ARUSHA: OFISI YA NIDA YAIBIWA VIFAA VYOTE VYA KAZI
- Ofisi ndogo za NIDA zilizopo Halmashauri ya Wilaya ya Arusha zimeibiwa vifaa vya kazi
- Vifaa vilivyoibwa ni Kompyuta 4 na Kamera 3 pamoja na vifaa vingine vya kuingiza majina kwenye mfumo
Zaidi, soma https://jamii.app/WiziOfisiNIDA-AR
- Ofisi ndogo za NIDA zilizopo Halmashauri ya Wilaya ya Arusha zimeibiwa vifaa vya kazi
- Vifaa vilivyoibwa ni Kompyuta 4 na Kamera 3 pamoja na vifaa vingine vya kuingiza majina kwenye mfumo
Zaidi, soma https://jamii.app/WiziOfisiNIDA-AR
TRUMP AITISHIA IRAQ IWAPO ITAYAONDOA MAJESHI YA MAREKANI NCHINI MWAO
- Amesema iwapo Iraq itataka Majeshi yaondoke nchini humo wataiwekea vikwazo vya kiuchumi ambavyo havijawahi kutokea
- Amedai wamewekeza Mabilioni ya Dola kwenye Jeshi lililopo Iraq
Zaidi, soma https://jamii.app/IraqVsUSA
- Amesema iwapo Iraq itataka Majeshi yaondoke nchini humo wataiwekea vikwazo vya kiuchumi ambavyo havijawahi kutokea
- Amedai wamewekeza Mabilioni ya Dola kwenye Jeshi lililopo Iraq
Zaidi, soma https://jamii.app/IraqVsUSA
KENYA: WATU 4 WAKAMATWA KWA TUHUMA KUZICHUNGUZA KAMBI ZA JESHI
> Watu 3 wamekamatwa kwa kujaribu kuingia ndani ya Kambi ya Jeshi la Uingereza mjini Nanyuki, Kaunti ya Laikipia huku mtu mwingine akidaiwa kukutwa akipiga picha za Kambi ya KDF(Kenya Air Force Moi Air Base)
> Watatu hao ni Wakenya na mpiga picha Raia wa Canada
Soma - https://jamii.app/SuspectsSpyingMilitaryBases
> Watu 3 wamekamatwa kwa kujaribu kuingia ndani ya Kambi ya Jeshi la Uingereza mjini Nanyuki, Kaunti ya Laikipia huku mtu mwingine akidaiwa kukutwa akipiga picha za Kambi ya KDF(Kenya Air Force Moi Air Base)
> Watatu hao ni Wakenya na mpiga picha Raia wa Canada
Soma - https://jamii.app/SuspectsSpyingMilitaryBases
MJUE BONDIA ALIYEKUWA ANAPIGANA KAMA KALEWA MAARUFU 'THE DRUNKEN MASTER'
> Emanuel Augustus/Emanuel Burton alianza mapambano kama bondia mwaka 1990 hadi mwaka 2011 ambapo watu wengi walikuwa hawaipendi tabia yake ya kujifanya kalewa akiwa ulingoni
> Alinyimwa ushindi mara nyingi na katika rekodi ya mapambano 78 aliyopigana, alishinda mapambano 38 pekee, huku mapambano 20 akishinda kwa Knock Out
Soma - https://jamii.app/HistoriaBondiaDrunkenMaster
> Emanuel Augustus/Emanuel Burton alianza mapambano kama bondia mwaka 1990 hadi mwaka 2011 ambapo watu wengi walikuwa hawaipendi tabia yake ya kujifanya kalewa akiwa ulingoni
> Alinyimwa ushindi mara nyingi na katika rekodi ya mapambano 78 aliyopigana, alishinda mapambano 38 pekee, huku mapambano 20 akishinda kwa Knock Out
Soma - https://jamii.app/HistoriaBondiaDrunkenMaster
AUSTRALIA: MOTO KATIKA MISITU WAUA WATU 20, WANYAMA 500 NA KUTEKETEZA EKARI MILIONI 15
> Huu ni moto mkali kuwahi kutokea na mpaka sasa zaidi ya tani 250 za 'Carbondioxide' zimezalishwa
> Moto huo unatabiriwa kuendelea kuwaka kwa wiki 1 zaidi
Soma https://jamii.app/BushFiresAustralia
> Huu ni moto mkali kuwahi kutokea na mpaka sasa zaidi ya tani 250 za 'Carbondioxide' zimezalishwa
> Moto huo unatabiriwa kuendelea kuwaka kwa wiki 1 zaidi
Soma https://jamii.app/BushFiresAustralia
POLISI YAMKAMATA BOBI WINE, YASIMAMISHA MKUTANO WA UPINZANI
- Robert Kyagulanyi maarufu Bobi Wine na viongozi wengine wa upinzani wamekamatwa leo
- Walikuwa wakienda kuhudhuria mkutano ambapo Bobi angeeleza mipango yake ya Uchaguzi mwaka 2021
Soma https://jamii.app/BobiWineArrestedJan2020
- Robert Kyagulanyi maarufu Bobi Wine na viongozi wengine wa upinzani wamekamatwa leo
- Walikuwa wakienda kuhudhuria mkutano ambapo Bobi angeeleza mipango yake ya Uchaguzi mwaka 2021
Soma https://jamii.app/BobiWineArrestedJan2020
KENYA: MTOTO WA MIAKA 10 AJITAHIRI KWA KISU
> Afanya kitendo hicho akihofia kutengwa na wenzake ambao tayari wametahiriwa
> Hali yake sio nzuri na wazazi wamelazimika kumrudisha nyumbani baada ya kushindwa kugharamia matibabu hospitalini
Soma - https://jamii.app/MtotoAjitahiriKisu
> Afanya kitendo hicho akihofia kutengwa na wenzake ambao tayari wametahiriwa
> Hali yake sio nzuri na wazazi wamelazimika kumrudisha nyumbani baada ya kushindwa kugharamia matibabu hospitalini
Soma - https://jamii.app/MtotoAjitahiriKisu
HOSPITALI YA MLOGANZILA YAJIBU TUHUMA ZA WAGONJWA WENGI KUFARIKI HOSPITALINI HAPO
> Taarifa ya hospitali imetaja kupungua kwa vifo vya wagonjwa kutoka 14.9% katika kipindi cha Julai - Septemba 2018 hadi 10.4% kipindi kama hicho 2019
> Pia, imekanusha madai ya kuwepo kwa madaktari wanafunzi na kusema kuna madaktari bingwa 52, madaktari wa kawaida 50 na madaktari tarajali 53
Soma - https://jamii.app/MloganzilaYajibuShutuma
> Taarifa ya hospitali imetaja kupungua kwa vifo vya wagonjwa kutoka 14.9% katika kipindi cha Julai - Septemba 2018 hadi 10.4% kipindi kama hicho 2019
> Pia, imekanusha madai ya kuwepo kwa madaktari wanafunzi na kusema kuna madaktari bingwa 52, madaktari wa kawaida 50 na madaktari tarajali 53
Soma - https://jamii.app/MloganzilaYajibuShutuma
HOJA: UTEGEMEZI NA WATOTO NDIYO SABABU ZA WANAWAKE KUVUMILIA MATESO KWENYE NDOA
> Mdau wa JamiiForums.com anasema Watoto ni sababu inayofanya mwanamke avumilie shida/mateso kwenye ndoa na mwishowe hupelekea kupata madhara zaidi ikiwemo kifo, magonjwa au hata ulemavu kutokana na unyanyasaji wa kijinsia
> Anaongeza kwa kusema, mara nyingi wanawake ambao ni tegemezi kwa wanaume ndiyo wanaongoza kuvumilia mateso mazito kwenye ndoa zao kwa kuamini kuwa bila hao wanaume wao hawawezi kuishi
Maoni yako ni yapi
Tembelea mjadala - https://jamii.app/UvumilivuMatesoNdoa
#JFMahusiano
> Mdau wa JamiiForums.com anasema Watoto ni sababu inayofanya mwanamke avumilie shida/mateso kwenye ndoa na mwishowe hupelekea kupata madhara zaidi ikiwemo kifo, magonjwa au hata ulemavu kutokana na unyanyasaji wa kijinsia
> Anaongeza kwa kusema, mara nyingi wanawake ambao ni tegemezi kwa wanaume ndiyo wanaongoza kuvumilia mateso mazito kwenye ndoa zao kwa kuamini kuwa bila hao wanaume wao hawawezi kuishi
Maoni yako ni yapi
Tembelea mjadala - https://jamii.app/UvumilivuMatesoNdoa
#JFMahusiano
TETESI ZA SOKA: CHELSEA KUMSAJILI ALABA? MADDISON KUTIMKIA MAN UTD?
- Manchester United inahusishwa na kutaka kumsajili Mchezaji wa Leicester City, James Maddison pamoja na Kiungo Ruben Neves na Mshambuliaji Raul Jimenez wa Wolverhampton
- Chelsea inadaiwa kujiandaa kutoa kitita cha Paundi Milioni 60 ili kumsajili beki wa pembeni wa Bayern Munich, David Alaba (27) huku Real Madrid ikidaiwa kuanza kupanga usajili wa Mshambuliaji wa RB Leipzig, Timo Werner
- Manchester United inahusishwa na kutaka kumsajili Mchezaji wa Leicester City, James Maddison pamoja na Kiungo Ruben Neves na Mshambuliaji Raul Jimenez wa Wolverhampton
- Chelsea inadaiwa kujiandaa kutoa kitita cha Paundi Milioni 60 ili kumsajili beki wa pembeni wa Bayern Munich, David Alaba (27) huku Real Madrid ikidaiwa kuanza kupanga usajili wa Mshambuliaji wa RB Leipzig, Timo Werner
UJUMBE WA LEO TOKA TAKUKURU: Rushwa ni adui wa Haki na Maendeleo kwa jamii yoyote ile. Jukumu la kupambana na Rushwa ni letu sote!
#KemeaRushwa
#KemeaRushwa
MAREKANI YAKANUSHA KUTAKA KUONDOA MAJESHI YAKE IRAQ
> Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Mark Esper amekanusha madai kuwa Majeshi yake yanataka kuondoka Iraq, baada ya barua kutoka kwa Jenerali wa Marekani kupendekeza waondoke
> Ni baada ya Wabunge wa Iraq kuwataka Wanajeshi hao waondoke
Soma - https://jamii.app/RemovalUSSoldiersIraq
> Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Mark Esper amekanusha madai kuwa Majeshi yake yanataka kuondoka Iraq, baada ya barua kutoka kwa Jenerali wa Marekani kupendekeza waondoke
> Ni baada ya Wabunge wa Iraq kuwataka Wanajeshi hao waondoke
Soma - https://jamii.app/RemovalUSSoldiersIraq
FINLAND: WAZIRI MKUU APENDEKEZA SIKU NNE ZA KUFANYA KAZI KWA WIKI
> Waziri Mkuu Sanna Marin, amesema wananchi wana Haki ya kutumia muda mwingi na Familia zao
> Pia, Waziri huyo amependekeza kazi kufanywa kwa Saa Sita pekee kwa siku
Soma - https://jamii.app/Finland4DayWorkingWeek
> Waziri Mkuu Sanna Marin, amesema wananchi wana Haki ya kutumia muda mwingi na Familia zao
> Pia, Waziri huyo amependekeza kazi kufanywa kwa Saa Sita pekee kwa siku
Soma - https://jamii.app/Finland4DayWorkingWeek
SIMIYU: MAHITAJI YA CHANJO YA HOMA YA INI NI MAKUBWA KULIKO UWEPO WA CHANJO
> Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Simiyu inakabiliwa na Uhaba wa Chanjo kutokana na kasi kubwa ya wananchi wanaojitokeza kupima na kupatiwa chanjo ya Ugonjwa wa Homa ya Ini
> Ndani ya miezi 6, wananchi 251 sawa na 3.2% wamejitokeza kupata huduma ya Homa ya Ini na kati ya hao 8 waligundulika kuumwa
Soma - https://jamii.app/UhabaChanjoHomaIni
> Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Simiyu inakabiliwa na Uhaba wa Chanjo kutokana na kasi kubwa ya wananchi wanaojitokeza kupima na kupatiwa chanjo ya Ugonjwa wa Homa ya Ini
> Ndani ya miezi 6, wananchi 251 sawa na 3.2% wamejitokeza kupata huduma ya Homa ya Ini na kati ya hao 8 waligundulika kuumwa
Soma - https://jamii.app/UhabaChanjoHomaIni
WATU 4 WAFIKISHWA MAHAKAMANI KWA KULISABABISHIA JESHI LA POLISI HASARA YA TSH. MILIONI 798.7
> Afisa wa Polisi, Emmanuel Mkilia na Wafanyabiashara 3, wamefikishwa Mahakama ya Kisutu kwa tuhuma za kujipatia kiasi hicho cha pesa kutoka Jeshi la Polisi kwa kujifanya wameweka Mfumo wa Taarifa za Watuhumiwa waliokamatwa kwenye Vituo 8
Soma https://jamii.app/PolisiKizimbaniHasaraMil798
> Afisa wa Polisi, Emmanuel Mkilia na Wafanyabiashara 3, wamefikishwa Mahakama ya Kisutu kwa tuhuma za kujipatia kiasi hicho cha pesa kutoka Jeshi la Polisi kwa kujifanya wameweka Mfumo wa Taarifa za Watuhumiwa waliokamatwa kwenye Vituo 8
Soma https://jamii.app/PolisiKizimbaniHasaraMil798
KLABU ZA UINGEREZA ZAMUWINDA NYOTA WA TANZANIA, MBWANA SAMATTA
-
Nahodha wa Timu ya Tanzania, Mbwana Samatta anaweza kuwa Mtanzania wa kwanza kucheza Ligi Kuu ya England ambapo inadaiwa Klabu za Brighton, Crystal Palace na Norwich zinataka kumsajili
-
Samatta mwenye miaka 27, aliyeifungia Genk katika mchezo wa Klabu Bingwa Ulaya dhidi ya Liverpool, ana 'Release Clause' ya Tsh. Bilioni 25.7 (Yuro Milioni 10) kwenye mkataba wake
-
Akiwa ametokea TP Mazembe mwaka 2016, Samatta alifanikiwa kuwa Mfungaji Bora katika Ligi ya Ubelgiji katika msimu ulioisha na kuwa Mchezaji wa kwanza kutoka Afrika Mashariki kushinda tuzo ya Coveted Soulier D’ébène
-
Nahodha wa Timu ya Tanzania, Mbwana Samatta anaweza kuwa Mtanzania wa kwanza kucheza Ligi Kuu ya England ambapo inadaiwa Klabu za Brighton, Crystal Palace na Norwich zinataka kumsajili
-
Samatta mwenye miaka 27, aliyeifungia Genk katika mchezo wa Klabu Bingwa Ulaya dhidi ya Liverpool, ana 'Release Clause' ya Tsh. Bilioni 25.7 (Yuro Milioni 10) kwenye mkataba wake
-
Akiwa ametokea TP Mazembe mwaka 2016, Samatta alifanikiwa kuwa Mfungaji Bora katika Ligi ya Ubelgiji katika msimu ulioisha na kuwa Mchezaji wa kwanza kutoka Afrika Mashariki kushinda tuzo ya Coveted Soulier D’ébène
MVUTANO WA MAREKANI NA IRAN: MAREKANI YADAIWA KUMNYIMA 'VISA' WAZIRI WA IRAN
> Marekani imekataa kutoa 'Visa' kwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Mohammad Javad Zarif, ambaye alitarajiwa kuhudhuria Mkutano wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa Jijini New York Alhamisi wiki hii
Soma - https://jamii.app/USDeniesVisaIranMinister
> Marekani imekataa kutoa 'Visa' kwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Mohammad Javad Zarif, ambaye alitarajiwa kuhudhuria Mkutano wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa Jijini New York Alhamisi wiki hii
Soma - https://jamii.app/USDeniesVisaIranMinister
PEP GUARDIOLA: KAMWE SIWEZI KUFUNDISHA MANCHESTER UNITED NA REAL MADRID
> Kocha huyo wa Manchester City amesema bora aende likizo ya kufundisha soka kuliko kukubali kuifundisha Man UTD
> Je, unadhani nini kimepelekea kauli hii ya Pep?
Soma > https://jamii.app/GuardiolaVsManUtd
#JFSports
> Kocha huyo wa Manchester City amesema bora aende likizo ya kufundisha soka kuliko kukubali kuifundisha Man UTD
> Je, unadhani nini kimepelekea kauli hii ya Pep?
Soma > https://jamii.app/GuardiolaVsManUtd
#JFSports
TETEMEKO LA 6.5 LAIKUMBA PUERTO RICO NA KUATHIRI MAKAZI NA HUDUMA ZA KIJAMII
> Tetemeko hilo limetokea usiku wa kuamkia leo, likiwa ni kubwa zaidi katika matetemeko ambayo yamepiga maeneo ya Amerika siku za hivi karibuni
> Limefuatana na lingine lenye ukubwa wa 5.8 ambalo lilitokea usiku wa kuamkia Jumatatu
Soma - https://jamii.app/EarthquakesPuertoRico
> Tetemeko hilo limetokea usiku wa kuamkia leo, likiwa ni kubwa zaidi katika matetemeko ambayo yamepiga maeneo ya Amerika siku za hivi karibuni
> Limefuatana na lingine lenye ukubwa wa 5.8 ambalo lilitokea usiku wa kuamkia Jumatatu
Soma - https://jamii.app/EarthquakesPuertoRico