MICHEZO: Klabu ya Simba inapata goli la kuongoza dhidi ya Klabu ya Yanga kupitia goli lililofungwa na Meddie Kagere katika dakika ya 42
- Goli la Simba limepatikana kupitia mkwaju wa penati baada ya Meddie Kagere kuchezewa rafu na Beki Kelvin Yondani ndani ya eneo la hatari
Fuatilia https://jamii.app/YanayojiriSimbaYanga
- Goli la Simba limepatikana kupitia mkwaju wa penati baada ya Meddie Kagere kuchezewa rafu na Beki Kelvin Yondani ndani ya eneo la hatari
Fuatilia https://jamii.app/YanayojiriSimbaYanga
MICHEZO: Klabu ya Simba inapata goli la kuongoza dhidi ya Klabu ya Yanga kupitia goli lililofungwa na Meddie Kagere katika dakika ya 42
- Goli la pili la Simba inafungwa na Deo Kanda katika dakika ya 47 huku goli la Kwanza la Yanga likifungwa na Balama Mapinduzi katika dakika ya 50
- Goli la pili la Yanga limepatikana baada Mohamed Hussein kujifunga katika dakika ya 53
- Goli la pili la Simba inafungwa na Deo Kanda katika dakika ya 47 huku goli la Kwanza la Yanga likifungwa na Balama Mapinduzi katika dakika ya 50
- Goli la pili la Yanga limepatikana baada Mohamed Hussein kujifunga katika dakika ya 53
RAIS TRUMP AIPIGA MKWARA NCHI YA IRAN
> Amesema, Marekani imetumia Dola Trilioni 2 kwa ajili ya Vifaa vya Kijeshi
> Ameonya kuwa, iwapo Iran itashambulia kituo chochote cha Kijeshi cha Marekani au Raia yeyote basi hawatasita kuvitumia
Soma > https://jamii.app/TrumpOnyoIran
#JFLeo
> Amesema, Marekani imetumia Dola Trilioni 2 kwa ajili ya Vifaa vya Kijeshi
> Ameonya kuwa, iwapo Iran itashambulia kituo chochote cha Kijeshi cha Marekani au Raia yeyote basi hawatasita kuvitumia
Soma > https://jamii.app/TrumpOnyoIran
#JFLeo
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
KENYA: Polisi imethibitisha kuwepo kwa shambulio linaloendelea la #AlShabaab katika Kambi ya Jeshi ya Simba
> Kambi hiyo iliyopo Kaunti ya Lamu inatumiwa na Wanajeshi wa Kimarekani na Kenya
> Mashuhuda wanadai kusikia milio mingi ya risasi huku moshi ukitoka eneo hilo
> Kambi hiyo iliyopo Kaunti ya Lamu inatumiwa na Wanajeshi wa Kimarekani na Kenya
> Mashuhuda wanadai kusikia milio mingi ya risasi huku moshi ukitoka eneo hilo
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
IRAN YAPANDISHA BENDERA NYEKUNDU KUASHIRIA KISASI CHA DAMU
- Imepandisha bendera hiyo juu ya Msikiti Mtakatifu wa Jamkaran uliopo Qom, tukio linaloashiria kisasi cha damu kinakuja
- Inaelezwa hii ni mara ya kwanza kwa Iran kupandisha bendera hiyo kwani hata kwenye vita vya Iran na Iraq bendera hiyo haikupandishwa
Zaidi, soma https://jamii.app/IranBenderaNyekundu
- Imepandisha bendera hiyo juu ya Msikiti Mtakatifu wa Jamkaran uliopo Qom, tukio linaloashiria kisasi cha damu kinakuja
- Inaelezwa hii ni mara ya kwanza kwa Iran kupandisha bendera hiyo kwani hata kwenye vita vya Iran na Iraq bendera hiyo haikupandishwa
Zaidi, soma https://jamii.app/IranBenderaNyekundu
KIGOMA: WATU WANNE WA FAMILIA MOJA WAUAWA
- Watu hao wameuawa kwa kukatwa mapanga na kubomolewa nyumba yao na watu wasiofahamika
- Chanzo cha mauaji hakijafahamika, ila baadhi wanahusisha mauaji hayo na Imani za Kishirikina
Zaidi, soma https://jamii.app/MauajiFamiliaKigoma
- Watu hao wameuawa kwa kukatwa mapanga na kubomolewa nyumba yao na watu wasiofahamika
- Chanzo cha mauaji hakijafahamika, ila baadhi wanahusisha mauaji hayo na Imani za Kishirikina
Zaidi, soma https://jamii.app/MauajiFamiliaKigoma
MPYA: Rais Trump amesema ameorodhesha maeneo 52 ya Iran watakayoyashambulia kwa nguvu na haraka iwapo ataguswa Mmarekani au eneo lolote la Marekani kama kulipa kisasi
- Jana, Iran yenyewe ilibainisha kuwa imeorodhesha maeneo 35 ya Marekani watakayoshambulia kulipa kisasi
Zaidi, soma https://jamii.app/USA-52SitesIran
- Jana, Iran yenyewe ilibainisha kuwa imeorodhesha maeneo 35 ya Marekani watakayoshambulia kulipa kisasi
Zaidi, soma https://jamii.app/USA-52SitesIran
UINGEREZA YAUNGANA NA MAREKANI
- Waziri wa Mambo ya Nje ya Uingereza, Dominic Raab amesema wapo ukurasa mmoja na Marekani kuhusu mauaji ya Jenerali Qassem Soleimani
- Amesema ameongea Rais wa Iraq na Waziri Mkuu, pamoja na Ufaransa na Ujerumani, ikiwa lengo ni kurudisha utulivu na kulinda Majeshi na Wananchi wake katika maeneo ya Mashariki ya Kati
Zaidi, soma https://jamii.app/US-UKSamePage
- Waziri wa Mambo ya Nje ya Uingereza, Dominic Raab amesema wapo ukurasa mmoja na Marekani kuhusu mauaji ya Jenerali Qassem Soleimani
- Amesema ameongea Rais wa Iraq na Waziri Mkuu, pamoja na Ufaransa na Ujerumani, ikiwa lengo ni kurudisha utulivu na kulinda Majeshi na Wananchi wake katika maeneo ya Mashariki ya Kati
Zaidi, soma https://jamii.app/US-UKSamePage
LIBYA: KAMBI YA MAFUNZO YA KIJESHI YASHAMBULIWA, WATU 28 WAFARIKI
- Wanafunzi 28 wa Mafunzo ya Kijeshi wamefariki na wengi kujeruhiwa katika shambulio lililofanywa kwa njia ya anga ambapo wakati wa shambulio Wanafunzi walikuwa kwenye gwaride
Zaidi, soma https://jamii.app/LibyaMilitaryAcademy
- Wanafunzi 28 wa Mafunzo ya Kijeshi wamefariki na wengi kujeruhiwa katika shambulio lililofanywa kwa njia ya anga ambapo wakati wa shambulio Wanafunzi walikuwa kwenye gwaride
Zaidi, soma https://jamii.app/LibyaMilitaryAcademy
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
VIDEO: Sehemu ya Umati wa Watu iliyojitokeza kupokea mwili wa aliyekuwa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Iran, Jenerali Qassem Soleimani aliyeuawa na Marekani huko Iraq
- Maelfu ya Watu wamejipanga katika mitaa ya Miji ya Ahvaz na Mashhad huko Iran kutoa salamu za Mwisho
- Maelfu ya Watu wamejipanga katika mitaa ya Miji ya Ahvaz na Mashhad huko Iran kutoa salamu za Mwisho
MOMBASA, KENYA: MCHUNGAJI AMUUA KWA KISU MKEWE NA YEYE KUJIUA
> Imeelezwa, Mchungaji Elisha Misiko wa Kanisa la Ground For Gods Gospel (3G) Ministries alimshambulia kwa kisu mkewe kisha na yeye kujiua
> Tukio hili limetokea wakati Ibada ya Jumapili ikiendelea
Soma > https://jamii.app/MauajiKanisani
> Imeelezwa, Mchungaji Elisha Misiko wa Kanisa la Ground For Gods Gospel (3G) Ministries alimshambulia kwa kisu mkewe kisha na yeye kujiua
> Tukio hili limetokea wakati Ibada ya Jumapili ikiendelea
Soma > https://jamii.app/MauajiKanisani
KIGOMA: ZAIDI YA WATOTO 600 HUZALIWA KILA MWEZI KTK KAMBI ZA WAKIMBIZI
> Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Mkoani humo wameeleza kutishwa na kasi kubwa ya kuzaliana kwa wakimbizi hao na hivyo wameitaka Serikali kuchukua hatua kukabiliana na hali hiyo ili kukabiliana na madhara makubwa siku zijazo ikiwemo baadhi ya wakimbizi hao kudai Taifa lao ndani ya Tanzania
Soma - https://jamii.app/IdadiKuzalianaWakimbizi
> Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Mkoani humo wameeleza kutishwa na kasi kubwa ya kuzaliana kwa wakimbizi hao na hivyo wameitaka Serikali kuchukua hatua kukabiliana na hali hiyo ili kukabiliana na madhara makubwa siku zijazo ikiwemo baadhi ya wakimbizi hao kudai Taifa lao ndani ya Tanzania
Soma - https://jamii.app/IdadiKuzalianaWakimbizi
INDONESIA: JENGO LA GHOROFA 5 LAPOROMOKA MJINI JAKARTA
> Jengo hilo limeanguka leo asubuhi na mpaka sasa watu 8 wanadaiwa kujeruhiwa huku Mamlaka zikiendelea na zoezi la uokoaji kutokana na baadhi ya Raia kunasa kwenye vifusi
> Bado haijafahamika chanzo cha kuanguka kwake lakini inadhaniwa huenda ikawa imesababishwa na mafuriko yaliyotokea wiki iliyopita
Soma - https://jamii.app/5StoreyBuildingCollapses
> Jengo hilo limeanguka leo asubuhi na mpaka sasa watu 8 wanadaiwa kujeruhiwa huku Mamlaka zikiendelea na zoezi la uokoaji kutokana na baadhi ya Raia kunasa kwenye vifusi
> Bado haijafahamika chanzo cha kuanguka kwake lakini inadhaniwa huenda ikawa imesababishwa na mafuriko yaliyotokea wiki iliyopita
Soma - https://jamii.app/5StoreyBuildingCollapses
TABORA: MFAMASIA KIZIMBANI KWA KUIBA ARV HOSPITALINI
- Ni Francis Mlesa (33) ambaye ni Mfamasia wa Hospitali ya Wilaya ya Igunga
- Anadaiwa kuiba chupa 30 za vidonge vya kufubaza Virusi vya UKIMWI (ARV) zenye thamani ya Tsh. 2,116,000
Soma https://jamii.app/MfamasiaKizimbani-TBR
- Ni Francis Mlesa (33) ambaye ni Mfamasia wa Hospitali ya Wilaya ya Igunga
- Anadaiwa kuiba chupa 30 za vidonge vya kufubaza Virusi vya UKIMWI (ARV) zenye thamani ya Tsh. 2,116,000
Soma https://jamii.app/MfamasiaKizimbani-TBR