MAHAKAMA YAWATAKA WADHAMINI WAMPELEKE LISSU KABLA HAIJATOA MAAMUZI MENGINE
> Wakili wa Serikali, amesema jukumu la mdhamini ni kuhakikisha mshtakiwa anafika Mahakamani
> Mdhamini alisema wameandika barua kwa Freeman Mbowe ili Lissu arejee
Zaidi, soma https://jamii.app/WadhaminiLissu
> Wakili wa Serikali, amesema jukumu la mdhamini ni kuhakikisha mshtakiwa anafika Mahakamani
> Mdhamini alisema wameandika barua kwa Freeman Mbowe ili Lissu arejee
Zaidi, soma https://jamii.app/WadhaminiLissu
KATIBA: UTEUZI WA NAIBU SPIKA BUNGENI
> Ibara ya 85-(1): Kutakuwa na Naibu Spika ambaye atachaguliwa na wajumbe kutoka miongoni mwa Wabunge
> (2) Waziri, Naibu Waziri au mtu mwenye madaraka ya aina nyingine itakayotajwa na Sheria ya Bunge hataweza kuwa Naibu wa Spika
#Katiba
> Ibara ya 85-(1): Kutakuwa na Naibu Spika ambaye atachaguliwa na wajumbe kutoka miongoni mwa Wabunge
> (2) Waziri, Naibu Waziri au mtu mwenye madaraka ya aina nyingine itakayotajwa na Sheria ya Bunge hataweza kuwa Naibu wa Spika
#Katiba
KILIMO CHA MAPARACHICHI CHAMFANYA KIJANA MWENYE ELIMU YA DARASA LA SABA KUSHIKA MAMILIONI
> Steven Mlimbila ameajiri zaidi ya vijana 40
> Mwaka jana alikuwa Mkulima Bora katika maonyesho ya Nanenane kwa Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini
> Mafanikio yake kiuchumi yamekuwa gumzo kwa vijana wengi wakiwamo Madereva Bodaboda ambao wamedhamiria kuingia shambani
Zaidi, tembelea https://jamii.app/MaparachichiKilimo
> Steven Mlimbila ameajiri zaidi ya vijana 40
> Mwaka jana alikuwa Mkulima Bora katika maonyesho ya Nanenane kwa Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini
> Mafanikio yake kiuchumi yamekuwa gumzo kwa vijana wengi wakiwamo Madereva Bodaboda ambao wamedhamiria kuingia shambani
Zaidi, tembelea https://jamii.app/MaparachichiKilimo
MALAYSIA KURUDISHA MAKONTENA 110 YA TAKA KATIKA NCHI HUSIKA
> Waziri Yeo Bee Yin amesema wanaotaka kuifanya nchi hiyo dampo waendelee kuota
> Nchi hiyo ipo katika harakati za kuachana na matumizi ya plastiki ili kutunza mazingira
Zaidi, soma - https://jamii.app/TakaMazingiraMalaysia
> Waziri Yeo Bee Yin amesema wanaotaka kuifanya nchi hiyo dampo waendelee kuota
> Nchi hiyo ipo katika harakati za kuachana na matumizi ya plastiki ili kutunza mazingira
Zaidi, soma - https://jamii.app/TakaMazingiraMalaysia
MWANZA: WATUMISHI WA TANESA WANYANG'ANYWA MAJENGO
- TAKUKURU imechukua majengo 4 yenye thamani ya Tsh. milioni 420 yaliyojengwa na Uholanzi na kukabidhiwa Serikali
- Imesema, baada ya mradi kuisha Watumishi walijimilikisha kinyemela majengo hayo
Zaidi, soma https://jamii.app/TAKUKURU-MajengoTANESA
- TAKUKURU imechukua majengo 4 yenye thamani ya Tsh. milioni 420 yaliyojengwa na Uholanzi na kukabidhiwa Serikali
- Imesema, baada ya mradi kuisha Watumishi walijimilikisha kinyemela majengo hayo
Zaidi, soma https://jamii.app/TAKUKURU-MajengoTANESA
ZAIDI YA WATOTO MILIONI 3 HAWAHUDHURII MASOMO KUTOKANA NA UGUMU WA MAISHA
> Sudan imeorodheshwa kama mojawapo ya mataifa masikini zaidi duniani
> Watoto hawawezi kuendelea na masomo kutokana na hali ngumu ya maisha
Zaidi, soma https://jamii.app/SudanAjiraWatoto
> Sudan imeorodheshwa kama mojawapo ya mataifa masikini zaidi duniani
> Watoto hawawezi kuendelea na masomo kutokana na hali ngumu ya maisha
Zaidi, soma https://jamii.app/SudanAjiraWatoto
ELIMU KATIBA: SEKRETARIATI YA BUNGE
- Ibara ya 88.-(1) inasema Kutakuwa na Sekretariati ya Bunge itakayokuwa na nafasi za madaraka katika utumishi wa Serikali kwa idadi atakayoagiza Rais
- (2) Sekretariati ya Bunge itakuwa na watumishi kwa idadi na ngazi za utumishi itakavyoamuliwa mara kwa mara na Tume ya Utumishi inayohusika baada ya kushauriana na Katibu wa Bunge
- Ibara ya 88.-(1) inasema Kutakuwa na Sekretariati ya Bunge itakayokuwa na nafasi za madaraka katika utumishi wa Serikali kwa idadi atakayoagiza Rais
- (2) Sekretariati ya Bunge itakuwa na watumishi kwa idadi na ngazi za utumishi itakavyoamuliwa mara kwa mara na Tume ya Utumishi inayohusika baada ya kushauriana na Katibu wa Bunge
IRAQ: KIONGOZI WA ISLAMIC STATE AKAMATWA
> Abu Abdul Bari amekamatwa na kubebwa na Lori kutokana na uzito wake wa kilo 250. Iraq imethibitisha kukamatwa kwa Kiongozi huyo
> Bari ni Mufti wa Kundi la IS na Mtaalamu wa Sheria za Dini
Zaidi, soma zaidi https://jamii.app/KiongoziIS
> Abu Abdul Bari amekamatwa na kubebwa na Lori kutokana na uzito wake wa kilo 250. Iraq imethibitisha kukamatwa kwa Kiongozi huyo
> Bari ni Mufti wa Kundi la IS na Mtaalamu wa Sheria za Dini
Zaidi, soma zaidi https://jamii.app/KiongoziIS
ULINZI WA KIDIGITALI: JINSI YA KUWA SALAMA UNAPOKUWA MTANDAONI
> Usifungue Link au Email kutoka kwa mtu usiyemfahamu
> Wadukuzi huambatanisha na jumbe za kuvutia. Endapo utafungua kiunganishi hicho unamruhusu mdukuzi aingilie mawasiliano yako
> Tumia Password (Nywila) iliyo Bora Zaidi
Soma > https://jamii.app/SafeBrowsing
> Usifungue Link au Email kutoka kwa mtu usiyemfahamu
> Wadukuzi huambatanisha na jumbe za kuvutia. Endapo utafungua kiunganishi hicho unamruhusu mdukuzi aingilie mawasiliano yako
> Tumia Password (Nywila) iliyo Bora Zaidi
Soma > https://jamii.app/SafeBrowsing
JamiiForums kupitia Jukwaa lake la Ajira na Tenda linakupa nafasi mdau wetu kuweza kupata nafasi mbalimbali za Kazi iwe ni Serikali, katika Mashirika ya Ndani au hata ya Kimataifa
- Kujua nafasi mbalimbali za Kazi na Tenda zilizotangazwa Nchini au Nchi za Nje kwa ajili ya Raia wa Tanzania, tembelea Jukwaa hilo, fungua https://jamii.app/JukwaaTendaAjira
- Kujua nafasi mbalimbali za Kazi na Tenda zilizotangazwa Nchini au Nchi za Nje kwa ajili ya Raia wa Tanzania, tembelea Jukwaa hilo, fungua https://jamii.app/JukwaaTendaAjira
RSF YATAKA UCHUNGUZI WA KINA KUHUSU MAUAJI YA WAANDISHI 3
> REPORTERS WITHOUT BORDERS (RSF) yadai uhakiki wa ushahidi uliotolewa katika uchunguzi wa mwanzo
> Waandishi watatu wa Urusi waliuawa na watu wasiojulikana Jamhuri ya Afrika ya Kati
Zaidi, soma https://jamii.app/RSFWaandishi
> REPORTERS WITHOUT BORDERS (RSF) yadai uhakiki wa ushahidi uliotolewa katika uchunguzi wa mwanzo
> Waandishi watatu wa Urusi waliuawa na watu wasiojulikana Jamhuri ya Afrika ya Kati
Zaidi, soma https://jamii.app/RSFWaandishi
MICHEZO: Klabu ya Aston Villa @AVFCOfficial ya nchini England yatangaza rasmi kumsajili Mbwana Samatta kutoka Klabu ya Genk ya nchini Ubelgiji
> Samatta amesaini kandarasi kuitumikia Klabu hiyo kwa muda wa miaka 4 na nusu
#JFSports #KaribuSamatta
> Samatta amesaini kandarasi kuitumikia Klabu hiyo kwa muda wa miaka 4 na nusu
#JFSports #KaribuSamatta
SHINYANGA: MBARONI KWA KUTOZA WATU FEDHA ILI WASAJILI LAINI
- Afisa wa NIDA, Haruna Mushi na Wakala wa Usajili Laini, Victor Vicent wanatuhumiwa kutoza Wananchi Tsh. 30,000 ili wawape Namba za NIDA na kusajili laini zao kwa Alama za Vidole
Zaidi, soma https://jamii.app/WakalaAfisaNIDA-Mbaroni
- Afisa wa NIDA, Haruna Mushi na Wakala wa Usajili Laini, Victor Vicent wanatuhumiwa kutoza Wananchi Tsh. 30,000 ili wawape Namba za NIDA na kusajili laini zao kwa Alama za Vidole
Zaidi, soma https://jamii.app/WakalaAfisaNIDA-Mbaroni
ADHABU YA KOSA: Kwa mujibu wa Sheria ya Kuzia na Kupambana na Rushwa Na. 11 ya Mwaka 2007, Kifungu cha 34 (1) kinasema Mtu huyo atakuwa ametenda Kosa na atawajibika kwa kulipa faini isiyozidi Tsh. Milioni 10 au kwenda Jela kwa Kifungo kisichozidi miaka 7 au vyote kwa pamoja
#KemeaRushwa
#KemeaRushwa
ZIJUE TOFAUTI ZA MCHUMI NA MBAHILI
> Mbahili huona pesa kama rasilimali pekee ya kuikuza (Maximize) hivyo hupoteza rasilimali nyingine na mara nyingine hata pesa aliyonayo
> Mchumi hukuza rasimali inayohitajika zaidi kwa wakati husika kwa kuwa huangalia ni rasilimali ipi ya kuikuza kwa wakati alionao
Zaidi, tembelea https://jamii.app/MhumiMbahili
> Mbahili huona pesa kama rasilimali pekee ya kuikuza (Maximize) hivyo hupoteza rasilimali nyingine na mara nyingine hata pesa aliyonayo
> Mchumi hukuza rasimali inayohitajika zaidi kwa wakati husika kwa kuwa huangalia ni rasilimali ipi ya kuikuza kwa wakati alionao
Zaidi, tembelea https://jamii.app/MhumiMbahili
TABIBU AKAMATWA KWA KUMUOMBA MGONJWA RUSHWA NA KUMFANYIA UPASUAJI BILA UJUZI
> Eliud Humbo aliomba Tsh. 100,000 ili kumfanyia mgonjwa upasuaji wa Ngiri
> Alitoa utumbo wake nje na kwasababu hana Utaalamu, alishindwa kumaliza upasuaji huo
Zaidi, soma - https://jamii.app/RushwaUpasuajiRukwa
> Eliud Humbo aliomba Tsh. 100,000 ili kumfanyia mgonjwa upasuaji wa Ngiri
> Alitoa utumbo wake nje na kwasababu hana Utaalamu, alishindwa kumaliza upasuaji huo
Zaidi, soma - https://jamii.app/RushwaUpasuajiRukwa
COMPARITECH: TANZANIA YA KWANZA KWA SERA MBOVU ZA USAJILI WA LAINI, YA NNE KWA ULINZI MBOVU WA MTANDAO
> Usajili wa kutumia Alama za Vidole unaongeza hatari ya faragha za wateja
> 28.3% ya Simu na 14.7% ya Kompyuta zake zina 'Malwares'
Zaidi, soma https://jamii.app/SeraMbovu
> Usajili wa kutumia Alama za Vidole unaongeza hatari ya faragha za wateja
> 28.3% ya Simu na 14.7% ya Kompyuta zake zina 'Malwares'
Zaidi, soma https://jamii.app/SeraMbovu
KENYA: WATU MASHUHURI WENYE SHUTUMA ZA UHALIFU KUONDOLEWA ULINZI
- Polisi imesema wataondolewa ulinzi hadi Mahakama itakapothibitisha tofauti
- Uamuzi umekuja siku chache tangu Mbunge wa Embakasi Mashariki, Babu Owino kumjeruhi DJ kwa risasi
Zaidi, soma https://jamii.app/SecurityDetailVIP-KE
- Polisi imesema wataondolewa ulinzi hadi Mahakama itakapothibitisha tofauti
- Uamuzi umekuja siku chache tangu Mbunge wa Embakasi Mashariki, Babu Owino kumjeruhi DJ kwa risasi
Zaidi, soma https://jamii.app/SecurityDetailVIP-KE
TAKWIMU ZINAONESHA SARATANI IPO KWA WANAWAKE KWA ASILIMIA 70
> Saratani zinazoongoza ni ya Shingo ya Kizazi (37.5%) na Saratani ya Matiti (11%)
> Ocean Road ina matukio 16,546 ya Saratani mbalimbali wakati Bugando ina matukio 4,562
Zaidi, soma - https://jamii.app/WanawakeSarataniUtafiti
> Saratani zinazoongoza ni ya Shingo ya Kizazi (37.5%) na Saratani ya Matiti (11%)
> Ocean Road ina matukio 16,546 ya Saratani mbalimbali wakati Bugando ina matukio 4,562
Zaidi, soma - https://jamii.app/WanawakeSarataniUtafiti
KIBAHA, PWANI: MAITI YA MTOTO WA DARASA LA PILI YAKUTWA IKIWA NA MICHUBUKO SEHEMU ZA SIRI
> Mtoto huyo alipotea tangu Januari 14, 2020 akiwa anatoka Gulioni
> Mwili wake ulikutwa ndani ya Nyumba inayoendelea kujengwa, Januari 19, 2020
Zaidi, soma https://jamii.app/MtotoSiri
> Mtoto huyo alipotea tangu Januari 14, 2020 akiwa anatoka Gulioni
> Mwili wake ulikutwa ndani ya Nyumba inayoendelea kujengwa, Januari 19, 2020
Zaidi, soma https://jamii.app/MtotoSiri