MAURITANIA: WAHAMIAJI 62 WAFARIKI BAADA YA BOTI YAO KUZAMA
> Takriban wahamiaji 62 wakiwamo watoto wamefariki baada ya boti waliyokuwa wanaitumia kusafiri kuzama katika Bahari ya Atlantiki nchini Mauritania
> Boti hiyo iliyokuwa imebeba watu 150 iliishiwa mafuta na kukwama kwa siku kadhaa kabla ya kuzama
Soma - https://jamii.app/VifoWahamiajiBotiKuzama
> Takriban wahamiaji 62 wakiwamo watoto wamefariki baada ya boti waliyokuwa wanaitumia kusafiri kuzama katika Bahari ya Atlantiki nchini Mauritania
> Boti hiyo iliyokuwa imebeba watu 150 iliishiwa mafuta na kukwama kwa siku kadhaa kabla ya kuzama
Soma - https://jamii.app/VifoWahamiajiBotiKuzama
UGANDA: MCHUNGAJI MBARONI KWA KUWANYWESHA WAUMINI SUMU
> Mchungaji Sam Little (25) raia wa Uingereza amekamatwa kwa tuhuma za kuwanywesha waumini dawa ya kujichubua na kuwaaminisha kuwa ni tiba ya miujiza inayotibu Malaria, Saratani na UKIMWI
> Pia, walikamatwa raia wawili wa Uganda ambao walikuwa wakishirikiana naye
Soma - https://jamii.app/MchAnyweshaWauminiSumu
> Mchungaji Sam Little (25) raia wa Uingereza amekamatwa kwa tuhuma za kuwanywesha waumini dawa ya kujichubua na kuwaaminisha kuwa ni tiba ya miujiza inayotibu Malaria, Saratani na UKIMWI
> Pia, walikamatwa raia wawili wa Uganda ambao walikuwa wakishirikiana naye
Soma - https://jamii.app/MchAnyweshaWauminiSumu
WAZIRI MKUCHIKA: VIONGOZI WA IDARA NI CHANZO CHA UVUNJIFU WA HAKI ZA BINADAMU
> Amepiga marufuku viongozi wa Serikali kuzuia barua za watumishi kufika eneo linalohusika na hata kama inakwenda kwake
> Aidha, amewaonya viongozi wanaowafukuza kazi watu ambao hawajawateuwa na hawana mamlaka nao
Soma - https://jamii.app/ViongoziHakiBinadamu
> Amepiga marufuku viongozi wa Serikali kuzuia barua za watumishi kufika eneo linalohusika na hata kama inakwenda kwake
> Aidha, amewaonya viongozi wanaowafukuza kazi watu ambao hawajawateuwa na hawana mamlaka nao
Soma - https://jamii.app/ViongoziHakiBinadamu
TANZIA: SETH KANUMBA AFARIKI DUNIA
> Seth Bosco ambaye ni mdogo wa Marehemu Steven Kanumba, amefariki usiku wa kuamkia leo baada ya kuzidiwa akiwa nyumbani kwa Mama yake Kimara, Dar
> Alifanyiwa upasuaji wa Uti wa Mgongo baada ya kupooza
Soma > https://jamii.app/RIPSethKanumba
> Seth Bosco ambaye ni mdogo wa Marehemu Steven Kanumba, amefariki usiku wa kuamkia leo baada ya kuzidiwa akiwa nyumbani kwa Mama yake Kimara, Dar
> Alifanyiwa upasuaji wa Uti wa Mgongo baada ya kupooza
Soma > https://jamii.app/RIPSethKanumba
RWANDA: KIONGOZI WA UPINZANI AZUIWA KUSAFIRI KWENDA KUPOKEA TUZO
- Kiongozi wa Upinzani nchini humo, Victoire Ingabire Umuhoza amezuiwa kusafiri kwenda Uhispania kupokea Tuzo ya Haki za Binadamu aliyoshinda
- Mwezi Mei alizuiwa kwenda Ujerumani
Soma > https://jamii.app/VictoireVsRwGvt
- Kiongozi wa Upinzani nchini humo, Victoire Ingabire Umuhoza amezuiwa kusafiri kwenda Uhispania kupokea Tuzo ya Haki za Binadamu aliyoshinda
- Mwezi Mei alizuiwa kwenda Ujerumani
Soma > https://jamii.app/VictoireVsRwGvt
BRAZIL HATARINI KUPOTEZA HAKI YA KURA UN KUTOKANA NA ADA YA UANACHAMA
> Hadi sasa nchi wanachama 54 hazijalipa michango ikiwemo Brazil ambayo inadaiwa na Umoja huo zaidi ya dola milioni 415
> Kwa mujibu wa ibara ya 19 ya sheria ili Brazil isipoteze haki hiyo inapaswa kulipa dola milioni 126 kufikia mwishoni mwa mwaka 2019
Soma - https://jamii.app/BrazilDebtUNFee
> Hadi sasa nchi wanachama 54 hazijalipa michango ikiwemo Brazil ambayo inadaiwa na Umoja huo zaidi ya dola milioni 415
> Kwa mujibu wa ibara ya 19 ya sheria ili Brazil isipoteze haki hiyo inapaswa kulipa dola milioni 126 kufikia mwishoni mwa mwaka 2019
Soma - https://jamii.app/BrazilDebtUNFee
KENYA: WATU 10 WAPOTEZA MAISHA KWENYE SHAMBULIO LA KIGAIDI
> Takriban watu 10 wamefariki katika kaunti ya Wajir siku ya Ijumaa baada ya watu wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa kundi Al-Shabaab kushambulia basi
> Kati ya waliofariki wapo Askari Polisi 7, Daktari pamoja na raia 2
Soma https://jamii.app/WajirTerrorAttack
> Takriban watu 10 wamefariki katika kaunti ya Wajir siku ya Ijumaa baada ya watu wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa kundi Al-Shabaab kushambulia basi
> Kati ya waliofariki wapo Askari Polisi 7, Daktari pamoja na raia 2
Soma https://jamii.app/WajirTerrorAttack
VICHOCHEO VINAVYOWEZA KUMUATHIRI MTOTO MWENYE PUMU
> Mabadiliko ya halijoto: Mabadiliko haya huweza kupelekea dalili za pumu na hata kusababisha kushikwa na pumu
> Kichocheo cha vumbi: Vumbi huchangia kwa kiasi kikubwa sana kushikwa na pumu. Vumbi lipo kila mahali lakini jitihada zinaweza kufanyika ili kulipunguza nyumbani
> Wanyama pia huweza kusababisha dalili za pumu hasa paka, mbwa na kuku. Viumbe hawa mara nyingi wanatumia vumbi kama njia ya kujikuna na kuondoa wadudu katika miili yao
Tembelea - https://jamii.app/VichocheoPumuMtoto
> Mabadiliko ya halijoto: Mabadiliko haya huweza kupelekea dalili za pumu na hata kusababisha kushikwa na pumu
> Kichocheo cha vumbi: Vumbi huchangia kwa kiasi kikubwa sana kushikwa na pumu. Vumbi lipo kila mahali lakini jitihada zinaweza kufanyika ili kulipunguza nyumbani
> Wanyama pia huweza kusababisha dalili za pumu hasa paka, mbwa na kuku. Viumbe hawa mara nyingi wanatumia vumbi kama njia ya kujikuna na kuondoa wadudu katika miili yao
Tembelea - https://jamii.app/VichocheoPumuMtoto
RIPOTI: UMASIKINI WAPUNGUA TANZANIA KWA ASILIMIA 2
> Umaskini wa mahitaji muhimu umepungua kutoka asilimia 34.4 mwaka 2007, asilimia 28.2 mwaka 2012, hadi asilimia 26.4 mwaka 2018
> Umaskini wa chakula umepungua kutoka asilimia 22 mwaka 1991/92, asilimia 19 mwaka 2000/01, asilimia 17 mwaka 2007, asilimia 10 mwaka 2011/12 hadi asilimia 8.0 mwaka 2017/18
Soma - https://jamii.app/TakwimuHaliUmasikini
> Umaskini wa mahitaji muhimu umepungua kutoka asilimia 34.4 mwaka 2007, asilimia 28.2 mwaka 2012, hadi asilimia 26.4 mwaka 2018
> Umaskini wa chakula umepungua kutoka asilimia 22 mwaka 1991/92, asilimia 19 mwaka 2000/01, asilimia 17 mwaka 2007, asilimia 10 mwaka 2011/12 hadi asilimia 8.0 mwaka 2017/18
Soma - https://jamii.app/TakwimuHaliUmasikini
MASUMBWI: Bondia Anthony Joshua kutoka nchini England amempiga kwa pointi bondia Andy Ruiz Jr. kutoka Mexico
- Wawili hao wamepambana usiku huu katika pambano la marudiano Uzani wa Juu lililofanyika nchini Saudi Arabia
- Anthony Joshua alipigwa na Andy Ruiz Jr. kwa TKO katika pambano lao la mwezi Juni 2019
#RuizVsJoshua2 #JFLeo
- Wawili hao wamepambana usiku huu katika pambano la marudiano Uzani wa Juu lililofanyika nchini Saudi Arabia
- Anthony Joshua alipigwa na Andy Ruiz Jr. kwa TKO katika pambano lao la mwezi Juni 2019
#RuizVsJoshua2 #JFLeo
DELHI, INDIA: ZAIDI YA WATU 30 WAMEFARIKI BAADA KIWANDA KULIPUKA
> Mlipuko huo umetokea asubuhi ya leo na imeelezwa kuwa wengi wa waliofariki ni Wafanyakazi wa Kiwanda hicho waliokuwa wamelala
> Zaidi ya watu 50 wamejerujiwa
Zaidi, soma > https://jamii.app/FactoryBlazeDelhi
> Mlipuko huo umetokea asubuhi ya leo na imeelezwa kuwa wengi wa waliofariki ni Wafanyakazi wa Kiwanda hicho waliokuwa wamelala
> Zaidi ya watu 50 wamejerujiwa
Zaidi, soma > https://jamii.app/FactoryBlazeDelhi
TANZIA: MFANYABIASHARA ALI MUFURUKI AFARIKI
- M/Kiti na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Infotech Investment Group, Ali Mufuruki amefariki dunia leo
- Aliwahi kuwa Mkurugenzi Huru, Mwenyekiti wa Bodi ya Vodacom Tanzania kabla ya kujiuzulu
Soma > https://jamii.app/RIPMufuruki
- M/Kiti na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Infotech Investment Group, Ali Mufuruki amefariki dunia leo
- Aliwahi kuwa Mkurugenzi Huru, Mwenyekiti wa Bodi ya Vodacom Tanzania kabla ya kujiuzulu
Soma > https://jamii.app/RIPMufuruki
TANZIA: MHUBIRI NA MWINJILISTI REINHARD BONNKE AFARIKI DUNIA
- Bonnke amefariki akiwa na umri wa miaka 79
- Atakumbukwa kwa kuweka rekodi ya wahudhuriaji wengi katika mikutano yake aliyoifanya ktk mataifa mengi ya Afrika ikiwemo Tanzania
Soma > https://jamii.app/RIPBonnke
- Bonnke amefariki akiwa na umri wa miaka 79
- Atakumbukwa kwa kuweka rekodi ya wahudhuriaji wengi katika mikutano yake aliyoifanya ktk mataifa mengi ya Afrika ikiwemo Tanzania
Soma > https://jamii.app/RIPBonnke
IRAN: WATU 81 WAPOTEZA MAISHA KUTOKANA NA HOMA YA MAFUA
> Watu 81 wamepoteza maisha kwa sababu ya Homa ya Mafua nchini Iran huku wiki iliyopita, watu 8,333 wamefikishwa hospitalini wakilalamika kuandamwa na Mafua Makali
> Hali hiyo ilimepelekea msongamano wa wagonjwa na wengine kutibiwa wakiwa wamesimama
Soma - https://jamii.app/VifoHomaMafua
> Watu 81 wamepoteza maisha kwa sababu ya Homa ya Mafua nchini Iran huku wiki iliyopita, watu 8,333 wamefikishwa hospitalini wakilalamika kuandamwa na Mafua Makali
> Hali hiyo ilimepelekea msongamano wa wagonjwa na wengine kutibiwa wakiwa wamesimama
Soma - https://jamii.app/VifoHomaMafua
MASHIRIKA YA KIRAIA DRC YAIOMBA ICC KUCHUNGUZA MAUAJI YA RAIA
> Mashirika ya Kiraia na Wadau mbalimbali Duniani, yameitaka Ofisi ya Mwendesha Mashtaka ktk Mahakama ya Kimataifa ya ICC kuchunguza mauaji yanayoendelea Wilayani Beni
> Tangu mwezi Novemba, watu zaidi ya 100 wameuawa baada ya kushambuliwa na waasi wa ADF Nalu
Soma - https://jamii.app/ICCAssistanceBeniMassKilling
> Mashirika ya Kiraia na Wadau mbalimbali Duniani, yameitaka Ofisi ya Mwendesha Mashtaka ktk Mahakama ya Kimataifa ya ICC kuchunguza mauaji yanayoendelea Wilayani Beni
> Tangu mwezi Novemba, watu zaidi ya 100 wameuawa baada ya kushambuliwa na waasi wa ADF Nalu
Soma - https://jamii.app/ICCAssistanceBeniMassKilling
TANZIA: ALIYEKUWA BALOZI WA TANZANIA URUSI AFARIKI
> Aliyewahi kuwa Balozi wa Tanzania nchini Urusi katika Serikali ya Awamu ya Nne, Balozi Jaka Mwambi amefariki leo Desemba 8, 2019
> Pia, marehemu aliwahi kuwa Mkuu wa Mikoa ya Tanga, Rukwa na Iringa na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Tanzania Bara
Soma - https://jamii.app/RIPBaloziMwambi
> Aliyewahi kuwa Balozi wa Tanzania nchini Urusi katika Serikali ya Awamu ya Nne, Balozi Jaka Mwambi amefariki leo Desemba 8, 2019
> Pia, marehemu aliwahi kuwa Mkuu wa Mikoa ya Tanga, Rukwa na Iringa na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Tanzania Bara
Soma - https://jamii.app/RIPBaloziMwambi
SHINYANGA: WANAUME WADAIWA KUWAOZESHA WATOTO WAO WADOGO KWA POMBE
- Wanawake katika Kijiji cha Penzi wamewashutumu Wanaume kwa kuwaozesha watoto wao bila kuwajulisha kwa kubadilishana na jagi la pombe wawapo vilabuni au mifugo aina ya ng’ombe
Zaidi, soma https://jamii.app/WanaumeKuozaBinti-SHY
- Wanawake katika Kijiji cha Penzi wamewashutumu Wanaume kwa kuwaozesha watoto wao bila kuwajulisha kwa kubadilishana na jagi la pombe wawapo vilabuni au mifugo aina ya ng’ombe
Zaidi, soma https://jamii.app/WanaumeKuozaBinti-SHY
MLIMBWENDE WA AFRIKA KUSINI ATWAA TAJI LA MISS UNIVERSE
- Zozibini Tunzi (26) ameshinda taji hilo katika mashindano yaliyofanyika Atlanta, Georgia
- Madison Anderson (Puerto Rico) amekuwa mshindi wa pili huku Sofía Aragó (Mexico) akiwa mshindi wa tatu
Zaidi, soma https://jamii.app/MissUniverse2019-SA
- Zozibini Tunzi (26) ameshinda taji hilo katika mashindano yaliyofanyika Atlanta, Georgia
- Madison Anderson (Puerto Rico) amekuwa mshindi wa pili huku Sofía Aragó (Mexico) akiwa mshindi wa tatu
Zaidi, soma https://jamii.app/MissUniverse2019-SA