UFARANSA: GAVANA WA KINSHASA ADAIWA KUSHAMBULIWA NA RAIA WA CONGO
- Gentiny Ngobila Mbaka anadaiwa kushambuliwa na raia wa Congo wanaoishi Ufaransa alipokwenda dukani kufanya manunuzi
- Sababu ya raia hao kufanya hivyo haijafahamika bado
Zaidi, soma https://jamii.app/GavanaKinshasaKipigo-FR
- Gentiny Ngobila Mbaka anadaiwa kushambuliwa na raia wa Congo wanaoishi Ufaransa alipokwenda dukani kufanya manunuzi
- Sababu ya raia hao kufanya hivyo haijafahamika bado
Zaidi, soma https://jamii.app/GavanaKinshasaKipigo-FR
MICHEZO: Baada ya Taifa Stars kupata ushindi wa goli 2-1 dhidi ya Equtorial Guinea, leo inashuka tena dimbani kupambana na Libya kuwania kufuzu kucheza michuano ya AFCON 2021
- Mchezo huo unaotarajiwa kuanza majira ya saa Nne Kamili Usiku (Saa za Afrika Mashariki) utachezwa katika dimba la Olympique Mustapha Ben Jannet Monastir nchini Tunisia
- Mchezo huo unaotarajiwa kuanza majira ya saa Nne Kamili Usiku (Saa za Afrika Mashariki) utachezwa katika dimba la Olympique Mustapha Ben Jannet Monastir nchini Tunisia
MPYA: MAURICIO POCHETTINO AFUNGASHIWA VIRAGO
- Klabu ya Tottenham Hotspurs imemfuta kazi Kocha wake huyo baada ya kuiongoza timu hiyo kwa miaka mitano
- Taarifa ya timu inasema matokeo ya mwishoni kwa ligi za ndani msimu uliopita na matokeo ya msimu huu si ya kuridhisha
Zaidi, soma https://jamii.app/PochettinoAfukuzwaSpurs
- Klabu ya Tottenham Hotspurs imemfuta kazi Kocha wake huyo baada ya kuiongoza timu hiyo kwa miaka mitano
- Taarifa ya timu inasema matokeo ya mwishoni kwa ligi za ndani msimu uliopita na matokeo ya msimu huu si ya kuridhisha
Zaidi, soma https://jamii.app/PochettinoAfukuzwaSpurs
KUFUZU AFCON 2021: TAIFA STARS YAPOTEZA DHIDI YA LIBYA
- Taifa Stars imefungwa goli 2-1 na Libya katika mchezo wa mzunguko wa pili wa Kundi J uliochezwa Tunisia wa kufuzu kushiriki michuano ya Mataifa ya Afrika 2021
- Stars ndio ilikuwa ya kwanza kupata goli kupitia kwa Nahodha Mbwana Samatta lakini Libya iliweza kusawazisha na hatimaye kupata goli la pili ambalo ni la ushindi
- Taifa Stars imefungwa goli 2-1 na Libya katika mchezo wa mzunguko wa pili wa Kundi J uliochezwa Tunisia wa kufuzu kushiriki michuano ya Mataifa ya Afrika 2021
- Stars ndio ilikuwa ya kwanza kupata goli kupitia kwa Nahodha Mbwana Samatta lakini Libya iliweza kusawazisha na hatimaye kupata goli la pili ambalo ni la ushindi
MICHEZO: JOSE MOURINHO AJIANDAA KUMRITHI POCHETTINO KATIKA KLABU YA TOTTENHAM
- Taarifa zinaeleza kuwa wawakilishi wa Jose Mourinho na wale wa Klabu ya Tottenham wanatarajiwa kufikia makubaliano mchana wa siku ya leo
Zaidi, soma > https://jamii.app/MourinhoSpurs
- Taarifa zinaeleza kuwa wawakilishi wa Jose Mourinho na wale wa Klabu ya Tottenham wanatarajiwa kufikia makubaliano mchana wa siku ya leo
Zaidi, soma > https://jamii.app/MourinhoSpurs
RC WA KILIMANJARO AMUONYA MBUNGE WA SIHA KUACHA UCHONGANISHI
- Dkt. Anna Mghwira amemtaka Mbunge Dkt. Godwin Mollel kuacha uchonganishi baina ya Watumishi wa Halmashauri, Madiwani na Wananchi, badala yake awe kiunganishi ili kuleta maendeleo
Zaidi, soma https://jamii.app/RCKili-MbungeSiha
- Dkt. Anna Mghwira amemtaka Mbunge Dkt. Godwin Mollel kuacha uchonganishi baina ya Watumishi wa Halmashauri, Madiwani na Wananchi, badala yake awe kiunganishi ili kuleta maendeleo
Zaidi, soma https://jamii.app/RCKili-MbungeSiha
RAIS ANAWEZA KUTOA MSAMAHA KWA MSHTAKIWA
> Rais wa Tanzania amepewa mamlaka ya kutoa msamaha kwa Mtu yeyote aliyepatikana na hatia mbele ya Mahakama kwa kosa lolote, hii ni kwa mujibu wa Ibara ya 45.-(1) ya #Katiba ya Tanzania
#UmuhimuKatiba
> Rais wa Tanzania amepewa mamlaka ya kutoa msamaha kwa Mtu yeyote aliyepatikana na hatia mbele ya Mahakama kwa kosa lolote, hii ni kwa mujibu wa Ibara ya 45.-(1) ya #Katiba ya Tanzania
#UmuhimuKatiba
MOURINHO AMRITHI POCHETTINO TOTTENHAM
- Jose Mourinho amechaguliwa kuwa Kocha Mkuu wa Klabu ya Tottenham Hotspurs ya England hadi mwisho wa msimu 2023
- Kocha huyo wa zamani wa Klabu za Manchester United na Chelsea za England pia anachukua nafasi ya Mauricio Pochettino
Zaidi, soma https://jamii.app/PochettinoAfukuzwaSpurs
- Jose Mourinho amechaguliwa kuwa Kocha Mkuu wa Klabu ya Tottenham Hotspurs ya England hadi mwisho wa msimu 2023
- Kocha huyo wa zamani wa Klabu za Manchester United na Chelsea za England pia anachukua nafasi ya Mauricio Pochettino
Zaidi, soma https://jamii.app/PochettinoAfukuzwaSpurs
RAIS MAGUFULI AMTAKA MKURUGENZI WA NIDA KWENDA MOROGORO LEO
- Amemtaka kwenda kutatua changamoto zinazowakabili Wananchi wakati wa kujiandikisha ili kupata Vitambulisho vya Taifa
- Pia, ametaka huduma hiyo iende kila Wilaya, kwani haiwezekani watu kutoka Wilayani kwenda Mjini la sivyo NIDA iwape Wananchi hela ya ‘guest’
Zaidi, soma https://jamii.app/MkurugenziNIDAvsMagufuli
- Amemtaka kwenda kutatua changamoto zinazowakabili Wananchi wakati wa kujiandikisha ili kupata Vitambulisho vya Taifa
- Pia, ametaka huduma hiyo iende kila Wilaya, kwani haiwezekani watu kutoka Wilayani kwenda Mjini la sivyo NIDA iwape Wananchi hela ya ‘guest’
Zaidi, soma https://jamii.app/MkurugenziNIDAvsMagufuli
MAGUFULI: UKIONA BEI YA MAHINDI IKO JUU, NENDA KALIME YAKO
- Amesema bei ya mahindi inapopanda na wachache kulalamika, Wakulima wanashangilia
- Amesema wakati wa kumpangia bei Mkulima umepita na katika kipindi chake hatampangia Mkulima bei
Zaidi, soma https://jamii.app/SerikaliBeiWakulima
- Amesema bei ya mahindi inapopanda na wachache kulalamika, Wakulima wanashangilia
- Amesema wakati wa kumpangia bei Mkulima umepita na katika kipindi chake hatampangia Mkulima bei
Zaidi, soma https://jamii.app/SerikaliBeiWakulima
KAZI HUZAA UTAJIRI, KATIBA INATAKA WATU WAJITUME
- Ibara ya 25- (1): Kazi pekee ndiyo huzaa utajiri wa mali katika jamii, ndilo chimbuko la ustawi wa wananchi na kipimo cha utu
- Kila mtu anao wajibu wa kushiriki kwa kujituma na kwa uaminifu katika kazi halali
#UmuhimuKatiba
- Ibara ya 25- (1): Kazi pekee ndiyo huzaa utajiri wa mali katika jamii, ndilo chimbuko la ustawi wa wananchi na kipimo cha utu
- Kila mtu anao wajibu wa kushiriki kwa kujituma na kwa uaminifu katika kazi halali
#UmuhimuKatiba
KIGOMA: MWALIMU WA SHULE YA MSINGI MBARONI KWA TUHUMA ZA UBAKAJI
- Zakaria Richard(30) anatuhumiwa kumbaka na kumlawiti Mwanafunzi(10) wa Darasa la 5
- Mwanafunzi huyo alikabidhiwa na wazazi wake kwa mwalimu huyo afundishwe Masomo ya Ziada
Zaidi, aoma https://jamii.app/MwalimuMbaroniUbakaji-KGM
- Zakaria Richard(30) anatuhumiwa kumbaka na kumlawiti Mwanafunzi(10) wa Darasa la 5
- Mwanafunzi huyo alikabidhiwa na wazazi wake kwa mwalimu huyo afundishwe Masomo ya Ziada
Zaidi, aoma https://jamii.app/MwalimuMbaroniUbakaji-KGM
CHAD: VIONGOZI WA WAASI NCHINI JAMHURI YA AFRIKA YA KATI WAKAMATWA
- Jen. Abdoulaye Miskine na wenzake watatu wanadaiwa kuingia Chad kupitia Mji wa Tissi
- Maswali mengi yameibuka kutoka kwa wadau yakihoji iwapo walikuwa wanatafuta hifadhi Chad
Zaidi, soma https://jamii.app/WaasiAfrikaKatiMbaroni
- Jen. Abdoulaye Miskine na wenzake watatu wanadaiwa kuingia Chad kupitia Mji wa Tissi
- Maswali mengi yameibuka kutoka kwa wadau yakihoji iwapo walikuwa wanatafuta hifadhi Chad
Zaidi, soma https://jamii.app/WaasiAfrikaKatiMbaroni
WABUNGE WA CHADEMA WALIOKIUKA MASHARTI YA DHAMANA WAONYWA NA MAHAKAMA
- Wabunge hao ni Peter Msigwa(Iringa Mjini), John Heche(Tarime Vijijini), Halima Mdee(Kawe) na Ester Bulaya(Bunda)
- Mahakama imesema kuwafutia dhamana ingekuwa hatua kali
Zaidi, soma https://jamii.app/WabungeCDMWaonywa-Kisutu
- Wabunge hao ni Peter Msigwa(Iringa Mjini), John Heche(Tarime Vijijini), Halima Mdee(Kawe) na Ester Bulaya(Bunda)
- Mahakama imesema kuwafutia dhamana ingekuwa hatua kali
Zaidi, soma https://jamii.app/WabungeCDMWaonywa-Kisutu
KAZI ZA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MUJIBU WA KATIBA
- Atahakikisha matumizi ya fedha zinazokusudiwa kutolewa kutoka Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali yameidhinishwa
- Atahakikisha fedha zote zimetumiwa kama ilivyokusudiwa
#UmuhimuKatiba
- Atahakikisha matumizi ya fedha zinazokusudiwa kutolewa kutoka Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali yameidhinishwa
- Atahakikisha fedha zote zimetumiwa kama ilivyokusudiwa
#UmuhimuKatiba
MDAU: WANAOBUSU WATOTO WA WENZAO MIDOMONI WANANIKERA SANA
- Amesema, “Unakuta mtu kaja kutembelea mtoto wako au kamkuta umemshika anamchukua na kuanza kumpiga mabusu ya mdomoni. Huu ni uchafu sana, mimi sipendi kabisa tabia hiyo”
Kujadili, tembelea https://jamii.app/KissingAnothersKid
- Amesema, “Unakuta mtu kaja kutembelea mtoto wako au kamkuta umemshika anamchukua na kuanza kumpiga mabusu ya mdomoni. Huu ni uchafu sana, mimi sipendi kabisa tabia hiyo”
Kujadili, tembelea https://jamii.app/KissingAnothersKid