WAKENYA: MTI WA KRISMASI WA UWANJA WA NDEGE JOMO KENYATTA NI 'KITUKO'
- Mti huo umerembwa kwa mapambo ya Krimasi huku chini kukiwa na maboksi ya zawadi
- Wakenya Mitandaoni hawakuweza kuficha hisia zao huku wakilinganisha mti huo na mingine
Soma https://jamii.app/MtiKrismasiJKIA-Kenya
- Mti huo umerembwa kwa mapambo ya Krimasi huku chini kukiwa na maboksi ya zawadi
- Wakenya Mitandaoni hawakuweza kuficha hisia zao huku wakilinganisha mti huo na mingine
Soma https://jamii.app/MtiKrismasiJKIA-Kenya
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
ERICK KABENDERA KULA KRISMASI NA MWAKA MPYA RUMANDE
- Jamhuri imeeleza kuwa upelelezi bado haujakamilika
- Wakili wa Kabendera amesema bado wanaendelea kuzungumza na DPP kuhusu barua ya kukiri makosa
- Kesi kusikilizwa tena Januari 2, 2020
Zaidi, soma https://jamii.app/KesiKabendera-2020
- Jamhuri imeeleza kuwa upelelezi bado haujakamilika
- Wakili wa Kabendera amesema bado wanaendelea kuzungumza na DPP kuhusu barua ya kukiri makosa
- Kesi kusikilizwa tena Januari 2, 2020
Zaidi, soma https://jamii.app/KesiKabendera-2020
NAFASI ZA KAZI NDANI YA TAASISI YA T-MARC TANZANIA
- Shirika hilo linalofanya kazi kuboresha Afya ya Umma na kukuza Maendeleo ya Jamii limetangaza nafasi 10 za kazi
- Sales Representatives (6), Accountant, Business Development Manager, Procurement Specialist na Marketing Manager
Zaidi, soma https://jamii.app/NafasiKaziT-Marc
- Shirika hilo linalofanya kazi kuboresha Afya ya Umma na kukuza Maendeleo ya Jamii limetangaza nafasi 10 za kazi
- Sales Representatives (6), Accountant, Business Development Manager, Procurement Specialist na Marketing Manager
Zaidi, soma https://jamii.app/NafasiKaziT-Marc
MAMBO YA KUYAZINGATIA PINDI UTOAPO ADHABU KWA MTOTO WAKO
> Adhabu iendane na kosa: Endapo hautozingatia kosa na adhabu utatengeneza mazingira ya mtoto kutojengwa bali kubomolewa
> Epuka adhabu za kikatili kwa watoto: Kuadhibu sio kukomoa, adhabu lengo lake ni lazima liwe kumfundisha mtoto na sio kumuumiza
> Adhabu isitolewe kwa mtoto ambaye hajawahi kuelezwa lolote juu ya kosa alilolifanya: Mambo mengi sio makosa kwa watoto mpaka pale watakapoelezwa kuwa ni makosa
Zaidi, soma - https://jamii.app/MsingiAdhabuMtoto
> Adhabu iendane na kosa: Endapo hautozingatia kosa na adhabu utatengeneza mazingira ya mtoto kutojengwa bali kubomolewa
> Epuka adhabu za kikatili kwa watoto: Kuadhibu sio kukomoa, adhabu lengo lake ni lazima liwe kumfundisha mtoto na sio kumuumiza
> Adhabu isitolewe kwa mtoto ambaye hajawahi kuelezwa lolote juu ya kosa alilolifanya: Mambo mengi sio makosa kwa watoto mpaka pale watakapoelezwa kuwa ni makosa
Zaidi, soma - https://jamii.app/MsingiAdhabuMtoto
UGANDA: AMSHUSHIA KIPIGO MKEWE KWA KUCHINJA JOGOO WA KRISMASI SIKU 10 KABLA YA SIKUKUU
- Mwanaume (50) katika Wilaya ya Budaka amemjeruhi vibaya Mke wake baada ya Mwanamke huyo kumchinja Jogoo aliyetakiwa kufanywa kitoweo siku ya Krismasi
Zaidi, soma https://jamii.app/AshambuliaMkwe-JogooKrismasi
- Mwanaume (50) katika Wilaya ya Budaka amemjeruhi vibaya Mke wake baada ya Mwanamke huyo kumchinja Jogoo aliyetakiwa kufanywa kitoweo siku ya Krismasi
Zaidi, soma https://jamii.app/AshambuliaMkwe-JogooKrismasi
ZIFAHAMU PESA 8 ZENYE NGUVU AFRIKA
> (1) Dinari ya Libya: Hii ndio pesa yenye nguvu zaidi Afrika ukiangalia thamani yake dhidi ya dola ya Marekani na nguvu yake ya kununua (Purchasing Power) ambapo Dola 1 = 1.38 Dinari za Libya
> (2) Dinari ya Tunisia: Hii ni pesa ya pili kwa Afrika ambayo dola 1 = 3.05 Tunisian Dinari. (3) Cedis ya Ghana: Ghana ni nchi pekee ya Afrika Magharibi ambayo ipo kwenye 8 Bora ya nchi zenye pesa yenye nguvu Afrika (Dola 1 = 5.50 Ghana Cedis)
Kuzifahamu zingine, soma - https://jamii.app/StrongCurrenciesAfrica
> (1) Dinari ya Libya: Hii ndio pesa yenye nguvu zaidi Afrika ukiangalia thamani yake dhidi ya dola ya Marekani na nguvu yake ya kununua (Purchasing Power) ambapo Dola 1 = 1.38 Dinari za Libya
> (2) Dinari ya Tunisia: Hii ni pesa ya pili kwa Afrika ambayo dola 1 = 3.05 Tunisian Dinari. (3) Cedis ya Ghana: Ghana ni nchi pekee ya Afrika Magharibi ambayo ipo kwenye 8 Bora ya nchi zenye pesa yenye nguvu Afrika (Dola 1 = 5.50 Ghana Cedis)
Kuzifahamu zingine, soma - https://jamii.app/StrongCurrenciesAfrica
RAIS AWAONYA WANAOJENGA MABONDENI, AWATAKA WASIILAUMU SERIKALI
> Rais John Magufuli amewataka wananchi kujihadhari kwa kutojenga nyumba kwenye maeneo ambayo kuna Mkondo wa Maji
> Akitoa mifano ya maeneo ambayo wananchi wamejenga mabondeni, amewataka kuchukua tahadhari wanapojenga nyumba zao ili wasije wakailaumu Serikali baadaye
Soma - https://jamii.app/MagufuliUjenziBondeni
> Rais John Magufuli amewataka wananchi kujihadhari kwa kutojenga nyumba kwenye maeneo ambayo kuna Mkondo wa Maji
> Akitoa mifano ya maeneo ambayo wananchi wamejenga mabondeni, amewataka kuchukua tahadhari wanapojenga nyumba zao ili wasije wakailaumu Serikali baadaye
Soma - https://jamii.app/MagufuliUjenziBondeni
MICHEZO: Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Wallace Karia amechaguliwa kuwa Rais wa Baraza la Vyama na Vilabu Afrika Mashariki na Kati (CECAFA)
-
Uchaguzi huo umefanyika leo katika Hoteli ya Silver Springs, Uganda na Karia ataliongoza Baraza hilo kwa kipindi cha miaka 4
-
Uchaguzi huo umefanyika leo katika Hoteli ya Silver Springs, Uganda na Karia ataliongoza Baraza hilo kwa kipindi cha miaka 4
SINGIDA: HAKIMU MBARONI KWA TUHUMA ZA RUSHWA
- Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo Mtinko, Bernard Kasanda (38) anatuhumiwa kupokea rushwa ya Tsh. 250,000
- Pia, alikutwa na visu 5 anavyodhaniwa kutumia kujihami wakati akipata maslahi hayo haramu
Zaidi, soma https://jamii.app/HakimuMbaroniRushwa-SNG
- Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo Mtinko, Bernard Kasanda (38) anatuhumiwa kupokea rushwa ya Tsh. 250,000
- Pia, alikutwa na visu 5 anavyodhaniwa kutumia kujihami wakati akipata maslahi hayo haramu
Zaidi, soma https://jamii.app/HakimuMbaroniRushwa-SNG
Donald Trump amekuwa Rais wa tatu katika historia ya Marekani kupigiwa kura ya matumizi mabaya ya madaraka
- Hatua hiyo inampeleka moja kwa moja katika kesi dhidi yake itakayoamua ikiwa atabakia madarakani au la, uamuzi utakaotolewa na Baraza la ‘Senate’
Zaidi, soma https://jamii.app/TrumpImpeached
- Hatua hiyo inampeleka moja kwa moja katika kesi dhidi yake itakayoamua ikiwa atabakia madarakani au la, uamuzi utakaotolewa na Baraza la ‘Senate’
Zaidi, soma https://jamii.app/TrumpImpeached
UCHAGUZI CHADEMA: MBOWE ACHAGULIWA KWA KISHINDO KUWA MWENYEKITI
> Freeman A. Mbowe ametangazwa kushinda nafasi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa kwa awamu nyingine baada ya kuibuka na kura 886 sawa na 93.5% dhidi ya Cecil Mwambe aliyepata kura 59 sawa na 6.2%
> Kura 3 zimeharibika
Soma > https://jamii.app/MboweTena
> Freeman A. Mbowe ametangazwa kushinda nafasi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa kwa awamu nyingine baada ya kuibuka na kura 886 sawa na 93.5% dhidi ya Cecil Mwambe aliyepata kura 59 sawa na 6.2%
> Kura 3 zimeharibika
Soma > https://jamii.app/MboweTena
MWANZA: MAJI WILAYA YA MISUNGWI YALALAMIKIWA KUWA MACHAFU
> Inadaiwa kuwa, maji yanayotoka kwenye mabomba ni machafu na hayafai kwa matumizi ya Binadamu kwani yanatoka Ziwani moja kwa moja na kisha kusambazwa kwa Wananchi bila kutibiwa
> Wananchi wadai kuna ucheleweshwaji wa kuunganishwa na Mtandao wa Maji japo wamelipa gharama zote kama inavyohitajika
Soma - https://jamii.app/UchafuMajiMisungwi
> Inadaiwa kuwa, maji yanayotoka kwenye mabomba ni machafu na hayafai kwa matumizi ya Binadamu kwani yanatoka Ziwani moja kwa moja na kisha kusambazwa kwa Wananchi bila kutibiwa
> Wananchi wadai kuna ucheleweshwaji wa kuunganishwa na Mtandao wa Maji japo wamelipa gharama zote kama inavyohitajika
Soma - https://jamii.app/UchafuMajiMisungwi
WAKENYA 4 WADAIWA KUTEKWA NA WANAMGAMBO WA AL-SHABAAB
> Wakandarasi waliokuwa wakifanya ujenzi wa barabara kati ya Riba na Konton, Kaunti ya Wajir wanadaiwa kutekwa na kundi la watu wanaoshukiwa kuwa Wanamgambo wa Kikundi Kigaidi cha Al-Shabaab
> Kamishna Msaidizi wa Kaunti amethibitisha kutokea kwa tukio hilo jana jioni
Soma - https://jamii.app/KenyansKidnappedAlShabaab
> Wakandarasi waliokuwa wakifanya ujenzi wa barabara kati ya Riba na Konton, Kaunti ya Wajir wanadaiwa kutekwa na kundi la watu wanaoshukiwa kuwa Wanamgambo wa Kikundi Kigaidi cha Al-Shabaab
> Kamishna Msaidizi wa Kaunti amethibitisha kutokea kwa tukio hilo jana jioni
Soma - https://jamii.app/KenyansKidnappedAlShabaab
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
RONALDO APIGA 'BONGE LA GOLI' KUIPA USHINDI JUVENTUS
- Mshambuliaji Cristiano Ronaldo jana amefunga goli la kichwa lililozua gumzo katika mitandao ya kijamii
- Wakati akifunga goli hilo, Wataalamu wanasema aliruka urefu wa Mita 2.56 huku akikaa hewani kwa sekunde 1.5
- Mshambuliaji Cristiano Ronaldo jana amefunga goli la kichwa lililozua gumzo katika mitandao ya kijamii
- Wakati akifunga goli hilo, Wataalamu wanasema aliruka urefu wa Mita 2.56 huku akikaa hewani kwa sekunde 1.5
VATICAN: PAPA AONDOA USIRI JUU YA KASHFA ZA UDHALILISHAJI WA KINGONO
- Kiongozi wa Kanisa Katoliki, Papa Francis ameuondoa usiri juu ya kashfa za udhalilishaji wa kingono kwa kufuta kanuni inayozuia kufichuliwa na kuchunguzwa kwa uhalifu huo
Zaidi, soma https://jamii.app/Papa-UsiriKesiUdhalilishaji
- Kiongozi wa Kanisa Katoliki, Papa Francis ameuondoa usiri juu ya kashfa za udhalilishaji wa kingono kwa kufuta kanuni inayozuia kufichuliwa na kuchunguzwa kwa uhalifu huo
Zaidi, soma https://jamii.app/Papa-UsiriKesiUdhalilishaji
LIVERPOOL YATHIBITISHA KUMSAJILI TAKUMI MINAMINO
- Imethibitisha kumsajili Kiungo huyo Mshambuliaji (24), Raia wa Japan, kutoka Klabu ya Red Bull Salzburg ya Austria kwa Paundi Milioni 7.25 (Tsh. 21,893,401,752)
- Liverpool itasubiri hadi Januari 01 litakapofunguliwa dirisha la usajili kumuandikisha mchezaji huyo
- Imethibitisha kumsajili Kiungo huyo Mshambuliaji (24), Raia wa Japan, kutoka Klabu ya Red Bull Salzburg ya Austria kwa Paundi Milioni 7.25 (Tsh. 21,893,401,752)
- Liverpool itasubiri hadi Januari 01 litakapofunguliwa dirisha la usajili kumuandikisha mchezaji huyo
FAIDA ZA MZAZI NA MTOTO KUSOMA VITABU PAMOJA
> Watafiti wanadai kuna faida lukuki kwa mzazi na mtoto wanaposoma vitabu pamoja. Mzazi kumsomea mtoto kitabu humjenga mtoto kiakili na kuelewa misamiati ya lugha haraka na pia huimarisha mahusiano ya mtoto na mzazi
> Utamaduni wa kusoma vitabu unamfanya mtoto awe na uwezo wa kujiamini na kuwa mdadisi katika jamii, humfanya mtoto kuwa mbunifu na kupata maarifa mengi yatakayomsaidia kimaendeleo
Tembelea - https://jamii.app/MzaziMtotoKusomaVitabu
#JFMahusiano
> Watafiti wanadai kuna faida lukuki kwa mzazi na mtoto wanaposoma vitabu pamoja. Mzazi kumsomea mtoto kitabu humjenga mtoto kiakili na kuelewa misamiati ya lugha haraka na pia huimarisha mahusiano ya mtoto na mzazi
> Utamaduni wa kusoma vitabu unamfanya mtoto awe na uwezo wa kujiamini na kuwa mdadisi katika jamii, humfanya mtoto kuwa mbunifu na kupata maarifa mengi yatakayomsaidia kimaendeleo
Tembelea - https://jamii.app/MzaziMtotoKusomaVitabu
#JFMahusiano