kumchafua
- Asema, vita na ushindi ni asili yake bila kujali nani atadhurika kwenye vita hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/KigwangallaVitani
DAR: WANAFUNZI 19,000 WALIOJIUNGA KIDATO CHA KWANZA, WAKOSA MADARASA
> Kuna upungufu wa Madarasa 381, Wilaya ya Temeke pekee ikiwa na Upungufu wa Madarasa 120
> Wilaya ya Temeke ina wanafunzi 5970 waliokosa nafasi za Kidato cha Kwanza
Zaidi, soma https://jamii.app/DarMadarasa
> Kuna upungufu wa Madarasa 381, Wilaya ya Temeke pekee ikiwa na Upungufu wa Madarasa 120
> Wilaya ya Temeke ina wanafunzi 5970 waliokosa nafasi za Kidato cha Kwanza
Zaidi, soma https://jamii.app/DarMadarasa
WATU MILIONI 470 HAWANA KAZI NZURI ULIMWENGUNI
> Asilimia 60 ya Nguvu Kazi Ulimwenguni kote ni wale wanaofanya kazi zisizo rasmi, ambapo malipo ni kidogo na bila marupurupu
> Vijana milioni 267 hawako kwenye ajira, elimu au mafunzo ya kazi
Zaidi, soma https://jamii.app/KaziUlimwenguni
> Asilimia 60 ya Nguvu Kazi Ulimwenguni kote ni wale wanaofanya kazi zisizo rasmi, ambapo malipo ni kidogo na bila marupurupu
> Vijana milioni 267 hawako kwenye ajira, elimu au mafunzo ya kazi
Zaidi, soma https://jamii.app/KaziUlimwenguni
TANZANIA MIONGONI MWA NCHI 7 ZINAZOWEZA KUWEKEWA VIKWAZO NA MAREKANI
- Belarus, Eritrea, Kyrgyzstan, Myanmar, Nigeria, Sudan na Tanzania huenda zikaongezwa katika orodha ya nchi ambazo Raia wake wamewekewa vikwazo kuingia Marekani
Zaidi, soma https://jamii.app/Tanzania-USATravelBan
- Belarus, Eritrea, Kyrgyzstan, Myanmar, Nigeria, Sudan na Tanzania huenda zikaongezwa katika orodha ya nchi ambazo Raia wake wamewekewa vikwazo kuingia Marekani
Zaidi, soma https://jamii.app/Tanzania-USATravelBan
Rushwa ya aina yoyote ina athari nyingi zikiwemo Kuumiza Wananchi, Kudhoofisha uwezo wa Serikali wa kutoa Huduma za Msingi, Kukosekana kwa Usawa na Haki na Kukatisha Watu tamaa
- Kwa mujibu wa Kifungu cha 25 cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Na. 11/ 2007, adhabu ya mtu atakayebainika kuomba Rushwa ya Ngono ni faini isiyozidi Tsh. Milioni 5 au kifungo kisichozidi miaka mitatu au vyote kwa pamoja
#KemeaRushwa
- Kwa mujibu wa Kifungu cha 25 cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Na. 11/ 2007, adhabu ya mtu atakayebainika kuomba Rushwa ya Ngono ni faini isiyozidi Tsh. Milioni 5 au kifungo kisichozidi miaka mitatu au vyote kwa pamoja
#KemeaRushwa
TMA YATOA TAHADHARI YA MVUA KUBWA KWA MIKOA MINNE
> Mikoa hiyo ni Lindi, Mtwara, Ruvuma na Morogoro
> TMA pia imetoa tahadhari ya upepo mkali na mawimbi katika mikoa ya Lindi, Mtwara, Pwani, Dar, Tanga, Unguja na Pemba
Zaidi, soma https://jamii.app/TMAMvuaTahadhari
> Mikoa hiyo ni Lindi, Mtwara, Ruvuma na Morogoro
> TMA pia imetoa tahadhari ya upepo mkali na mawimbi katika mikoa ya Lindi, Mtwara, Pwani, Dar, Tanga, Unguja na Pemba
Zaidi, soma https://jamii.app/TMAMvuaTahadhari
MACAU: MJI UNAOONGOZA KWA KIPATO KINACHOTOKANA NA KAMARI DUNIANI
> Mwaka 2016, Mji huu ulikadiriwa kuwa na kipato kilichotokana na Kamari cha Dola Bilioni 27.8 (Sawa na Tsh. Trilioni 64.2)
> Macau iliyopo China imeingia katika Kitabu cha Rekodi za Dunia cha Guinness 2019 kutokana na mapato hayo
Zaidi, soma https://jamii.app/KamariDuniani
> Mwaka 2016, Mji huu ulikadiriwa kuwa na kipato kilichotokana na Kamari cha Dola Bilioni 27.8 (Sawa na Tsh. Trilioni 64.2)
> Macau iliyopo China imeingia katika Kitabu cha Rekodi za Dunia cha Guinness 2019 kutokana na mapato hayo
Zaidi, soma https://jamii.app/KamariDuniani
NIGERIA: MAGAIDI WAUANA WAO KWA WAO
> Boko Haram walivamia kambi ya Dola la Kiislamu la Afrika Magharibi (ISWAP)
> Mapigano kati ya makundi hayo mawili ya Kigaidi Kaskazini Mashariki mwa Nigeria yamesababisha vifo vya wapiganaji wengi
Zaidi, soma https://jamii.app/MagaidiNigeria
> Boko Haram walivamia kambi ya Dola la Kiislamu la Afrika Magharibi (ISWAP)
> Mapigano kati ya makundi hayo mawili ya Kigaidi Kaskazini Mashariki mwa Nigeria yamesababisha vifo vya wapiganaji wengi
Zaidi, soma https://jamii.app/MagaidiNigeria
ALIYESHTAKIWA KWA UHUJUMU UCHUMI ATEULIWA UENYEKITI WA BODI VETA. MASHTAKA YAKE YALIFUTWA
> Ni Peter Maduki, ambaye alishtakiwa kwa makosa 280 likiwamo la Utakatishaji Fedha
> Kesi iliondolewa Mahakamani siku moja baada ya kufunguliwa
Zaidi, soma https://jamii.app/UhujumuUteuzi
> Ni Peter Maduki, ambaye alishtakiwa kwa makosa 280 likiwamo la Utakatishaji Fedha
> Kesi iliondolewa Mahakamani siku moja baada ya kufunguliwa
Zaidi, soma https://jamii.app/UhujumuUteuzi
MAAMUZI YA KAMATI YA USIMAMIZI WA LIGI KUU TANZANIA
- Kocha wa Yanga, Luc Eymael ameonywa kwa kutoa matamshi na kufanya vitendo visivyofaa
- Yanga imetozwa Tsh. 500,000 kwa Mashabiki wake kurusha chupa za maji uwanjani na kuwarushia Waamuzi
Zaidi, soma https://jamii.app/MaamuziKamatiLigi
- Kocha wa Yanga, Luc Eymael ameonywa kwa kutoa matamshi na kufanya vitendo visivyofaa
- Yanga imetozwa Tsh. 500,000 kwa Mashabiki wake kurusha chupa za maji uwanjani na kuwarushia Waamuzi
Zaidi, soma https://jamii.app/MaamuziKamatiLigi
TUNDU LISSU: WADHAMINI HAWAWEZI KUNIRUDISHA TANZANIA, NITARUDI NIKIHAKIKISHIWA USALAMA WANGU
> Lissu aomba Mahakama kuwatendea haki wadhamini wake, Robert Katula na Ibrahimu Ahmed
> Amesema, uhai ni mkubwa kuliko kesi
Zaidi, soma https://jamii.app/LissuMahakamaWadhamini
> Lissu aomba Mahakama kuwatendea haki wadhamini wake, Robert Katula na Ibrahimu Ahmed
> Amesema, uhai ni mkubwa kuliko kesi
Zaidi, soma https://jamii.app/LissuMahakamaWadhamini
MTWARA: WAZAZI WALIOGOMA KUPELEKA WATOTO SHULE KUSAKWA
> Wanafunzi 20,400 walitakiwa kujiunga Kidato cha Kwanza lakini 75% hawajaripoti Shule
> Mkuu wa Mkoa amesema, Wazazi waliogoma kupeleka watoto shuleni watachukuliwa hatua za kisheria
Zaidi, soma - https://jamii.app/WazaziElimuMtwara
> Wanafunzi 20,400 walitakiwa kujiunga Kidato cha Kwanza lakini 75% hawajaripoti Shule
> Mkuu wa Mkoa amesema, Wazazi waliogoma kupeleka watoto shuleni watachukuliwa hatua za kisheria
Zaidi, soma - https://jamii.app/WazaziElimuMtwara
NEW YORK: JIJI LILILOVUNJA REKODI YA KUWA NA MABILIONEA WENGI
> Lilikuwa Jiji lililokuwa na mabilionea 82, kwa takwimu za mwaka 2017 zilizotolewa na Forbes
> Idadi hiyo imeliweka jiji hilo katika Kitabu cha Guinness cha 2019
Zaidi, soma https://jamii.app/BilioneaMji
> Lilikuwa Jiji lililokuwa na mabilionea 82, kwa takwimu za mwaka 2017 zilizotolewa na Forbes
> Idadi hiyo imeliweka jiji hilo katika Kitabu cha Guinness cha 2019
Zaidi, soma https://jamii.app/BilioneaMji
BURKINA FASO: BENDERA ZITAPEPEA NUSU MLINGOTI BAADA YA WATU 36 KUUAWA
> Kundi la Magaidi wenye silaha walivamia Vijiji vya Nagraogo na Alamou na kuua watu 36
> Serikali imetangaza siku mbili za maombolezo ya kitaifa kuanzia Januari 22
Zaidi, soma https://jamii.app/MagaidiShambulio
> Kundi la Magaidi wenye silaha walivamia Vijiji vya Nagraogo na Alamou na kuua watu 36
> Serikali imetangaza siku mbili za maombolezo ya kitaifa kuanzia Januari 22
Zaidi, soma https://jamii.app/MagaidiShambulio
ULINZI WA KIDIGITALI: Je, wajua kuwa ukipiga picha kwa kutumia Kamera ya Simu yako hurekodi na mahali ulipo?
> Geo-tagging: hufanya Kamera yako kuambatanisha sehemu (location) uliyopiga picha wakati ukifanya zoezi hilo
> Hufanya hivi bila ya wewe kujua na inaweza kuwa hatari kwani picha yako itatoa taarifa ya sehemu ulipo kwa watu wenye nia ovu
Kwa elimu zaidi, soma > https://jamii.app/Geo-tagging
> Geo-tagging: hufanya Kamera yako kuambatanisha sehemu (location) uliyopiga picha wakati ukifanya zoezi hilo
> Hufanya hivi bila ya wewe kujua na inaweza kuwa hatari kwani picha yako itatoa taarifa ya sehemu ulipo kwa watu wenye nia ovu
Kwa elimu zaidi, soma > https://jamii.app/Geo-tagging
ARUSHA: WAFANYAKAZI WA KAMPUNI YA UWINDAJI YA GREEN MILES MBARONI
- Waliokamatwa ni Lazaro Lembrise, Moses Sikange, Mohamed Bembe na Hassan Mahonza
- Wanadaiwa kukaidi agizo la Serikali na kuendelea na kazi katika kitalu walichotakiwa kuondoka
Zaidi, soma https://jamii.app/WafanyakaziGreenMilesMbaroni
- Waliokamatwa ni Lazaro Lembrise, Moses Sikange, Mohamed Bembe na Hassan Mahonza
- Wanadaiwa kukaidi agizo la Serikali na kuendelea na kazi katika kitalu walichotakiwa kuondoka
Zaidi, soma https://jamii.app/WafanyakaziGreenMilesMbaroni
MUSEVENI: ILIKUWA MAKOSA MATAIFA YA AFRIKA KUTOISAIDIA LIBYA
- Amesema, Afrika ina uwezo wa kuzuia Mataifa ya Magharibi kuvamia Afrika kiholela
- Ameongeza, ilikuwa makosa Mataifa ya Magharibi kuvamia Libya bila ya Afrika kuzuia kitendo hicho
Zaidi, soma https://jamii.app/Museveni-MataifaMagh
- Amesema, Afrika ina uwezo wa kuzuia Mataifa ya Magharibi kuvamia Afrika kiholela
- Ameongeza, ilikuwa makosa Mataifa ya Magharibi kuvamia Libya bila ya Afrika kuzuia kitendo hicho
Zaidi, soma https://jamii.app/Museveni-MataifaMagh
SERIKALI: HATUJAPOKEA WARAKA WOWOTE WA KIDPLOMASIA KUTOKA MAREKANI
- Imesema, haijapokea waraka wowote kuwa Raia wake huenda wakawekewa vikwazo kwenda Marekani
- Imesema, yanayoendelea ni maneno ya mtandaoni na hawawezi kuzungumzia maneno hayo
Zaidi, soma https://jamii.app/TanzaniaWarakaVikwazoUSA
- Imesema, haijapokea waraka wowote kuwa Raia wake huenda wakawekewa vikwazo kwenda Marekani
- Imesema, yanayoendelea ni maneno ya mtandaoni na hawawezi kuzungumzia maneno hayo
Zaidi, soma https://jamii.app/TanzaniaWarakaVikwazoUSA
KATIBA YA TANZANIA NA KENYA KUHUSU RAIS KUSHINDWA KUMUDU MAJUKUMU YAKE
-
#KatibaTz Ibara ya 37.-(2) inasema Endapo Baraza la Mawaziri litaona Rais hawezi kumudu kazi zake kwa sababu ya maradhi ya mwili au akili, laweza kuwasilisha kwa Jaji Mkuu azimio la kumwomba Jaji Mkuu athibitishe kwamba Rais hawezi kumudu kazi zake
-
#KatibaKe Ibara ya 144.(1) inasema Mjumbe wa Bunge, akiungwa mkono na robo ya Wabunge wote, anaweza kushinikiza kufanyika kwa uchunguzi wa hali ya kimwili au kiakili ya Rais katika kufanya majukumu yake
-
Hoja hiyo ikiungwa mkono na wajumbe wengi, Spika wa Bunge atatakiwa kumjulisha Jaji Mkuu kuhusu azimio hilo ndani ya siku 2 na ataunda bodi ya matabibu itakayochunguza suala hilo
-
#KatibaTz Ibara ya 37.-(2) inasema Endapo Baraza la Mawaziri litaona Rais hawezi kumudu kazi zake kwa sababu ya maradhi ya mwili au akili, laweza kuwasilisha kwa Jaji Mkuu azimio la kumwomba Jaji Mkuu athibitishe kwamba Rais hawezi kumudu kazi zake
-
#KatibaKe Ibara ya 144.(1) inasema Mjumbe wa Bunge, akiungwa mkono na robo ya Wabunge wote, anaweza kushinikiza kufanyika kwa uchunguzi wa hali ya kimwili au kiakili ya Rais katika kufanya majukumu yake
-
Hoja hiyo ikiungwa mkono na wajumbe wengi, Spika wa Bunge atatakiwa kumjulisha Jaji Mkuu kuhusu azimio hilo ndani ya siku 2 na ataunda bodi ya matabibu itakayochunguza suala hilo