MAKONDA: ASIYE NA NAMBA WALA KITAMBULISHO CHA TAIFA AMEENDEKEZA UMBEA
- RC Paul Makonda amedai Wananchi wa Mkoa wa Dar ambao hadi jana hawakuwa na Namba wala Kitambulisho cha Taifa waliendekeza zaidi umbea kuliko kufuatilia mambo ya msingi
Zaidi, soma https://jamii.app/MakondaKitambulishoUmbea
- RC Paul Makonda amedai Wananchi wa Mkoa wa Dar ambao hadi jana hawakuwa na Namba wala Kitambulisho cha Taifa waliendekeza zaidi umbea kuliko kufuatilia mambo ya msingi
Zaidi, soma https://jamii.app/MakondaKitambulishoUmbea
SHERIA YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUSHWA NA. 11 MWAKA 2007
- Kifungu kinaeleza, Mtu ambaye kwa udanganyifu atajifanya Afisa wa TAKUKURU au ana Ofisi na kufanya chochote kuhusiana na Kazi za Afisa huyo atakuwa ametenda Kosa
- Atawajibika kwa kupigwa faini isiyozidi Tsh. Milioni 2 au kifungo kisichozidi mwaka mwaka au vyote
#KemeaRushwa
- Kifungu kinaeleza, Mtu ambaye kwa udanganyifu atajifanya Afisa wa TAKUKURU au ana Ofisi na kufanya chochote kuhusiana na Kazi za Afisa huyo atakuwa ametenda Kosa
- Atawajibika kwa kupigwa faini isiyozidi Tsh. Milioni 2 au kifungo kisichozidi mwaka mwaka au vyote
#KemeaRushwa
OLE SABAYA AAGIZA KUKAMATWA WAMILIKI WA MABASI KWA KUHUJUMU MIUNDOMBINU YA RELI
> Wanadaiwa kuunda makundi ya Watu na kuharibu reli ya Dar-Moshi ili kuathiri usafiri huo
> Waliotakiwa kuripoti Polisi ni Clemence Mbowe na Rodrick Uronu
Zaidi, soma https://jamii.app/SabayaUhujumuReli
> Wanadaiwa kuunda makundi ya Watu na kuharibu reli ya Dar-Moshi ili kuathiri usafiri huo
> Waliotakiwa kuripoti Polisi ni Clemence Mbowe na Rodrick Uronu
Zaidi, soma https://jamii.app/SabayaUhujumuReli
WAZIRI MKUU AZUIA SUKARI KUAGIZWA KUTOKA NJE YA NCHI
- Kassim Majaliwa amezuia hadi sukari inayozalishwa na Kiwanda cha Zanzibar kilichopo Mahonda iishe
- Amesema, haiwezekani kiwanda hicho kinachozalisha tani 6,000 kwa mwaka kikakosa wateja
Zaidi, soma https://jamii.app/SukariKutojaNjeMarufuku
- Kassim Majaliwa amezuia hadi sukari inayozalishwa na Kiwanda cha Zanzibar kilichopo Mahonda iishe
- Amesema, haiwezekani kiwanda hicho kinachozalisha tani 6,000 kwa mwaka kikakosa wateja
Zaidi, soma https://jamii.app/SukariKutojaNjeMarufuku
KENYA: WATANO WASHIKILIWA NA POLISI KWA TUHUMA ZA KUTAKA KUFANYA SHAMBULIO LA KIGAIDI
> Ni wanawake wawili na wanaume watatu, Raia wa Marekani, Kenya na Somalia
> Walitaka kushambulia Klabu moja iliyopo Barabara ya Kiambu
Zaidi, soma - https://jamii.app/UgaidiPolisiNairobi
> Ni wanawake wawili na wanaume watatu, Raia wa Marekani, Kenya na Somalia
> Walitaka kushambulia Klabu moja iliyopo Barabara ya Kiambu
Zaidi, soma - https://jamii.app/UgaidiPolisiNairobi
SERIKALI KUTUMIA BUSARA KATIKA UFUNGAJI WA LAINI ZISIZOSAJILIWA
- Itawasaidia walioshindwa kusajili kwa kukosa Kitambulisho cha Taifa au Namba licha ya kuanza mchakato
- Imesema, wale wenye vitambulisho na hawajasajili, laini zao zitafungwa
Zaidi, soma https://jamii.app/SerikaliHekimaKufungaLaini
- Itawasaidia walioshindwa kusajili kwa kukosa Kitambulisho cha Taifa au Namba licha ya kuanza mchakato
- Imesema, wale wenye vitambulisho na hawajasajili, laini zao zitafungwa
Zaidi, soma https://jamii.app/SerikaliHekimaKufungaLaini
TANGA: POLISI WAZUIA MSAFARA WA PROF. LIPUMBA
- Msafara wa Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba umezuliwa na Polisi Wilayani Mkinga
- Polisi hao wamedai hawana Taarifa za Msafara wa Lipumba aliyeenda Mkoani humo kwa Ziara ya Kikazi
Zaidi, soma https://jamii.app/TangaZiaraLipumba
- Msafara wa Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba umezuliwa na Polisi Wilayani Mkinga
- Polisi hao wamedai hawana Taarifa za Msafara wa Lipumba aliyeenda Mkoani humo kwa Ziara ya Kikazi
Zaidi, soma https://jamii.app/TangaZiaraLipumba
YEMEN: WANAJESHI 83 WAUAWA NA 148 KUJERUHIWA
> Mashambulizi hayo yanafuatia miezi kadhaa ya utulivu kiasi
> Yemen inakabiliwa na vita kati ya Waasi wa Kihouthi wanaoungwa mkono na Iran, na Majeshi ya Serikali
Zaidi, soma https://jamii.app/YemenWanajeshi
> Mashambulizi hayo yanafuatia miezi kadhaa ya utulivu kiasi
> Yemen inakabiliwa na vita kati ya Waasi wa Kihouthi wanaoungwa mkono na Iran, na Majeshi ya Serikali
Zaidi, soma https://jamii.app/YemenWanajeshi
KIRUSI KUTOKA CHINA CHAHOFIWA KUSAMBAA DUNIANI
- Mamlaka za Afya Duniani kote zina wasiwasi kuwa Kirusi kiitwacho Corona kinaweza kusambaa Duniani kote
- Hadi sasa watu watatu wamefariki na wengine wanne wamethibitishwa kuwa na kirusi hicho
Zaidi, soma - https://jamii.app/KirusiCoronaChina
- Mamlaka za Afya Duniani kote zina wasiwasi kuwa Kirusi kiitwacho Corona kinaweza kusambaa Duniani kote
- Hadi sasa watu watatu wamefariki na wengine wanne wamethibitishwa kuwa na kirusi hicho
Zaidi, soma - https://jamii.app/KirusiCoronaChina
ULINZI WA KIDIGITALI: Je, unajua kama simu yako haina Password (Nywila), unaweza kulipa faini ya milioni 5, kifungo cha mwaka 1 jela au vyote kwa pamoja?
> Kanuni za Maudhui ya Mtandao Kifungu cha 10(2), kila Mtu analazimika kuweka Nywila kwenye kifaa chake (Simu)
> Adhabu kwa kosa hili imeelezwa katika kipengele cha 18 na cha mwisho katika Kanuni hizo zilizosainiwa mwaka 2018
Soma > https://jamii.app/UlazimaNywila
> Kanuni za Maudhui ya Mtandao Kifungu cha 10(2), kila Mtu analazimika kuweka Nywila kwenye kifaa chake (Simu)
> Adhabu kwa kosa hili imeelezwa katika kipengele cha 18 na cha mwisho katika Kanuni hizo zilizosainiwa mwaka 2018
Soma > https://jamii.app/UlazimaNywila
MFAHAMU ANAYESHIKILIA REKODI YA KUCHA NDEFU DUNIANI
> Ayana Williams anashikilia Rekodi Hii baada ya kukaa miaka 23 bila kukata kucha zake na kucha yake ndefu zaidi ina urefu wa Sentimita 68
> Hata kuvua nguo yake ni kazi ngumu kutokana na urefu wa kucha zake, amekiri hilo
Zaidi, soma https://jamii.app/KuchaNdefu
> Ayana Williams anashikilia Rekodi Hii baada ya kukaa miaka 23 bila kukata kucha zake na kucha yake ndefu zaidi ina urefu wa Sentimita 68
> Hata kuvua nguo yake ni kazi ngumu kutokana na urefu wa kucha zake, amekiri hilo
Zaidi, soma https://jamii.app/KuchaNdefu
IRAN YABADILI MAWAZO YA KUTUMA 'BLACK BOX' UKRAINE
- Awali, ilisema itatuma ili Maafisa wa Marekani, Canada na Ufaransa wakafanyie kazi
- Siku moja baadaye, imesema bado haijaamua kutuma na sasa wanajaribu kupata Data zilizomo ndani
Zaidi, soma https://jamii.app/IranUkraine-BlackBox
- Awali, ilisema itatuma ili Maafisa wa Marekani, Canada na Ufaransa wakafanyie kazi
- Siku moja baadaye, imesema bado haijaamua kutuma na sasa wanajaribu kupata Data zilizomo ndani
Zaidi, soma https://jamii.app/IranUkraine-BlackBox
DODOMA: MABASI YAPIGWA MARUFUKU KURUHUSU ABIRIA KUJISAIDIA HOVYO
> Hairuhusiwi kujisaidia sehemu isiyo Rasmi na Faini ya kosa hilo ni 200,000 au kifungo cha miezi 6 au vyote kwa pamoja
> Kitendo hicho kimetajwa kuchangia kuchafua mazingira
Zaidi, soma - https://jamii.app/MabasiUsafiMazingira
> Hairuhusiwi kujisaidia sehemu isiyo Rasmi na Faini ya kosa hilo ni 200,000 au kifungo cha miezi 6 au vyote kwa pamoja
> Kitendo hicho kimetajwa kuchangia kuchafua mazingira
Zaidi, soma - https://jamii.app/MabasiUsafiMazingira
AFISA ELIMU MBARONI KWA TUHUMA ZA WIZI WA FEDHA ZA MADAWATI
> Stephano Ndabazi anatuhumiwa kuiba Tsh. 24,334,920 Aprili, mwaka 2016
> Alitenda kosa hilo akiwa Mwalimu wa Shule ya Sekondari Mpwayungu Wilaya ya Chamwino, Mkoani Dodoma
Zaidi, soma zaidi https://jamii.app/AfisaWizi
> Stephano Ndabazi anatuhumiwa kuiba Tsh. 24,334,920 Aprili, mwaka 2016
> Alitenda kosa hilo akiwa Mwalimu wa Shule ya Sekondari Mpwayungu Wilaya ya Chamwino, Mkoani Dodoma
Zaidi, soma zaidi https://jamii.app/AfisaWizi
SERIKALI KUJENGA HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA YA ZIWA WILAYANI CHATO
> Sababu za kujenga hospitali hiyo ni kuwa, tafiti zinaonesha kuna wagonjwa wengi Kanda ya Ziwa, pia Mikoa ya Kanda ya Ziwa ina watu zaidi milioni 15
Zaidi, soma zaidi https://jamii.app/NeemaChato
> Sababu za kujenga hospitali hiyo ni kuwa, tafiti zinaonesha kuna wagonjwa wengi Kanda ya Ziwa, pia Mikoa ya Kanda ya Ziwa ina watu zaidi milioni 15
Zaidi, soma zaidi https://jamii.app/NeemaChato
MAHAKAMA YAWATAKA WADHAMINI WAMPELEKE LISSU KABLA HAIJATOA MAAMUZI MENGINE
> Wakili wa Serikali, amesema jukumu la mdhamini ni kuhakikisha mshtakiwa anafika Mahakamani
> Mdhamini alisema wameandika barua kwa Freeman Mbowe ili Lissu arejee
Zaidi, soma https://jamii.app/WadhaminiLissu
> Wakili wa Serikali, amesema jukumu la mdhamini ni kuhakikisha mshtakiwa anafika Mahakamani
> Mdhamini alisema wameandika barua kwa Freeman Mbowe ili Lissu arejee
Zaidi, soma https://jamii.app/WadhaminiLissu
KATIBA: UTEUZI WA NAIBU SPIKA BUNGENI
> Ibara ya 85-(1): Kutakuwa na Naibu Spika ambaye atachaguliwa na wajumbe kutoka miongoni mwa Wabunge
> (2) Waziri, Naibu Waziri au mtu mwenye madaraka ya aina nyingine itakayotajwa na Sheria ya Bunge hataweza kuwa Naibu wa Spika
#Katiba
> Ibara ya 85-(1): Kutakuwa na Naibu Spika ambaye atachaguliwa na wajumbe kutoka miongoni mwa Wabunge
> (2) Waziri, Naibu Waziri au mtu mwenye madaraka ya aina nyingine itakayotajwa na Sheria ya Bunge hataweza kuwa Naibu wa Spika
#Katiba
KILIMO CHA MAPARACHICHI CHAMFANYA KIJANA MWENYE ELIMU YA DARASA LA SABA KUSHIKA MAMILIONI
> Steven Mlimbila ameajiri zaidi ya vijana 40
> Mwaka jana alikuwa Mkulima Bora katika maonyesho ya Nanenane kwa Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini
> Mafanikio yake kiuchumi yamekuwa gumzo kwa vijana wengi wakiwamo Madereva Bodaboda ambao wamedhamiria kuingia shambani
Zaidi, tembelea https://jamii.app/MaparachichiKilimo
> Steven Mlimbila ameajiri zaidi ya vijana 40
> Mwaka jana alikuwa Mkulima Bora katika maonyesho ya Nanenane kwa Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini
> Mafanikio yake kiuchumi yamekuwa gumzo kwa vijana wengi wakiwamo Madereva Bodaboda ambao wamedhamiria kuingia shambani
Zaidi, tembelea https://jamii.app/MaparachichiKilimo
MALAYSIA KURUDISHA MAKONTENA 110 YA TAKA KATIKA NCHI HUSIKA
> Waziri Yeo Bee Yin amesema wanaotaka kuifanya nchi hiyo dampo waendelee kuota
> Nchi hiyo ipo katika harakati za kuachana na matumizi ya plastiki ili kutunza mazingira
Zaidi, soma - https://jamii.app/TakaMazingiraMalaysia
> Waziri Yeo Bee Yin amesema wanaotaka kuifanya nchi hiyo dampo waendelee kuota
> Nchi hiyo ipo katika harakati za kuachana na matumizi ya plastiki ili kutunza mazingira
Zaidi, soma - https://jamii.app/TakaMazingiraMalaysia