WHO: VISA VYA UGONJWA WA SURUA DUNIANI VYAONGEZEKA
> Takriban watu 140,000 hufariki duniani kutokana na ugonjwa wa Surua na Bara la Afrika linasadikiwa kuwa na idadi kubwa zaidi ya vifo vinavyotokana na ugonjwa huo kwa takriban vifo 52,600
> Barani Afrika, nchi za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Liberia, Madagascar na Somalia zimeathirika zaidi huku DRC ikiripoti visa 250,000 vya ugonjwa huo kufikia Novemba mwaka huu
Soma - https://jamii.app/OngezekoMaambukiziSurua
> Takriban watu 140,000 hufariki duniani kutokana na ugonjwa wa Surua na Bara la Afrika linasadikiwa kuwa na idadi kubwa zaidi ya vifo vinavyotokana na ugonjwa huo kwa takriban vifo 52,600
> Barani Afrika, nchi za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Liberia, Madagascar na Somalia zimeathirika zaidi huku DRC ikiripoti visa 250,000 vya ugonjwa huo kufikia Novemba mwaka huu
Soma - https://jamii.app/OngezekoMaambukiziSurua
UTAFITI: KUKU WA KIENYEJI WANAOUZWA MITAANI WABAINIKA SIO WA KIENYEJI
> Utafiti uliyofanywa na Shirika la World Animal Protection umebaini kuku hao ni wa kisasa (kizungu) wanaofugwa majumbani kwa kupewa majani pamoja na dawa mbalimbali za kuwakuza na kuwafanya kuwa wagumu
Soma - https://jamii.app/KukuKienyejiFeki
> Utafiti uliyofanywa na Shirika la World Animal Protection umebaini kuku hao ni wa kisasa (kizungu) wanaofugwa majumbani kwa kupewa majani pamoja na dawa mbalimbali za kuwakuza na kuwafanya kuwa wagumu
Soma - https://jamii.app/KukuKienyejiFeki
KENYA: JENGO LA GHOROFA 6 LAANGUKA, WATU WAHOFIWA KUNASA KWENYE KIFUSI
- Jengo hilo la ghorofa sita limeanguka asubuhi ya leo katika eneo la Embakasi Jijini Nairobi
- Hadi sasa juhudi za uokoaji zinaendelea kufanyika
Zaidi, sma => https://jamii.app/JengoLaporomokaKenya
- Jengo hilo la ghorofa sita limeanguka asubuhi ya leo katika eneo la Embakasi Jijini Nairobi
- Hadi sasa juhudi za uokoaji zinaendelea kufanyika
Zaidi, sma => https://jamii.app/JengoLaporomokaKenya
MICHEZO: CHELSEA FC YAPUNGUZIWA ADHABU. SASA ITARUHUSIWA KUFANYA USAJILI DIRISHA LA JANUARI 2020
- Chelsea ilifungiwa kufanya usajili kwa madirisha 2 ya usajili baada ya kukutwa na hatia ya kuwasajili wachezaji vijana kinyume na utaratibu
Soma > https://jamii.app/ChelseaFcHuru
#JFSports
- Chelsea ilifungiwa kufanya usajili kwa madirisha 2 ya usajili baada ya kukutwa na hatia ya kuwasajili wachezaji vijana kinyume na utaratibu
Soma > https://jamii.app/ChelseaFcHuru
#JFSports
KENYA: GAVANA WA JIJI LA NAIROBI, MIKE SONKO AKAMATWA NA TAASISI YA KUPAMBANA NA RUSHWA
- Imeelezwa kuwa Sonko amekamatwa akituhumiwa kwa kujipatia kiasi cha zaidi ya Shilingi za Kitanzania bilioni 8 kinyume cha sheria ya manunuzi
Zaidi, soma > https://jamii.app/SonkoMbaroni
- Imeelezwa kuwa Sonko amekamatwa akituhumiwa kwa kujipatia kiasi cha zaidi ya Shilingi za Kitanzania bilioni 8 kinyume cha sheria ya manunuzi
Zaidi, soma > https://jamii.app/SonkoMbaroni
MANYARA: RC MNYETI AFUTA KIKUNDI CHA WATU WA KILIMANJARO
> Ni kikundi cha watu wa Kilimanjaro waishio Manyara
> Asema ataendelea kuvifuta vikundi vyote vya watu kutoka mikoa mingine waishio Manyara kwani havina faida mkoani humo na vinaendekeza ukabila
Soma http://jamii.app/RCMnyetiTena
> Ni kikundi cha watu wa Kilimanjaro waishio Manyara
> Asema ataendelea kuvifuta vikundi vyote vya watu kutoka mikoa mingine waishio Manyara kwani havina faida mkoani humo na vinaendekeza ukabila
Soma http://jamii.app/RCMnyetiTena
GABON: MTOTO WA RAIS ATEULIWA KUWA MRATIBU WA MASUALA YA RAIS
> Mtoto wa Rais Ali Bongo wa Gabon, Noureddin Bongo Valentin ameteuliwa kuwa Mratibu wa masuala ya Rais ili kumsaidia Rais katika masuala yote ya Kitaifa
> Nafasi hiyo imetengenezwa baada ya Kikao cha Baraza la Washauri na kutolewa taarifa rasmi na Msemaji wa Serikali
Soma - https://jamii.app/NafasiMratibuRaisGabon
> Mtoto wa Rais Ali Bongo wa Gabon, Noureddin Bongo Valentin ameteuliwa kuwa Mratibu wa masuala ya Rais ili kumsaidia Rais katika masuala yote ya Kitaifa
> Nafasi hiyo imetengenezwa baada ya Kikao cha Baraza la Washauri na kutolewa taarifa rasmi na Msemaji wa Serikali
Soma - https://jamii.app/NafasiMratibuRaisGabon
TABORA: MWANDISHI AOKOTWA PORINI NA KUDAI ALITEKWA. POLISI WASEMA HUENDA ALIKUWA KWENYE MAMBO YAKE BINAFSI
- RPC Barnabas Mwakalukwa amesema mtekaji hawezi kukuacha kinyeji tu anaweza akawa na mambo yake ya ajabu, pengine mambo ya Wanawake
Soma > https://jamii.app/PolisiVsBahamu
- RPC Barnabas Mwakalukwa amesema mtekaji hawezi kukuacha kinyeji tu anaweza akawa na mambo yake ya ajabu, pengine mambo ya Wanawake
Soma > https://jamii.app/PolisiVsBahamu
MAURITANIA: WAHAMIAJI 62 WAFARIKI BAADA YA BOTI YAO KUZAMA
> Takriban wahamiaji 62 wakiwamo watoto wamefariki baada ya boti waliyokuwa wanaitumia kusafiri kuzama katika Bahari ya Atlantiki nchini Mauritania
> Boti hiyo iliyokuwa imebeba watu 150 iliishiwa mafuta na kukwama kwa siku kadhaa kabla ya kuzama
Soma - https://jamii.app/VifoWahamiajiBotiKuzama
> Takriban wahamiaji 62 wakiwamo watoto wamefariki baada ya boti waliyokuwa wanaitumia kusafiri kuzama katika Bahari ya Atlantiki nchini Mauritania
> Boti hiyo iliyokuwa imebeba watu 150 iliishiwa mafuta na kukwama kwa siku kadhaa kabla ya kuzama
Soma - https://jamii.app/VifoWahamiajiBotiKuzama
UGANDA: MCHUNGAJI MBARONI KWA KUWANYWESHA WAUMINI SUMU
> Mchungaji Sam Little (25) raia wa Uingereza amekamatwa kwa tuhuma za kuwanywesha waumini dawa ya kujichubua na kuwaaminisha kuwa ni tiba ya miujiza inayotibu Malaria, Saratani na UKIMWI
> Pia, walikamatwa raia wawili wa Uganda ambao walikuwa wakishirikiana naye
Soma - https://jamii.app/MchAnyweshaWauminiSumu
> Mchungaji Sam Little (25) raia wa Uingereza amekamatwa kwa tuhuma za kuwanywesha waumini dawa ya kujichubua na kuwaaminisha kuwa ni tiba ya miujiza inayotibu Malaria, Saratani na UKIMWI
> Pia, walikamatwa raia wawili wa Uganda ambao walikuwa wakishirikiana naye
Soma - https://jamii.app/MchAnyweshaWauminiSumu
WAZIRI MKUCHIKA: VIONGOZI WA IDARA NI CHANZO CHA UVUNJIFU WA HAKI ZA BINADAMU
> Amepiga marufuku viongozi wa Serikali kuzuia barua za watumishi kufika eneo linalohusika na hata kama inakwenda kwake
> Aidha, amewaonya viongozi wanaowafukuza kazi watu ambao hawajawateuwa na hawana mamlaka nao
Soma - https://jamii.app/ViongoziHakiBinadamu
> Amepiga marufuku viongozi wa Serikali kuzuia barua za watumishi kufika eneo linalohusika na hata kama inakwenda kwake
> Aidha, amewaonya viongozi wanaowafukuza kazi watu ambao hawajawateuwa na hawana mamlaka nao
Soma - https://jamii.app/ViongoziHakiBinadamu
TANZIA: SETH KANUMBA AFARIKI DUNIA
> Seth Bosco ambaye ni mdogo wa Marehemu Steven Kanumba, amefariki usiku wa kuamkia leo baada ya kuzidiwa akiwa nyumbani kwa Mama yake Kimara, Dar
> Alifanyiwa upasuaji wa Uti wa Mgongo baada ya kupooza
Soma > https://jamii.app/RIPSethKanumba
> Seth Bosco ambaye ni mdogo wa Marehemu Steven Kanumba, amefariki usiku wa kuamkia leo baada ya kuzidiwa akiwa nyumbani kwa Mama yake Kimara, Dar
> Alifanyiwa upasuaji wa Uti wa Mgongo baada ya kupooza
Soma > https://jamii.app/RIPSethKanumba
RWANDA: KIONGOZI WA UPINZANI AZUIWA KUSAFIRI KWENDA KUPOKEA TUZO
- Kiongozi wa Upinzani nchini humo, Victoire Ingabire Umuhoza amezuiwa kusafiri kwenda Uhispania kupokea Tuzo ya Haki za Binadamu aliyoshinda
- Mwezi Mei alizuiwa kwenda Ujerumani
Soma > https://jamii.app/VictoireVsRwGvt
- Kiongozi wa Upinzani nchini humo, Victoire Ingabire Umuhoza amezuiwa kusafiri kwenda Uhispania kupokea Tuzo ya Haki za Binadamu aliyoshinda
- Mwezi Mei alizuiwa kwenda Ujerumani
Soma > https://jamii.app/VictoireVsRwGvt
BRAZIL HATARINI KUPOTEZA HAKI YA KURA UN KUTOKANA NA ADA YA UANACHAMA
> Hadi sasa nchi wanachama 54 hazijalipa michango ikiwemo Brazil ambayo inadaiwa na Umoja huo zaidi ya dola milioni 415
> Kwa mujibu wa ibara ya 19 ya sheria ili Brazil isipoteze haki hiyo inapaswa kulipa dola milioni 126 kufikia mwishoni mwa mwaka 2019
Soma - https://jamii.app/BrazilDebtUNFee
> Hadi sasa nchi wanachama 54 hazijalipa michango ikiwemo Brazil ambayo inadaiwa na Umoja huo zaidi ya dola milioni 415
> Kwa mujibu wa ibara ya 19 ya sheria ili Brazil isipoteze haki hiyo inapaswa kulipa dola milioni 126 kufikia mwishoni mwa mwaka 2019
Soma - https://jamii.app/BrazilDebtUNFee
KENYA: WATU 10 WAPOTEZA MAISHA KWENYE SHAMBULIO LA KIGAIDI
> Takriban watu 10 wamefariki katika kaunti ya Wajir siku ya Ijumaa baada ya watu wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa kundi Al-Shabaab kushambulia basi
> Kati ya waliofariki wapo Askari Polisi 7, Daktari pamoja na raia 2
Soma https://jamii.app/WajirTerrorAttack
> Takriban watu 10 wamefariki katika kaunti ya Wajir siku ya Ijumaa baada ya watu wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa kundi Al-Shabaab kushambulia basi
> Kati ya waliofariki wapo Askari Polisi 7, Daktari pamoja na raia 2
Soma https://jamii.app/WajirTerrorAttack
VICHOCHEO VINAVYOWEZA KUMUATHIRI MTOTO MWENYE PUMU
> Mabadiliko ya halijoto: Mabadiliko haya huweza kupelekea dalili za pumu na hata kusababisha kushikwa na pumu
> Kichocheo cha vumbi: Vumbi huchangia kwa kiasi kikubwa sana kushikwa na pumu. Vumbi lipo kila mahali lakini jitihada zinaweza kufanyika ili kulipunguza nyumbani
> Wanyama pia huweza kusababisha dalili za pumu hasa paka, mbwa na kuku. Viumbe hawa mara nyingi wanatumia vumbi kama njia ya kujikuna na kuondoa wadudu katika miili yao
Tembelea - https://jamii.app/VichocheoPumuMtoto
> Mabadiliko ya halijoto: Mabadiliko haya huweza kupelekea dalili za pumu na hata kusababisha kushikwa na pumu
> Kichocheo cha vumbi: Vumbi huchangia kwa kiasi kikubwa sana kushikwa na pumu. Vumbi lipo kila mahali lakini jitihada zinaweza kufanyika ili kulipunguza nyumbani
> Wanyama pia huweza kusababisha dalili za pumu hasa paka, mbwa na kuku. Viumbe hawa mara nyingi wanatumia vumbi kama njia ya kujikuna na kuondoa wadudu katika miili yao
Tembelea - https://jamii.app/VichocheoPumuMtoto
RIPOTI: UMASIKINI WAPUNGUA TANZANIA KWA ASILIMIA 2
> Umaskini wa mahitaji muhimu umepungua kutoka asilimia 34.4 mwaka 2007, asilimia 28.2 mwaka 2012, hadi asilimia 26.4 mwaka 2018
> Umaskini wa chakula umepungua kutoka asilimia 22 mwaka 1991/92, asilimia 19 mwaka 2000/01, asilimia 17 mwaka 2007, asilimia 10 mwaka 2011/12 hadi asilimia 8.0 mwaka 2017/18
Soma - https://jamii.app/TakwimuHaliUmasikini
> Umaskini wa mahitaji muhimu umepungua kutoka asilimia 34.4 mwaka 2007, asilimia 28.2 mwaka 2012, hadi asilimia 26.4 mwaka 2018
> Umaskini wa chakula umepungua kutoka asilimia 22 mwaka 1991/92, asilimia 19 mwaka 2000/01, asilimia 17 mwaka 2007, asilimia 10 mwaka 2011/12 hadi asilimia 8.0 mwaka 2017/18
Soma - https://jamii.app/TakwimuHaliUmasikini
MASUMBWI: Bondia Anthony Joshua kutoka nchini England amempiga kwa pointi bondia Andy Ruiz Jr. kutoka Mexico
- Wawili hao wamepambana usiku huu katika pambano la marudiano Uzani wa Juu lililofanyika nchini Saudi Arabia
- Anthony Joshua alipigwa na Andy Ruiz Jr. kwa TKO katika pambano lao la mwezi Juni 2019
#RuizVsJoshua2 #JFLeo
- Wawili hao wamepambana usiku huu katika pambano la marudiano Uzani wa Juu lililofanyika nchini Saudi Arabia
- Anthony Joshua alipigwa na Andy Ruiz Jr. kwa TKO katika pambano lao la mwezi Juni 2019
#RuizVsJoshua2 #JFLeo