FAHAMU UNYANYASAJI WA WATOTO KWA WATOTO WAWAPO MASHULENI (BULLYING)
> Unyanyasaji wa watoto kwa watoto wawapo mashuleni unaweza kujidhihirisha katika namna nyingi ikiwemo kusukumwa hovyo, kupigwa, kuitwa majina yasiyofaa, matusi au vitisho
> Hali hii huweza kumuathiri mtoto kisaikolojia na kihisia na kumtengenezea mazingira ya kutokujiamini, kukosa furaha, kujiona ni mtu wa kushindwa kila siku na kujitenga na wenzake
Kwa mjadala zaidi - https://jamii.app/ChildBullyingSchools
> Unyanyasaji wa watoto kwa watoto wawapo mashuleni unaweza kujidhihirisha katika namna nyingi ikiwemo kusukumwa hovyo, kupigwa, kuitwa majina yasiyofaa, matusi au vitisho
> Hali hii huweza kumuathiri mtoto kisaikolojia na kihisia na kumtengenezea mazingira ya kutokujiamini, kukosa furaha, kujiona ni mtu wa kushindwa kila siku na kujitenga na wenzake
Kwa mjadala zaidi - https://jamii.app/ChildBullyingSchools
MICHEZO: Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa klabu ya Simba @moodewji ametangaza kurudi kwenye wadhifa huo baada ya kutangaza kujiuzulu kutokana na mwenendo wa Timu hiyo kutokuwa mzuri
> Kupitia ukurasa wake wa Twitter amesema “Mimi ni Simba damu damu, Tuko pamoja”
#JFMichezo
> Kupitia ukurasa wake wa Twitter amesema “Mimi ni Simba damu damu, Tuko pamoja”
#JFMichezo
RAIS MAGUFULI AWAAPISHA MABALOZI 4 KUIWAKILISHA TANZANIA KATIKA NCHI MBALIMBALI
-
Walioapishwa ni Meja Jenerali Mstaafu Gaudence Milanzi kuwa Balozi Afrika Kusini, Dkt. Modestus Fransics Kipilimba kuwa Balozi Namibia
-
Wengine ni Profesa Emmanuel Mwaluko Mbennah kuwa Balozi Zimbabwe na Dkt. Benson Alfred Bana kuwa Balozi Nigeria
Soma - https://jamii.app/UapishoMabalozi
#JFLeo
-
Walioapishwa ni Meja Jenerali Mstaafu Gaudence Milanzi kuwa Balozi Afrika Kusini, Dkt. Modestus Fransics Kipilimba kuwa Balozi Namibia
-
Wengine ni Profesa Emmanuel Mwaluko Mbennah kuwa Balozi Zimbabwe na Dkt. Benson Alfred Bana kuwa Balozi Nigeria
Soma - https://jamii.app/UapishoMabalozi
#JFLeo
NIGER: MKUU WA MAJESHI AFUKUZWA KUTOKANA NA WANAJESHI 89 KUUAWA
> Mkuu wa Jeshi la Niger amefukuzwa kazi kutokana Wanamgambo wa Kijihadi kuwaua wanajeshi 89 walipovamia Kambi ya Jeshi
> Viongozi wengine waandamizi 3 wa Jeshi hilo wamevulia nyadhifa zao baada ya Kikao cha Baraza la Mawaziri
Soma - https://jamii.app/ArmyChiefGenSackedNiger
> Mkuu wa Jeshi la Niger amefukuzwa kazi kutokana Wanamgambo wa Kijihadi kuwaua wanajeshi 89 walipovamia Kambi ya Jeshi
> Viongozi wengine waandamizi 3 wa Jeshi hilo wamevulia nyadhifa zao baada ya Kikao cha Baraza la Mawaziri
Soma - https://jamii.app/ArmyChiefGenSackedNiger
PEMBA: MAALIM SEIF NA SALIM BIMANI WATUHUMIWA KUFANYA MKUTANO BILA KIBALI
> Viongozi hao kwa sasa wameachiwa kwa dhamana na Chama chao kupitia Mtandao wa Twitter kimedai walifanya Mkutano wa ndani usiohitaji kibali
Soma - https://jamii.app/ViongoziACTPolisi
> Viongozi hao kwa sasa wameachiwa kwa dhamana na Chama chao kupitia Mtandao wa Twitter kimedai walifanya Mkutano wa ndani usiohitaji kibali
Soma - https://jamii.app/ViongoziACTPolisi
RAIS WA ZAMBIA AYATAKA MATAIFA YA ULAYA KUACHA KUINGILIA UONGOZI WA AFRIKA
> Rais Edgar Lungu amesema, haikubaliki kwa watu wa nje kuamuru jinsi Nchi za Afrika zinavyopaswa kuongozwa kwasababu Afrika inapaswa kuruhusiwa kuamua jinsi inavyojitawala badala ya kuamrishwa na watu wa nje
Soma - https://jamii.app/OutsidersAfricanGovernment
> Rais Edgar Lungu amesema, haikubaliki kwa watu wa nje kuamuru jinsi Nchi za Afrika zinavyopaswa kuongozwa kwasababu Afrika inapaswa kuruhusiwa kuamua jinsi inavyojitawala badala ya kuamrishwa na watu wa nje
Soma - https://jamii.app/OutsidersAfricanGovernment
TRAFIKI ANAYEDAIWA KUMPA MIMBA MWANAFUNZI HAJULIKANI ALIPO
> Polisi walisema wamemtia nguvuni, lakini taarifa zimedokeza kuwa hajawahi kamatwa
> Jumbe za simu, zinathibitisha mahusiano yao. Mtoto alisema hata simu alipewa na huyo polisi
Soma https://jamii.app/TrafikiMimbaMwanafunzi
> Polisi walisema wamemtia nguvuni, lakini taarifa zimedokeza kuwa hajawahi kamatwa
> Jumbe za simu, zinathibitisha mahusiano yao. Mtoto alisema hata simu alipewa na huyo polisi
Soma https://jamii.app/TrafikiMimbaMwanafunzi
TANZANIA vs KENYA: ISEMAVYO KATIBA KUHUSU KUSHTAKIWA KWA RAIS
- Katiba zote (Tanzania Ibara ya 46 (1) na Kenya Ibara ya 143 (1)) haziruhusu Rais kufunguliwa shauri la jinai awapo madarakani
- Ibara ya 143 (2) ya Katiba ya Kenya inapinga pia Rais kufunguliwa shauri la madai
- Ibara ya 46 (2) ya Katiba ya Tanzania inapinga Rais kufunguliwa shauri la Madai lakini inatoa vigezo vya kufungua shauri hilo
#Katiba #JFLeo
- Katiba zote (Tanzania Ibara ya 46 (1) na Kenya Ibara ya 143 (1)) haziruhusu Rais kufunguliwa shauri la jinai awapo madarakani
- Ibara ya 143 (2) ya Katiba ya Kenya inapinga pia Rais kufunguliwa shauri la madai
- Ibara ya 46 (2) ya Katiba ya Tanzania inapinga Rais kufunguliwa shauri la Madai lakini inatoa vigezo vya kufungua shauri hilo
#Katiba #JFLeo
IRAN YAWAKAMATA WALIOITUNGUA KIMAKOSA NDEGE YA UKRAINE
> Tangazo limetolewa baada ya Rais Hassan Rouhani kutaka iundwe Mahakama Maalum kushughulikia mkasa huo
> Msemaji wa Mahakama, hakubainisha idadi ya watu waliotiwa mbaroni kuhusiana na mkasa huo
Soma https://jamii.app/UkrainePlaneShootArrest
> Tangazo limetolewa baada ya Rais Hassan Rouhani kutaka iundwe Mahakama Maalum kushughulikia mkasa huo
> Msemaji wa Mahakama, hakubainisha idadi ya watu waliotiwa mbaroni kuhusiana na mkasa huo
Soma https://jamii.app/UkrainePlaneShootArrest
MAMBO MUHIMU YA KUFANYA UNAPOHITAJI MSAIDIZI WA KUKULELEA MTOTO
> Fanya mahojiano na msaidizi kabla ya kumpokea. Endesha mafunzo kwa msaidizi ili kumjengea uwezo zaidi. Fuatilia maisha yake ili kujua historia yake
> Awe na umri wa miaka 18 na kuendelea. Malipo ya msaidizi yasiwe madogo sana. Jenga mahusiano mazuri na msaidizi. Zingatia elimu/ufahamu wa msaidizi
Some https://jamii.app/MsaidiziKuleaMtoto
#JFMalezi
> Fanya mahojiano na msaidizi kabla ya kumpokea. Endesha mafunzo kwa msaidizi ili kumjengea uwezo zaidi. Fuatilia maisha yake ili kujua historia yake
> Awe na umri wa miaka 18 na kuendelea. Malipo ya msaidizi yasiwe madogo sana. Jenga mahusiano mazuri na msaidizi. Zingatia elimu/ufahamu wa msaidizi
Some https://jamii.app/MsaidiziKuleaMtoto
#JFMalezi
WATU WENGI HUFARIKI KUTOKANA NA DAWA BANDIA ZILIZOSAMBAA AFRIKA
> Dawa hizo mara nyingi huwa zimeisha muda wake wa matumizi au ziko chini ya kiwango, au dawa za kughushi
> Kati ya asilimia 30 hadi 60 ya dawa bandia zinatoka China na India
Soma https://jamii.app/DeathFakeMedicines
> Dawa hizo mara nyingi huwa zimeisha muda wake wa matumizi au ziko chini ya kiwango, au dawa za kughushi
> Kati ya asilimia 30 hadi 60 ya dawa bandia zinatoka China na India
Soma https://jamii.app/DeathFakeMedicines
IJUE SHERIA YA MTOTO TANZANIA
> Haki za Mtoto kwa Mujibu wa Sheria (2009) ni pamoja na Haki ya kuishi, Haki ya kupumzika, Haki ya kuheshimiwa na kuthaminiwa, Haki ya kutokubaguliwa, Haki ya kuishi na wazazi wake na Haki ya kupata huduma bora za elimu, malazi, matibabu kwa ajili ya ustawi wake
> Haki ya kushiriki michezo na shughuli za kiutamaduni,Haki ya kunufaika na kutumia kwa uangalifu mali za wazazi wake, Haki ya kutoa maoni, kusikilizwa na kutoa maamuzi na Haki ya kutoajiriwa katika ajira zenye madhara
Zaidi, soma - https://jamii.app/SheriaHakiMtoto
#JFSheria
> Haki za Mtoto kwa Mujibu wa Sheria (2009) ni pamoja na Haki ya kuishi, Haki ya kupumzika, Haki ya kuheshimiwa na kuthaminiwa, Haki ya kutokubaguliwa, Haki ya kuishi na wazazi wake na Haki ya kupata huduma bora za elimu, malazi, matibabu kwa ajili ya ustawi wake
> Haki ya kushiriki michezo na shughuli za kiutamaduni,Haki ya kunufaika na kutumia kwa uangalifu mali za wazazi wake, Haki ya kutoa maoni, kusikilizwa na kutoa maamuzi na Haki ya kutoajiriwa katika ajira zenye madhara
Zaidi, soma - https://jamii.app/SheriaHakiMtoto
#JFSheria
KENYA: MTOTO WA MIAKA 11 ASHTAKIWA KWA MAUAJI YA KAKA YAKE
> Mtoto huyo wa darasa la tano anashikiliwa na Polisi baada ya kumchoma kisu kaka yake
> Mahakama imeamuru arudishwe mahabusu ya watoto hadi upelelezi utakapokamilika
Soma - https://jamii.app/MtotoMauajiKaka
> Mtoto huyo wa darasa la tano anashikiliwa na Polisi baada ya kumchoma kisu kaka yake
> Mahakama imeamuru arudishwe mahabusu ya watoto hadi upelelezi utakapokamilika
Soma - https://jamii.app/MtotoMauajiKaka
KATAVI: MTAALAM WA KUCHEZA NA NYOKA AFARIKI KWA KUNG'ATWA NA NYOKA
> James Pascal aling'atwa akiwa ktk harakati za kumkamata na kumuweka nyoka kwenye mfuko
> Hali yake ilikuwa mbaya hivyo kupelekwa Hospitali, alifariki akiwa anapatiwa matibabu
Soma https://jamii.app/KifoMtaalamNyoka
> James Pascal aling'atwa akiwa ktk harakati za kumkamata na kumuweka nyoka kwenye mfuko
> Hali yake ilikuwa mbaya hivyo kupelekwa Hospitali, alifariki akiwa anapatiwa matibabu
Soma https://jamii.app/KifoMtaalamNyoka
DODOMA: MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA ZAACHA WATU 1000 BILA MAKAZI
> Nyumba 237 zimebomolewa na mvua zinazoendelea kunyesha Wilayani Bahi
> Mkuu wa Wilaya amewataka wananchi kuchukua tahadhari na kuepuka kupita kwenye mito ambayo imefurika
Soma - https://jamii.app/MadharaMvuaDom
> Nyumba 237 zimebomolewa na mvua zinazoendelea kunyesha Wilayani Bahi
> Mkuu wa Wilaya amewataka wananchi kuchukua tahadhari na kuepuka kupita kwenye mito ambayo imefurika
Soma - https://jamii.app/MadharaMvuaDom
BARAZA LA WAWAKILISHI KUPIGA KURA YA KUPELEKA MASHITAKA DHIDI YA TRUMP
> Baraza la Wawakilishi linatarajiwa kupiga kura leo kuhusu kupeleka mashitaka dhidi ya Rais Donald Trump mbele ya Bunge la Seneti ikiwa ni hatua ya mwisho kabla ya kuanza kwa kesi ya kumuondoa Rais huyo madarakani
> Trump anakabiliwa na mashtaka ya Matumizi Mabaya ya Madaraka na kuzuia Bunge kufanya shughuli zake
Soma - https://jamii.app/SenateTrumpImpeachment
> Baraza la Wawakilishi linatarajiwa kupiga kura leo kuhusu kupeleka mashitaka dhidi ya Rais Donald Trump mbele ya Bunge la Seneti ikiwa ni hatua ya mwisho kabla ya kuanza kwa kesi ya kumuondoa Rais huyo madarakani
> Trump anakabiliwa na mashtaka ya Matumizi Mabaya ya Madaraka na kuzuia Bunge kufanya shughuli zake
Soma - https://jamii.app/SenateTrumpImpeachment
FAIDA ZA KUOGA MAJI YA MOTO WALAU MARA 3 KWA WIKI
> Maji ya moto hutuliza mwili na husababisha joto la mwili kuongezeka na hivyo kupelekea kupata usingizi haraka
> Tafiti zinaonyesha mtu mwenye Shinikizo la Damu la Kupanda, akioga maji ya moto husaidia kushusha kwasababu huunguza baadhi ya mafuta yaliyopo mwilini
> Maji ya moto hufungua matundu yaliyopo kwenye ngozi na kusaidia kuondoa uchafu na mafuta yaliyoganda kwenye ngozi na kukupa ngozi laini na safi
Tembelea - https://jamii.app/FaidaKuogaMajiMoto
#JFAfya
> Maji ya moto hutuliza mwili na husababisha joto la mwili kuongezeka na hivyo kupelekea kupata usingizi haraka
> Tafiti zinaonyesha mtu mwenye Shinikizo la Damu la Kupanda, akioga maji ya moto husaidia kushusha kwasababu huunguza baadhi ya mafuta yaliyopo mwilini
> Maji ya moto hufungua matundu yaliyopo kwenye ngozi na kusaidia kuondoa uchafu na mafuta yaliyoganda kwenye ngozi na kukupa ngozi laini na safi
Tembelea - https://jamii.app/FaidaKuogaMajiMoto
#JFAfya
MBOWE AMSHANGAA SELASINI KUJIUZULU NAFASI YA MNADHIMU WA UPINZANI BUNGENI
> Mbowe amesema sababu zilizotolewa hazina mashiko
> Ameuliza, kama hakupewa barua ya uteuzi imekuwaje aandike barua ya kujiuzulu?
Soma https://jamii.app/MboweKujiuzuluSelasini
> Mbowe amesema sababu zilizotolewa hazina mashiko
> Ameuliza, kama hakupewa barua ya uteuzi imekuwaje aandike barua ya kujiuzulu?
Soma https://jamii.app/MboweKujiuzuluSelasini
MICHEZO: Man. United imeingiza kiasi cha Paundi milioni 627.1 (zaidi ya trilioni 1 za Kitanzania) msimu wa mwaka 2018/19 na kuwafanya kushika nafasi ya 3 kwenye msimamo wa klabu nyuma ya Barcelona (Spain) wenye paundi milioni 741.1 wakiwa nafasi ya 1 na Real Madrid (Spain) paundi milioni 667.5 wakiwa wa 2
-
Wengine ni Man. City ambao wana paundi milioni 538 wakiwa nafasi ya 6, Liverpool iliyopo nafasi ya 7 ikijikusanyia paundi milioni 533, Tottenham Hotspur ikiwa nafasi ya 8 kwa kuingiza paundi milioni 459.3 huku Chelsea wakiwa wa 9 kwa kuingiza paundi milioni 452.2
-
Wengine ni Man. City ambao wana paundi milioni 538 wakiwa nafasi ya 6, Liverpool iliyopo nafasi ya 7 ikijikusanyia paundi milioni 533, Tottenham Hotspur ikiwa nafasi ya 8 kwa kuingiza paundi milioni 459.3 huku Chelsea wakiwa wa 9 kwa kuingiza paundi milioni 452.2
SUDAN: JESHI LASHIKILIA MAKAO MAKUU YA WAASI JIJINI KHARTOUM
> Kiongozi wa Baraza Huru amesema hachukulii tukio hilo kama jaribio la mapinduzi
> Mkuu wa Zamani wa Usalama wa Taifa, Salah Gosh atuhumiwa kuhusika na uasi huo
Soma - https://jamii.app/JaribioUasiSudan
> Kiongozi wa Baraza Huru amesema hachukulii tukio hilo kama jaribio la mapinduzi
> Mkuu wa Zamani wa Usalama wa Taifa, Salah Gosh atuhumiwa kuhusika na uasi huo
Soma - https://jamii.app/JaribioUasiSudan