URUSI: BARAZA LA MAWAZIRI LAJIUZULU BAADA YA RAIS KUPENDEKEZA MABADILIKO YA KATIBA
> Baraza la Mawaziri akiwemo Waziri Mkuu wamejiuzulu baada ya Rais Vladimir Putin kupendekeza kufanyike kura ya maamuzi kufanyia marekebisho Katiba ili kuongeza Mamlaka ya Bunge la Nchi, japo mfumo wa Uongozi wa Bunge bado utadumishwa
> Wamedai hatua hiyo ya Putin ni kutaka kumdhoofisha mrithi wake
Soma - https://jamii.app/KujiuzuluSerikaliUrusi
> Baraza la Mawaziri akiwemo Waziri Mkuu wamejiuzulu baada ya Rais Vladimir Putin kupendekeza kufanyike kura ya maamuzi kufanyia marekebisho Katiba ili kuongeza Mamlaka ya Bunge la Nchi, japo mfumo wa Uongozi wa Bunge bado utadumishwa
> Wamedai hatua hiyo ya Putin ni kutaka kumdhoofisha mrithi wake
Soma - https://jamii.app/KujiuzuluSerikaliUrusi
KAMPUNI YA UCHIMBAJI MADINI YA UINGEREZA, RESOURCES INDIANA KUISHITAKI TANZANIA
> Inaituhumu Tanzania kukiuka Protection and Promotion of Investments and International Law on Project
> Ukiukwaji ni baada ya Tanzania kurekebisha Sheria ya Madini
Soma https://jamii.app/ResourcesIndianaKesiTz
> Inaituhumu Tanzania kukiuka Protection and Promotion of Investments and International Law on Project
> Ukiukwaji ni baada ya Tanzania kurekebisha Sheria ya Madini
Soma https://jamii.app/ResourcesIndianaKesiTz
PAKISTAN NA AFGHANISTAN: WATU 160 WAFARIKI KUTOKANA NA MAPOROMOKO YA THERUJI
-
Kikosi cha Uokozi Nchini Pakistan kimepata miili ya watu 21 waliopoteza maisha kutokana na Maporomoko ya Theluji katika Jimbo la Kashmir na kuifanya idadi ya waliopoteza maisha nchini Pakistan na Afghanistan kufikia 160
-
Eneo lililoathirika zaidi ni la Kashmir ya Upande wa Pakistan, hususan bonde la Neelum
-
Kikosi cha Uokozi Nchini Pakistan kimepata miili ya watu 21 waliopoteza maisha kutokana na Maporomoko ya Theluji katika Jimbo la Kashmir na kuifanya idadi ya waliopoteza maisha nchini Pakistan na Afghanistan kufikia 160
-
Eneo lililoathirika zaidi ni la Kashmir ya Upande wa Pakistan, hususan bonde la Neelum
TEXAS, MAREKANI: HUKUMU YA KWANZA YA KIFO KWA MWAKA 2020 YATEKELEZWA
- John Gardner ameuawa kwa kuchomwa Sindano ya Sumu hapo jana baada kukutwa na Hatia ya kumuua mkewe
- Pia, alikuwa na historia ya muda mrefu ya dhuluma dhidi ya wake zake
Soma https://jamii.app/HukumuKifoMauajiMke
- John Gardner ameuawa kwa kuchomwa Sindano ya Sumu hapo jana baada kukutwa na Hatia ya kumuua mkewe
- Pia, alikuwa na historia ya muda mrefu ya dhuluma dhidi ya wake zake
Soma https://jamii.app/HukumuKifoMauajiMke
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
UPDATE: Wabunge wa Baraza la Wawakilishi wamepitisha Azimio la kumshtaki Rais Trump kwa kupiga kura 228 dhidi ya 193
> Spika Nancy Pelosi amesaini uamuzi huo sambamba na Timu ya Wabunge wa Democratic ambao wataendesha mashtaka ya kesi hiyo itakayoanza Januari 21
#JFLeo
> Spika Nancy Pelosi amesaini uamuzi huo sambamba na Timu ya Wabunge wa Democratic ambao wataendesha mashtaka ya kesi hiyo itakayoanza Januari 21
#JFLeo
MVUA DAR: BARABARA YA JANGWANI YAFUNGWA
> Mvua yasababisha Barabara ya Morogoro eneo la Jangwani kufungwa baada ya maji kujaa
> Mamlaka ya Hali ya Hewa, imesema Mvua inatarajiwa kunyesha tena kesho Januari 17, 2020
Soma https://jamii.app/MadharaMvuaDar
> Mvua yasababisha Barabara ya Morogoro eneo la Jangwani kufungwa baada ya maji kujaa
> Mamlaka ya Hali ya Hewa, imesema Mvua inatarajiwa kunyesha tena kesho Januari 17, 2020
Soma https://jamii.app/MadharaMvuaDar
LUKUVI AANIKA DHULUMA ZA MAOFISA MIKOPO BENKI
> Asema, baadhi yao hushirikiana na Madalali Matapeli kuwaibia Wananchi kwa kuuza nyumba zao kwa mnada bila kufuata taratibu
> Serikali yawataka wanaondesha Mtandao huo kuacha mara moja
Soma https://jamii.app/DhulumaOfisaBenki
#JFLeo
> Asema, baadhi yao hushirikiana na Madalali Matapeli kuwaibia Wananchi kwa kuuza nyumba zao kwa mnada bila kufuata taratibu
> Serikali yawataka wanaondesha Mtandao huo kuacha mara moja
Soma https://jamii.app/DhulumaOfisaBenki
#JFLeo
MBEYA: WATUMISHI 4 WA HOSPITALI WAKAMATWA KUTOKANA NA UTENDAJI MBOVU
> Naibu Waziri wa Afya ameagiza kuwekwa ndani na kutolewa katika nafasi zao Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Tukuyu na Afisa Ugavi
> Pia, amegiza kukamatwa na kuwekwa ndani kwa Mfamasia na Afisa Manunuzi wa Hospitali hiyo kutokana na usimamizi mbovu wa Stoo ya Dawa
Soma - https://jamii.app/DaktariMbaroniHudumaMbovu
> Naibu Waziri wa Afya ameagiza kuwekwa ndani na kutolewa katika nafasi zao Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Tukuyu na Afisa Ugavi
> Pia, amegiza kukamatwa na kuwekwa ndani kwa Mfamasia na Afisa Manunuzi wa Hospitali hiyo kutokana na usimamizi mbovu wa Stoo ya Dawa
Soma - https://jamii.app/DaktariMbaroniHudumaMbovu
MKAKATI WA TAIFA DHIDI YA RUSHWA NA MPANGO WA UTEKELEZAJI (AWAMU YA 3: 2017-2022)
- Vitendo vya Rushwa vinatafsiriwa kuwa ni kutoa, kupokea au kushawishi moja kwa moja au kitu chochote cha thamani kinachotolewa ili kupindisha utaratibu katika Utoaji wa Maamuzi
#KemeaRushwa
- Vitendo vya Rushwa vinatafsiriwa kuwa ni kutoa, kupokea au kushawishi moja kwa moja au kitu chochote cha thamani kinachotolewa ili kupindisha utaratibu katika Utoaji wa Maamuzi
#KemeaRushwa
WAZIRI KAMWELWE: MUDA WA KUSAJILI LAINI ZA SIMU HAUTAONGEZWA
> Serikali haitaongeza muda baada ya siku 20 alizoongeza Rais Magufuli kumalizika
> Wananchi wameshauriwa kuwa makini katika siku zilizosalia kwani Wizi wa Kimtandao umeongezeka
Soma - https://jamii.app/MudaUsajiliLaini-TZ
> Serikali haitaongeza muda baada ya siku 20 alizoongeza Rais Magufuli kumalizika
> Wananchi wameshauriwa kuwa makini katika siku zilizosalia kwani Wizi wa Kimtandao umeongezeka
Soma - https://jamii.app/MudaUsajiliLaini-TZ
MISRI, ETHIOPIA NA SUDAN ZAINGIA MAKUBALIANO KUHUSU MATUMIZI YA MTO NILE
> Nchi hizo zimefikia Makubaliano ya Awali ya kujaza maji kwenye Bwawa la Grand Renaissance
> Makubaliano ya mwisho yatafanyika Washington, Januari 28-29 mwaka huu
Soma - https://jamii.app/MakubalianoMtoNile
> Nchi hizo zimefikia Makubaliano ya Awali ya kujaza maji kwenye Bwawa la Grand Renaissance
> Makubaliano ya mwisho yatafanyika Washington, Januari 28-29 mwaka huu
Soma - https://jamii.app/MakubalianoMtoNile
UPINZANI NAMIBIA WAGOMA KUTUMIA KISWAHILI KAMA LUGHA YA HIYARI KWA SHULE ZA SERIKALI
> Wasema kuna mambo ya muhimu ya kushinikiza kwa wakati huu kuhusu Mfumo wa Elimu
> Wizara ya Elimu ilisema itafanya Kiswahili Lugha ya Hiari 2021
Soma zaidi https://jamii.app/KswahiliNamibia
> Wasema kuna mambo ya muhimu ya kushinikiza kwa wakati huu kuhusu Mfumo wa Elimu
> Wizara ya Elimu ilisema itafanya Kiswahili Lugha ya Hiari 2021
Soma zaidi https://jamii.app/KswahiliNamibia
TANZANIA vs KENYA vs UGANDA: UCHAGUZI WA RAIS
- Katiba ya Tanzania inasema Mshindi wa Urais ni yule atakayepata Kura Nyingi kuliko Mgombea mwingine
- Katiba za Kenya na Uganda zinasema Mshindi wa Urais ni yule atakayekuwa amepata Zaidi ya Nusu ya Kura zote
Zaidi, soma https://jamii.app/Katiba-TZvsUGvsKE
#Katiba
- Katiba ya Tanzania inasema Mshindi wa Urais ni yule atakayepata Kura Nyingi kuliko Mgombea mwingine
- Katiba za Kenya na Uganda zinasema Mshindi wa Urais ni yule atakayekuwa amepata Zaidi ya Nusu ya Kura zote
Zaidi, soma https://jamii.app/Katiba-TZvsUGvsKE
#Katiba
MWANAFUNZI AGOMA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA, ADAI HANA AKILI
> Amesema mbele ya Mkuu wa Wilaya kuwa, yupo tayari kufungwa na sio kusoma
> Aomba ajifunze kushona Cherehani kwani anatamani kuwa Mwanamitindo
Soma - https://jamii.app/MwanafunziAkataaMasomo
> Amesema mbele ya Mkuu wa Wilaya kuwa, yupo tayari kufungwa na sio kusoma
> Aomba ajifunze kushona Cherehani kwani anatamani kuwa Mwanamitindo
Soma - https://jamii.app/MwanafunziAkataaMasomo
JENGA TABIA YA KUAGA KILA UNAPOTOKA KWA KUTOA TAARIFA SAHIHI
> Ni taarifa kama Jina la unakokwenda, Mtu na Anuani ya mtu unayekutana naye na Muda utakaokuwa haupo
> Hii itarahisisha upatikanaji wako pindi utakapopatwa na matatizo
Soma https://jamii.app/TabiaKuagaUnapotoka
#JFLeo
> Ni taarifa kama Jina la unakokwenda, Mtu na Anuani ya mtu unayekutana naye na Muda utakaokuwa haupo
> Hii itarahisisha upatikanaji wako pindi utakapopatwa na matatizo
Soma https://jamii.app/TabiaKuagaUnapotoka
#JFLeo
DALILI ZA MLIPUKO WA NZIGE MKOA WA KILIMANJARO
> Mdau kutoka JamiiForums anadai kuwa, kuna kila dalili ya Nzige Tanzania
> Ni vema Serikali ikachukua tahadhari kabla ya tatizo kuwa kubwa zaidi
Some zaidi https://jamii.app/NzigeKilimanjaroTz
> Mdau kutoka JamiiForums anadai kuwa, kuna kila dalili ya Nzige Tanzania
> Ni vema Serikali ikachukua tahadhari kabla ya tatizo kuwa kubwa zaidi
Some zaidi https://jamii.app/NzigeKilimanjaroTz
KIJANA AUNDA EMOJI KUUTANGAZA UZURI WA AFRIKA
> O'Plerou Denis Grebet (22), aliona Vyombo vya Habari vinazungumza upande mbaya wa Afrika (Umaskini na Njaa)
> Sanaa yake inaonesha kuwa Afrika ina vitu vya kustaajabisha Dunia
Soma Zaidi https://jamii.app/MwanafunziEmojisAfrika
> O'Plerou Denis Grebet (22), aliona Vyombo vya Habari vinazungumza upande mbaya wa Afrika (Umaskini na Njaa)
> Sanaa yake inaonesha kuwa Afrika ina vitu vya kustaajabisha Dunia
Soma Zaidi https://jamii.app/MwanafunziEmojisAfrika
KAGERA: AMUUA MWANAYE KWA KUMCHOMA MOTO MAKALIONI NA USONI
> Juma Daniel anatuhumiwa kumchoma moto mwanaye, na kumjeruhi sehemu za haja kubwa kwa kifaa cha ncha kali
> Ni baada ya mtoto huyo kujisaidia haja kubwa kitandani wakiwa wamelala
Soma - https://jamii.app/BabaAmuunguzaMwanaye-KGR
> Juma Daniel anatuhumiwa kumchoma moto mwanaye, na kumjeruhi sehemu za haja kubwa kwa kifaa cha ncha kali
> Ni baada ya mtoto huyo kujisaidia haja kubwa kitandani wakiwa wamelala
Soma - https://jamii.app/BabaAmuunguzaMwanaye-KGR
RASMI: MBWANA SAMATTA AKUBALI KUJIUNGA NA KLABU YA ASTON VILLA
> Mshambuliaji huyo raia wa Tanzania siku ya kesho atasafiri hadi nchini England kwa ajili ya kufanyiwa vipimo vya afya
> Imeelezwa kuwa Aston Villa imekubali kulipa kiasi cha Paundi Milioni 9 sawa na zaidi ya Shilingi za Kitanzania Bilioni 27 kwa ajili ya uhamisho wa Samatta
#JFSports
> Mshambuliaji huyo raia wa Tanzania siku ya kesho atasafiri hadi nchini England kwa ajili ya kufanyiwa vipimo vya afya
> Imeelezwa kuwa Aston Villa imekubali kulipa kiasi cha Paundi Milioni 9 sawa na zaidi ya Shilingi za Kitanzania Bilioni 27 kwa ajili ya uhamisho wa Samatta
#JFSports