SULTAN QABOOS WA OMAN AFARIKI DUNIA
> Sultan Qaboos bin Said Al Said amefariki akiwa na miaka 79
> Baraza la Familia linatakiwa kumtangaza mrithi mpya ndani ya siku tatu
Soma - https://jamii.app/RIPSultanQaboos
> Sultan Qaboos bin Said Al Said amefariki akiwa na miaka 79
> Baraza la Familia linatakiwa kumtangaza mrithi mpya ndani ya siku tatu
Soma - https://jamii.app/RIPSultanQaboos
IRAN: TULITUNGUA NDEGE YA ABIRIA YA UKRAINE KIMAKOSA
- Imesema kutokana na makosa ya Kibinadamu iliitungua ndege hiyo iliyoua Watu wote 176
- Ndege hiyo ilianguka muda mchache baada ya Iran kurusha makombara kwenye Kambi za Jeshi za Marekani
Zaidi, soma https://jamii.app/IranYatunguaNdegeUkraine
- Imesema kutokana na makosa ya Kibinadamu iliitungua ndege hiyo iliyoua Watu wote 176
- Ndege hiyo ilianguka muda mchache baada ya Iran kurusha makombara kwenye Kambi za Jeshi za Marekani
Zaidi, soma https://jamii.app/IranYatunguaNdegeUkraine
ZAMBIA: BIASHARA ZA MAJENEZA NJE YA HOSPITALI ZIMEZUILIWA
> Wauza majeneza nje ya Hospitali ya Chuo Kikuu iliyopo Mjini Lusaka wametakiwa kuondoka mahali hapo
> Wagonjwa walilalamika kuwa, uwepo wa majeneza eneo hilo unawapa Msongo wa Mawazo
Soma https://jamii.app/MajenezaMawazoWagonjwa
> Wauza majeneza nje ya Hospitali ya Chuo Kikuu iliyopo Mjini Lusaka wametakiwa kuondoka mahali hapo
> Wagonjwa walilalamika kuwa, uwepo wa majeneza eneo hilo unawapa Msongo wa Mawazo
Soma https://jamii.app/MajenezaMawazoWagonjwa
TMA YATOA TAHADHARI YA MVUA KWA MIKOA 6
> Mikoa hiyo ni Singida, Rukwa, Mbeya, Njombe, Songwe na Iringa
> Mamlaka imewataka wananchi kuzingatia tahadhari ili kuepuka madhara yanayoweza kutokea
Zaidi, soma - https://jamii.app/TMATahadhariMvua
> Mikoa hiyo ni Singida, Rukwa, Mbeya, Njombe, Songwe na Iringa
> Mamlaka imewataka wananchi kuzingatia tahadhari ili kuepuka madhara yanayoweza kutokea
Zaidi, soma - https://jamii.app/TMATahadhariMvua
RAIS MAGUFULI: NI AIBU SHULE ZA ZANZIBAR KUSHIKA NAFASI ZA MWISHO
> Amesema hayo wakati akiweka Jiwe la Msingi katika ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Mwanakwerekwe
> Amemuagiza Mkandarasi kukamilisha ujenzi wa Shule kabla ya Machi 30
Soma - https://jamii.app/MagufuliUfauluZanzibar
> Amesema hayo wakati akiweka Jiwe la Msingi katika ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Mwanakwerekwe
> Amemuagiza Mkandarasi kukamilisha ujenzi wa Shule kabla ya Machi 30
Soma - https://jamii.app/MagufuliUfauluZanzibar
WANANCHI WATAKIWA KUACHA KUTUMIA VILEVI KUTOKANA NA ONGEZEKO LA JOTO
> Chama cha Madaktari (MAT) wametoa ushauri kwa wananchi kuacha matumizi ya vilevi na mazoezi mazito yanayoweza kusababisha mwili kuchemka na kuongeza kiwango cha joto
> Madhara ya joto yanaweza kusababisha seli za mwili kushindwa kufanya kazi kutokana na mwili kupoteza maji na chumvichumvi nyingi
Soma - https://jamii.app/VileviOngezekoJoto
> Chama cha Madaktari (MAT) wametoa ushauri kwa wananchi kuacha matumizi ya vilevi na mazoezi mazito yanayoweza kusababisha mwili kuchemka na kuongeza kiwango cha joto
> Madhara ya joto yanaweza kusababisha seli za mwili kushindwa kufanya kazi kutokana na mwili kupoteza maji na chumvichumvi nyingi
Soma - https://jamii.app/VileviOngezekoJoto
PAPA FRANCIS AVUNJA REKODI YA KUPATA FOLLOWERS WENGI NDANI MUDA MFUPI
> Alipata 'followers' milioni 1 ndani ya Saa 12 baada ya kujiunga Instagram
> Mchezaji David Beckham, alipata 'followers' milioni 1 ndani ya Saa 24 baada ya kujiunga
Soma https://jamii.app/PopeIstagramFollowers
> Alipata 'followers' milioni 1 ndani ya Saa 12 baada ya kujiunga Instagram
> Mchezaji David Beckham, alipata 'followers' milioni 1 ndani ya Saa 24 baada ya kujiunga
Soma https://jamii.app/PopeIstagramFollowers
SAMSUNG NA STAR LAB ZAFANIKIWA KUTENGENEZA BINADAMU WASIO HALISI
> Wamepewa majina ya NEON sio Roboti kwani wataweza kujisimamia wenyewe na kufanya kazi kama binadamu wa kawaida ikiwemo kusoma taarifa ya habari, kuwa mwalimu, mshauri wa masuala ya fedha, msimamizi wa mazoezi (gym master) na waigizaji
Soma - https://jamii.app/SamsungArtificialHumans
> Wamepewa majina ya NEON sio Roboti kwani wataweza kujisimamia wenyewe na kufanya kazi kama binadamu wa kawaida ikiwemo kusoma taarifa ya habari, kuwa mwalimu, mshauri wa masuala ya fedha, msimamizi wa mazoezi (gym master) na waigizaji
Soma - https://jamii.app/SamsungArtificialHumans
LIBERIA KUREJESHA TANI ZA TAKATAKA ZA PLASTIKI NCHINI UGIRIKI
> Mamlaka ya Liberia imesema inarejesha shehena nne nchini Ugiriki zilizojaa tani za mifuko ya plastiki ambayo ni hatari kwa mazingira
> Mifuko hiyo iliingizwa nchini humo kimagendo kwa kisingizio kwamba inaweza kuchakatwa upya lakini mzigo ulipowasili ulikuwa unanuka uvundo na kutoa harafu mbaya
Soma - https://jamii.app/LiberiaReturnsPlasticWaste
> Mamlaka ya Liberia imesema inarejesha shehena nne nchini Ugiriki zilizojaa tani za mifuko ya plastiki ambayo ni hatari kwa mazingira
> Mifuko hiyo iliingizwa nchini humo kimagendo kwa kisingizio kwamba inaweza kuchakatwa upya lakini mzigo ulipowasili ulikuwa unanuka uvundo na kutoa harafu mbaya
Soma - https://jamii.app/LiberiaReturnsPlasticWaste
Kifungu hicho cha 52 (3) kinaeleza kuwa Mtu yeyote anayemnyanyasa mtu anayetoa taarifa za rushwa atakuwa ametenda kosa na atawajibika kwa faini isiyozidi shilingi laki tano au kifungo cha muda usiozidi mwaka mmoja au vyote kwa pamoja
- Kifungu hicho kimeeleza kuwa kumnyanyasa ni kumfanyia vitendo ama vya Kumletea Majeraha, Kumtisha au Kumdhalilisha
#KemeaRushwa
- Kifungu hicho kimeeleza kuwa kumnyanyasa ni kumfanyia vitendo ama vya Kumletea Majeraha, Kumtisha au Kumdhalilisha
#KemeaRushwa
ASKARI WA UPELELEZI ARUSHA AKAMATWA KWA RUSHWA YA TSH. 650,000
-
Sajenti Michael Njau amekamatwa na Maofisa wa TAKUKURU
-
Alitaka rushwa kutoka kwa mkazi aliyekuwa na shida ya kusaidiwa nduguye aliyekamatwa na kushikiliwa katika Kituo Kikuu cha Polisi
Soma https://jamii.app/AskariMbaroniRushwa
-
Sajenti Michael Njau amekamatwa na Maofisa wa TAKUKURU
-
Alitaka rushwa kutoka kwa mkazi aliyekuwa na shida ya kusaidiwa nduguye aliyekamatwa na kushikiliwa katika Kituo Kikuu cha Polisi
Soma https://jamii.app/AskariMbaroniRushwa
RUKWA: MVUA YABOMOA MADARAJA MANNE, WATATU WAFARIKI
> Mawasiliano baina ya mikoa ya Songwe, Rukwa na Katavi yamekatika
> Mkuu wa Mkoa ashauri wananchi wasipite kwenye maeneo yenye mafuriko
Zaidi, soma - https://jamii.app/MadharaMvuaRukwa
> Mawasiliano baina ya mikoa ya Songwe, Rukwa na Katavi yamekatika
> Mkuu wa Mkoa ashauri wananchi wasipite kwenye maeneo yenye mafuriko
Zaidi, soma - https://jamii.app/MadharaMvuaRukwa
MIAKA 56 YA MAPINDUZI YA VISIWANI ZANZIBAR
- Leo, Zanzibar inatimiza miaka 56 tangu yafanyike Mapinduzi yaliyouondoa madarakani Utawala wa Sultan Jamshid bin Abdullah uliokuwa umedumu Zanzibar kwa miaka mingi
- Baada ya Mapinduzi, Abeid Amani Karume aliiongoza Zanzibar lakini hadi leo nafasi ya John Okello, anayeaminika kuwa aliongoza Mapinduzi bado haijawekwa rasmi katika historia
- Leo, Zanzibar inatimiza miaka 56 tangu yafanyike Mapinduzi yaliyouondoa madarakani Utawala wa Sultan Jamshid bin Abdullah uliokuwa umedumu Zanzibar kwa miaka mingi
- Baada ya Mapinduzi, Abeid Amani Karume aliiongoza Zanzibar lakini hadi leo nafasi ya John Okello, anayeaminika kuwa aliongoza Mapinduzi bado haijawekwa rasmi katika historia
Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliwahi kunukuliwa akisema “Wakati wa utawala wa Awamu ya Kwanza si kwamba rushwa haikuwepo, ilikuwepo lakini tulikuwa wakali sana.”
- Alisema, “Ikithibitika Mahakamani kuwa mtu ametoa au kupokea rushwa hatukumuachia Hakimu nafasi ya kutoa hukumu peke yake. Tukasema atakwenda ndani kwa miaka miwili na viboko 24, kumi na viwili siku anaingia kumi na viwili siku anatoka akamuonyeshe na mkewe."
#KemeaRushwa
- Alisema, “Ikithibitika Mahakamani kuwa mtu ametoa au kupokea rushwa hatukumuachia Hakimu nafasi ya kutoa hukumu peke yake. Tukasema atakwenda ndani kwa miaka miwili na viboko 24, kumi na viwili siku anaingia kumi na viwili siku anatoka akamuonyeshe na mkewe."
#KemeaRushwa
IRAN: RAIA WAANDAMANA KUIPINGA SERIKALI BAADA YA KUKIRI KUITUNGUA NDEGE
> Kundi la waandamanaji limetaka Kiongozi wa Juu, Ayatollah Khamenei pamoja na viongozi wengine waandamizi kujiuzulu nyadhifa zao baada ya kukiri kuitungua Ndege ya Boeing 737-800, mali ya Shirika la Ndege la Ukraine (UIA) na kusababisha vifo vya watu 176
Soma - https://jamii.app/IranProtestGovernment
> Kundi la waandamanaji limetaka Kiongozi wa Juu, Ayatollah Khamenei pamoja na viongozi wengine waandamizi kujiuzulu nyadhifa zao baada ya kukiri kuitungua Ndege ya Boeing 737-800, mali ya Shirika la Ndege la Ukraine (UIA) na kusababisha vifo vya watu 176
Soma - https://jamii.app/IranProtestGovernment
UKRAINE: FAMILIA ZA WALIOFARIKI KWENYE AJALI YA NDEGE IRAN KULIPWA FIDIA
> Ukraine itatoa Dola 8,000 kwa familia zilizopoteza wapendwa wao katika ajali hiyo
> Rais Zelensky amesema Iran italazimishwa kulipa fidia
Soma - https://jamii.app/FidiaFamiliaAjaliNdegeUkrn
> Ukraine itatoa Dola 8,000 kwa familia zilizopoteza wapendwa wao katika ajali hiyo
> Rais Zelensky amesema Iran italazimishwa kulipa fidia
Soma - https://jamii.app/FidiaFamiliaAjaliNdegeUkrn
WIKI 1 YA KIFO CHA KAMANDA SOLEIMANI: KIONGOZI WA HEZBOLLAH AAPA KULIPIZA KISASI
> Kiongozi wa Hezbollah, Hassan Nasrallah amesema kutakuwa na operesheni mbalimbali dhidi ya Vikosi vya Marekani katika Kanda ya Mashariki ya Kati ili kulipiza kisasi Marekani kwa kuwaua Makamanda wa Iran na Iraq
> Amesema, Marekani haina chaguo lingine ila kuwaondoa wanajeshi wake kwa hiari au kurudisha miili yao ikiwa katika majeneza
Soma - https://jamii.app/HezbollahAvengeSoleiman
> Kiongozi wa Hezbollah, Hassan Nasrallah amesema kutakuwa na operesheni mbalimbali dhidi ya Vikosi vya Marekani katika Kanda ya Mashariki ya Kati ili kulipiza kisasi Marekani kwa kuwaua Makamanda wa Iran na Iraq
> Amesema, Marekani haina chaguo lingine ila kuwaondoa wanajeshi wake kwa hiari au kurudisha miili yao ikiwa katika majeneza
Soma - https://jamii.app/HezbollahAvengeSoleiman